hamis77
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 18,423
- 26,976
Nimeweka kitabu hapo Bado unauliza kabisa ,duhMmmmh, tupe referrence kk, kitabu gani hiki
Nimeweka kitabu hapo Bado unauliza kabisa ,duhMmmmh, tupe referrence kk, kitabu gani hiki
Nasubiria wajitokeze na mi nimwage upupuDOGMA ni kitendo Cha kuufanya uongo kuwa ukweli na kutumia Mbinu za kisaikolojia kukupandikiza huo uongo katika akili za watu
DOGMA ndani ya ukristo
1) wameaminishwa kuwa Yesu amezaliwa katika hori la kulishia ng'ombe wakati hakuna andiko linalosema hivyo
2) wameaminishwa kuwa ukristo ni dini wakati hakuna andiko linalosema hivyo
3) wameaminishwa kuwa Mungu ana nafsi 3 wakati hakuna andiko linalosema hivyo
4) wameaminishwa kuwa wakiwa na shida wamuombe Yesu wakati hakuna andiko linalosema hivyo
5) wameaminishwa kuwa Yesu ni Mungu wakati Yesu mwenyewe amekana kuwa yeye sio Mungu
6) wameaminishwa kuwa Mungu aligeuka kuwa mtu akacheza kombolela na watoto wenzake katika mitaa ya Galilaya
7) wameaminishwa kuwa ukristo alianzisha Yesu wakati maandiko na historia zinasema kuwa ukristo ulianzishwa baada ya Yesu kuondoka
8) wameaminishwa kuwa wakifanya ibada wasisujudu wakati maandiko yanawataka wasujudu na manabii wote walikuwa wanasujudu
9) wameaminishwa kuwa Yesu alisurubiwa Kwa ajili ya dhambi zao wakati maandiko yanasema Kila mtu atabeba mzigo wake
10) wameaminishwa kuwa msalaba ni neema Hadi wanavaa shingoni mwao wakati maandiko yanasema msalaba ni laana
11) wameaminishwa kuwa kuoa wake wengi ni kosa wakati hakuna andiko linalosema hivyo
12) wameaminishwa kuwa ukristo ulianzishwa nchini Jerusalem wakati maandiko yanasema ulianzishwa nchini ugiriki
14) wameaminishwa kuwa Injili ni kitabu Cha wakristo wakati hakuna andiko linalosema hivyo
15) wameaminishwa kuwa Paulo ni mtume wakati Yesu alisema yeye ndio mtume wa mwisho katika kizazi Cha Israel
16) wameaminishwa kuwa Jumapili ni siku ya ibada wakati hakuna andiko linalosema hivyo
Wazungu watu wabaya sana
Ondoa uislamuDini zote ni mfumo wa ulaji wa wajanja (utapeli)
🙏🙏👍👍UMEANDIKA
YESU NDIYE MUNGU ALIYEZIUMBA MBINGU NA NCHI:
MAJIBU
YESU HAJAUMBA CHOCHOTE HATA MBU HAJAUMBA
Yesu ananukuliwa katika Yohana 5:30, akisema:
“Mimi siwezi kufanya neno mwenyewe; kama nisikiavyo ndivyo nihukumuvyo; na hukumu yangu ni ya haki, kwa sababu siyatafuti mapenzi yangu mimi, bali mapenzi yake aliyenipeleka.”.
Katika Matendo 2:22, Paulo anandika:
“Enyi waume wa Israeli, sikilizeni maneno haya: Yesu wa Nazareti, mtu aliyedhihirishwa kwenu na Mungu kwa miujiza na ajabu na ishara, ambazo Mungu alizifanya kwa mkono wake kati yenu, kama ninyi wenyewe mnavyojua.”
umeandika
Yohana 1:1, 14 – “Hapo mwanzo kulikuwako Neno, naye Neno alikuwako kwa Mungu, naye Neno alikuwa Mungu... Naye Neno alifanyika mwili, akakaa kwetu.”
MAJIBU
Huenda ‘ushahidi’ wa uungu wa Yesu ulionukuliwa sana ni Yohana 1:1 na 14, “Hapo mwanzo kulikuwako Neno, naye Neno alikuwako kwa Mungu, na Neno alikuwa Mungu… Naye Neno alifanyika mwili, akakaa kwetu; nasi tukauona utukufu wake, utukufu kama wa Mwana pekee atokaye kwa Baba; amejaa neema na kweli.”
Hata hivyo, maelezo haya hayakutolewa na Yesu Kristo, wala hayakuhusishwa naye na mtunzi wa Injili kwa mujibu wa Yohana.
Hivyo, mistari hii haiundi ushahidi wa uungu wa Yesu, hasa hasa kuzingatia shaka inayoshikiliwa na wasomi wa Kikristo juu ya Injili ya Nne.
Wasomi wa Biblia waliotunga Injili tano: “Picha mbili zilizochorwa na Yohana na muhtasari wa injili (yaani Injili ya Mathayo, Marko na Luka) zote mbili haziwezi kuwa ubainifu wa kihistoria.
