DOGMA ndio msingi wa dini ya ukristo

DOGMA ndio msingi wa dini ya ukristo

DOGMA ni kitendo Cha kuufanya uongo kuwa ukweli na kutumia Mbinu za kisaikolojia kukupandikiza huo uongo katika akili za watu

DOGMA ndani ya ukristo

1) wameaminishwa kuwa Yesu amezaliwa katika hori la kulishia ng'ombe wakati hakuna andiko linalosema hivyo

2) wameaminishwa kuwa ukristo ni dini wakati hakuna andiko linalosema hivyo

3) wameaminishwa kuwa Mungu ana nafsi 3 wakati hakuna andiko linalosema hivyo

4) wameaminishwa kuwa wakiwa na shida wamuombe Yesu wakati hakuna andiko linalosema hivyo

5) wameaminishwa kuwa Yesu ni Mungu wakati Yesu mwenyewe amekana kuwa yeye sio Mungu

6) wameaminishwa kuwa Mungu aligeuka kuwa mtu akacheza kombolela na watoto wenzake katika mitaa ya Galilaya

7) wameaminishwa kuwa ukristo alianzisha Yesu wakati maandiko na historia zinasema kuwa ukristo ulianzishwa baada ya Yesu kuondoka

8) wameaminishwa kuwa wakifanya ibada wasisujudu wakati maandiko yanawataka wasujudu na manabii wote walikuwa wanasujudu

9) wameaminishwa kuwa Yesu alisurubiwa Kwa ajili ya dhambi zao wakati maandiko yanasema Kila mtu atabeba mzigo wake

10) wameaminishwa kuwa msalaba ni neema Hadi wanavaa shingoni mwao wakati maandiko yanasema msalaba ni laana

11) wameaminishwa kuwa kuoa wake wengi ni kosa wakati hakuna andiko linalosema hivyo

12) wameaminishwa kuwa ukristo ulianzishwa nchini Jerusalem wakati maandiko yanasema ulianzishwa nchini ugiriki

14) wameaminishwa kuwa Injili ni kitabu Cha wakristo wakati hakuna andiko linalosema hivyo

15) wameaminishwa kuwa Paulo ni mtume wakati Yesu alisema yeye ndio mtume wa mwisho katika kizazi Cha Israel

16) wameaminishwa kuwa Jumapili ni siku ya ibada wakati hakuna andiko linalosema hivyo

Wazungu watu wabaya sana
Nasubiria wajitokeze na mi nimwage upupu
 
UMEANDIKA

YESU NDIYE MUNGU ALIYEZIUMBA MBINGU NA NCHI:

MAJIBU

YESU HAJAUMBA CHOCHOTE HATA MBU HAJAUMBA

Yesu ananukuliwa katika Yohana 5:30, akisema:


“Mimi siwezi kufanya neno mwenyewe; kama nisikiavyo ndivyo nihukumuvyo; na hukumu yangu ni ya haki, kwa sababu siyatafuti mapenzi yangu mimi, bali mapenzi yake aliyenipeleka.”.

Katika Matendo 2:22, Paulo anandika:

“Enyi waume wa Israeli, sikilizeni maneno haya: Yesu wa Nazareti, mtu aliyedhihirishwa kwenu na Mungu kwa miujiza na ajabu na ishara, ambazo Mungu alizifanya kwa mkono wake kati yenu, kama ninyi wenyewe mnavyojua.”



umeandika

Yohana 1:1, 14 – “Hapo mwanzo kulikuwako Neno, naye Neno alikuwako kwa Mungu, naye Neno alikuwa Mungu... Naye Neno alifanyika mwili, akakaa kwetu.”

MAJIBU

Huenda ‘ushahidi’ wa uungu wa Yesu ulionukuliwa sana ni Yohana 1:1 na 14, “Hapo mwanzo kulikuwako Neno, naye Neno alikuwako kwa Mungu, na Neno alikuwa Mungu… Naye Neno alifanyika mwili, akakaa kwetu; nasi tukauona utukufu wake, utukufu kama wa Mwana pekee atokaye kwa Baba; amejaa neema na kweli.”

Hata hivyo, maelezo haya hayakutolewa na Yesu Kristo, wala hayakuhusishwa naye na mtunzi wa Injili kwa mujibu wa Yohana.

Hivyo, mistari hii haiundi ushahidi wa uungu wa Yesu, hasa hasa kuzingatia shaka inayoshikiliwa na wasomi wa Kikristo juu ya Injili ya Nne.

Wasomi wa Biblia waliotunga Injili tano: “Picha mbili zilizochorwa na Yohana na muhtasari wa injili (yaani Injili ya Mathayo, Marko na Luka) zote mbili haziwezi kuwa ubainifu wa kihistoria.


Neno lilohusishwa na Yesu katika Injili ya Yohana kimsingi inatofautiana na Injili nyingine tatu (Injili za muhtasari) kiasi cha kutilia shaka uhakika wake. Kwa mfano:

Nne limeundwa na wainjilisti kwa sehemu kubwa, na linaakisi mwendelezo wa lugha ya jamii ya Wakristo wa Kiyohana.

Neno la Kigiriki lilotumiwa na mtunzi wa Injili ya Nne asiyejulikana kwa “neno” ni logos. Kwa kufanya hivyo, huyo mtunzi anamtambulisha Yesu kwa logos la wanafalsa wapagani wa Kigiriki, neno ambalo lilikuwa na lengo takatifu na thabiti lililojitokeza ulimwenguni, huyo mtunzi akalipangilia neno hilo na kulipa mfumo na maana.

Wazo la logos katika fikra za Kigiriki huenda linarejea nyuma, kwa uchache hadi kwa mwanafalsafa wa karne ya sita BC, Heracleitus, aliyependekeza kuwa, kulikuwa na logos ulimwenguni anayetenda kwa mwanadamu kulingana na nguvu ya hoja. Baadaye, Stoics analitambulisha logos kuwa ni tendo, mantiki, na kanuni ya kiroho inayosambaa katika ukweli wote.

Mwanafalsafa wa Kiyahudi anayeongea Kigiriki, Judaeus Philo wa Alexandria (15 BC -45 CE), amefundisha kuwa logos alikuwa ni mpatanishi baina ya Mungu na ulimwengu, kwa kuwa na sifa mbili za uwakala wa Mungu na ulimwengu, na kuwa na sifa mbili za uwakala wa viumbe na wakala wa ambaye kupitia kwake akili ya mwanadamu inaweza kumfahamu Mungu.

Maandiko ya Philo yalihifadhiwa na kutunzwa na kanisa, na kueneza ufunuo kwa mafundisho ya kistaarabu ya tiolojia ya kifalsafa ya Kikristo. Aliacha mafundisho ya fikra za Kipilato wakichukulia logos (Neno) na kuliita “mtoto wa kwanza wa kuzaliwa na Mungu.”

Utambulisho wa Yesu kwa logos, uliendelezwa katika kanisa la kwanza ikiwa ni tokeo la majaribio yaliyofanywa na wanatiolojia wa kwanza wa Kikristo pamoja na watetezi kuielezea imani ya Kikristo kwa istilahi ambayo ingekuwa wazi kwa ulimwengu wa Wayunani.

Zaidi ya hayo, ilikuwa ni kuwavutia wasikilizaji wao na mtazamo wao kuwa Ukristo ulikuwa unashinda, au mrithi wa wale wote waliokuwa wanafalsafa bora wa kipagani. Kwa hiyo, katika kazi zao za utetezi na Wingi wake ni logoi nalo pia linamaanisha “hoja” au “mpango”.

Mapadri wa Kikristo wa kwanza wameeleza kuwa Yesu alikuwa ni logos aliyekuwepo hapo kabla.

Neno la Kigiriki lililotumika kwa maana ya ‘Mungu’ katika hiyo ibara ni “na Neno lilikuwa kwa Mungu,” lipo katika mtindo wa “definite form- yaani mtindo uliowazi, au unaofahamika” batheos, Linalomaanisha “Huyo Mungu, au Mungu maalum”.

Hata hivyo, katika ibara ya pili “na Neno alikuwa Mungu”, neno la Kigiriki lililotumika kwa maana ya ‘Mungu’ katika ibara lipo katika mtindo wa “indefinite form- yaani mtindo usiowazi, au usiofahamika” tontheos, Linalomaanisha ‘mungu yoyote, yaani mungu asiyejulikana, au mungu yoyote asiye maalumu’.

Kwa hiyo, Yohana 1:1, kwa uwazi zaidi ilipaswa itafsiriwe, “Hapo Mwanzo kulikuwa na Neno, na hilo Neno lilikuwa kwa Mungu, na hilo Neno lilikuwa mungu mwingine.”

Kwa hiyo, kama hilo neno lilikuwa mungu mwingine kwa ufahamu wa kifasihi, itamaanisha kuwa kulikuwa na miungu miwili na sio mmoja. Hata hivyo, katika lugha ya Kibiblia, neno ‘mungu – asiyefahamika’ linatumika kwa maana ya istiari ili kuashiria nguvu.

Kwa mfano, Paulo alimtaja shetani kuwa ni ‘mungu – asiyefahamika’ katika 2 Wakorintho 4:4, "ambao ndani yao mungu wa dunia hii amepofusha fikira zao wasioamini, isiwazukie nuru ya injili ya utukufu wake Kristo aliye sura yake Mungu."

Pia, Musa alitajwa kama ni ‘mungu – asiyefahamika’ katika Kutoka 7:1, "BWANA akamwambia Musa, Angalia, nimekufanya wewe kuwa Mungu kwa Farao; na huyo ndugu yako Haruna atakuwa nabii wako.
🙏🙏👍👍
 
Mkuu soma vitabu vyote vya dini ila jitahidi kuelewa.Vyote vimezungumzia Yesu ndiye MUNGU.
Mbona hizo Aya
Question
Did Jesus say He is God?

