Kipenzi Changu
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 59,177
- 138,452
Wakati serikali ya awamu ya 6 ikiwa haina mkakati wowote madhubuti wa kuimarisha uchumi, dola imeonyesha kupanda na kuwa zaidi ya Tzs 2310.
Watanzania tuendelee na drama zetu na matamko, tutakutana mbele ya safari tukiwa hoi
Watanzania tuendelee na drama zetu na matamko, tutakutana mbele ya safari tukiwa hoi