Neno lilohusishwa na Yesu katika Injili ya Yohana kimsingi inatofautiana na Injili nyingine tatu (Injili za muhtasari) kiasi cha kutilia shaka uhakika wake. Kwa mfano:
Nne limeundwa na wainjilisti kwa sehemu kubwa, na linaakisi mwendelezo wa lugha ya jamii ya Wakristo wa Kiyohana.
Neno la Kigiriki lilotumiwa na mtunzi wa Injili ya Nne asiyejulikana kwa “neno” ni logos. Kwa kufanya hivyo, huyo mtunzi anamtambulisha Yesu kwa logos la wanafalsa wapagani wa Kigiriki, neno ambalo lilikuwa na lengo takatifu na thabiti lililojitokeza ulimwenguni, huyo mtunzi akalipangilia neno hilo na kulipa mfumo na maana.
Wazo la logos katika fikra za Kigiriki huenda linarejea nyuma, kwa uchache hadi kwa mwanafalsafa wa karne ya sita BC, Heracleitus, aliyependekeza kuwa, kulikuwa na logos ulimwenguni anayetenda kwa mwanadamu kulingana na nguvu ya hoja. Baadaye, Stoics analitambulisha logos kuwa ni tendo, mantiki, na kanuni ya kiroho inayosambaa katika ukweli wote.
Mwanafalsafa wa Kiyahudi anayeongea Kigiriki, Judaeus Philo wa Alexandria (15 BC -45 CE), amefundisha kuwa logos alikuwa ni mpatanishi baina ya Mungu na ulimwengu, kwa kuwa na sifa mbili za uwakala wa Mungu na ulimwengu, na kuwa na sifa mbili za uwakala wa viumbe na wakala wa ambaye kupitia kwake akili ya mwanadamu inaweza kumfahamu Mungu.
Maandiko ya Philo yalihifadhiwa na kutunzwa na kanisa, na kueneza ufunuo kwa mafundisho ya kistaarabu ya tiolojia ya kifalsafa ya Kikristo. Aliacha mafundisho ya fikra za Kipilato wakichukulia logos (Neno) na kuliita “mtoto wa kwanza wa kuzaliwa na Mungu.”
Utambulisho wa Yesu kwa logos, uliendelezwa katika kanisa la kwanza ikiwa ni tokeo la majaribio yaliyofanywa na wanatiolojia wa kwanza wa Kikristo pamoja na watetezi kuielezea imani ya Kikristo kwa istilahi ambayo ingekuwa wazi kwa ulimwengu wa Wayunani.
Zaidi ya hayo, ilikuwa ni kuwavutia wasikilizaji wao na mtazamo wao kuwa Ukristo ulikuwa unashinda, au mrithi wa wale wote waliokuwa wanafalsafa bora wa kipagani. Kwa hiyo, katika kazi zao za utetezi na Wingi wake ni logoi nalo pia linamaanisha “hoja” au “mpango”.
Mapadri wa Kikristo wa kwanza wameeleza kuwa Yesu alikuwa ni logos aliyekuwepo hapo kabla.
Neno la Kigiriki lililotumika kwa maana ya ‘Mungu’ katika hiyo ibara ni “na Neno lilikuwa kwa Mungu,” lipo katika mtindo wa “definite form- yaani mtindo uliowazi, au unaofahamika” batheos, Linalomaanisha “Huyo Mungu, au Mungu maalum”.
Hata hivyo, katika ibara ya pili “na Neno alikuwa Mungu”, neno la Kigiriki lililotumika kwa maana ya ‘Mungu’ katika ibara lipo katika mtindo wa “indefinite form- yaani mtindo usiowazi, au usiofahamika” tontheos, Linalomaanisha ‘mungu yoyote, yaani mungu asiyejulikana, au mungu yoyote asiye maalumu’.
Kwa hiyo, Yohana 1:1, kwa uwazi zaidi ilipaswa itafsiriwe, “Hapo Mwanzo kulikuwa na Neno, na hilo Neno lilikuwa kwa Mungu, na hilo Neno lilikuwa mungu mwingine.”
Kwa hiyo, kama hilo neno lilikuwa mungu mwingine kwa ufahamu wa kifasihi, itamaanisha kuwa kulikuwa na miungu miwili na sio mmoja. Hata hivyo, katika lugha ya Kibiblia, neno ‘mungu – asiyefahamika’ linatumika kwa maana ya istiari ili kuashiria nguvu.
Kwa mfano, Paulo alimtaja shetani kuwa ni ‘mungu – asiyefahamika’ katika 2 Wakorintho 4:4, "ambao ndani yao mungu wa dunia hii amepofusha fikira zao wasioamini, isiwazukie nuru ya injili ya utukufu wake Kristo aliye sura yake Mungu."