Answer​


It is true that Jesus never said the exact words, “I am God.” He did, however, make the claim to be God in many different ways, and those who heard Him knew exactly what He was saying. For example, in John 10:30, Jesus said, “I and the Father are one.” The Jews who heard Him make that statement knew well that He was claiming to be God, as witnessed by their reaction: “His Jewish opponents picked up stones to stone him” (John 10:31). When He asked them why they were attempting to stone Him, they said, “For blasphemy, because you, a mere man, claim to be God” (John 10:33). Stoning was the penalty for blasphemy (Leviticus 24:16), and the Jews plainly accused Jesus of claiming to be God.

Jesus made another statement claiming to be God when He said, “Very truly I tell you, . . . before Abraham was born, I am!” (John 8:58). The Jews, upon hearing Him, clearly understood that He was claiming preexistence and, more than that, to be Yahweh, the great “I AM” of Exodus 3:14. On this occasion, too, they tried to stone Him for blasphemy.

The Gospel of John begins with a statement of Jesus’ deity: “In the beginning was the Word, and the Word was with God, and the Word was God” (John 1:1, emphasis added). In verse 14, John identifies the Word: “The Word became flesh and made his dwelling among us. We have seen his glory, the glory of the one and only Son, who came from the Father, full of grace and truth.” John is affirming that the Word (Jesus) is God, and He left heaven to come to earth in the form of a man to live with men and display the glory of God the Father.

The disciples of Jesus distinctly heard Him declare His deity. After Jesus’ resurrection, Thomas the doubting disciple finally understood Jesus’ deity, declaring Him to be “my Lord and my God” (John 20:28). If Jesus were not Lord and God, He would have corrected Thomas, but He did not; Thomas spoke the truth. After seeing Jesus walking on the water, His disciples worshipped Him (Matthew 14:33). When He appeared to them after the resurrection, they fell at His feet and worshipped Him (Matthew 28:9). The disciples were well aware of the Mosaic Law’s penalty for blasphemy, yet they worshipped Him as God, and Jesus accepted their worship. Jesus never rebuked people for worshipping Him, accepting their worship as good and proper.

Jesus’ deity is recognized throughout the New Testament. Paul eagerly awaited “the appearing of the glory of our great God and Savior, Jesus Christ” (Titus 2:13) and encouraged us to do the same. Both Paul and John declared that Jesus created the universe (John 1:3; Colossians 1:16–17), yet Genesis 1:1 clearly says that God created the heavens and the earth. This can only mean that Jesus is God. Even God the Father referred to Jesus as God: “About the Son he says, ‘Your throne, O God, will last for ever and ever’” (Hebrews 1:8, quoting Psalm 45:6).

Soma kwa utulivu


JOHN 10:30

Wale wanaodai kuwa Yesu alikuwa Mungu, wanashikilia kuwa yeye hakuwa Mungu aliyetengeka, bali ni mmoja na ni Mungu yule yule mwenye mwili.

Wao wanaunga mkono imani hii kutokana na mstari wa 30 wa Injili kwa mujibu wa Yohana, sura 10, ambayo ndani yake Yesu anaripotiwa kuwa amesema, “Mimi na Baba ni kitu kimoja.”

Nje ya muktadha, mstari huu unaashiria uungu wa Yesu.

Hata hivyo, pale Wayahudi walipomtuhumu kwa kudai uungu, kwa kutegemea sentesi hiyo, Yohana 10:34

“Yesu akawajibu, Je, haikuandikwa katika Torati yenu ya kwamba, Mimi nimesema, Ndinyi miungu? Ikiwa aliwaita miungu wale waliojiliwa na neno la Mungu;"

Amewabainishia, kwa mfano wa maandiko unaojulikana sana kwao, kuwa yeye alikuwa anatumia lugha ya kistiari ya manabii ambayo haipaswi kufasiriwa kwa kujipachika uungu yeye mwenyewe au kwa mtu mwingine yoyote.

Ushahidi zaidi unachukuliwa kutoka katika mstari wa kumi na wa kumi na moja wa Injili kwa mujibu wa Yohana, sura ya 14, pale watu walipomtaka Yesu awaonyeshe Baba, naye inaaminiwa alisema:

"Husadiki ya kwambi mimi ni ndani ya Baba, na Baba yu ndani yangu; Hayo maneno niwaambiayo mimi siyasemi kwa shauri langu; lakini Baba akaaye ndani yangu huzifanya kazi zake. Mnisadiki ya kwambi mimi ni ndani ya Baba, na Baba yu ndani yangu; la! Hamsadiki hivyo, sadikini kwa sababu ya kazi zenyewe.”

Ibara hizi zingeashiria uungu wa Yesu, kama sehemu iliyobakia ya Injili hiyo hiyo inapuuzwa.

Hata hivyo, aya tisa baadaye, katika Yohana 14:20, pia Yesu anarekodiwa akiwaambia wanafunzi wake,

"Siku ile mtatambua ya kuwa mimi ni ndani ya Baba yangu, nanyi ndani yangu, nami ndani yenu.”

Kwa hiyo, kama maelezo ya Yesu

"Mimi ni ndani ya Baba, na Baba yu ndani yangu; yanamaanisha kuwa yeye ni Mungu, basi vivyo hivyo iwe kwa wanafunzi wa Yesu.

Hii sentensi ya kiishara inamaanisha umoja wa lengo na sio umoja wa asili.

Tafsiri ya kiishara inasisitizwa zaidi katika Yohana 17:20-21, pale Yesu aliposema, "Wala si hao tu ninaowaombea; lakini na wale watakaoniamini kwa sababu ya neno lao. Wote wawe na umoja; kama wewe, Baba, ulivyo ndani yangu, nami ndani yako; hao nao wawe ndani yetu; ili ulimwengu upate kusadiki ya kwamba wewe ndiwe uliyenituma
 
Question
Did Jesus say He is God?

Answer​


It is true that Jesus never said the exact words, “I am God.” He did, however, make the claim to be God in many different ways, and those who heard Him knew exactly what He was saying. For example, in John 10:30, Jesus said, “I and the Father are one.” The Jews who heard Him make that statement knew well that He was claiming to be God, as witnessed by their reaction: “His Jewish opponents picked up stones to stone him” (John 10:31). When He asked them why they were attempting to stone Him, they said, “For blasphemy, because you, a mere man, claim to be God” (John 10:33). Stoning was the penalty for blasphemy (Leviticus 24:16), and the Jews plainly accused Jesus of claiming to be God.

Jesus made another statement claiming to be God when He said, “Very truly I tell you, . . . before Abraham was born, I am!” (John 8:58). The Jews, upon hearing Him, clearly understood that He was claiming preexistence and, more than that, to be Yahweh, the great “I AM” of Exodus 3:14. On this occasion, too, they tried to stone Him for blasphemy.

The Gospel of John begins with a statement of Jesus’ deity: “In the beginning was the Word, and the Word was with God, and the Word was God” (John 1:1, emphasis added). In verse 14, John identifies the Word: “The Word became flesh and made his dwelling among us. We have seen his glory, the glory of the one and only Son, who came from the Father, full of grace and truth.” John is affirming that the Word (Jesus) is God, and He left heaven to come to earth in the form of a man to live with men and display the glory of God the Father.

The disciples of Jesus distinctly heard Him declare His deity. After Jesus’ resurrection, Thomas the doubting disciple finally understood Jesus’ deity, declaring Him to be “my Lord and my God” (John 20:28). If Jesus were not Lord and God, He would have corrected Thomas, but He did not; Thomas spoke the truth. After seeing Jesus walking on the water, His disciples worshipped Him (Matthew 14:33). When He appeared to them after the resurrection, they fell at His feet and worshipped Him (Matthew 28:9). The disciples were well aware of the Mosaic Law’s penalty for blasphemy, yet they worshipped Him as God, and Jesus accepted their worship. Jesus never rebuked people for worshipping Him, accepting their worship as good and proper.

Jesus’ deity is recognized throughout the New Testament. Paul eagerly awaited “the appearing of the glory of our great God and Savior, Jesus Christ” (Titus 2:13) and encouraged us to do the same. Both Paul and John declared that Jesus created the universe (John 1:3; Colossians 1:16–17), yet Genesis 1:1 clearly says that God created the heavens and the earth. This can only mean that Jesus is God. Even God the Father referred to Jesus as God: “About the Son he says, ‘Your throne, O God, will last for ever and ever’” (Hebrews 1:8, quoting Psalm 45:6).

Soma kwa utulivu

JOHN 8:58

Mstari mwingine unaotumiwa sana ili kuunga mkono uungu wa Yesu ni Yohana 8:58:

“Yesu akawaambia, amin, amin, nawaambia, Yeye Ibrahimu asijakuwako, mimi niko.”

Mstari huu umechukuliwa na kuashiria kuwa Yesu alikuwepo kabla ya kudhihiri kwake duniani.

Uamuzi uliofikiwa kutokana na mstari huo ni kuwa Yesu lazima awe Mungu, kwa kuwa kuwepo kwake kumetangulia tarehe ya kuzaliwa kwake duniani. Hata hivyo, dhana ya kuwepo kabla ya kudhihiri kwa mitume, na kwa watu wengine, ipo katila vitabu vyote viwili, Agano la Kale, vilevile katika Quran.

Yeremia anajielezea mwenyewe katika Kitabu Cha Yeremia 1:4-5 kama ifuatavyo:

“Neno la BWANA lilinijia, kusema, Kabla sijakuumba katika tumbo nalikujua, na kabla hujatoka tumboni, nalikutakasa; nimekuweka kuwa nabii wa mataifa.”

Nabii Suleimani anaripotiwa katika Mithali 8:23-27, ya kuwa amesema, “Nalitukuka tokea milele, tangu awali, kabla haijawako dunia. Wakati visipokuwako vilindi nalizaliwa, Wakati zisipokuwako chemchemi zilizojaa maji. Kabla milima haijawekwa imara, Kabla ya vilima nalizaliwa. Alipokuwa hajaiumba dunia, wala makonde, Wala chanzo cha mavumbi ya dunia; Alipozithibitisha mbingu nalikuwako…"


Kwa mujibu wa Ayubu 38:4 na 21, Mungu amemtambulisha Nabii Ayubu kama ifuatavyo: “Ulikuwa wapi nilipoiweka misingi ya nchi? Haya! Sema, kama ukiwa unafahamu.”



