stakehigh
JF-Expert Member
- Aug 9, 2019
- 6,384
- 3,494
Vema kukaa kimya kuficha ujinga
rudia shule umepotea tayar kimaisha
Vema kukaa kimya kuficha ujinga
ukisoma vizuri utaona keyword uchumi alafu ndo uache kukurupuka, kushuka kwa hela hata rwanda wana hela kubwa kuzidi sisi lakini kauchumi kadogo same to nigeria vs south africa vs kenyaWe kweli kimeo.
Sasa kama ilikua usd 1=2280. Na sasa shs hiyohyo 1=2310 je imeshuka au imepandaaa
Ha haa ! Hiyo haitakuwa dola sasa itakuwa Bitcoin...... nilidhani unasema imefika 3000 au 5000 ili nibomoe kibubu changu
Avator yako inaonesha wewe ni kada wa ccm ndio maana sijashangaa ulichoandika.sasa dola kupanda na uchumi wa tanzania wap wap mzee? Kuongezeka kwa ukubwa wa dola sio lazima tsh iwe imeshuka
Unaujua impact ya USD kupanda..!?sasa dola kupanda na uchumi wa tanzania wap wap mzee? Kuongezeka kwa ukubwa wa dola sio lazima tsh iwe imeshuka
Avator yako inaonesha wewe ni kada wa ccm ndio maana sijashangaa ulichoandika.
Unaujua impact ya USD kupanda..!?
Asume unaagiza gari toka SBT Japan au BE FORWARD, kwa USD na wewe una Tshs. Hilo gari utalinunua kwa bei ndogo kama Dola IPO chini na the same gari kwa the same price in USD, utalinunua kwa bei kubwa KAMA USD itapanda zaidiUSD inaweza kushuka hata ikawa chini ya TSH and usifeel any effect kwako, BUT some worldwide issues might happen, in terms of global exchange , stocks, bonds, IOU's and all issues related to this, katika maisha yako kuna uwezekano hata huna direct usage na dollar ukiachana na zile shobo za kutaka kuonekana, a large percent you use tshillings! kuna nchi nyingi ambazo hazina shobo na USD mfano mwaka 2014 CUBA, AFGANISTAN, RUSSIA, CHINA & JAPAN waliacha kutumia USD for any services, some use gold some use crypto and many more options!
sasa dola kupanda na uchumi wa tanzania wap wap mzee? Kuongezeka kwa ukubwa wa dola sio lazima tsh iwe imeshuka
USD inaweza kushuka hata ikawa chini ya TSH and usifeel any effect kwako, BUT some worldwide issues might happen, in terms of global exchange , stocks, bonds, IOU's and all issues related to this, katika maisha yako kuna uwezekano hata huna direct usage na dollar ukiachana na zile shobo za kutaka kuonekana, a large percent you use tshillings! kuna nchi nyingi ambazo hazina shobo na USD mfano mwaka 2014 CUBA, AFGANISTAN, RUSSIA, CHINA & JAPAN waliacha kutumia USD for any services, some use gold some use crypto and many more options!
Naona haujawahi kununua bidhaa au huduma yoyote mtandaoni
Bidhaa inauzwa mtandaoni ni dola 10, chukulia kipindi kile USD 1 ni sawa na shiling 1500.
Kwa sasa utanunua kwa shilingi ngapi? Unafikiri nao watashusha bei?
Ukiacha kutumia dola haimaniishi utakuwa unatumia pesa kidogo.
Biashara zote za kimataifa huwa zinapangwa bei kwa dola kisha kipimo hicho hutumika kupanga bei kulingana na nchi husika.
USD haikwepeki
Asume unaagiza gari toka SBT Japan au BE FORWARD, kwa USD na wewe una Tshs. Hilo gari utalinunua kwa bei ndogo kama Dola IPO chini na the same gari kwa the same price in USD, utalinunua kwa bei kubwa KAMA USD itapanda zaidi
Kwani Kupanda kwa Dola kunasababishwa naWe kweli kimeo.
Sasa kama ilikua usd 1=2280. Na sasa shs hiyohyo 1=2310 je imeshuka au imepandaaa
Umewahi kuagiza gari nje!? Maana isije tukawa tunaongelea theory na siyo hali halisibut hautalipa kwa USD ila utalipa kwa tsh but under the (IOU) terms, na BOT itaandika hio transaction yako kwenye deni la taifa, pesa ulizokua nazo kwenye kufanya manunuzi inarudi kwenye mzunguko, and the circle goes on and on always,
Umewahi kuagiza gari nje!? Maana isije tukawa tunaongelea theory na siyo hali halisi