Pia, Musa alitajwa kama ni ‘mungu – asiyefahamika’ katika Kutoka 7:1, "BWANA akamwambia Musa, Angalia, nimekufanya wewe kuwa Mungu kwa Farao; na huyo ndugu yako Haruna atakuwa nabii wako.
Mbona hizo AyaMkuu soma vitabu vyote vya dini ila jitahidi kuelewa.Vyote vimezungumzia Yesu ndiye MUNGU.
Question
Did Jesus say He is God?
Answer
It is true that Jesus never said the exact words, “I am God.” He did, however, make the claim to be God in many different ways, and those who heard Him knew exactly what He was saying. For example, in John 10:30, Jesus said, “I and the Father are one.” The Jews who heard Him make that statement knew well that He was claiming to be God, as witnessed by their reaction: “His Jewish opponents picked up stones to stone him” (John 10:31). When He asked them why they were attempting to stone Him, they said, “For blasphemy, because you, a mere man, claim to be God” (John 10:33). Stoning was the penalty for blasphemy (Leviticus 24:16), and the Jews plainly accused Jesus of claiming to be God.
Jesus made another statement claiming to be God when He said, “Very truly I tell you, . . . before Abraham was born, I am!” (John 8:58). The Jews, upon hearing Him, clearly understood that He was claiming preexistence and, more than that, to be Yahweh, the great “I AM” of Exodus 3:14. On this occasion, too, they tried to stone Him for blasphemy.
The Gospel of John begins with a statement of Jesus’ deity: “In the beginning was the Word, and the Word was with God, and the Word was God” (John 1:1, emphasis added). In verse 14, John identifies the Word: “The Word became flesh and made his dwelling among us. We have seen his glory, the glory of the one and only Son, who came from the Father, full of grace and truth.” John is affirming that the Word (Jesus) is God, and He left heaven to come to earth in the form of a man to live with men and display the glory of God the Father.
The disciples of Jesus distinctly heard Him declare His deity. After Jesus’ resurrection, Thomas the doubting disciple finally understood Jesus’ deity, declaring Him to be “my Lord and my God” (John 20:28). If Jesus were not Lord and God, He would have corrected Thomas, but He did not; Thomas spoke the truth. After seeing Jesus walking on the water, His disciples worshipped Him (Matthew 14:33). When He appeared to them after the resurrection, they fell at His feet and worshipped Him (Matthew 28:9). The disciples were well aware of the Mosaic Law’s penalty for blasphemy, yet they worshipped Him as God, and Jesus accepted their worship. Jesus never rebuked people for worshipping Him, accepting their worship as good and proper.
Jesus’ deity is recognized throughout the New Testament. Paul eagerly awaited “the appearing of the glory of our great God and Savior, Jesus Christ” (Titus 2:13) and encouraged us to do the same. Both Paul and John declared that Jesus created the universe (John 1:3; Colossians 1:16–17), yet Genesis 1:1 clearly says that God created the heavens and the earth. This can only mean that Jesus is God. Even God the Father referred to Jesus as God: “About the Son he says, ‘Your throne, O God, will last for ever and ever’” (Hebrews 1:8, quoting Psalm 45:6).
Soma kwa utulivu
Question
Did Jesus say He is God?
Answer
It is true that Jesus never said the exact words, “I am God.” He did, however, make the claim to be God in many different ways, and those who heard Him knew exactly what He was saying. For example, in John 10:30, Jesus said, “I and the Father are one.” The Jews who heard Him make that statement knew well that He was claiming to be God, as witnessed by their reaction: “His Jewish opponents picked up stones to stone him” (John 10:31). When He asked them why they were attempting to stone Him, they said, “For blasphemy, because you, a mere man, claim to be God” (John 10:33). Stoning was the penalty for blasphemy (Leviticus 24:16), and the Jews plainly accused Jesus of claiming to be God.
Jesus made another statement claiming to be God when He said, “Very truly I tell you, . . . before Abraham was born, I am!” (John 8:58). The Jews, upon hearing Him, clearly understood that He was claiming preexistence and, more than that, to be Yahweh, the great “I AM” of Exodus 3:14. On this occasion, too, they tried to stone Him for blasphemy.
The Gospel of John begins with a statement of Jesus’ deity: “In the beginning was the Word, and the Word was with God, and the Word was God” (John 1:1, emphasis added). In verse 14, John identifies the Word: “The Word became flesh and made his dwelling among us. We have seen his glory, the glory of the one and only Son, who came from the Father, full of grace and truth.” John is affirming that the Word (Jesus) is God, and He left heaven to come to earth in the form of a man to live with men and display the glory of God the Father.
The disciples of Jesus distinctly heard Him declare His deity. After Jesus’ resurrection, Thomas the doubting disciple finally understood Jesus’ deity, declaring Him to be “my Lord and my God” (John 20:28). If Jesus were not Lord and God, He would have corrected Thomas, but He did not; Thomas spoke the truth. After seeing Jesus walking on the water, His disciples worshipped Him (Matthew 14:33). When He appeared to them after the resurrection, they fell at His feet and worshipped Him (Matthew 28:9). The disciples were well aware of the Mosaic Law’s penalty for blasphemy, yet they worshipped Him as God, and Jesus accepted their worship. Jesus never rebuked people for worshipping Him, accepting their worship as good and proper.