Kwa hiyo, maelezo ya Mtume Yesu, “Yeye Ibrahimu asijakuwako, mimi niko”. Hayawezi kutumiwa kuwa ni ushahidi wa uungu wake.

Katika muktadha wa Yohana 8:54, Yesu amedaiwa kuwa ametamka kuhusu ujuzi wa Mungu kwa Mitume yake, ambayo inatangulia tarehe ya kuumbwa kwao katika ulimwengu huu.
 
Question
Did Jesus say He is God?

Answer​


It is true that Jesus never said the exact words, “I am God.” He did, however, make the claim to be God in many different ways, and those who heard Him knew exactly what He was saying. For example, in John 10:30, Jesus said, “I and the Father are one.” The Jews who heard Him make that statement knew well that He was claiming to be God, as witnessed by their reaction: “His Jewish opponents picked up stones to stone him” (John 10:31). When He asked them why they were attempting to stone Him, they said, “For blasphemy, because you, a mere man, claim to be God” (John 10:33). Stoning was the penalty for blasphemy (Leviticus 24:16), and the Jews plainly accused Jesus of claiming to be God.

Jesus made another statement claiming to be God when He said, “Very truly I tell you, . . . before Abraham was born, I am!” (John 8:58). The Jews, upon hearing Him, clearly understood that He was claiming preexistence and, more than that, to be Yahweh, the great “I AM” of Exodus 3:14. On this occasion, too, they tried to stone Him for blasphemy.

The Gospel of John begins with a statement of Jesus’ deity: “In the beginning was the Word, and the Word was with God, and the Word was God” (John 1:1, emphasis added). In verse 14, John identifies the Word: “The Word became flesh and made his dwelling among us. We have seen his glory, the glory of the one and only Son, who came from the Father, full of grace and truth.” John is affirming that the Word (Jesus) is God, and He left heaven to come to earth in the form of a man to live with men and display the glory of God the Father.

The disciples of Jesus distinctly heard Him declare His deity. After Jesus’ resurrection, Thomas the doubting disciple finally understood Jesus’ deity, declaring Him to be “my Lord and my God” (John 20:28). If Jesus were not Lord and God, He would have corrected Thomas, but He did not; Thomas spoke the truth. After seeing Jesus walking on the water, His disciples worshipped Him (Matthew 14:33). When He appeared to them after the resurrection, they fell at His feet and worshipped Him (Matthew 28:9). The disciples were well aware of the Mosaic Law’s penalty for blasphemy, yet they worshipped Him as God, and Jesus accepted their worship. Jesus never rebuked people for worshipping Him, accepting their worship as good and proper.

Jesus’ deity is recognized throughout the New Testament. Paul eagerly awaited “the appearing of the glory of our great God and Savior, Jesus Christ” (Titus 2:13) and encouraged us to do the same. Both Paul and John declared that Jesus created the universe (John 1:3; Colossians 1:16–17), yet Genesis 1:1 clearly says that God created the heavens and the earth. This can only mean that Jesus is God. Even God the Father referred to Jesus as God: “About the Son he says, ‘Your throne, O God, will last for ever and ever’” (Hebrews 1:8, quoting Psalm 45:6).

Soma kwa utulivu

Christians often quote Thomas's statement in John 20:28 where he said "My Lord and My God" to Jesus when he saw him. We argue back that Thomas said it out of surprise. However, Christians argue back that Jesus blessed the testimony of Thomas and therefore acknowledging that Thomas was right in calling him God.


However, we need to read the context and see whyJesus blessed the testimony of Thomas...


John 20:24-29



24 Now Thomas (called Didymus), one of the Twelve, was not with the disciples when Jesus came.

25 So the other disciples told him, "We have seen the Lord!" But he said to them,"Unless I see the nail marks in his hands and put my finger where the nails were, and put my hand into his side, I will not believe it."


26 A week later his disciples were in the house again, and Thomas was with them. Though the doors were locked, Jesus came and stood among them and said, "Peace be with you!"

27 Then he said to Thomas, "Put your finger here; see my hands. Reach out your hand and put it into my side. Stop doubting and believe."


28 Thomas said to him, "My Lord and my God!"


29 Then Jesus told him, "Because you have seen me, you have believed; blessed are those who have not seen and yet have believed."



The context in no way shows that Jesus blessed the testimony ofThomas for him calling Jesus God. Now after Jesus' alleged resurrection there were some who doubted that it was him (Matthew 28:17).

Apparently Thomas was one of them. He did not believe that Jesus could have resurrected from the dead. He did not even believe the disciples when they told him that they saw Jesus resurrected. So Jesus in order to make Thomas believe that it was him who actually resurrected from the dead had Thomas put his finger in his wound.


Then after that Thomas made the exclamatory remark in verse28, "My Lord and My God" because he finally recognized and acknowledged that it was truly Jesus that resurrected from the dead. So then Jesus blesses Thomas in verse 29 for finally realizing that it was him who resurrected from the dead.


That is all, plain and simple.


Why on earth would Thomas call Jesus his God anyways? What is the special thing that Jesus did to prove he was God? His resurrection? But we all believe that we are going to resurrect one day on the Day of Judgment by the will of God. Plus others resurrected...


Matthew 27:52-53



52 The tombs broke open and the bodies of many holy people who had died were raised to life.

53 They came out of the tombs, and after Jesus' resurrection they went into the holy city and appeared to many people.


Prophets of the Old Testament resurrected people from the dead by the will of God. (2 Kings 4:18-37, 1 Kings 17:17-22 etc.)


Jesus did absolutely nothing special for Thomas to even call him God, so Thomas's remark is best explained as an expression of surprise.
 
MUHAMMAD karuhusu ushoga kwenye uislamu View attachment 3437656

Udanganyifu


Kwa hivyo, hatua kwa hatua, mtandao tata wa hadithi huundwa. Kama kweli Mababa wa Kanisa walivyokiri kwa furaha:


*“Nitamtaja tu Mtume Paulo... Basi yeye, kuliko yeyote, anapaswa kulaumiwa; tungepaswa kumwambia hivi: ‘Ushahidi ulioutumia dhidi ya Wayahudi na dhidi ya wazushi wengine una maana tofauti katika muktadha wake halisi na ile unayoipa katika Waraka wako.
Tunaona aya zikitekwa na kalamu yako na kutumiwa kukupa ushindi, ilhali katika vitabu ambavyo umetowa havina maana yoyote ya mabishano... ni kama vile mkakati ambao mara nyingi huamuliwa na watu wenye nguvu katika mabishano – wa kuhalalisha njia kwa matokeo.’”*

Mtakatifu Jerome, Barua kwa Pammachus (xlviii, 13; N&PNF. vi, 72-73)


Je, Paulo Mtakatifu alikuwa mwongo bila haya? Kutokana na aya hii katika Warumi, inaonekana hivyo:


“Kwa maana ikiwa kweli ya Mungu imezidi kwa uongo wangu kwa utukufu wake, kwa nini mimi bado nihukumiwe kuwa mwenye dhambi?”
Mtakatifu Paulo, Warumi 3:7

Hata hivyo, katika muktadha, Paulo alikuwa akiwakosoa Wakristo wengine waliokuwa wakisema: “Na tufanye mabaya ili mema yaje” (yaani, kinyume na hukumu ya Mungu). Lakini, kama Paulo, tunaweza “kuitwaa aya” ili kufanya hoja fulani.




Viongozi wa Udanganyifu


Jerome hakuwa peke yake katika ujasiri wake. Askofu Eusebius, mpiga debe rasmi wa Konstantino, aliita sura ya 32 ya Kitabu chake cha 12 cha Maandalizi ya Injili:


“Jinsi inavyoweza kuwa halali na inafaa kutumia uongo kama dawa, na kwa faida ya wale wanaotaka kudanganywa.”

Eusebius anajulikana vibaya kama mwandishi wa uongo mwingi – lakini kisha anatuonya katika historia yake maarufu:


“Tutaingiza katika historia hii kwa ujumla matukio yale tu ambayo yanaweza kuwa na manufaa kwanza kwetu wenyewe na baadaye kwa vizazi vijavyo.”
Eusebius, Historia ya Kanisa, Juz. 8, sura ya 2

Klementi wa Alexandria alikuwa mmoja wa Mababa wa Kanisa wa mwanzo kabisa kutofautisha kati ya “ukweli wa kibinadamu tu” na ule ukweli wa juu wa imani:


“Si mambo yote yaliyo ya kweli ndiyo ukweli, wala ukweli unaoonekana tu kuwa kweli kwa mujibu wa maoni ya kibinadamu usipewe kipaumbele kuliko ukweli wa kweli, ule ulio sawasawa na imani.”
Klementi (imenukuliwa na M. Smith, Clement of Alexandria, uk. 446)

Yohana Chrysostom, mwanatheolojia wa karne ya 5 na aliyewahi kuwa askofu wa Konstantinopoli, ni mfano mwingine:


*“Je, unaona faida ya udanganyifu? …
Kwa maana kubwa ni thamani ya udanganyifu, mradi tu usiletwe kwa nia mbaya. Kwa kweli, kitendo cha aina hii hakipaswi hata kuitwa udanganyifu, bali aina fulani ya usimamizi mzuri, ujanja na ustadi, unaoweza kupata njia pale rasilimali zinapokosekana, na kuziba mapungufu ya akili...
Na mara nyingi ni lazima kudanganya, na kufanya manufaa makubwa zaidi kwa njia ya mbinu hii, ilhali yule aliyefuata njia ya moja kwa moja amefanya madhara makubwa kwa yule ambaye hakumdanganya.”*
Chrysostom, Insha juu ya Ukuhani, Kitabu cha 1
 
Question
Did Jesus say He is God?

