DOGMA ndio msingi wa dini ya ukristo

DOGMA ndio msingi wa dini ya ukristo

Kuwa Muislam ni au kutokuwa Muislam huo ni uamuzi wako

Ila tu ngoja nikufundishe kuwa Yesu alisema yeye sio Mungu

YESU ANAKATAA KUITWA MWEMA ANASEMA MWEMA NI MUNGU PEKEE
Marko 10:17
Hata alipokuwa akitoka kwenda njiani, mtu mmoja akaja mbio, akampigia magoti, akamwuliza, Mwalimu mwema, nifanye nini nipate kuurithi uzima wa milele?
Marko 10:18
Yesu akamwambia, Kwa nini kuniita mwema? Hakuna aliye mwema ila
mmoja, ndiye Mungu.

YESU ANASEMA SISI NA YEYE MUNGU WETU NI MMOJA

Marko 12:29
Yesu akamjibu, Ya kwanza ndiyo hii, Sikia, Israeli, Bwana Mungu wetu ni Bwana mmoja;

YESU ANASEMA ILI UENDE PEPONI NI LAZIMA KWANZA UKUBALI KUWA MUNGU NI MMOJA TU
Yohana 17:3
Na uzima wa milele ndio huu, Wakujue wewe, Mungu wa pekee wa kweli, na Yesu Kristo uliyemtuma.

Sasa ni uamuzi wako ufuate mafundisho ya Yesu kuwa Mungu ni mmoja pekee

au ufuate DOGMA za Wazungu kuwa Yesu ndio Mungu wako aliyekuumba
Bora uwapigilie msumari wa matako
 
DOGMA ni kitendo Cha kuufanya uongo kuwa ukweli na kutumia Mbinu za kisaikolojia kukupandikiza huo uongo katika akili za watu

DOGMA ndani ya ukristo

1) wameaminishwa kuwa Yesu amezaliwa katika hori la kulishia ng'ombe wakati hakuna andiko linalosema hivyo

2) wameaminishwa kuwa ukristo ni dini wakati hakuna andiko linalosema hivyo

3) wameaminishwa kuwa Mungu ana nafsi 3 wakati hakuna andiko linalosema hivyo

4) wameaminishwa kuwa wakiwa na shida wamuombe Yesu wakati hakuna andiko linalosema hivyo

5) wameaminishwa kuwa Yesu ni Mungu wakati Yesu mwenyewe amekana kuwa yeye sio Mungu

6) wameaminishwa kuwa Mungu aligeuka kuwa mtu akacheza kombolela na watoto wenzake katika mitaa ya Galilaya

7) wameaminishwa kuwa ukristo alianzisha Yesu wakati maandiko na historia zinasema kuwa ukristo ulianzishwa baada ya Yesu kuondoka

8) wameaminishwa kuwa wakifanya ibada wasisujudu wakati maandiko yanawataka wasujudu na manabii wote walikuwa wanasujudu

9) wameaminishwa kuwa Yesu alisurubiwa Kwa ajili ya dhambi zao wakati maandiko yanasema Kila mtu atabeba mzigo wake

10) wameaminishwa kuwa msalaba ni neema Hadi wanavaa shingoni mwao wakati maandiko yanasema msalaba ni laana

11) wameaminishwa kuwa kuoa wake wengi ni kosa wakati hakuna andiko linalosema hivyo

12) wameaminishwa kuwa ukristo ulianzishwa nchini Jerusalem wakati maandiko yanasema ulianzishwa nchini ugiriki

14) wameaminishwa kuwa Injili ni kitabu Cha wakristo wakati hakuna andiko linalosema hivyo

15) wameaminishwa kuwa Paulo ni mtume wakati Yesu alisema yeye ndio mtume wa mwisho katika kizazi Cha Israel

16) wameaminishwa kuwa Jumapili ni siku ya ibada wakati hakuna andiko linalosema hivyo

Wazungu watu wabaya sana
Mimi ni mkiristo, ila nazingatia hapo mwisho uliposema (WAZUNGU NI WATU WABAYA) (satanic law of fives inasema, Tutabadili kila kitu cha Mungu kuwa kinyume ili kuwachanganya wanadami)
 
YESU NDIYE MUNGU ALIYEZIUMBA MBINGU NA NCHI:
Yohana 1:1, 14 – “Hapo mwanzo kulikuwako Neno, naye Neno alikuwako kwa Mungu, naye Neno alikuwa Mungu... Naye Neno alifanyika mwili, akakaa kwetu.”

2. Yohana 20:28 – Mtume Tomaso alipomwona Yesu baada ya kufufuka alisema: “Bwana wangu na Mungu wangu!” Yesu hakumkemea bali alikubali sifa hiyo.

3. Wakolosai 2:9 – “Kwa maana ndani yake unakaa utimilifu wote wa Mungu kwa mwili.”

4. Isaya 9:6 – Nabii alitabiri kumhusu: “Na jina lake litaitwa... Mungu Mkuu, Baba wa milele, Mfalme wa amani.”

5. Ufunuo 1:8 – Yesu anasema: “Mimi ni Alfa na Omega... Mwenyezi.”

UMEANDIKA

YESU NDIYE MUNGU ALIYEZIUMBA MBINGU NA NCHI:

MAJIBU

YESU HAJAUMBA CHOCHOTE HATA MBU HAJAUMBA

Yesu ananukuliwa katika Yohana 5:30, akisema:

“Mimi siwezi kufanya neno mwenyewe; kama nisikiavyo ndivyo nihukumuvyo; na hukumu yangu ni ya haki, kwa sababu siyatafuti mapenzi yangu mimi, bali mapenzi yake aliyenipeleka.”.

Katika Matendo 2:22, Paulo anandika:

“Enyi waume wa Israeli, sikilizeni maneno haya: Yesu wa Nazareti, mtu aliyedhihirishwa kwenu na Mungu kwa miujiza na ajabu na ishara, ambazo Mungu alizifanya kwa mkono wake kati yenu, kama ninyi wenyewe mnavyojua.”



umeandika

Yohana 1:1, 14 – “Hapo mwanzo kulikuwako Neno, naye Neno alikuwako kwa Mungu, naye Neno alikuwa Mungu... Naye Neno alifanyika mwili, akakaa kwetu.”

MAJIBU

Huenda ‘ushahidi’ wa uungu wa Yesu ulionukuliwa sana ni Yohana 1:1 na 14, “Hapo mwanzo kulikuwako Neno, naye Neno alikuwako kwa Mungu, na Neno alikuwa Mungu… Naye Neno alifanyika mwili, akakaa kwetu; nasi tukauona utukufu wake, utukufu kama wa Mwana pekee atokaye kwa Baba; amejaa neema na kweli.”

Hata hivyo, maelezo haya hayakutolewa na Yesu Kristo, wala hayakuhusishwa naye na mtunzi wa Injili kwa mujibu wa Yohana.

Hivyo, mistari hii haiundi ushahidi wa uungu wa Yesu, hasa hasa kuzingatia shaka inayoshikiliwa na wasomi wa Kikristo juu ya Injili ya Nne.

Wasomi wa Biblia waliotunga Injili tano: “Picha mbili zilizochorwa na Yohana na muhtasari wa injili (yaani Injili ya Mathayo, Marko na Luka) zote mbili haziwezi kuwa ubainifu wa kihistoria.


Neno lilohusishwa na Yesu katika Injili ya Yohana kimsingi inatofautiana na Injili nyingine tatu (Injili za muhtasari) kiasi cha kutilia shaka uhakika wake. Kwa mfano:

Nne limeundwa na wainjilisti kwa sehemu kubwa, na linaakisi mwendelezo wa lugha ya jamii ya Wakristo wa Kiyohana.

Neno la Kigiriki lilotumiwa na mtunzi wa Injili ya Nne asiyejulikana kwa “neno” ni logos. Kwa kufanya hivyo, huyo mtunzi anamtambulisha Yesu kwa logos la wanafalsa wapagani wa Kigiriki, neno ambalo lilikuwa na lengo takatifu na thabiti lililojitokeza ulimwenguni, huyo mtunzi akalipangilia neno hilo na kulipa mfumo na maana.