Jesus’ deity is recognized throughout the New Testament. Paul eagerly awaited “the appearing of the glory of our great God and Savior, Jesus Christ” (Titus 2:13) and encouraged us to do the same. Both Paul and John declared that Jesus created the universe (John 1:3; Colossians 1:16–17), yet Genesis 1:1 clearly says that God created the heavens and the earth. This can only mean that Jesus is God. Even God the Father referred to Jesus as God: “About the Son he says, ‘Your throne, O God, will last for ever and ever’” (Hebrews 1:8, quoting Psalm 45:6).
Soma kwa utulivu
Question
Did Jesus say He is God?
Answer
It is true that Jesus never said the exact words, “I am God.” He did, however, make the claim to be God in many different ways, and those who heard Him knew exactly what He was saying. For example, in John 10:30, Jesus said, “I and the Father are one.” The Jews who heard Him make that statement knew well that He was claiming to be God, as witnessed by their reaction: “His Jewish opponents picked up stones to stone him” (John 10:31). When He asked them why they were attempting to stone Him, they said, “For blasphemy, because you, a mere man, claim to be God” (John 10:33). Stoning was the penalty for blasphemy (Leviticus 24:16), and the Jews plainly accused Jesus of claiming to be God.
Jesus made another statement claiming to be God when He said, “Very truly I tell you, . . . before Abraham was born, I am!” (John 8:58). The Jews, upon hearing Him, clearly understood that He was claiming preexistence and, more than that, to be Yahweh, the great “I AM” of Exodus 3:14. On this occasion, too, they tried to stone Him for blasphemy.
The Gospel of John begins with a statement of Jesus’ deity: “In the beginning was the Word, and the Word was with God, and the Word was God” (John 1:1, emphasis added). In verse 14, John identifies the Word: “The Word became flesh and made his dwelling among us. We have seen his glory, the glory of the one and only Son, who came from the Father, full of grace and truth.” John is affirming that the Word (Jesus) is God, and He left heaven to come to earth in the form of a man to live with men and display the glory of God the Father.
The disciples of Jesus distinctly heard Him declare His deity. After Jesus’ resurrection, Thomas the doubting disciple finally understood Jesus’ deity, declaring Him to be “my Lord and my God” (John 20:28). If Jesus were not Lord and God, He would have corrected Thomas, but He did not; Thomas spoke the truth. After seeing Jesus walking on the water, His disciples worshipped Him (Matthew 14:33). When He appeared to them after the resurrection, they fell at His feet and worshipped Him (Matthew 28:9). The disciples were well aware of the Mosaic Law’s penalty for blasphemy, yet they worshipped Him as God, and Jesus accepted their worship. Jesus never rebuked people for worshipping Him, accepting their worship as good and proper.
Jesus’ deity is recognized throughout the New Testament. Paul eagerly awaited “the appearing of the glory of our great God and Savior, Jesus Christ” (Titus 2:13) and encouraged us to do the same. Both Paul and John declared that Jesus created the universe (John 1:3; Colossians 1:16–17), yet Genesis 1:1 clearly says that God created the heavens and the earth. This can only mean that Jesus is God. Even God the Father referred to Jesus as God: “About the Son he says, ‘Your throne, O God, will last for ever and ever’” (Hebrews 1:8, quoting Psalm 45:6).
Soma kwa utulivu
MUHAMMAD karuhusu ushoga kwenye uislamu View attachment 3437656
*“Nitamtaja tu Mtume Paulo... Basi yeye, kuliko yeyote, anapaswa kulaumiwa; tungepaswa kumwambia hivi: ‘Ushahidi ulioutumia dhidi ya Wayahudi na dhidi ya wazushi wengine una maana tofauti katika muktadha wake halisi na ile unayoipa katika Waraka wako.
Tunaona aya zikitekwa na kalamu yako na kutumiwa kukupa ushindi, ilhali katika vitabu ambavyo umetowa havina maana yoyote ya mabishano... ni kama vile mkakati ambao mara nyingi huamuliwa na watu wenye nguvu katika mabishano – wa kuhalalisha njia kwa matokeo.’”*
“Kwa maana ikiwa kweli ya Mungu imezidi kwa uongo wangu kwa utukufu wake, kwa nini mimi bado nihukumiwe kuwa mwenye dhambi?”
— Mtakatifu Paulo, Warumi 3:7
“Jinsi inavyoweza kuwa halali na inafaa kutumia uongo kama dawa, na kwa faida ya wale wanaotaka kudanganywa.”
“Tutaingiza katika historia hii kwa ujumla matukio yale tu ambayo yanaweza kuwa na manufaa kwanza kwetu wenyewe na baadaye kwa vizazi vijavyo.”