Answer​


It is true that Jesus never said the exact words, “I am God.” He did, however, make the claim to be God in many different ways, and those who heard Him knew exactly what He was saying. For example, in John 10:30, Jesus said, “I and the Father are one.” The Jews who heard Him make that statement knew well that He was claiming to be God, as witnessed by their reaction: “His Jewish opponents picked up stones to stone him” (John 10:31). When He asked them why they were attempting to stone Him, they said, “For blasphemy, because you, a mere man, claim to be God” (John 10:33). Stoning was the penalty for blasphemy (Leviticus 24:16), and the Jews plainly accused Jesus of claiming to be God.

Jesus made another statement claiming to be God when He said, “Very truly I tell you, . . . before Abraham was born, I am!” (John 8:58). The Jews, upon hearing Him, clearly understood that He was claiming preexistence and, more than that, to be Yahweh, the great “I AM” of Exodus 3:14. On this occasion, too, they tried to stone Him for blasphemy.

The Gospel of John begins with a statement of Jesus’ deity: “In the beginning was the Word, and the Word was with God, and the Word was God” (John 1:1, emphasis added). In verse 14, John identifies the Word: “The Word became flesh and made his dwelling among us. We have seen his glory, the glory of the one and only Son, who came from the Father, full of grace and truth.” John is affirming that the Word (Jesus) is God, and He left heaven to come to earth in the form of a man to live with men and display the glory of God the Father.

The disciples of Jesus distinctly heard Him declare His deity. After Jesus’ resurrection, Thomas the doubting disciple finally understood Jesus’ deity, declaring Him to be “my Lord and my God” (John 20:28). If Jesus were not Lord and God, He would have corrected Thomas, but He did not; Thomas spoke the truth. After seeing Jesus walking on the water, His disciples worshipped Him (Matthew 14:33). When He appeared to them after the resurrection, they fell at His feet and worshipped Him (Matthew 28:9). The disciples were well aware of the Mosaic Law’s penalty for blasphemy, yet they worshipped Him as God, and Jesus accepted their worship. Jesus never rebuked people for worshipping Him, accepting their worship as good and proper.

Jesus’ deity is recognized throughout the New Testament. Paul eagerly awaited “the appearing of the glory of our great God and Savior, Jesus Christ” (Titus 2:13) and encouraged us to do the same. Both Paul and John declared that Jesus created the universe (John 1:3; Colossians 1:16–17), yet Genesis 1:1 clearly says that God created the heavens and the earth. This can only mean that Jesus is God. Even God the Father referred to Jesus as God: “About the Son he says, ‘Your throne, O God, will last for ever and ever’” (Hebrews 1:8, quoting Psalm 45:6).

Soma kwa utulivu
MUHAMMAD karuhusu ushoga kwenye uislamu View attachment 3437656
Vitabu vyote vya dini vinajua YESU NDIYE MUNGU MUUMBA MBINGU NA NCHI NA VIUMBE VYOTE VITASIMAMA MBELE YAKE SIKU YA HUKUMU.



‘Kinywa cha Dhahabu’

Yohana
anajulikana kwa maelezo yake marefu juu ya Biblia yaliyosisitiza ufahamu wa moja kwa moja wa hadithi; mtindo uliokuwa maarufu huko Aleksandria hadi wakati huo ulikuwa ni kukubali maana ya kiishara ya maandiko.


Hivyo basi, ‘waumini’ mashuhuri waliongeza uongo katika imani za vizazi vilivyofuata. ‘Kwa sababu nzuri kabisa’ walieleza wazi sehemu zisizoeleweka, walibuni wahusika wa kuzungumza mazungumzo ambayo yangeweza kusemwa, walitunga matukio ambayo yangeliweza kutokea, na walikopa kwa kiwango kikubwa kutoka kwenye tamaduni pana zaidi.

Na haya yote yalifanyika kabla hawajawa walinzi wa mamlaka na kupata sababu halisi za kusema uongo, kubuni na kughushi. Kama tutakavyoona, sheria zisizobadilika za Mungu zilikuwa laini kama udongo wa plastiki.


Karne ya 5 na ya 6 ilikuwa ni ‘enzi ya dhahabu’ ya kughushi Kikristo.

Katika wakati wa uaminifu wa kushangaza, askofu wa Kimanikea (na mpinzani wa Augustino) Faustus alisema:


“Mambo mengi yameingizwa na mababu zetu katika maneno ya Bwana wetu ambayo, ingawa yametolewa kwa jina lake, hayakubaliani na imani yake; hasa kwa kuwa – kama ilivyothibitishwa mara nyingi – mambo haya hayakuandikwa na Kristo, wala na mitume wake, bali muda mrefu baada ya kupaa kwao, na sijui aina gani ya Wayahudi nusu, ambao hata hawakukubaliana wao kwa wao, waliotunga hadithi yao kutokana na uvumi na maoni pekee, na bado, wakiyahusisha yote kwa majina ya mitume wa Bwana au kwa wale waliodhaniwa kuwa wafuasi wa mitume, walijifanya kwa hila kuwa wameandika uongo na mawazo yao kulingana na wao.”



Katika vita vikali vya kupata wafuasi, wapiga-propaganda walijitahidi kushindana kila upande. Mfano mmoja: kufikia karne ya 5, kulikuwepo miisho minne tofauti kabisa ya injili ya Marko.

Codex Bobiensis inamaliza Marko katika aya ya 16:8, bila maonyesho yoyote ya Yesu baada ya kusulubiwa; haina ‘hitimisho fupi’ (la Yesu kuwatuma wafuasi wake ‘mashariki na magharibi’) wala ‘hitimisho refu’ – zile simulizi za ajabu za kuonekana kwake baada ya kifo, ambapo Yesu anawaahidi wanafunzi wake kuwa hawataathirika na kuumwa na nyoka au sumu.


Mara tu Kanisa lilipopata udhibiti wa sehemu kubwa ya Ulaya na Mashariki ya Kati, mashine yake ya kughushi iliendeshwa kwa kasi kubwa.


“Kiwanda cha kughushi cha Kanisa hakikujibana tu kwa maandiko bali kwa karne nyingi kilizalisha maelfu ya ‘masalia’ bandia ya ‘Bwana’ wake, ‘Mitume’ na ‘Watakatifu’ … Kulikuwepo angalau kanda 26 za mazishi ‘halisi’ zilizotapakaa katika abbey za Ulaya, ambazo ‘Shroud ya Turin’ ni moja tu … Wakati fulani, makanisa kadhaa yalidai kuwa na govi moja la Yesu, na kulikuwepo vipande vya mbao vya ‘Msalaba wa Kweli’ kwa wingi kiasi kwamba Kalvini alisema kiasi hicho cha mbao kingetosha kupakia meli nzuri kwa mzigo kamili.”
– Acharya S, The Christ Conspiracy.

Ignatius Loyola (1491-1556), mfuasi asiyechoka wa mamlaka ya kipapa – mwanzilishi wa Society of Jesus (Wajesuiti) – aliandika hivi:


“Daima tunapaswa kuwa tayari kuamini kwamba kile kinachoonekana kwetu kuwa cheupe kimsingi ni cheusi, iwapo mamlaka ya Kanisa itaamua hivyo.”
 
Mimi ni mkiristo, ila nazingatia hapo mwisho uliposema (WAZUNGU NI WATU WABAYA) (satanic law of fives inasema, Tutabadili kila kitu cha Mungu kuwa kinyume ili kuwachanganya wanadami)
Question
Did Jesus say He is God?

Answer​


It is true that Jesus never said the exact words, “I am God.” He did, however, make the claim to be God in many different ways, and those who heard Him knew exactly what He was saying. For example, in John 10:30, Jesus said, “I and the Father are one.” The Jews who heard Him make that statement knew well that He was claiming to be God, as witnessed by their reaction: “His Jewish opponents picked up stones to stone him” (John 10:31). When He asked them why they were attempting to stone Him, they said, “For blasphemy, because you, a mere man, claim to be God” (John 10:33). Stoning was the penalty for blasphemy (Leviticus 24:16), and the Jews plainly accused Jesus of claiming to be God.

Jesus made another statement claiming to be God when He said, “Very truly I tell you, . . . before Abraham was born, I am!” (John 8:58). The Jews, upon hearing Him, clearly understood that He was claiming preexistence and, more than that, to be Yahweh, the great “I AM” of Exodus 3:14. On this occasion, too, they tried to stone Him for blasphemy.

The Gospel of John begins with a statement of Jesus’ deity: “In the beginning was the Word, and the Word was with God, and the Word was God” (John 1:1, emphasis added). In verse 14, John identifies the Word: “The Word became flesh and made his dwelling among us. We have seen his glory, the glory of the one and only Son, who came from the Father, full of grace and truth.” John is affirming that the Word (Jesus) is God, and He left heaven to come to earth in the form of a man to live with men and display the glory of God the Father.

The disciples of Jesus distinctly heard Him declare His deity. After Jesus’ resurrection, Thomas the doubting disciple finally understood Jesus’ deity, declaring Him to be “my Lord and my God” (John 20:28). If Jesus were not Lord and God, He would have corrected Thomas, but He did not; Thomas spoke the truth. After seeing Jesus walking on the water, His disciples worshipped Him (Matthew 14:33). When He appeared to them after the resurrection, they fell at His feet and worshipped Him (Matthew 28:9). The disciples were well aware of the Mosaic Law’s penalty for blasphemy, yet they worshipped Him as God, and Jesus accepted their worship. Jesus never rebuked people for worshipping Him, accepting their worship as good and proper.

Jesus’ deity is recognized throughout the New Testament. Paul eagerly awaited “the appearing of the glory of our great God and Savior, Jesus Christ” (Titus 2:13) and encouraged us to do the same. Both Paul and John declared that Jesus created the universe (John 1:3; Colossians 1:16–17), yet Genesis 1:1 clearly says that God created the heavens and the earth. This can only mean that Jesus is God. Even God the Father referred to Jesus as God: “About the Son he says, ‘Your throne, O God, will last for ever and ever’” (Hebrews 1:8, quoting Psalm 45:6).