Wazo la logos katika fikra za Kigiriki huenda linarejea nyuma, kwa uchache hadi kwa mwanafalsafa wa karne ya sita BC, Heracleitus, aliyependekeza kuwa, kulikuwa na logos ulimwenguni anayetenda kwa mwanadamu kulingana na nguvu ya hoja. Baadaye, Stoics analitambulisha logos kuwa ni tendo, mantiki, na kanuni ya kiroho inayosambaa katika ukweli wote.

Mwanafalsafa wa Kiyahudi anayeongea Kigiriki, Judaeus Philo wa Alexandria (15 BC -45 CE), amefundisha kuwa logos alikuwa ni mpatanishi baina ya Mungu na ulimwengu, kwa kuwa na sifa mbili za uwakala wa Mungu na ulimwengu, na kuwa na sifa mbili za uwakala wa viumbe na wakala wa ambaye kupitia kwake akili ya mwanadamu inaweza kumfahamu Mungu.

Maandiko ya Philo yalihifadhiwa na kutunzwa na kanisa, na kueneza ufunuo kwa mafundisho ya kistaarabu ya tiolojia ya kifalsafa ya Kikristo. Aliacha mafundisho ya fikra za Kipilato wakichukulia logos (Neno) na kuliita “mtoto wa kwanza wa kuzaliwa na Mungu.”

Utambulisho wa Yesu kwa logos, uliendelezwa katika kanisa la kwanza ikiwa ni tokeo la majaribio yaliyofanywa na wanatiolojia wa kwanza wa Kikristo pamoja na watetezi kuielezea imani ya Kikristo kwa istilahi ambayo ingekuwa wazi kwa ulimwengu wa Wayunani.

Zaidi ya hayo, ilikuwa ni kuwavutia wasikilizaji wao na mtazamo wao kuwa Ukristo ulikuwa unashinda, au mrithi wa wale wote waliokuwa wanafalsafa bora wa kipagani. Kwa hiyo, katika kazi zao za utetezi na Wingi wake ni logoi nalo pia linamaanisha “hoja” au “mpango”.

Mapadri wa Kikristo wa kwanza wameeleza kuwa Yesu alikuwa ni logos aliyekuwepo hapo kabla.

Neno la Kigiriki lililotumika kwa maana ya ‘Mungu’ katika hiyo ibara ni “na Neno lilikuwa kwa Mungu,” lipo katika mtindo wa “definite form- yaani mtindo uliowazi, au unaofahamika” batheos, Linalomaanisha “Huyo Mungu, au Mungu maalum”.

Hata hivyo, katika ibara ya pili “na Neno alikuwa Mungu”, neno la Kigiriki lililotumika kwa maana ya ‘Mungu’ katika ibara lipo katika mtindo wa “indefinite form- yaani mtindo usiowazi, au usiofahamika” tontheos, Linalomaanisha ‘mungu yoyote, yaani mungu asiyejulikana, au mungu yoyote asiye maalumu’.

Kwa hiyo, Yohana 1:1, kwa uwazi zaidi ilipaswa itafsiriwe, “Hapo Mwanzo kulikuwa na Neno, na hilo Neno lilikuwa kwa Mungu, na hilo Neno lilikuwa mungu mwingine.”

Kwa hiyo, kama hilo neno lilikuwa mungu mwingine kwa ufahamu wa kifasihi, itamaanisha kuwa kulikuwa na miungu miwili na sio mmoja. Hata hivyo, katika lugha ya Kibiblia, neno ‘mungu – asiyefahamika’ linatumika kwa maana ya istiari ili kuashiria nguvu.

Kwa mfano, Paulo alimtaja shetani kuwa ni ‘mungu – asiyefahamika’ katika 2 Wakorintho 4:4, "ambao ndani yao mungu wa dunia hii amepofusha fikira zao wasioamini, isiwazukie nuru ya injili ya utukufu wake Kristo aliye sura yake Mungu."

Pia, Musa alitajwa kama ni ‘mungu – asiyefahamika’ katika Kutoka 7:1, "BWANA akamwambia Musa, Angalia, nimekufanya wewe kuwa Mungu kwa Farao; na huyo ndugu yako Haruna atakuwa nabii wako.
 
UMEANDIKA

YESU NDIYE MUNGU ALIYEZIUMBA MBINGU NA NCHI:

MAJIBU

YESU HAJAUMBA CHOCHOTE HATA MBU HAJAUMBA

Yesu ananukuliwa katika Yohana 5:30, akisema:

“Mimi siwezi kufanya neno mwenyewe; kama nisikiavyo ndivyo nihukumuvyo; na hukumu yangu ni ya haki, kwa sababu siyatafuti mapenzi yangu mimi, bali mapenzi yake aliyenipeleka.”.

Katika Matendo 2:22, Paulo anandika:

“Enyi waume wa Israeli, sikilizeni maneno haya: Yesu wa Nazareti, mtu aliyedhihirishwa kwenu na Mungu kwa miujiza na ajabu na ishara, ambazo Mungu alizifanya kwa mkono wake kati yenu, kama ninyi wenyewe mnavyojua.”



umeandika

Yohana 1:1, 14 – “Hapo mwanzo kulikuwako Neno, naye Neno alikuwako kwa Mungu, naye Neno alikuwa Mungu... Naye Neno alifanyika mwili, akakaa kwetu.”

MAJIBU

Huenda ‘ushahidi’ wa uungu wa Yesu ulionukuliwa sana ni Yohana 1:1 na 14, “Hapo mwanzo kulikuwako Neno, naye Neno alikuwako kwa Mungu, na Neno alikuwa Mungu… Naye Neno alifanyika mwili, akakaa kwetu; nasi tukauona utukufu wake, utukufu kama wa Mwana pekee atokaye kwa Baba; amejaa neema na kweli.”

Hata hivyo, maelezo haya hayakutolewa na Yesu Kristo, wala hayakuhusishwa naye na mtunzi wa Injili kwa mujibu wa Yohana.

Hivyo, mistari hii haiundi ushahidi wa uungu wa Yesu, hasa hasa kuzingatia shaka inayoshikiliwa na wasomi wa Kikristo juu ya Injili ya Nne.

Wasomi wa Biblia waliotunga Injili tano: “Picha mbili zilizochorwa na Yohana na muhtasari wa injili (yaani Injili ya Mathayo, Marko na Luka) zote mbili haziwezi kuwa ubainifu wa kihistoria.


Neno lilohusishwa na Yesu katika Injili ya Yohana kimsingi inatofautiana na Injili nyingine tatu (Injili za muhtasari) kiasi cha kutilia shaka uhakika wake. Kwa mfano:

Nne limeundwa na wainjilisti kwa sehemu kubwa, na linaakisi mwendelezo wa lugha ya jamii ya Wakristo wa Kiyohana.

Neno la Kigiriki lilotumiwa na mtunzi wa Injili ya Nne asiyejulikana kwa “neno” ni logos. Kwa kufanya hivyo, huyo mtunzi anamtambulisha Yesu kwa logos la wanafalsa wapagani wa Kigiriki, neno ambalo lilikuwa na lengo takatifu na thabiti lililojitokeza ulimwenguni, huyo mtunzi akalipangilia neno hilo na kulipa mfumo na maana.

Wazo la logos katika fikra za Kigiriki huenda linarejea nyuma, kwa uchache hadi kwa mwanafalsafa wa karne ya sita BC, Heracleitus, aliyependekeza kuwa, kulikuwa na logos ulimwenguni anayetenda kwa mwanadamu kulingana na nguvu ya hoja. Baadaye, Stoics analitambulisha logos kuwa ni tendo, mantiki, na kanuni ya kiroho inayosambaa katika ukweli wote.

Mwanafalsafa wa Kiyahudi anayeongea Kigiriki, Judaeus Philo wa Alexandria (15 BC -45 CE), amefundisha kuwa logos alikuwa ni mpatanishi baina ya Mungu na ulimwengu, kwa kuwa na sifa mbili za uwakala wa Mungu na ulimwengu, na kuwa na sifa mbili za uwakala wa viumbe na wakala wa ambaye kupitia kwake akili ya mwanadamu inaweza kumfahamu Mungu.