— Eusebius, Historia ya Kanisa, Juz. 8, sura ya 2
“Si mambo yote yaliyo ya kweli ndiyo ukweli, wala ukweli unaoonekana tu kuwa kweli kwa mujibu wa maoni ya kibinadamu usipewe kipaumbele kuliko ukweli wa kweli, ule ulio sawasawa na imani.”
— Klementi (imenukuliwa na M. Smith, Clement of Alexandria, uk. 446)
*“Je, unaona faida ya udanganyifu? …
Kwa maana kubwa ni thamani ya udanganyifu, mradi tu usiletwe kwa nia mbaya. Kwa kweli, kitendo cha aina hii hakipaswi hata kuitwa udanganyifu, bali aina fulani ya usimamizi mzuri, ujanja na ustadi, unaoweza kupata njia pale rasilimali zinapokosekana, na kuziba mapungufu ya akili...
Na mara nyingi ni lazima kudanganya, na kufanya manufaa makubwa zaidi kwa njia ya mbinu hii, ilhali yule aliyefuata njia ya moja kwa moja amefanya madhara makubwa kwa yule ambaye hakumdanganya.”*
— Chrysostom, Insha juu ya Ukuhani, Kitabu cha 1
Question
Did Jesus say He is God?
Answer
It is true that Jesus never said the exact words, “I am God.” He did, however, make the claim to be God in many different ways, and those who heard Him knew exactly what He was saying. For example, in John 10:30, Jesus said, “I and the Father are one.” The Jews who heard Him make that statement knew well that He was claiming to be God, as witnessed by their reaction: “His Jewish opponents picked up stones to stone him” (John 10:31). When He asked them why they were attempting to stone Him, they said, “For blasphemy, because you, a mere man, claim to be God” (John 10:33). Stoning was the penalty for blasphemy (Leviticus 24:16), and the Jews plainly accused Jesus of claiming to be God.
Jesus made another statement claiming to be God when He said, “Very truly I tell you, . . . before Abraham was born, I am!” (John 8:58). The Jews, upon hearing Him, clearly understood that He was claiming preexistence and, more than that, to be Yahweh, the great “I AM” of Exodus 3:14. On this occasion, too, they tried to stone Him for blasphemy.
The Gospel of John begins with a statement of Jesus’ deity: “In the beginning was the Word, and the Word was with God, and the Word was God” (John 1:1, emphasis added). In verse 14, John identifies the Word: “The Word became flesh and made his dwelling among us. We have seen his glory, the glory of the one and only Son, who came from the Father, full of grace and truth.” John is affirming that the Word (Jesus) is God, and He left heaven to come to earth in the form of a man to live with men and display the glory of God the Father.
The disciples of Jesus distinctly heard Him declare His deity. After Jesus’ resurrection, Thomas the doubting disciple finally understood Jesus’ deity, declaring Him to be “my Lord and my God” (John 20:28). If Jesus were not Lord and God, He would have corrected Thomas, but He did not; Thomas spoke the truth. After seeing Jesus walking on the water, His disciples worshipped Him (Matthew 14:33). When He appeared to them after the resurrection, they fell at His feet and worshipped Him (Matthew 28:9). The disciples were well aware of the Mosaic Law’s penalty for blasphemy, yet they worshipped Him as God, and Jesus accepted their worship. Jesus never rebuked people for worshipping Him, accepting their worship as good and proper.
Jesus’ deity is recognized throughout the New Testament. Paul eagerly awaited “the appearing of the glory of our great God and Savior, Jesus Christ” (Titus 2:13) and encouraged us to do the same. Both Paul and John declared that Jesus created the universe (John 1:3; Colossians 1:16–17), yet Genesis 1:1 clearly says that God created the heavens and the earth. This can only mean that Jesus is God. Even God the Father referred to Jesus as God: “About the Son he says, ‘Your throne, O God, will last for ever and ever’” (Hebrews 1:8, quoting Psalm 45:6).
Soma kwa utulivu
MUHAMMAD karuhusu ushoga kwenye uislamu View attachment 3437656
Vitabu vyote vya dini vinajua YESU NDIYE MUNGU MUUMBA MBINGU NA NCHI NA VIUMBE VYOTE VITASIMAMA MBELE YAKE SIKU YA HUKUMU.
“Mambo mengi yameingizwa na mababu zetu katika maneno ya Bwana wetu ambayo, ingawa yametolewa kwa jina lake, hayakubaliani na imani yake; hasa kwa kuwa – kama ilivyothibitishwa mara nyingi – mambo haya hayakuandikwa na Kristo, wala na mitume wake, bali muda mrefu baada ya kupaa kwao, na sijui aina gani ya Wayahudi nusu, ambao hata hawakukubaliana wao kwa wao, waliotunga hadithi yao kutokana na uvumi na maoni pekee, na bado, wakiyahusisha yote kwa majina ya mitume wa Bwana au kwa wale waliodhaniwa kuwa wafuasi wa mitume, walijifanya kwa hila kuwa wameandika uongo na mawazo yao kulingana na wao.”