Soma kwa utulivu
Kwanza kwenye huu mstari Yesu hajakataa kuitwa mwema, ameuliza sababu ya kuitwa mwema ni ipi? Na kama ukitaka kujua kuwa Yesu ni mwema na kwa hiyo ni Mungu soma YOHANA 10:11 na angalia anachosema
Mimi ndimi mchungaji mwema. Mchungaji mwema huutoa uhai wake kwa ajili ya kondoo.

Sasa ulitaka anukuu vipi, hayo ni maandiko Yesu amenukuu Kumbukumbu la Torati 6:4 Unaposoma uwe unaelewa na context ya maandiko. Unaona kabisa hapo kuwa anamjibu mtu kumwambia kile kilichoandikwa

Still hakuna mstari ambao Yesu amekataa kuitwa Mungu, umenukuu mstari wa 3 vizuri, je unajua kuwa Yesu na Baba ni umoja, maana yake huwezi kumtenganisha na Baba ambaye ni Mungu YOHANA 10:30

Haya hiyo sura ya 17 uliyonukuu umeangalia inavyoanza?
YOHANA 17:1
Maneno hayo aliyasema Yesu; akainua macho yake kuelekea mbinguni, akasema, Baba, saa imekwisha kufika. Mtukuze Mwanao, ili Mwana wako naye akutukuze wewe;
- Hakuna mwanadamu anayeweza kudai atukuzwe na Mungu, maana Biblia inasema Mungu hashiriki utukufu na mwanadamu. ISAYA 42:8

YOHANA 17:2
kama vile ulivyompa mamlaka juu ya wote wenye mwili, ili kwamba wote uliompa awape uzima wa milele.
- Hakuna mwanadamu anaweza kuwa na mamlaka juu ya wote wenye mwili, yani awe na uamuzi wa uzima au mauti juu ya wanadamu wote akiwemo Muhammad na wote unaowajua wewe.

YOHANA 17:5
Na sasa, Baba, unitukuze mimi pamoja nawe, kwa utukufu ule niliokuwa nao pamoja nawe kabla ya ulimwengu kuwako.
- Haya niambie kuna mwanadamu alikuwa na utukufu mmoja na Mungu kabla ya ulimwengu kuumbwa?

Badala ya kuleta mstari ambao Yesu amekataa kuwa yeye sio Mungu wewe ndo kwanza umenukuu mistari kutoka vitabu na sura zinazoonesha clearly uungu wake na hakuna mstari hata mmoja ambapo amekataa Uungu.
hamis77



Kiwanda cha Kugushi ( The Forgery Mill )


Baadhi ya kugushi maarufu za Kikristo ni pamoja na:


Sadaka ya Konstantino“Bila shaka kugushi…”Ensiklopidia ya Kikatoliki
Hati ya sehemu mbili inayodaiwa kutoka kwa mfalme wa kwanza Mkristo kwenda kwa Papa Silvester I (314-335).

Katika sehemu ya Confessio, Konstantino anamshukuru Silvester kwa mafundisho yake ya Kikristo na ubatizo (na uponyaji wa ukoma uliotokana na ubatizo huo!).

Katika Donatio, Konstantino anamkabidhi papa na warithi wake mamlaka ya juu juu ya maaskofu wote, wakiwemo mapatriarki wa mashariki, heshima za kisena kwa makasisi, majumba na mavazi ya kifalme, jiji la Roma na hata Dola ya Magharibi!!


Kwa kweli, hii ilikuwa kugushi kubwa ya karne ya 8 (iliyojaa mambo ya nyakati zisizolingana) ambayo huenda iliandikwa na atakayekuja kuwa Papa Paulo I (757-767) wakati kaka yake mwenye tamaa sawa, Stefano II (752-757), alikuwa kwenye kiti cha upapa.


Barua za Kugushi za Papa (Pseudo-Isidorian Forgeries)

Mkusanyiko wa zaidi ya barua na amri za kugushi zaidi ya mia moja, zinazodaiwa kuandikwa na mapapa kutoka Papa Klementi wa karne ya kwanza (88-97) hadi Papa Gregori I wa karne ya 7 (590-604).

Sasa zinahusishwa aidha na “Isidore Mercator,” msanii wa kugushi wa karne ya 9 na msaidizi wa papa, au kundi la wagushi wa Kigallic waliotumia jina na sifa ya Isidore wa Seville. Kama ilivyo kwa Sadaka ya Konstantino, hati hizi zilitoa haki na heshima zaidi kwa upapa.


Mkusanyiko mwingine unaofanana, Dionysiana, ulipewa jina la mtawa wa karne ya 6 Dennis Mdogo (Dionysius Exiguus), mvumbuzi wa mfumo wa kuhesabu miaka wa BC–AD. Dionysius aliipatia Roma tafsiri ya Kilatini ya kanuni za Kanisa la Mashariki. Mkusanyiko huu ulijumuisha kanuni hamsini zinazodaiwa kutoka kwa Mitume wenyewe.


Amri ya “Jeshi la Radi” ya Marcus Aurelius

Katika barua hii ya kugushi kutoka kwa mfalme kwenda kwa Seneti, Marcus anadaiwa kuzuia mateso ya Wakristo kwa sababu, katika vita na Wakuadi mnamo 174, maombi ya askari Wakristo yalisababisha dhoruba ya radi iliyowaokoa Warumi dhidi ya kiu na kuwatawanya wapinzani.

Mfalme anadaiwa kutoa jina la heshima fulminata (“linalopiga radi”) kwa jeshi la kumi na mbili. Tertullian (takriban 160–230 BK), mwanatheolojia wa Afrika Kaskazini, ndiye aliyebuni hadithi hii; kwa kweli, jeshi la kumi na mbili lilikuwa na jina hilo tangu nyakati za Augusto. Marcus Aurelius, Mstoiki, alidharau Wakristo.


“Barua” za Mfalme Antoninus Pius kwa Wagiriki Ulaghai mwingine, safari hii kutoka kalamu ya Askofu Eusebius wa karne ya 4 (Historia ya Kanisa, IV, 13). Anamfanya mfalme wa kipagani wa karne ya 2 kuzuia “vurugu dhidi ya Wakristo.”


Clementines – Hizi ni simulizi za “riwaya ya kidini” yenye vitabu ishirini (Ensiklopidia ya Kikatoliki), zinazojidai kuandikwa na Papa Klementi I wa karne ya kwanza.

Ziliandikwa karne ya 4, na lengo lake lilikuwa kuimarisha madai ya Roma kuwa kiti cha kwanza cha kiroho: hapa tunapata Barua ya Klementi kwa Yakobo ambayo ndiyo chimbuko la wazo kwamba Mtakatifu Petro alikuwa Papa wa kwanza.


Mawasiliano kati ya Seneca na Paulo

Uvumbuzi wa karne ya 4 wa barua za karne ya kwanza. Zinataja moto mjini Roma na mateso ya Wayahudi na Wakristo.


Matendo ya Paulo na Thecla


“Upendo kwa Paulo” ulikuwa kisingizio cha mkusanyiko huu wa hadithi. Tertullian mwenyewe alimkosoa mpinzani wake kwa kazi hii:


“Wale wanaosoma maandiko yanayobeba kwa uongo jina la Paulo wakitumia mfano wa Thecla kuthibitisha haki ya wanawake kufundisha na kubatiza, na wajue kuwa mzee mmoja wa Asia aliyeandika hati hii, kana kwamba angeongeza heshima kwa Paulo, aliondolewa katika cheo chake baada ya kutiwa hatiani na kukiri kuwa alifanya hivyo kwa upendo kwa Paulo.”
Tertullian, De baptismo, 17.

‘Testimonium Flavianum’ – Kifungu maarufu kinachodaiwa kumtaja Yesu Kristo, kikidaiwa kuandikwa na mwanahistoria Myahudi wa karne ya 1, Yosefu Flavius (aliyechukua jina la kifamilia la kifalme cha Kirumi).


Tunajua kwa undani matukio ya Vita ya Kwanza ya Kiyahudi kwa sababu – kwa kushangaza – historia iliyoandikwa na Yosefu iliokoka.

Wakati maktaba mengi ya enzi za kale yalichomwa na Wakristo, ajabu ni kwamba ushuhuda huu wa Myahudi uliokoka. Kazi nyingine ya Yosefu, Antiquities of the Jews, iliyoendeleza simulizi la “watu walioteuliwa,” pia iliokoka.


Kuokoka kwa kazi hizi mbili zinazofanana hakukuwa bahati mbaya, kwa sababu zilithibitisha “vizuri mno” kutoka “chanzo kisicho cha Kikristo” uwepo wa mungu-mtu.

Kwa kifupi, wakati fulani katika karne ya 4, ilhali maandiko mengine ya kale yalikuwa yakiteketezwa, mwandishi Mkristo – huenda Eusebius, Askofu wa Kaisaria – “aliokoa” historia za Yosefu na kuzibadilisha ili kutoa “ushahidi” unaofaa kuwa Kristo alikuwa mtu halisi, na hakuwa hadithi (kama wapagani walivyodai) wala kiumbe wa kiroho tu, kama Wagnostiki walivyoamini.
 
Kwanza kwenye huu mstari Yesu hajakataa kuitwa mwema, ameuliza sababu ya kuitwa mwema ni ipi? Na kama ukitaka kujua kuwa Yesu ni mwema na kwa hiyo ni Mungu soma YOHANA 10:11 na angalia anachosema
Mimi ndimi mchungaji mwema. Mchungaji mwema huutoa uhai wake kwa ajili ya kondoo.