Maandiko ya Philo yalihifadhiwa na kutunzwa na kanisa, na kueneza ufunuo kwa mafundisho ya kistaarabu ya tiolojia ya kifalsafa ya Kikristo. Aliacha mafundisho ya fikra za Kipilato wakichukulia logos (Neno) na kuliita “mtoto wa kwanza wa kuzaliwa na Mungu.”

Utambulisho wa Yesu kwa logos, uliendelezwa katika kanisa la kwanza ikiwa ni tokeo la majaribio yaliyofanywa na wanatiolojia wa kwanza wa Kikristo pamoja na watetezi kuielezea imani ya Kikristo kwa istilahi ambayo ingekuwa wazi kwa ulimwengu wa Wayunani.

Zaidi ya hayo, ilikuwa ni kuwavutia wasikilizaji wao na mtazamo wao kuwa Ukristo ulikuwa unashinda, au mrithi wa wale wote waliokuwa wanafalsafa bora wa kipagani. Kwa hiyo, katika kazi zao za utetezi na Wingi wake ni logoi nalo pia linamaanisha “hoja” au “mpango”.

Mapadri wa Kikristo wa kwanza wameeleza kuwa Yesu alikuwa ni logos aliyekuwepo hapo kabla.

Neno la Kigiriki lililotumika kwa maana ya ‘Mungu’ katika hiyo ibara ni “na Neno lilikuwa kwa Mungu,” lipo katika mtindo wa “definite form- yaani mtindo uliowazi, au unaofahamika” batheos, Linalomaanisha “Huyo Mungu, au Mungu maalum”.

Hata hivyo, katika ibara ya pili “na Neno alikuwa Mungu”, neno la Kigiriki lililotumika kwa maana ya ‘Mungu’ katika ibara lipo katika mtindo wa “indefinite form- yaani mtindo usiowazi, au usiofahamika” tontheos, Linalomaanisha ‘mungu yoyote, yaani mungu asiyejulikana, au mungu yoyote asiye maalumu’.

Kwa hiyo, Yohana 1:1, kwa uwazi zaidi ilipaswa itafsiriwe, “Hapo Mwanzo kulikuwa na Neno, na hilo Neno lilikuwa kwa Mungu, na hilo Neno lilikuwa mungu mwingine.”

Kwa hiyo, kama hilo neno lilikuwa mungu mwingine kwa ufahamu wa kifasihi, itamaanisha kuwa kulikuwa na miungu miwili na sio mmoja. Hata hivyo, katika lugha ya Kibiblia, neno ‘mungu – asiyefahamika’ linatumika kwa maana ya istiari ili kuashiria nguvu.

Kwa mfano, Paulo alimtaja shetani kuwa ni ‘mungu – asiyefahamika’ katika 2 Wakorintho 4:4, "ambao ndani yao mungu wa dunia hii amepofusha fikira zao wasioamini, isiwazukie nuru ya injili ya utukufu wake Kristo aliye sura yake Mungu."

Pia, Musa alitajwa kama ni ‘mungu – asiyefahamika’ katika Kutoka 7:1, "BWANA akamwambia Musa, Angalia, nimekufanya wewe kuwa Mungu kwa Farao; na huyo ndugu yako Haruna atakuwa nabii wako.
YESU NDIYE MUUMBA MBINGU NA NCHI VITABU VYOTE VYA DINI VIMEANDIKA.
 
DOGMA ni kitendo Cha kuufanya uongo kuwa ukweli na kutumia Mbinu za kisaikolojia kukupandikiza huo uongo katika akili za watu

DOGMA ndani ya ukristo

1) wameaminishwa kuwa Yesu amezaliwa katika hori la kulishia ng'ombe wakati hakuna andiko linalosema hivyo

2) wameaminishwa kuwa ukristo ni dini wakati hakuna andiko linalosema hivyo

3) wameaminishwa kuwa Mungu ana nafsi 3 wakati hakuna andiko linalosema hivyo

4) wameaminishwa kuwa wakiwa na shida wamuombe Yesu wakati hakuna andiko linalosema hivyo

5) wameaminishwa kuwa Yesu ni Mungu wakati Yesu mwenyewe amekana kuwa yeye sio Mungu

6) wameaminishwa kuwa Mungu aligeuka kuwa mtu akacheza kombolela na watoto wenzake katika mitaa ya Galilaya

7) wameaminishwa kuwa ukristo alianzisha Yesu wakati maandiko na historia zinasema kuwa ukristo ulianzishwa baada ya Yesu kuondoka

8) wameaminishwa kuwa wakifanya ibada wasisujudu wakati maandiko yanawataka wasujudu na manabii wote walikuwa wanasujudu

9) wameaminishwa kuwa Yesu alisurubiwa Kwa ajili ya dhambi zao wakati maandiko yanasema Kila mtu atabeba mzigo wake

10) wameaminishwa kuwa msalaba ni neema Hadi wanavaa shingoni mwao wakati maandiko yanasema msalaba ni laana

11) wameaminishwa kuwa kuoa wake wengi ni kosa wakati hakuna andiko linalosema hivyo

12) wameaminishwa kuwa ukristo ulianzishwa nchini Jerusalem wakati maandiko yanasema ulianzishwa nchini ugiriki

14) wameaminishwa kuwa Injili ni kitabu Cha wakristo wakati hakuna andiko linalosema hivyo

15) wameaminishwa kuwa Paulo ni mtume wakati Yesu alisema yeye ndio mtume wa mwisho katika kizazi Cha Israel

16) wameaminishwa kuwa Jumapili ni siku ya ibada wakati hakuna andiko linalosema hivyo

Wazungu watu wabaya sana
Wewe ni mjinga na bahati mbaya unajifanya unaijua imani ya Kikristo hadi kufikia kuandika mambo mengi ya uongo kwenye andiko lako. Bahati nzuri ni kwamba mjinga anaweza kueleimishwa na ujinga ukamtoka endapo atakuwa tayari kupewa elimu. Ukishupaza shingo na kuendelea kuamini uzushi ulioandika hapa basi utahama kutoka kuwa mjinga hadi kuwa Mpumbavu.
 
Mtu anayesema Paulo alikuwa mwadanganyifu kwa kutumia 1 Wakorintho 7:40 au Warumi 3:7 anakosa kuelewa maandiko kwa konteksti ya asili na lugha iliyotumika.
Hii siyo tu tafsiri isiyo sahihi, bali pia ni fundisho la upotofu linaloweza kuwapotosha wasio na ufahamu wa Maandiko.

1. 1 Wakorintho 7:40 haimaanishi Paulo hakuwa na uhakika

Maneno “nadhani nina Roho wa Mungu” (Greek: δοκῶ δὲ κἀγὼ πνεῦμα θεοῦ ἔχειν) katika Kiyunani hayamaanishi shaka au kutokuwa na uhakika.

Neno dokō lina maana ya “kuona vema,” “kufikiri kwa uhakika,” “kuamini kwa ujasiri.”

Paulo alikuwa akitofautisha kati ya amri ya moja kwa moja kutoka kwa Bwana (1 Wakorintho 7:10) na ushauri wa kiroho alioupa kwa uongozi wa Roho Mtakatifu kulingana na hali ya kijamii ya wakati huo.

Hakuna sehemu aliyoonesha hofu au kutojua kama ana Roho Mtakatifu. Badala yake, katika Warumi 8:9 alisema wazi: “Lakini ninyi hammo katika mwili, bali katika Roho, ikiwa Roho wa Mungu anakaa ndani yenu. Lakini mtu awaye yote asipokuwa na Roho wa Kristo, huyo si wake.” Hii inaonyesha alikuwa na uhakika kabisa.

2. Warumi 3:7 si kukiri kwamba Paulo aliwahi kusema uongo

Aya hiyo ni mtindo wa hoja (rhetorical) ambapo Paulo anajibu pingamizi la kinadharia: “Lakini ikiwa kwa uongo wangu kweli ya Mungu imezidi kuonekana kwa utukufu wake, kwa nini mimi bado nihukumiwe kama mwenye dhambi?”

Ni swali la changamoto, si kukiri.

Muktadha mzima wa Warumi 3:1-8 unaonyesha kwamba Paulo anakanusha hoja hiyo na kuithibitisha kuwa ni upotofu.