“Kiwanda cha kughushi cha Kanisa hakikujibana tu kwa maandiko bali kwa karne nyingi kilizalisha maelfu ya ‘masalia’ bandia ya ‘Bwana’ wake, ‘Mitume’ na ‘Watakatifu’ … Kulikuwepo angalau kanda 26 za mazishi ‘halisi’ zilizotapakaa katika abbey za Ulaya, ambazo ‘Shroud ya Turin’ ni moja tu … Wakati fulani, makanisa kadhaa yalidai kuwa na govi moja la Yesu, na kulikuwepo vipande vya mbao vya ‘Msalaba wa Kweli’ kwa wingi kiasi kwamba Kalvini alisema kiasi hicho cha mbao kingetosha kupakia meli nzuri kwa mzigo kamili.”
– Acharya S, The Christ Conspiracy.
“Daima tunapaswa kuwa tayari kuamini kwamba kile kinachoonekana kwetu kuwa cheupe kimsingi ni cheusi, iwapo mamlaka ya Kanisa itaamua hivyo.”
Mimi ni mkiristo, ila nazingatia hapo mwisho uliposema (WAZUNGU NI WATU WABAYA) (satanic law of fives inasema, Tutabadili kila kitu cha Mungu kuwa kinyume ili kuwachanganya wanadami)
Question
Did Jesus say He is God?
Answer
It is true that Jesus never said the exact words, “I am God.” He did, however, make the claim to be God in many different ways, and those who heard Him knew exactly what He was saying. For example, in John 10:30, Jesus said, “I and the Father are one.” The Jews who heard Him make that statement knew well that He was claiming to be God, as witnessed by their reaction: “His Jewish opponents picked up stones to stone him” (John 10:31). When He asked them why they were attempting to stone Him, they said, “For blasphemy, because you, a mere man, claim to be God” (John 10:33). Stoning was the penalty for blasphemy (Leviticus 24:16), and the Jews plainly accused Jesus of claiming to be God.
Jesus made another statement claiming to be God when He said, “Very truly I tell you, . . . before Abraham was born, I am!” (John 8:58). The Jews, upon hearing Him, clearly understood that He was claiming preexistence and, more than that, to be Yahweh, the great “I AM” of Exodus 3:14. On this occasion, too, they tried to stone Him for blasphemy.
The Gospel of John begins with a statement of Jesus’ deity: “In the beginning was the Word, and the Word was with God, and the Word was God” (John 1:1, emphasis added). In verse 14, John identifies the Word: “The Word became flesh and made his dwelling among us. We have seen his glory, the glory of the one and only Son, who came from the Father, full of grace and truth.” John is affirming that the Word (Jesus) is God, and He left heaven to come to earth in the form of a man to live with men and display the glory of God the Father.
The disciples of Jesus distinctly heard Him declare His deity. After Jesus’ resurrection, Thomas the doubting disciple finally understood Jesus’ deity, declaring Him to be “my Lord and my God” (John 20:28). If Jesus were not Lord and God, He would have corrected Thomas, but He did not; Thomas spoke the truth. After seeing Jesus walking on the water, His disciples worshipped Him (Matthew 14:33). When He appeared to them after the resurrection, they fell at His feet and worshipped Him (Matthew 28:9). The disciples were well aware of the Mosaic Law’s penalty for blasphemy, yet they worshipped Him as God, and Jesus accepted their worship. Jesus never rebuked people for worshipping Him, accepting their worship as good and proper.
Jesus’ deity is recognized throughout the New Testament. Paul eagerly awaited “the appearing of the glory of our great God and Savior, Jesus Christ” (Titus 2:13) and encouraged us to do the same. Both Paul and John declared that Jesus created the universe (John 1:3; Colossians 1:16–17), yet Genesis 1:1 clearly says that God created the heavens and the earth. This can only mean that Jesus is God. Even God the Father referred to Jesus as God: “About the Son he says, ‘Your throne, O God, will last for ever and ever’” (Hebrews 1:8, quoting Psalm 45:6).
Soma kwa utulivu
hamis77Kwanza kwenye huu mstari Yesu hajakataa kuitwa mwema, ameuliza sababu ya kuitwa mwema ni ipi? Na kama ukitaka kujua kuwa Yesu ni mwema na kwa hiyo ni Mungu soma YOHANA 10:11 na angalia anachosema
Mimi ndimi mchungaji mwema. Mchungaji mwema huutoa uhai wake kwa ajili ya kondoo.
Sasa ulitaka anukuu vipi, hayo ni maandiko Yesu amenukuu Kumbukumbu la Torati 6:4 Unaposoma uwe unaelewa na context ya maandiko. Unaona kabisa hapo kuwa anamjibu mtu kumwambia kile kilichoandikwa
Still hakuna mstari ambao Yesu amekataa kuitwa Mungu, umenukuu mstari wa 3 vizuri, je unajua kuwa Yesu na Baba ni umoja, maana yake huwezi kumtenganisha na Baba ambaye ni Mungu YOHANA 10:30
Haya hiyo sura ya 17 uliyonukuu umeangalia inavyoanza?