Sasa ulitaka anukuu vipi, hayo ni maandiko Yesu amenukuu Kumbukumbu la Torati 6:4 Unaposoma uwe unaelewa na context ya maandiko. Unaona kabisa hapo kuwa anamjibu mtu kumwambia kile kilichoandikwa

Still hakuna mstari ambao Yesu amekataa kuitwa Mungu, umenukuu mstari wa 3 vizuri, je unajua kuwa Yesu na Baba ni umoja, maana yake huwezi kumtenganisha na Baba ambaye ni Mungu YOHANA 10:30

Haya hiyo sura ya 17 uliyonukuu umeangalia inavyoanza?
YOHANA 17:1
Maneno hayo aliyasema Yesu; akainua macho yake kuelekea mbinguni, akasema, Baba, saa imekwisha kufika. Mtukuze Mwanao, ili Mwana wako naye akutukuze wewe;
- Hakuna mwanadamu anayeweza kudai atukuzwe na Mungu, maana Biblia inasema Mungu hashiriki utukufu na mwanadamu. ISAYA 42:8

YOHANA 17:2
kama vile ulivyompa mamlaka juu ya wote wenye mwili, ili kwamba wote uliompa awape uzima wa milele.
- Hakuna mwanadamu anaweza kuwa na mamlaka juu ya wote wenye mwili, yani awe na uamuzi wa uzima au mauti juu ya wanadamu wote akiwemo Muhammad na wote unaowajua wewe.

YOHANA 17:5
Na sasa, Baba, unitukuze mimi pamoja nawe, kwa utukufu ule niliokuwa nao pamoja nawe kabla ya ulimwengu kuwako.
- Haya niambie kuna mwanadamu alikuwa na utukufu mmoja na Mungu kabla ya ulimwengu kuumbwa?

Badala ya kuleta mstari ambao Yesu amekataa kuwa yeye sio Mungu wewe ndo kwanza umenukuu mistari kutoka vitabu na sura zinazoonesha clearly uungu wake na hakuna mstari hata mmoja ambapo amekataa Uungu.
Yani wewe DOGMA ndio imekuingia Hadi huruma

Unasema Yesu ni Mungu

Alafu unasema Kuna Yesu na Kuna baba

Baba ni nani?

Yesu ni nani?


Mathayo 26:39
Akaendelea mbele kidogo, akaanguka kifulifuli, akaomba, akisema, Baba yangu, ikiwezekana, kikombe hiki kiniepuke; walakini si kama nitakavyo mimi, bali kama utakavyo wewe.

Hapo Yesu anamuomba na kumsujudia Mungu gani kama yeye ndio Mungu?
 
Yani wewe DOGMA ndio imekuingia Hadi huruma

Unasema Yesu ni Mungu

Alafu unasema Kuna Yesu na Kuna baba

Baba ni nani?

Yesu ni nani?


Mathayo 26:39
Akaendelea mbele kidogo, akaanguka kifulifuli, akaomba, akisema, Baba yangu, ikiwezekana, kikombe hiki kiniepuke; walakini si kama nitakavyo mimi, bali kama utakavyo wewe.

Hapo Yesu anamuomba na kumsujudia Mungu gani kama yeye ndio Mungu?
Dogma imeniingia hadi huruma sio? Haya tuanze na MATHAYO 26 uliyonukuu. Soma mstari wa 64.

64 Yesu akamwambia, Wewe umesema; lakini nawaambieni, Tangu sasa mtamwona Mwana wa Adamu ameketi mkono wa kuume wa nguvu, akija juu ya mawingu ya mbinguni.

Maneno hayo Yesu alijitambulisha yeye ndiye aliyetajwa kwenye kitabu cha Danieli sura ya 7.

13 Nikaona katika njozi za usiku, na tazama, mmoja aliye mfano wa mwanadamu akaja pamoja na mawingu ya mbingu akamkaribia huyo mzee wa siku, wakamleta karibu naye.
14 Naye akapewa mamlaka, na utukufu, na ufalme, ili watu wa kabila zote, na taifa zote, na lugha zote, wamtumikie; mamlaka yake ni mamlaka ya milele, ambayo hayatapita kamwe, na ufalme wake ni ufalme usioweza kuangamizwa.


Kwa kunukuu maneno hayo Kuhani Mkuu wa wayahudi alimwelewa Yesu anajiita kuwa ni Mungu na akafikiri amekufuru.

MATHAYO 26:65
65 Ndipo Kuhani Mkuu akararua mavazi yake, akisema, Amekufuru; mna haja gani tena ya mashahidi? Tazameni, sasa mmesikia hiyo kufuru yake

Hayo maandiko ya Danieli yapo tangu agano la kale na mpaka leo wayahudi wanalisoma, na ukiwauliza wanajua kuwa aliyetajwa kwenye hiyo mistari ni divine figure japo hawatakubali kuwa ndiye Yesu aliyekuja kuzaliwa duniani baadae.

Wakristo tunaamini Mungu ni mmoja mwenye nafsi tatu inseparable. Kila nafsi ya Mungu ni Mungu kamili. Yesu tunamtambua kama nafsi ya pili ya Mungu au Mwana wa Mungu aliyekuja duniani kwa kuvaa mwili wa kibinadamu. Kwa hiyo kwa kuvaa ubinadamu alijinyenyekesha chini ya mapenzi ya Baba na ndiyo sababu aliomba, alisujudu n.k.

WAFILIPI 2
5 Iweni na nia iyo hiyo ndani yenu ambayo ilikuwamo pia ndani ya Kristo Yesu;
6 ambaye yeye mwanzo alikuwa yuna namna ya Mungu, naye hakuona kule kuwa sawa na Mungu kuwa ni kitu cha kushikamana nacho;
7 bali alijifanya kuwa hana utukufu, akatwaa namna ya mtumwa, akawa ana mfano wa wanadamu;
8 tena, alipoonekana ana umbo kama mwanadamu, alijinyenyekeza akawa mtii hata mauti, naam, mauti ya msalaba.


Umenukuu MATHAYO 26:39 na kudai kuwa Yesu alisujudu, sina hakika kama ulianza kusoma sura ya kwanza. Unajua hata Yesu alipozaliwa kuna watu walimsujudia?

MATHAYO 2:11
11 Wakaingia nyumbani, wakamwona mtoto pamoja na Mariamu mamaye, wakaanguka wakamsujudia; nao walipokwisha kufungua hazina zao, wakamtolea tunu; dhahabu na uvumba na manemane.
 
Dogma imeniingia hadi huruma sio? Haya tuanze na MATHAYO 26 uliyonukuu. Soma mstari wa 64.

64 Yesu akamwambia, Wewe umesema; lakini nawaambieni, Tangu sasa mtamwona Mwana wa Adamu ameketi mkono wa kuume wa nguvu, akija juu ya mawingu ya mbinguni.

Maneno hayo Yesu alijitambulisha yeye ndiye aliyetajwa kwenye kitabu cha Danieli sura ya 7.

13 Nikaona katika njozi za usiku, na tazama, mmoja aliye mfano wa mwanadamu akaja pamoja na mawingu ya mbingu akamkaribia huyo mzee wa siku, wakamleta karibu naye.
14 Naye akapewa mamlaka, na utukufu, na ufalme, ili watu wa kabila zote, na taifa zote, na lugha zote, wamtumikie; mamlaka yake ni mamlaka ya milele, ambayo hayatapita kamwe, na ufalme wake ni ufalme usioweza kuangamizwa.


Kwa kunukuu maneno hayo Kuhani Mkuu wa wayahudi alimwelewa Yesu anajiita kuwa ni Mungu na akafikiri amekufuru.

MATHAYO 26:65
65 Ndipo Kuhani Mkuu akararua mavazi yake, akisema, Amekufuru; mna haja gani tena ya mashahidi? Tazameni, sasa mmesikia hiyo kufuru yake

Hayo maandiko ya Danieli yapo tangu agano la kale na mpaka leo wayahudi wanalisoma, na ukiwauliza wanajua kuwa aliyetajwa kwenye hiyo mistari ni divine figure japo hawatakubali kuwa ndiye Yesu aliyekuja kuzaliwa duniani baadae.

Wakristo tunaamini Mungu ni mmoja mwenye nafsi tatu inseparable. Kila nafsi ya Mungu ni Mungu kamili. Yesu tunamtambua kama nafsi ya pili ya Mungu au Mwana wa Mungu aliyekuja duniani kwa kuvaa mwili wa kibinadamu. Kwa hiyo kwa kuvaa ubinadamu alijinyenyekesha chini ya mapenzi ya Baba na ndiyo sababu aliomba, alisujudu n.k.

WAFILIPI 2
5 Iweni na nia iyo hiyo ndani yenu ambayo ilikuwamo pia ndani ya Kristo Yesu;
6 ambaye yeye mwanzo alikuwa yuna namna ya Mungu, naye hakuona kule kuwa sawa na Mungu kuwa ni kitu cha kushikamana nacho;
7 bali alijifanya kuwa hana utukufu, akatwaa namna ya mtumwa, akawa ana mfano wa wanadamu;
8 tena, alipoonekana ana umbo kama mwanadamu, alijinyenyekeza akawa mtii hata mauti, naam, mauti ya msalaba.


Umenukuu MATHAYO 26:39 na kudai kuwa Yesu alisujudu, sina hakika kama ulianza kusoma sura ya kwanza. Unajua hata Yesu alipozaliwa kuna watu walimsujudia?

MATHAYO 2:11
11 Wakaingia nyumbani, wakamwona mtoto pamoja na Mariamu mamaye, wakaanguka wakamsujudia; nao walipokwisha kufungua hazina zao, wakamtolea tunu; dhahabu na uvumba na manemane.

Waabudu Yesu wa Trinitaria wanaamini kwamba Danieli 7:13-14 inathibitisha uungu wa Yesu, na kwamba anapaswa “kuabudiwa.” Kulingana na Watrinitaria, kwa kuwa neno la Kiaramu “פלח” (Pelach) limetumika katika kifungu hicho, basi hilo linathibitisha uungu wa Masihi. Wanasema, “neno פלח (Pelach) hutumika kwa Mungu pekee, na halijawahi kutumika kwa wanadamu (isipokuwa Yesu).” Lakini tutakapochunguza aya hiyo, utaona kwamba neno פלח (Pelach) limetumika pia kwa wengine mbali na Mungu — watakatifu, na watumishi, n.k.