Ndiyo maana katika Warumi 9:1 alisema wazi: “Nasema kweli katika Kristo, sisemi uongo, dhamiri yangu ikinishuhudia katika Roho Mtakatifu.”

3. Paulo hakuwa mlaghai “kwa ajili ya pesa”
Katika 2 Wakorintho 11:7-9, Paulo anasema alihubiri injili bila malipo, na mahitaji yake yalitegemezwa na makanisa mengine ili asiwe mzigo kwa Wakorintho.

Aliandika katika 1 Wathesalonike 2:5: “Kwa maana kamwe hatukutumia maneno ya kujipendekeza, kama mnavyojua, wala haturiki tamaa ya mali Mungu ni shahidi.”

Alihangaika, alipigwa, alifungwa, na hatimaye kuuawa kwa ajili ya injili (2 Wakorintho 11:23-28). Hakuna mtu anayefanya hayo kwa tamaa ya fedha.

4. Onyo la Biblia kwa wanaopotosha Maandiko
2 Petro 3:15-16 inasema: “Kama alivyoandika ndugu yetu mpendwa Paulo... katika barua zake, ambazo ndani yake mna mambo magumu kuelewa, ambayo wasio na elimu na wasio imara huzipotosha, kama walivyozipotosha maandiko mengine, kwa uharibifu wao wenyewe.”

Kumuita mtume aliyechaguliwa na Kristo “mwadanganyifu” ni hatari ya kiroho. Yesu mwenyewe alimfunulia Paulo (Matendo 9:3-6) na kumtuma kuhubiri injili kwa mataifa (Matendo 26:16-18).

Hivyo wote wanaodai kwamba Paulo alikosa Roho Mtakatifu au alihubiri uongo wanafundisha upotofu.
Hawaelewi muktadha wa kifasihi wa Biblia na wanaangukia katika lile onyo la Petro kuhusu kupotosha maandiko.

Kwa jina la Yesu Kristo, nawahimiza: Acheni kuhubiri upotofu. Someni maandiko kwa muktadha wake wa kweli. Tambueni


Sijui unatumia biblia ipi lakini biblia zote hizi zimeandika

NASB: Lakini kwa maoni yangu, atakuwa na furaha zaidi ikiwa atabaki alivyo; nami nadhani kwamba mimi pia nina Roho wa Mungu.


ESV: Hata hivyo, kwa hukumu yangu, atakuwa na furaha zaidi ikiwa atabaki alivyo. Nami nadhani kwamba mimi pia nina Roho wa Mungu.


CSB: Lakini atakuwa na furaha zaidi ikiwa atabaki alivyo, kwa maoni yangu. Nami nadhani kwamba mimi pia nina Roho wa Mungu.


NET2: Lakini kwa maoni yangu, atakuwa na furaha zaidi ikiwa atabaki alivyo—nami nadhani kwamba mimi pia nina Roho wa Mungu!


NIV: Kwa hukumu yangu, atakuwa na furaha zaidi ikiwa atabaki alivyo—nami nadhani kwamba mimi pia nina Roho wa Mungu


HATA HIVYO PAULO ALIKUWA MDANGANYIFU TOKA SIKU YA KWANZA


Paulo kwa kweli anakiri kwamba alikuwa akidanganya.

Tunajua hili kutokana na kauli zake kama zile katika 1 Wakorintho 9:19-23. Hapa Paulo anakiri kuwa aliwadanganya watu kwa kujifanya kama aina fulani ya watu walivyo ili tu wapokee mafundisho yake.


“Kwa maana ingawa mimi ni huru kwa watu wote, nimejifanya mtumwa wa wote, ili nipate kuwapata wengi zaidi. Nimekuwa kwa Wayahudi kama Myahudi, ili nipate kuwapata Wayahudi; kwa wale walio chini ya sheria, kama nikiwa chini ya sheria, ili nipate kuwapata hao walio chini ya sheria”

(ushahidi mwengine alisema katika Warumi 10:4, “Kwa maana Kristo ni mwisho wa sheria ili kila aaminiye ahesabiwe haki”, lakini hapa anakiri kujifanya kuwa chini ya sheria ili tu kuwadanganya na kuwapata wale wanaoamini bado sheria).

“Kwa wale wasio na sheria, nimekuwa kana kwamba sina sheria, ili nipate kuwapata hao wasio na sheria. Kwa walio dhaifu nimekuwa dhaifu, ili nipate kuwapata walio dhaifu; nimekuwa kila kitu kwa watu wote, ili kwa NJIA ZOTE (hata kwa njia za udanganyifu) niwaokoe baadhi yao.”

Tunaona pia mapema katika Matendo 21:21-26 kwamba Wazee wa mitume walimwamuru Paulo aende ajitakase kwa kuwa alikuwa akifundisha kwamba Wayahudi waachane na Musa na wasitahiri tena, yaani, akifundisha uongo wake.

Katika Matendo 21:24 wanasema:


“Chukua hawa, ukajitakase pamoja nao (wale ndugu wengine waliokuwa wanahitaji kutakaswa), na ugombane nao gharama zao, ili wanyoe vichwa vyao; na wote wapate kujua ya kwamba mambo waliyosikia juu yako (yaani uongo wako wa kutokuwa na tohara tena na kutofuata tena sheria za Torati) si kweli, bali kwamba wewe mwenyewe unatembea kwa utaratibu, na unashika sheria.”


Sasa kama Paulo alijua alikuwa sahihi katika yale aliyokuwa akifundisha, alipaswa kupinga na kusema, “Siitaji kutakaswa.” Lakini tunaona katika Matendo 21:26 kwamba “Ndipo Paulo akawatwaa wale watu, na siku ya pili akajitakasa pamoja nao, akaingia hekaluni.”


Kumbuka kwamba wazee wa wanafunzi walitaka afanye hivi ili watu waone kwamba yale aliyokuwa akifundisha (kutokuwa na tohara tena, kutokuwa na sheria ya Torati) hayakuwa kweli.

Na ingawa alikuwa akifundisha mambo hayo, walitaka kukomesha ghasia na kuzuia kuenea kwa mafundisho yake potovu kwa kumpeleka hekaluni ajitakase na kuonyesha kwamba uvumi huo “hauna msingi” – Matendo 21:24.


Zaidi tunapoona Paulo akisema katika 2 Wakorintho 12:16: “Lakini sivyo; sikuwalemaza; lakini nilipokuwa MJANJA (neno jingine la ujanja, hila, udanganyifu), niliwapata kwa HILA (neno jingine la ujanja wa siri au udanganyifu katika kufanikisha kusudi).”

Hapa Paulo anakiri wazi kwamba aliwapata kwa udanganyifu na ujanja. Hivyo basi, aya zote ambazo uliitoa kuhusu mtazamo wa Paulo juu ya uongo na udanganyifu, si chochote zaidi ya maneno yenye unafiki na utata wa Paulo mwenyewe.
 
YESU NDIYE MUUMBA MBINGU NA NCHI VITABU VYOTE VYA DINI VIMEANDIKA.


Hakuwa na Nguvu:

Yesu alilia kwa kifo cha rafiki yake, akaomba Mungu amfufue.


Angalia katika Yohana 11:38-44:


Yohana 11 (KJV)
38 Yesu basi, akiwa anaguswa tena (akilia) ndani yake, alikunjia kaburi. Lilikuwa ni pango, na jiwe lilikuwa limewekwa juu yake.


Yohana 11 (WYC)
38 Basi Yesu alifanya tena kelele ndani yake, akaenda kwa kaburi. Na huko kulikuwa na pango, na jiwe lililikuwa limewekwa juu yake.


Yohana 11 (KJ21)
38 Yesu basi, akiwa anaguswa tena (akilia) ndani yake, alifika kwa kaburi. Lilikuwa ni pango, na jiwe lilikuwa limewekwa mbele yake.


Yohana 11 (ISV)
38 Akiwa anaguswa tena kwa maumivu (akilia), Yesu alifika kwa kaburi. Lilikuwa ni pango, na jiwe lilikuwa limewekwa mbele yake.


Yohana 11 (NABRE)
38 Kwa hiyo Yesu, akiwa na mshtuko tena, alifika kwa kaburi. Lilikuwa ni pango, na jiwe lilikuwa limewekwa mbele yake.