YOHANA 17:1
Maneno hayo aliyasema Yesu; akainua macho yake kuelekea mbinguni, akasema, Baba, saa imekwisha kufika. Mtukuze Mwanao, ili Mwana wako naye akutukuze wewe;
- Hakuna mwanadamu anayeweza kudai atukuzwe na Mungu, maana Biblia inasema Mungu hashiriki utukufu na mwanadamu. ISAYA 42:8
YOHANA 17:2
kama vile ulivyompa mamlaka juu ya wote wenye mwili, ili kwamba wote uliompa awape uzima wa milele.
- Hakuna mwanadamu anaweza kuwa na mamlaka juu ya wote wenye mwili, yani awe na uamuzi wa uzima au mauti juu ya wanadamu wote akiwemo Muhammad na wote unaowajua wewe.
YOHANA 17:5
Na sasa, Baba, unitukuze mimi pamoja nawe, kwa utukufu ule niliokuwa nao pamoja nawe kabla ya ulimwengu kuwako.
- Haya niambie kuna mwanadamu alikuwa na utukufu mmoja na Mungu kabla ya ulimwengu kuumbwa?
Badala ya kuleta mstari ambao Yesu amekataa kuwa yeye sio Mungu wewe ndo kwanza umenukuu mistari kutoka vitabu na sura zinazoonesha clearly uungu wake na hakuna mstari hata mmoja ambapo amekataa Uungu.
“Wale wanaosoma maandiko yanayobeba kwa uongo jina la Paulo wakitumia mfano wa Thecla kuthibitisha haki ya wanawake kufundisha na kubatiza, na wajue kuwa mzee mmoja wa Asia aliyeandika hati hii, kana kwamba angeongeza heshima kwa Paulo, aliondolewa katika cheo chake baada ya kutiwa hatiani na kukiri kuwa alifanya hivyo kwa upendo kwa Paulo.”
– Tertullian, De baptismo, 17.
Yani wewe DOGMA ndio imekuingia Hadi hurumaKwanza kwenye huu mstari Yesu hajakataa kuitwa mwema, ameuliza sababu ya kuitwa mwema ni ipi? Na kama ukitaka kujua kuwa Yesu ni mwema na kwa hiyo ni Mungu soma YOHANA 10:11 na angalia anachosema
Mimi ndimi mchungaji mwema. Mchungaji mwema huutoa uhai wake kwa ajili ya kondoo.
Sasa ulitaka anukuu vipi, hayo ni maandiko Yesu amenukuu Kumbukumbu la Torati 6:4 Unaposoma uwe unaelewa na context ya maandiko. Unaona kabisa hapo kuwa anamjibu mtu kumwambia kile kilichoandikwa
Still hakuna mstari ambao Yesu amekataa kuitwa Mungu, umenukuu mstari wa 3 vizuri, je unajua kuwa Yesu na Baba ni umoja, maana yake huwezi kumtenganisha na Baba ambaye ni Mungu YOHANA 10:30
Haya hiyo sura ya 17 uliyonukuu umeangalia inavyoanza?
YOHANA 17:1
Maneno hayo aliyasema Yesu; akainua macho yake kuelekea mbinguni, akasema, Baba, saa imekwisha kufika. Mtukuze Mwanao, ili Mwana wako naye akutukuze wewe;
- Hakuna mwanadamu anayeweza kudai atukuzwe na Mungu, maana Biblia inasema Mungu hashiriki utukufu na mwanadamu. ISAYA 42:8
YOHANA 17:2
kama vile ulivyompa mamlaka juu ya wote wenye mwili, ili kwamba wote uliompa awape uzima wa milele.
- Hakuna mwanadamu anaweza kuwa na mamlaka juu ya wote wenye mwili, yani awe na uamuzi wa uzima au mauti juu ya wanadamu wote akiwemo Muhammad na wote unaowajua wewe.
YOHANA 17:5
Na sasa, Baba, unitukuze mimi pamoja nawe, kwa utukufu ule niliokuwa nao pamoja nawe kabla ya ulimwengu kuwako.
- Haya niambie kuna mwanadamu alikuwa na utukufu mmoja na Mungu kabla ya ulimwengu kuumbwa?
Badala ya kuleta mstari ambao Yesu amekataa kuwa yeye sio Mungu wewe ndo kwanza umenukuu mistari kutoka vitabu na sura zinazoonesha clearly uungu wake na hakuna mstari hata mmoja ambapo amekataa Uungu.
Dogma imeniingia hadi huruma sio? Haya tuanze na MATHAYO 26 uliyonukuu. Soma mstari wa 64.Yani wewe DOGMA ndio imekuingia Hadi huruma
Unasema Yesu ni Mungu
Alafu unasema Kuna Yesu na Kuna baba
Baba ni nani?