Tafsiri ya New International Version (©2011) Daniel 7:13-14
13 “Katika maono yangu ya usiku niliangalia, na tazama, palikuwa na mmoja mfano wa mwana wa binadamu, akija pamoja na mawingu ya mbinguni. Akamkaribia Yule wa Siku za Kale, naye akaongozwa kuingia mbele zake.
14 Akapewa mamlaka, utukufu na nguvu ya kifalme; mataifa yote na watu wa kila lugha wakamwabudu (Pelach au Pelakh). Ufalme wake ni ufalme wa milele usioweza kupita, na milki yake haitaangamizwa kamwe.”

Tafsiri hii hapo juu si sahihi. Kwa nini Watrinitaria wanapotosha kwa makusudi, na kutafsiri “Pelach” kwa mwanadamu kama “kuabudiwa”? Hiyo ni kupotosha maandiko. Tafsiri nyingi zaidi zinatafsiri “Pelach” kama “kumtumikia.”
Tafsiri bora zaidi ingekuwa:


English Standard Version (©2001) Daniel 7:14
“Naye akapewa mamlaka na utukufu na ufalme, ili mataifa yote, makabila yote, na watu wa kila lugha wammtumikie; mamlaka yake ni mamlaka ya milele, ambayo hayatapita, na ufalme wake ni ule ambao hautaangamizwa.”

Je, kumtii Yesu kunamfanya awe Mungu? Tafsiri nyingi za Biblia, hata ile maarufu ya KJV, zinatumia neno “serve” (kumtumikia) kwa Danieli 7:14. Tangu lini “kumtumikia” kumemfanya mtu awe Mungu?
Hapa ndipo wamisionari huja na kauli ya kawaida: “Subiri kidogo, neno פלח (Pelach) hutumika kwa Mungu pekee.”
Danieli 7:14 inasomeka hivi:


American King James Version Daniel 7:14
“Naye akapewa mamlaka, na utukufu, na ufalme, ili watu wote, mataifa yote, na lugha zote wammtumikie; mamlaka yake ni mamlaka ya milele, ambayo hayatapita, na ufalme wake ni ule ambao hautaangamizwa.”

Kamusi kuhusu neno פלח (Pelach)


  1. Hebrew-English Lexicon:
    פלח (Pelach) ch., kutumikia, kuabudu.
  2. Brown Francis:
    פלח kitenzi: kulima, kutumikia. (Aramu: Pelach — kwa kawaida; pia: kulima, kutumikia).
    Angalia jinsi Brown Francis anavyotafsiri neno פלח (Pelach) kama kulima, kutumikia, na hasemi chochote kuhusu kuabudu.
  3. John Parkhurst:
    • Maana ya msingi: kupasua, kukata, kugawanya.
    • Katika Kiaramu: Pelach — kutumikia au kuabudu. Mfano: Danieli 3:12, 28; 6:16, n.k.

Kwa kuzingatia tafsiri hizi za kitaalamu, ni wazi kuwa neno “Pelach” halimaanishi tu “kuabudu”, bali pia lina maana nyingine nyingi kama kulima, kutumikia, kupasua, kugawanya, na kukata vipande.




Wataalamu wa Kikristo wakitoa maoni juu ya Danieli 7:13-14​


Danieli 7:13-14 haina uhusiano wowote na unabii wa baadaye wa kumhusu Masihi. Tunajuaje? Ni rahisi — Mkristo akisoma sura ya 7 kuanzia aya ya 1 hadi 28, ataona kwamba “Mwana wa Adamu” anahusu “Watakatifu wa Aliye Juu Zaidi.”


  1. James L. Mays, Ph.D., Profesa wa Kiebrania na Agano la Kale, Union Theological Seminary, Richmond, Virginia:
    “Inaonekana wazi hapa kwamba yule aliyepewa mamlaka, utukufu, na ufalme… na ufalme wake hautaangamizwa (7:14) ni mwanadamu, yaani, Watakatifu wa Aliye Juu Zaidi (aya 18, 22, 27). Maelezo hayo yanatolewa na mfasiri wa ndoto ambaye Danieli anamwona katika baraza la mbinguni. Yeye anawahakikishia watu hawa kwamba baada ya muda mfupi—wakati, nyakati mbili, na nusu wakati (aya 25)—mamlaka yataondolewa mikononi mwa mkatili na kupewa Watakatifu watakao tawala milele na milele. Kwa ufupi, watu hawa ndio wamiliki wa wakati ujao, na wakati huo u karibu.”
  2. Arstein Justnes, akinukuu Stedeul katika The Time of Salvation:
    “Haijalishi changamoto za uhariri wa sura hii na ugumu wa maana ya kauli ‘kama mwana wa mtu’ (aya 13), jambo moja liko wazi: tafsiri ya maono haya katika Danieli 7:18 inasema juu ya ufalme wa mwisho na wa milele utakaotolewa kwa ‘watakatifu wa Aliye Juu Zaidi.’ Aya 21, 22 inawaita ‘Watakatifu,’ na aya 28 inawaita ‘watu wa watakatifu wa Aliye Juu Zaidi.’ Watapokea na kushikilia mamlaka ya kifalme milele (aya 18, 20), hukumu (aya 22), na enzi—utukufu wa falme zote chini ya mbingu utatolewa kwao, na falme zote zitawatumikia na kuwatii (aya 27).”
  3. Arthur Samuel Peake, mtaalamu wa Biblia:
    “Aya 13: kama mwana wa mtu — tafsiri ya AV ‘kama mwana wa Adamu’ ilikuwa ya kupotosha kwa kuashiria kwamba kifungu hiki kinamhusu ‘Mwana wa Adamu’ wa Injili. Hapa, maneno haya yanamaanisha tu kiumbe wa mfano wa mwanadamu. Hakuna rejeleo la Masihi. Katika tafsiri ya maono katika aya ya 18, kauli hii haipo kabisa. Ufalme unaotolewa kwa ‘mmoja kama mwana wa mtu’ katika aya ya 13, unatolewa kwa ‘watakatifu wa Aliye Juu Zaidi’ katika aya ya 18.”



Kwa hivyo, kama tulivyosoma, maneno ya wataalamu hawa yanabainisha wazi kuwa kifungu hiki hakimuhusu Yesu, bali kinawahusu Watakatifu wa Aliye Juu Zaidi.
 
Isaya 9:6
Maana kwa ajili yetu mtoto amezaliwa, tumepewa mtoto mwanaume, na uweza wa kifalme utakuwa begani mwake, naye ataitwa jina lake mshauri wa ajabu, mungu mwenye nguvu, Baba wa Milele, mfalme wa amani.

Aya hii iko wazi kabisa, anaye tajwa ni Yesu kwamba yeye ni Mungu mwenye nguvu.
 
Isaya 9:6
Maana kwa ajili yetu mtoto amezaliwa, tumepewa mtoto mwanaume, na uweza wa kifalme utakuwa begani mwake, naye ataitwa jina lake mshauri wa ajabu, mungu mwenye nguvu, Baba wa Milele, mfalme wa amani.

Aya hii iko wazi kabisa, anaye tajwa ni Yesu kwamba yeye ni Mungu mwenye nguvu.

Isaya 7:14 …

Tazama bikira atachukuwa mimba, atazaa mototo mwanamume naye ATAMWITA jina lake Imanueli.

Wakristo hupenda sana kutumia huu mstari kuonyesha kuwa Nabii Yesu alitabiriwa kwenye mstari huu, lakini ni kitu cha kushangaza sana kwa kushindwa kuangalia mstakabri mzima wa huo mstari ulipo anzia mpaka kufikia aya ya 14.

Ukisoma kuanzia Anza Isaya 7:10, utagunduwa kuwa utabiri ulikuwa unamuhusu Mfalme Ahazi au Isaya mwenyewe kuwa mkewe ndio atakaye zaa mtoto na ndio maana ukiendelea mbele mpaka kufikia Isaya 9:6, utakutana na maneno haya:

Maana kwa ajili yetu mtoto amezaliwa, Tumepewa mtoto mwanamume; Na uweza wa kifalme utakuwa begani mwake; Naye ataitwa jina lake, Mshauri wa ajabu, Mungu mwenye nguvu, Baba wa milele, Mfalme wa amani.
Isaya 9:6

Mstari huu, umeandikwa kwa present past tense, yaani tukio ambalo limekwisha tokea, ila utokeaji wake si wa muda mrefu. Ndio maana ikaandikwa "...Tumepewa mtoto mwanamume..." Kuonyesha kuwa tendo limekwisha tendeka, si kuwa litatendeka kwa wakati ujao.

Hapa nanukuu kitabu kimojawapo ambacho ni mwongozo kwa walimu wa theologia (Teacher’s guides to religions education series) uliokubaliwa na Wanatheologia wote (Agreed Sylabases).

Kitabu hiki kinaitwa "The Rise of the Prophets" Senior lessons – Volume Six cha Norman J. Bull, M.A – Champlain and lecturer in Divinity Saint Luke’s College.

Mfululizo wa miongozo hii imetayarishwa na The Religious Education Press Ltd. Wallington Survey (1961) katika ukurasa wa 156 kikizungumzia "Imanuel"

Kinasema

"(b) Immanu-el. It was Isaiah’s Unwavering Conviction that Yahweh was with His people – Immanu-el (God with us) – If they would but put their whole trust in Him. The Prophet offered a sign of this to the weak and wavering Ahaz (see above). A ‘Young woman’ – not ‘ a virgin’ – was with child, and would bear a son to be called Immanu-el. Before he was old enough to know good from evil, Israel and Syria will have been destroyed. This ‘sign’ is given in a concrete historical situation (7:14, 8:8,10 cf. Rom 8.31); it is not visionary future possibility. The ‘young woman’ may well have been Isaiah’s own wife (ef. 8:3) or even the wife Ahaz. From the point of view of Isaiah, there is no Prophecy here of a virgin birth".
Hicho ndicho wanachofundishwa Makadinali, Maaskofu, Mapadre n.k. kuwa huyo mwanamke hakuwa bikira (not a virgin) na tayari alikuwa na mtoto (was with child) na wala sio Maria bali mke wa Nabii Isaya au mfalme Ahazi. Na wanasisitiziwa kuwa hakuna utabiri wa uzazi wa mwanamke bikira hapo " there is no Prophecy here of a virgin birth".