Yohana 11 (NET)
38 Yesu, akiwa na hisia kali tena, alifika kwa kaburi. (Huko kulikuwa ni pango, na jiwe lilikuwa limewekwa juu yake.)




Alimuomba Mungu asikie:


Angalia pia katika Yohana 11:42, Yesu anamuomba Mungu amsikie na amfufue Lazaro:


Yohana 11:42

Na nalijua kwamba unanisikia kila wakati; lakini kwa sababu ya watu waliokaa karibu, nalisema hili, ili waamini kwamba ulinituma mimi.




Nani alimfufua Lazaro?
Yesu au Mungu?

Hapa nitakusaidia kuelewa:
 
Hakuwa na Nguvu:

Yesu alilia kwa kifo cha rafiki yake, akaomba Mungu amfufue.


Angalia katika Yohana 11:38-44:


Yohana 11 (KJV)
38 Yesu basi, akiwa anaguswa tena (akilia) ndani yake, alikunjia kaburi. Lilikuwa ni pango, na jiwe lilikuwa limewekwa juu yake.


Yohana 11 (WYC)
38 Basi Yesu alifanya tena kelele ndani yake, akaenda kwa kaburi. Na huko kulikuwa na pango, na jiwe lililikuwa limewekwa juu yake.


Yohana 11 (KJ21)
38 Yesu basi, akiwa anaguswa tena (akilia) ndani yake, alifika kwa kaburi. Lilikuwa ni pango, na jiwe lilikuwa limewekwa mbele yake.


Yohana 11 (ISV)
38 Akiwa anaguswa tena kwa maumivu (akilia), Yesu alifika kwa kaburi. Lilikuwa ni pango, na jiwe lilikuwa limewekwa mbele yake.


Yohana 11 (NABRE)
38 Kwa hiyo Yesu, akiwa na mshtuko tena, alifika kwa kaburi. Lilikuwa ni pango, na jiwe lilikuwa limewekwa mbele yake.


Yohana 11 (NET)
38 Yesu, akiwa na hisia kali tena, alifika kwa kaburi. (Huko kulikuwa ni pango, na jiwe lilikuwa limewekwa juu yake.)




Alimuomba Mungu asikie:


Angalia pia katika Yohana 11:42, Yesu anamuomba Mungu amsikie na amfufue Lazaro:


Yohana 11:42

Na nalijua kwamba unanisikia kila wakati; lakini kwa sababu ya watu waliokaa karibu, nalisema hili, ili waamini kwamba ulinituma mimi.




Nani alimfufua Lazaro?
Yesu au Mungu?

Hapa nitakusaidia kuelewa:
Vitabu vyote vya dini vinajua YESU NDIYE MUNGU MUUMBA MBINGU NA NCHI NA VIUMBE VYOTE VITASIMAMA MBELE YAKE SIKU YA HUKUMU.
 
Wewe ni mjinga na bahati mbaya unajifanya unaijua imani ya Kikristo hadi kufikia kuandika mambo mengi ya uongo kwenye andiko lako. Bahati nzuri ni kwamba mjinga anaweza kueleimishwa na ujinga ukamtoka endapo atakuwa tayari kupewa elimu. Ukishupaza shingo na kuendelea kuamini uzushi ulioandika hapa basi utahama kutoka kuwa mjinga hadi kuwa Mpumbavu.

Ungalijibu hoja zake ingalikuwa vizuri kuliko kumkoromea , kwani hujatupa faida yoyote
 
DOGMA ni kitendo Cha kuufanya uongo kuwa ukweli na kutumia Mbinu za kisaikolojia kukupandikiza huo uongo katika akili za watu

DOGMA ndani ya ukristo

1) wameaminishwa kuwa Yesu amezaliwa katika hori la kulishia ng'ombe wakati hakuna andiko linalosema hivyo

2) wameaminishwa kuwa ukristo ni dini wakati hakuna andiko linalosema hivyo

3) wameaminishwa kuwa Mungu ana nafsi 3 wakati hakuna andiko linalosema hivyo

4) wameaminishwa kuwa wakiwa na shida wamuombe Yesu wakati hakuna andiko linalosema hivyo

5) wameaminishwa kuwa Yesu ni Mungu wakati Yesu mwenyewe amekana kuwa yeye sio Mungu

6) wameaminishwa kuwa Mungu aligeuka kuwa mtu akacheza kombolela na watoto wenzake katika mitaa ya Galilaya

7) wameaminishwa kuwa ukristo alianzisha Yesu wakati maandiko na historia zinasema kuwa ukristo ulianzishwa baada ya Yesu kuondoka

8) wameaminishwa kuwa wakifanya ibada wasisujudu wakati maandiko yanawataka wasujudu na manabii wote walikuwa wanasujudu

9) wameaminishwa kuwa Yesu alisurubiwa Kwa ajili ya dhambi zao wakati maandiko yanasema Kila mtu atabeba mzigo wake

10) wameaminishwa kuwa msalaba ni neema Hadi wanavaa shingoni mwao wakati maandiko yanasema msalaba ni laana

11) wameaminishwa kuwa kuoa wake wengi ni kosa wakati hakuna andiko linalosema hivyo

12) wameaminishwa kuwa ukristo ulianzishwa nchini Jerusalem wakati maandiko yanasema ulianzishwa nchini ugiriki

14) wameaminishwa kuwa Injili ni kitabu Cha wakristo wakati hakuna andiko linalosema hivyo

15) wameaminishwa kuwa Paulo ni mtume wakati Yesu alisema yeye ndio mtume wa mwisho katika kizazi Cha Israel

16) wameaminishwa kuwa Jumapili ni siku ya ibada wakati hakuna andiko linalosema hivyo

Wazungu watu wabaya sana
Kuna dini moja dhaifu kusudi ienee lazima itafute kasoro kwenye vitabu vya dini nyingine na hata wale walioweza kuwasilimisha wamefanikiwa kupitia kuchambua kasoro kwenye vitabu vya dini nyingine.
Dini hii haiwezi kujisimamia peke yale kwa kutumia msaafu wake kujieneza lazima itamsema Paulo,itasema mathayo na kadhalika na kadhalika.ikishindwa kujieneza kwa mahubiri ya kukosoa basi itatumia upanga.
Sijawahi kuona kiongozi wao hata mmoja akiita wananchi kwenye uwanja na kuhubiri dini yale bila kuonesha udhaifu wa dini nyingine.
Dini hii haiwezi kujisimamia
 
Vitabu vyote vya dini vinajua YESU NDIYE MUNGU MUUMBA MBINGU NA NCHI NA VIUMBE VYOTE VITASIMAMA MBELE YAKE SIKU YA HUKUMU.



Yesu anasemaje?:

Yohana 17:3 imeandikwa hivi – …uzima wa milele ndiyo huu wakujue Mungu wa pekee na Yesu uliyemtuma.

Katika Aya hii Yesu anasema kwamba ili kupata uzima lazima tumjue kwanza Mungu wa pekee na umjue Yesu Kristo aliyetumwa na Mungu, hapa Yesu hasemi lolote kuhusu yeye kuwa nafasi ya pili ya Mungu ila anakiri wazi yeye ametumwa na Mungu mmoja wa pekee.

Luka 2:40 imeandikwa hivi: - ...Yule mtoto akakua akaongezeka nguvu amejaa hekima na neema ya Mungu ilikua juu yake.

Katika Aya hii tunaambiwa kwamba Yesu alijaa hekima na neema ya Mungu. Tahadhari ufikirie vizuri kwa makini sababu hapa inayonyesha kwamba bila ya Mungu kumpa neema Yesu asingelikuwa na hekima hii inaonyesha wazi Yesu ni kiumbe aliyeteuliwa na Mungu na hii ni kawaida yake Mwenyezi Mungu kwa Mitume na Manabii wake kuwapa neema na hekima.

Yohana 13:13 imeandikwa hivi:

- Nanyi mwaniita Mwalimu na Bwana nanyi mwasema vema maana ndivyo nilivyo. Maneno hayo yatueleza wazi kwamba alikuwa anajua wazi kwamba yeye ni Mwalimu na Bwana ndiyo maana anawasifu wanafunzi wake, NANYI MWASEMA VEMA.