Vilevile ukisoma Biblia ya Revised Standard Version (RSV) kuhusiana na Isaiah 7:14, wao wamelitafasiri neno la Kihebrania (עַלְמָה) 'almāh{al-maw'} kuwa ni "young woman" Mwanamke Kijana au kwa Kiswahili cha kawaida twaweza kusema Msichana (Kigori) na si kama wanavyotafasiri kwenye biblia zingine kuwa neno ilo lina maana ya "virgin" yaani Bikra au Bikira.

Neno Bikira au Bikra kwa Kihibrania ni [בְּתוּלָה (bəṯūlāh)] limetumika mara 50 kwenye Septuagint.

Hapa chini kuna tafasiri mbalimbali kutoka baadhi ya Biblia

Revised Standard Version (American; RSV)
Therefore the Lord himself will give you a sign. Behold, a young woman[a] shall conceive and bear a son, and shall call his name Imman'u-el
---


Tafasiri Nyingine:​

The Jerusalem Bible (Koren Publishing; JBK).
Therefore the Lord himself shall give you a sign: a maiden is with child and she will bear a son, and will call his name Immanuel.
---

New Jerusalem Bible (Catholic; NJB)
The Lord will give you a sign in any case: It is this: the young woman is with child and will give birth to a son whom she will call Immanuel
---

New English Bible (NEB)
Therefore the Lord himself shall give you a sign: A young woman is with child, and she will bear a son, and will call him Immanuel.
---

New English Translation Bible (NET)
For this reason the sovereign master himself will give you a confirming sign. Look, this young woman is about to conceive and will give birth to a son. You, will name him Immanuel.
 
Bila DOGMA la Warumi hata Uislam haupo.... In short DINI ni UTAPELI...
Unawakataa hawa wahuni wa Roma halafu unamkubali mhuni mmoja aliyesema kashushiwa aya za kitabu na mwamba God kwa miaka 23... :BoneZone: :BoneZone: :BoneZone:
 
Waabudu Yesu wa Trinitaria wanaamini kwamba Danieli 7:13-14 inathibitisha uungu wa Yesu, na kwamba anapaswa “kuabudiwa.” Kulingana na Watrinitaria, kwa kuwa neno la Kiaramu “פלח” (Pelach) limetumika katika kifungu hicho, basi hilo linathibitisha uungu wa Masihi. Wanasema, “neno פלח (Pelach) hutumika kwa Mungu pekee, na halijawahi kutumika kwa wanadamu (isipokuwa Yesu).” Lakini tutakapochunguza aya hiyo, utaona kwamba neno פלח (Pelach) limetumika pia kwa wengine mbali na Mungu — watakatifu, na watumishi, n.k.




Tafsiri hii hapo juu si sahihi. Kwa nini Watrinitaria wanapotosha kwa makusudi, na kutafsiri “Pelach” kwa mwanadamu kama “kuabudiwa”? Hiyo ni kupotosha maandiko. Tafsiri nyingi zaidi zinatafsiri “Pelach” kama “kumtumikia.”
Tafsiri bora zaidi ingekuwa:




Je, kumtii Yesu kunamfanya awe Mungu? Tafsiri nyingi za Biblia, hata ile maarufu ya KJV, zinatumia neno “serve” (kumtumikia) kwa Danieli 7:14. Tangu lini “kumtumikia” kumemfanya mtu awe Mungu?
Hapa ndipo wamisionari huja na kauli ya kawaida: “Subiri kidogo, neno פלח (Pelach) hutumika kwa Mungu pekee.”
Danieli 7:14 inasomeka hivi:




Kamusi kuhusu neno פלח (Pelach)


  1. Hebrew-English Lexicon:
    פלח (Pelach) ch., kutumikia, kuabudu.
  2. Brown Francis:
    פלח kitenzi: kulima, kutumikia. (Aramu: Pelach — kwa kawaida; pia: kulima, kutumikia).
    Angalia jinsi Brown Francis anavyotafsiri neno פלח (Pelach) kama kulima, kutumikia, na hasemi chochote kuhusu kuabudu.
  3. John Parkhurst:
    • Maana ya msingi: kupasua, kukata, kugawanya.
    • Katika Kiaramu: Pelach — kutumikia au kuabudu. Mfano: Danieli 3:12, 28; 6:16, n.k.

Kwa kuzingatia tafsiri hizi za kitaalamu, ni wazi kuwa neno “Pelach” halimaanishi tu “kuabudu”, bali pia lina maana nyingine nyingi kama kulima, kutumikia, kupasua, kugawanya, na kukata vipande.




Wataalamu wa Kikristo wakitoa maoni juu ya Danieli 7:13-14​


Danieli 7:13-14 haina uhusiano wowote na unabii wa baadaye wa kumhusu Masihi. Tunajuaje? Ni rahisi — Mkristo akisoma sura ya 7 kuanzia aya ya 1 hadi 28, ataona kwamba “Mwana wa Adamu” anahusu “Watakatifu wa Aliye Juu Zaidi.”


  1. James L. Mays, Ph.D., Profesa wa Kiebrania na Agano la Kale, Union Theological Seminary, Richmond, Virginia:
  2. Arstein Justnes, akinukuu Stedeul katika The Time of Salvation:
  3. Arthur Samuel Peake, mtaalamu wa Biblia:



Kwa hivyo, kama tulivyosoma, maneno ya wataalamu hawa yanabainisha wazi kuwa kifungu hiki hakimuhusu Yesu, bali kinawahusu Watakatifu wa Aliye Juu Zaidi.
Kama nimeelewa unachotaka kusema ni kwamba kama DANIELI 7:13-14 inazungumzia Yesu maana yake ni kuwa; Yesu ni mwenye mamlaka, utukufu na ufalme ili watu wa kabila zote, mataifa yote, lugha zote wamtumikie na kwamba mamlaka yake ni ya milele na ufalme wake pia ni wa milele isipokuwa tu hiyo haitoshi yeye kuitwa Mungu. Good job.
 
Dogma imeniingia hadi huruma sio? Haya tuanze na MATHAYO 26 uliyonukuu. Soma mstari wa 64.

64 Yesu akamwambia, Wewe umesema; lakini nawaambieni, Tangu sasa mtamwona Mwana wa Adamu ameketi mkono wa kuume wa nguvu, akija juu ya mawingu ya mbinguni.

Maneno hayo Yesu alijitambulisha yeye ndiye aliyetajwa kwenye kitabu cha Danieli sura ya 7.

13 Nikaona katika njozi za usiku, na tazama, mmoja aliye mfano wa mwanadamu akaja pamoja na mawingu ya mbingu akamkaribia huyo mzee wa siku, wakamleta karibu naye.
14 Naye akapewa mamlaka, na utukufu, na ufalme, ili watu wa kabila zote, na taifa zote, na lugha zote, wamtumikie; mamlaka yake ni mamlaka ya milele, ambayo hayatapita kamwe, na ufalme wake ni ufalme usioweza kuangamizwa.


Kwa kunukuu maneno hayo Kuhani Mkuu wa wayahudi alimwelewa Yesu anajiita kuwa ni Mungu na akafikiri amekufuru.

MATHAYO 26:65
65 Ndipo Kuhani Mkuu akararua mavazi yake, akisema, Amekufuru; mna haja gani tena ya mashahidi? Tazameni, sasa mmesikia hiyo kufuru yake

Hayo maandiko ya Danieli yapo tangu agano la kale na mpaka leo wayahudi wanalisoma, na ukiwauliza wanajua kuwa aliyetajwa kwenye hiyo mistari ni divine figure japo hawatakubali kuwa ndiye Yesu aliyekuja kuzaliwa duniani baadae.

Wakristo tunaamini Mungu ni mmoja mwenye nafsi tatu inseparable. Kila nafsi ya Mungu ni Mungu kamili. Yesu tunamtambua kama nafsi ya pili ya Mungu au Mwana wa Mungu aliyekuja duniani kwa kuvaa mwili wa kibinadamu. Kwa hiyo kwa kuvaa ubinadamu alijinyenyekesha chini ya mapenzi ya Baba na ndiyo sababu aliomba, alisujudu n.k.

WAFILIPI 2
5 Iweni na nia iyo hiyo ndani yenu ambayo ilikuwamo pia ndani ya Kristo Yesu;
6 ambaye yeye mwanzo alikuwa yuna namna ya Mungu, naye hakuona kule kuwa sawa na Mungu kuwa ni kitu cha kushikamana nacho;
7 bali alijifanya kuwa hana utukufu, akatwaa namna ya mtumwa, akawa ana mfano wa wanadamu;
8 tena, alipoonekana ana umbo kama mwanadamu, alijinyenyekeza akawa mtii hata mauti, naam, mauti ya msalaba.


Umenukuu MATHAYO 26:39 na kudai kuwa Yesu alisujudu, sina hakika kama ulianza kusoma sura ya kwanza. Unajua hata Yesu alipozaliwa kuna watu walimsujudia?

MATHAYO 2:11
11 Wakaingia nyumbani, wakamwona mtoto pamoja na Mariamu mamaye, wakaanguka wakamsujudia; nao walipokwisha kufungua hazina zao, wakamtolea tunu; dhahabu na uvumba na manemane.
DOGMA zako peleka kanisani Mimi sizihitaji

Nimekuliza swali dogo

Yesu ni nani?

Na baba ni nani?

Mathayo 26:39
Akaendelea mbele kidogo, akaanguka kifulifuli, akaomba, akisema, Baba yangu, ikiwezekana, kikombe hiki kiniepuke; walakini si kama nitakavyo mimi, bali kama utakavyo wewe.

Na hapo Yesu anasujudu na kuimba

Anamsujudia na kumuomba Mungu gani kama yeye ndio Mungu?
 
Back
Top Bottom