Mathayo 23:9 imeandikwa: -

Wala msimwite mtu Baba maana Baba yenu ni mmoja wa Mbinguni wala msiitwe Kiongozi maana Kiongozi wenu ni mmoja naye ndiye Yesu Kristo. Hapa Yesu anaendelea kutuonyesha jinsi alivyo tofauti na Mungu, na yeye hayuko sawa na Mungu daima Mungu ni Baba lakini Yesu ni Kiongozi tu.

Ufunuo: 1:1-2 imeandikwa hivi: - Ufunuo wa Yesu Kristo aliopewa na Mungu awaonyeshe watu wake…Naye akatuma Malaika akamuonyeshe Mtumwa wake Yohana…
Wakati ufunuo unatolewa na Mungu na kupewa Yesu wakati huo Yesu ameshatoka Duniani yuko Mbinguni, lakini bado inaonyesha Mungu ndiye mkubwa Yesu bado ni wakutumwa ili awaonyeshe watumwa kuhusu mambo yao yatakayokuja kama tulivyosoma. Zipo Aya nyingi sana zinazoonyesha wazi kuwa Yesu alikuwa halijui kabisa fundisho la tatu.

Wanafunzi wa kwanza walimuelewaje Yesu?

Matendo ya Mitume 3:13 imeandikwa hivi… Mungu wa Ibrahimu na wa Isaka na wa Yakobo, Mungu wa Baba zetu amemtukuza Mtumishi wake Yesu ambaye nyinyi mlimsaliti na kumkana mbele ya Pilato, alipokuwa ametoa hukumu yake ili afunguliwe.

Maneno ya wanafunzi yalikuwa wazi kuwa Yesu ni Mtumishi wa Mungu tu yaani Mtume pia ni Nabii.

Matendo ya Mitume 4:27 imeandikwa hivi… maana ni kweli Herode na Pontio Pilato pamoja na Mataifa na watu wa Israel walikusanyika katika mji huu juu ya Mtumishi wako Mtakatifu Yesu uliyemtia mafuta.

Wanafunzi wanaendelea na msimamo wao kwamba Yesu ni Mtumishi wa Mungu aliyetumwa (Mtume) tu.

Luka 24:19 imeandikwa: - …Akawauliza mambo gani? Wakamwambia mambo ya Yesu Wanazareti aliyekuwa mtu nabii mwenye uwezo wa kutenda na kusema mbele za Mungu na Wanadamu.

Marko 6:2 imeandikwa: - Na ilipokuwa Sabato aliingia katika Sinagogi, wengi waliposikia walishangaa wakasema huyu ameyapata wapi haya! Hekima gani hii? Aliyopewa huyu? Nini miujiza hii mikubwa inayotendeka kwa mikono yake? Huyu si ni yule Selemala mwana wa Mariamu na nduguyao Yakobo na Yosef na Yuda na Simoni na Maumbu wake hawapo hapa? (Maana ya Maumbu ni Madada)

Maneno haya yanathibitisha kwamba watu waliomfahamu Yesu walishangaa matendo makubwa anayoyatenda hata hivyo walijua kwamba yeye ni Selemala wa Mwana wa Mariamu tu. Na ni kiumbe mwenye ndugu zake na dada zake, kama watu wengine.

Marko 13:31 tunasoma hivi – Mbingu na Nchi zitapita lakini maneno yangu hayatapita kamwe. Walakini habari ya siku ile na saa ile hakuna anaye ijua hata malaika wala Mwana (Yesu) ila Baba tu Mungu…

hapa Yesu alikua anazungumza habari ya siku ya mwisho alikiri wazi kwamba yeye siku haijui hata Malaika hawajui ila Mungu peke yake.
 
Dini zote ni mfumo wa ulaji wa wajanja (utapeli)
Imani juu ya msalaba wa Yesu Kristo ni upuuzi kwa wale waliopotea. Shauri lako wewe mwenyewe kwa upofu wako, lakini tambua ya kwamba kila ulimi utakuja kukiri ya kwamba YESU KRISTO ndiye BWANA MUNGU.
 
Vitabu vyote vya dini vinajua YESU NDIYE MUNGU MUUMBA MBINGU NA NCHI NA VIUMBE VYOTE VITASIMAMA MBELE YAKE SIKU YA HUKUMU.

ULIANDIKA

2. Yohana 20:28 – Mtume Tomaso alipomwona Yesu baada ya kufufuka alisema: “Bwana wangu na Mungu wangu!” Yesu hakumkemea bali alikubali sifa hiyo.


Majibu :


Wakristo mara nyingi hunukuu maneno ya Tomasi yaliyopo katika Yohana 20:28, alipomwambia Yesu, “Bwana wangu na Mungu wangu” baada ya kumwona. Waislamu hujibu kwamba Tomasi alisema hivyo kwa mshangao. Lakini Wakristo hujibu kwamba Yesu alibariki ushuhuda wa Tomasi, na hivyo kuthibitisha kwamba Tomasi alikuwa sahihi kumwita Mungu.


Hata hivyo, ni muhimu tusome muktadha wa tukio hili ili tuelewe kwa nini Yesu alimbariki Tomasi...


Yohana 20:24-29


24 Tomasi (aitwaye Didimo), mmoja wa wale Thenashara, hakuwepo na wanafunzi wengine alipokuja Yesu.
25 Wale wanafunzi wengine wakamwambia, “Tumemwona Bwana!” Lakini Tomasi akawaambia, “Mimi nisipoona alama za misumari mikononi mwake, na kutia kidole changu mahali pale palipokuwa misumari, na kutia mkono wangu ubavuni mwake, sitasadiki.”


26 Baada ya juma moja wanafunzi walikuwa tena ndani, na Tomasi alikuwa pamoja nao. Yesu akaingia, ingawa milango ilikuwa imefungwa, akasimama katikati yao na kusema, “Amani iwe kwenu!”
27 Kisha akamwambia Tomasi, “Lete kidole chako hapa, utazame mikono yangu. Nyoosha mkono wako, uutie ubavuni mwangu. Acha kuwa asiyeamini, bali amini.”


28 Tomasi akamjibu, “Bwana wangu na Mungu wangu!”


29 Yesu akamwambia, “Kwa kuwa umeniona umesadiki; heri wale wasioona wakasadiki.”


Tukisoma muktadha, hatuoni popote kwamba Yesu alibariki ushuhuda wa Tomasi kwa sababu ya kumwita Mungu. Kile kilichotokea ni kwamba baada ya kile kinachodaiwa kuwa ufufuo wa Yesu, bado kulikuwa na wanafunzi waliotia shaka ikiwa kweli alikuwa yeye (Mathayo 28:17).

Tomasi alikuwa mmoja wao. Hakusadiki kwamba Yesu angeweza kufufuka kutoka kwa wafu, na hata hakukubali ushuhuda wa wanafunzi wenzake walipomwambia kwamba walimwona Yesu akiwa hai tena.


Kwa hiyo Yesu, ili kumfanya Tomasi aamini, alimruhusu aweke kidole chake kwenye alama za misumari na mkono wake ubavuni. Baada ya kuthibitisha kwa macho na kugusa majeraha, ndipo Tomasi akatoa kauli ya mshangao, “Bwana wangu na Mungu wangu”, akitambua kwamba kweli alikuwa ni Yesu aliyefufuka.


Yesu akambariki Tomasi si kwa sababu alimwita Mungu, bali kwa sababu sasa amesadiki kwamba kweli Yesu amefufuka.


Lakini je, kwa nini Tomasi angemwita Yesu Mungu? Kuna kitu cha pekee alichofanya Yesu ili kuthibitisha uungu wake? Je, ni ufufuo wake? Lakini tunajua kwamba sote tutafufuliwa siku ya Hukumu kwa mapenzi ya Mungu. Zaidi ya hayo, wengine pia walifufuliwa kabla na baada ya Yesu...


Mathayo 27:52-53


52 Makaburi yakafunguka, na miili ya watakatifu wengi waliokuwa wamekufa ikafufuliwa.
53 Wakaja kutoka makaburini, na baada ya kufufuka kwa Yesu wakaingia mjini patakatifu na kuonekana na watu wengi.


Manabii wa Agano la Kale pia walifufua wafu kwa uwezo na mapenzi ya Mungu (2 Wafalme 4:18-37; 1 Wafalme 17:17-22, n.k.).


Kwa hiyo, hakuna kitu cha kipekee ambacho Yesu alifanya hadi Tomasi amwite Mungu.

Maelezo rahisi na yenye mantiki zaidi ni kwamba maneno ya Tomasi yalikuwa ni kauli ya mshangao, si tamko la kiimani kwamba Yesu ni Mungu.
 
Wewe ni shoga
MUHAMMAD karuhusu ushoga kwenye uislamu
FB_IMG_1754823875655_1.jpg
 
Yesu anasemaje?:

Yohana 17:3 imeandikwa hivi – …uzima wa milele ndiyo huu wakujue Mungu wa pekee na Yesu uliyemtuma.

Katika Aya hii Yesu anasema kwamba ili kupata uzima lazima tumjue kwanza Mungu wa pekee na umjue Yesu Kristo aliyetumwa na Mungu, hapa Yesu hasemi lolote kuhusu yeye kuwa nafasi ya pili ya Mungu ila anakiri wazi yeye ametumwa na Mungu mmoja wa pekee.

Luka 2:40 imeandikwa hivi: - ...Yule mtoto akakua akaongezeka nguvu amejaa hekima na neema ya Mungu ilikua juu yake.

Katika Aya hii tunaambiwa kwamba Yesu alijaa hekima na neema ya Mungu. Tahadhari ufikirie vizuri kwa makini sababu hapa inayonyesha kwamba bila ya Mungu kumpa neema Yesu asingelikuwa na hekima hii inaonyesha wazi Yesu ni kiumbe aliyeteuliwa na Mungu na hii ni kawaida yake Mwenyezi Mungu kwa Mitume na Manabii wake kuwapa neema na hekima.

Yohana 13:13 imeandikwa hivi:

- Nanyi mwaniita Mwalimu na Bwana nanyi mwasema vema maana ndivyo nilivyo. Maneno hayo yatueleza wazi kwamba alikuwa anajua wazi kwamba yeye ni Mwalimu na Bwana ndiyo maana anawasifu wanafunzi wake, NANYI MWASEMA VEMA.

Mathayo 23:9 imeandikwa: -

Wala msimwite mtu Baba maana Baba yenu ni mmoja wa Mbinguni wala msiitwe Kiongozi maana Kiongozi wenu ni mmoja naye ndiye Yesu Kristo. Hapa Yesu anaendelea kutuonyesha jinsi alivyo tofauti na Mungu, na yeye hayuko sawa na Mungu daima Mungu ni Baba lakini Yesu ni Kiongozi tu.

Ufunuo: 1:1-2 imeandikwa hivi: - Ufunuo wa Yesu Kristo aliopewa na Mungu awaonyeshe watu wake…Naye akatuma Malaika akamuonyeshe Mtumwa wake Yohana…
Wakati ufunuo unatolewa na Mungu na kupewa Yesu wakati huo Yesu ameshatoka Duniani yuko Mbinguni, lakini bado inaonyesha Mungu ndiye mkubwa Yesu bado ni wakutumwa ili awaonyeshe watumwa kuhusu mambo yao yatakayokuja kama tulivyosoma. Zipo Aya nyingi sana zinazoonyesha wazi kuwa Yesu alikuwa halijui kabisa fundisho la tatu.

Wanafunzi wa kwanza walimuelewaje Yesu?

Matendo ya Mitume 3:13 imeandikwa hivi… Mungu wa Ibrahimu na wa Isaka na wa Yakobo, Mungu wa Baba zetu amemtukuza Mtumishi wake Yesu ambaye nyinyi mlimsaliti na kumkana mbele ya Pilato, alipokuwa ametoa hukumu yake ili afunguliwe.

Maneno ya wanafunzi yalikuwa wazi kuwa Yesu ni Mtumishi wa Mungu tu yaani Mtume pia ni Nabii.

Matendo ya Mitume 4:27 imeandikwa hivi… maana ni kweli Herode na Pontio Pilato pamoja na Mataifa na watu wa Israel walikusanyika katika mji huu juu ya Mtumishi wako Mtakatifu Yesu uliyemtia mafuta.

Wanafunzi wanaendelea na msimamo wao kwamba Yesu ni Mtumishi wa Mungu aliyetumwa (Mtume) tu.

Luka 24:19 imeandikwa: - …Akawauliza mambo gani? Wakamwambia mambo ya Yesu Wanazareti aliyekuwa mtu nabii mwenye uwezo wa kutenda na kusema mbele za Mungu na Wanadamu.

Marko 6:2 imeandikwa: - Na ilipokuwa Sabato aliingia katika Sinagogi, wengi waliposikia walishangaa wakasema huyu ameyapata wapi haya! Hekima gani hii? Aliyopewa huyu? Nini miujiza hii mikubwa inayotendeka kwa mikono yake? Huyu si ni yule Selemala mwana wa Mariamu na nduguyao Yakobo na Yosef na Yuda na Simoni na Maumbu wake hawapo hapa? (Maana ya Maumbu ni Madada)

Maneno haya yanathibitisha kwamba watu waliomfahamu Yesu walishangaa matendo makubwa anayoyatenda hata hivyo walijua kwamba yeye ni Selemala wa Mwana wa Mariamu tu. Na ni kiumbe mwenye ndugu zake na dada zake, kama watu wengine.

Marko 13:31 tunasoma hivi – Mbingu na Nchi zitapita lakini maneno yangu hayatapita kamwe. Walakini habari ya siku ile na saa ile hakuna anaye ijua hata malaika wala Mwana (Yesu) ila Baba tu Mungu…

hapa Yesu alikua anazungumza habari ya siku ya mwisho alikiri wazi kwamba yeye siku haijui hata Malaika hawajui ila Mungu peke yake.
Mkuu soma vitabu vyote vya dini ila jitahidi kuelewa.Vyote vimezungumzia Yesu ndiye MUNGU.
 
nani aliruhusu watu wamjue mungu wa uongo mkuu?
Shetani. Maana yeye siku zote hataki wanadamu wapate wokovu. Anataka awapate wengi kadiri inavyowezekana kwenye ufalme wake.
 
  • Kicheko
Reactions: Lax
Marko 10:18
Yesu akamwambia, Kwa nini kuniita mwema? Hakuna aliye mwema ila
mmoja, ndiye Mungu.
Kwanza kwenye huu mstari Yesu hajakataa kuitwa mwema, ameuliza sababu ya kuitwa mwema ni ipi? Na kama ukitaka kujua kuwa Yesu ni mwema na kwa hiyo ni Mungu soma YOHANA 10:11 na angalia anachosema
Mimi ndimi mchungaji mwema. Mchungaji mwema huutoa uhai wake kwa ajili ya kondoo.
Marko 12:29
Yesu akamjibu, Ya kwanza ndiyo hii, Sikia, Israeli, Bwana Mungu wetu ni Bwana mmoja;
Sasa ulitaka anukuu vipi, hayo ni maandiko Yesu amenukuu Kumbukumbu la Torati 6:4 Unaposoma uwe unaelewa na context ya maandiko. Unaona kabisa hapo kuwa anamjibu mtu kumwambia kile kilichoandikwa
Yohana 17:3
Na uzima wa milele ndio huu, Wakujue wewe, Mungu wa pekee wa kweli, na Yesu Kristo uliyemtuma.
Still hakuna mstari ambao Yesu amekataa kuitwa Mungu, umenukuu mstari wa 3 vizuri, je unajua kuwa Yesu na Baba ni umoja, maana yake huwezi kumtenganisha na Baba ambaye ni Mungu YOHANA 10:30

Haya hiyo sura ya 17 uliyonukuu umeangalia inavyoanza?
YOHANA 17:1
Maneno hayo aliyasema Yesu; akainua macho yake kuelekea mbinguni, akasema, Baba, saa imekwisha kufika. Mtukuze Mwanao, ili Mwana wako naye akutukuze wewe;
- Hakuna mwanadamu anayeweza kudai atukuzwe na Mungu, maana Biblia inasema Mungu hashiriki utukufu na mwanadamu. ISAYA 42:8

YOHANA 17:2
kama vile ulivyompa mamlaka juu ya wote wenye mwili, ili kwamba wote uliompa awape uzima wa milele.
- Hakuna mwanadamu anaweza kuwa na mamlaka juu ya wote wenye mwili, yani awe na uamuzi wa uzima au mauti juu ya wanadamu wote akiwemo Muhammad na wote unaowajua wewe.

YOHANA 17:5
Na sasa, Baba, unitukuze mimi pamoja nawe, kwa utukufu ule niliokuwa nao pamoja nawe kabla ya ulimwengu kuwako.
- Haya niambie kuna mwanadamu alikuwa na utukufu mmoja na Mungu kabla ya ulimwengu kuumbwa?

Badala ya kuleta mstari ambao Yesu amekataa kuwa yeye sio Mungu wewe ndo kwanza umenukuu mistari kutoka vitabu na sura zinazoonesha clearly uungu wake na hakuna mstari hata mmoja ambapo amekataa Uungu.
 
Yeah..... mpaka akina Mwamposa wanawapiga wajinga wajinga.
ULIANDIKA

2. Yohana 20:28 – Mtume Tomaso alipomwona Yesu baada ya kufufuka alisema: “Bwana wangu na Mungu wangu!” Yesu hakumkemea bali alikubali sifa hiyo.


Majibu :


Wakristo mara nyingi hunukuu maneno ya Tomasi yaliyopo katika Yohana 20:28, alipomwambia Yesu, “Bwana wangu na Mungu wangu” baada ya kumwona. Waislamu hujibu kwamba Tomasi alisema hivyo kwa mshangao. Lakini Wakristo hujibu kwamba Yesu alibariki ushuhuda wa Tomasi, na hivyo kuthibitisha kwamba Tomasi alikuwa sahihi kumwita Mungu.


Hata hivyo, ni muhimu tusome muktadha wa tukio hili ili tuelewe kwa nini Yesu alimbariki Tomasi...


Yohana 20:24-29


24 Tomasi (aitwaye Didimo), mmoja wa wale Thenashara, hakuwepo na wanafunzi wengine alipokuja Yesu.
25 Wale wanafunzi wengine wakamwambia, “Tumemwona Bwana!” Lakini Tomasi akawaambia, “Mimi nisipoona alama za misumari mikononi mwake, na kutia kidole changu mahali pale palipokuwa misumari, na kutia mkono wangu ubavuni mwake, sitasadiki.”


26 Baada ya juma moja wanafunzi walikuwa tena ndani, na Tomasi alikuwa pamoja nao. Yesu akaingia, ingawa milango ilikuwa imefungwa, akasimama katikati yao na kusema, “Amani iwe kwenu!”
27 Kisha akamwambia Tomasi, “Lete kidole chako hapa, utazame mikono yangu. Nyoosha mkono wako, uutie ubavuni mwangu. Acha kuwa asiyeamini, bali amini.”


28 Tomasi akamjibu, “Bwana wangu na Mungu wangu!”


29 Yesu akamwambia, “Kwa kuwa umeniona umesadiki; heri wale wasioona wakasadiki.”


Tukisoma muktadha, hatuoni popote kwamba Yesu alibariki ushuhuda wa Tomasi kwa sababu ya kumwita Mungu. Kile kilichotokea ni kwamba baada ya kile kinachodaiwa kuwa ufufuo wa Yesu, bado kulikuwa na wanafunzi waliotia shaka ikiwa kweli alikuwa yeye (Mathayo 28:17).

Tomasi alikuwa mmoja wao. Hakusadiki kwamba Yesu angeweza kufufuka kutoka kwa wafu, na hata hakukubali ushuhuda wa wanafunzi wenzake walipomwambia kwamba walimwona Yesu akiwa hai tena.


Kwa hiyo Yesu, ili kumfanya Tomasi aamini, alimruhusu aweke kidole chake kwenye alama za misumari na mkono wake ubavuni. Baada ya kuthibitisha kwa macho na kugusa majeraha, ndipo Tomasi akatoa kauli ya mshangao, “Bwana wangu na Mungu wangu”, akitambua kwamba kweli alikuwa ni Yesu aliyefufuka.


Yesu akambariki Tomasi si kwa sababu alimwita Mungu, bali kwa sababu sasa amesadiki kwamba kweli Yesu amefufuka.


Lakini je, kwa nini Tomasi angemwita Yesu Mungu? Kuna kitu cha pekee alichofanya Yesu ili kuthibitisha uungu wake? Je, ni ufufuo wake? Lakini tunajua kwamba sote tutafufuliwa siku ya Hukumu kwa mapenzi ya Mungu. Zaidi ya hayo, wengine pia walifufuliwa kabla na baada ya Yesu...


Mathayo 27:52-53


52 Makaburi yakafunguka, na miili ya watakatifu wengi waliokuwa wamekufa ikafufuliwa.
53 Wakaja kutoka makaburini, na baada ya kufufuka kwa Yesu wakaingia mjini patakatifu na kuonekana na watu wengi.


Manabii wa Agano la Kale pia walifufua wafu kwa uwezo na mapenzi ya Mungu (2 Wafalme 4:18-37; 1 Wafalme 17:17-22, n.k.).


Kwa hiyo, hakuna kitu cha kipekee ambacho Yesu alifanya hadi Tomasi amwite Mungu.

Maelezo rahisi na yenye mantiki zaidi ni kwamba maneno ya Tomasi yalikuwa ni kauli ya mshangao, si tamko la kiimani kwamba Yesu ni Mungu.

Question
Did Jesus say He is God?

Answer​


It is true that Jesus never said the exact words, “I am God.” He did, however, make the claim to be God in many different ways, and those who heard Him knew exactly what He was saying. For example, in John 10:30, Jesus said, “I and the Father are one.” The Jews who heard Him make that statement knew well that He was claiming to be God, as witnessed by their reaction: “His Jewish opponents picked up stones to stone him” (John 10:31). When He asked them why they were attempting to stone Him, they said, “For blasphemy, because you, a mere man, claim to be God” (John 10:33). Stoning was the penalty for blasphemy (Leviticus 24:16), and the Jews plainly accused Jesus of claiming to be God.

Jesus made another statement claiming to be God when He said, “Very truly I tell you, . . . before Abraham was born, I am!” (John 8:58). The Jews, upon hearing Him, clearly understood that He was claiming preexistence and, more than that, to be Yahweh, the great “I AM” of Exodus 3:14. On this occasion, too, they tried to stone Him for blasphemy.

The Gospel of John begins with a statement of Jesus’ deity: “In the beginning was the Word, and the Word was with God, and the Word was God” (John 1:1, emphasis added). In verse 14, John identifies the Word: “The Word became flesh and made his dwelling among us. We have seen his glory, the glory of the one and only Son, who came from the Father, full of grace and truth.” John is affirming that the Word (Jesus) is God, and He left heaven to come to earth in the form of a man to live with men and display the glory of God the Father.

The disciples of Jesus distinctly heard Him declare His deity. After Jesus’ resurrection, Thomas the doubting disciple finally understood Jesus’ deity, declaring Him to be “my Lord and my God” (John 20:28). If Jesus were not Lord and God, He would have corrected Thomas, but He did not; Thomas spoke the truth. After seeing Jesus walking on the water, His disciples worshipped Him (Matthew 14:33). When He appeared to them after the resurrection, they fell at His feet and worshipped Him (Matthew 28:9). The disciples were well aware of the Mosaic Law’s penalty for blasphemy, yet they worshipped Him as God, and Jesus accepted their worship. Jesus never rebuked people for worshipping Him, accepting their worship as good and proper.

Jesus’ deity is recognized throughout the New Testament. Paul eagerly awaited “the appearing of the glory of our great God and Savior, Jesus Christ” (Titus 2:13) and encouraged us to do the same. Both Paul and John declared that Jesus created the universe (John 1:3; Colossians 1:16–17), yet Genesis 1:1 clearly says that God created the heavens and the earth. This can only mean that Jesus is God. Even God the Father referred to Jesus as God: “About the Son he says, ‘Your throne, O God, will last for ever and ever’” (Hebrews 1:8, quoting Psalm 45:6).

Soma kwa utulivu
 
Back
Top Bottom