Yesu ni nani?
Mathayo 26:39
Akaendelea mbele kidogo, akaanguka kifulifuli, akaomba, akisema, Baba yangu, ikiwezekana, kikombe hiki kiniepuke; walakini si kama nitakavyo mimi, bali kama utakavyo wewe.
Hapo Yesu anamuomba na kumsujudia Mungu gani kama yeye ndio Mungu?
Dogma imeniingia hadi huruma sio? Haya tuanze na MATHAYO 26 uliyonukuu. Soma mstari wa 64.
64 Yesu akamwambia, Wewe umesema; lakini nawaambieni, Tangu sasa mtamwona Mwana wa Adamu ameketi mkono wa kuume wa nguvu, akija juu ya mawingu ya mbinguni.
Maneno hayo Yesu alijitambulisha yeye ndiye aliyetajwa kwenye kitabu cha Danieli sura ya 7.
13 Nikaona katika njozi za usiku, na tazama, mmoja aliye mfano wa mwanadamu akaja pamoja na mawingu ya mbingu akamkaribia huyo mzee wa siku, wakamleta karibu naye.
14 Naye akapewa mamlaka, na utukufu, na ufalme, ili watu wa kabila zote, na taifa zote, na lugha zote, wamtumikie; mamlaka yake ni mamlaka ya milele, ambayo hayatapita kamwe, na ufalme wake ni ufalme usioweza kuangamizwa.
Kwa kunukuu maneno hayo Kuhani Mkuu wa wayahudi alimwelewa Yesu anajiita kuwa ni Mungu na akafikiri amekufuru.
MATHAYO 26:65
65 Ndipo Kuhani Mkuu akararua mavazi yake, akisema, Amekufuru; mna haja gani tena ya mashahidi? Tazameni, sasa mmesikia hiyo kufuru yake
Hayo maandiko ya Danieli yapo tangu agano la kale na mpaka leo wayahudi wanalisoma, na ukiwauliza wanajua kuwa aliyetajwa kwenye hiyo mistari ni divine figure japo hawatakubali kuwa ndiye Yesu aliyekuja kuzaliwa duniani baadae.
Wakristo tunaamini Mungu ni mmoja mwenye nafsi tatu inseparable. Kila nafsi ya Mungu ni Mungu kamili. Yesu tunamtambua kama nafsi ya pili ya Mungu au Mwana wa Mungu aliyekuja duniani kwa kuvaa mwili wa kibinadamu. Kwa hiyo kwa kuvaa ubinadamu alijinyenyekesha chini ya mapenzi ya Baba na ndiyo sababu aliomba, alisujudu n.k.
WAFILIPI 2
5 Iweni na nia iyo hiyo ndani yenu ambayo ilikuwamo pia ndani ya Kristo Yesu;
6 ambaye yeye mwanzo alikuwa yuna namna ya Mungu, naye hakuona kule kuwa sawa na Mungu kuwa ni kitu cha kushikamana nacho;
7 bali alijifanya kuwa hana utukufu, akatwaa namna ya mtumwa, akawa ana mfano wa wanadamu;
8 tena, alipoonekana ana umbo kama mwanadamu, alijinyenyekeza akawa mtii hata mauti, naam, mauti ya msalaba.
Umenukuu MATHAYO 26:39 na kudai kuwa Yesu alisujudu, sina hakika kama ulianza kusoma sura ya kwanza. Unajua hata Yesu alipozaliwa kuna watu walimsujudia?
MATHAYO 2:11
11 Wakaingia nyumbani, wakamwona mtoto pamoja na Mariamu mamaye, wakaanguka wakamsujudia; nao walipokwisha kufungua hazina zao, wakamtolea tunu; dhahabu na uvumba na manemane.
Tafsiri ya New International Version (©2011) Daniel 7:13-14
13 “Katika maono yangu ya usiku niliangalia, na tazama, palikuwa na mmoja mfano wa mwana wa binadamu, akija pamoja na mawingu ya mbinguni. Akamkaribia Yule wa Siku za Kale, naye akaongozwa kuingia mbele zake.
14 Akapewa mamlaka, utukufu na nguvu ya kifalme; mataifa yote na watu wa kila lugha wakamwabudu (Pelach au Pelakh). Ufalme wake ni ufalme wa milele usioweza kupita, na milki yake haitaangamizwa kamwe.”
English Standard Version (©2001) Daniel 7:14
“Naye akapewa mamlaka na utukufu na ufalme, ili mataifa yote, makabila yote, na watu wa kila lugha wammtumikie; mamlaka yake ni mamlaka ya milele, ambayo hayatapita, na ufalme wake ni ule ambao hautaangamizwa.”
American King James Version Daniel 7:14
“Naye akapewa mamlaka, na utukufu, na ufalme, ili watu wote, mataifa yote, na lugha zote wammtumikie; mamlaka yake ni mamlaka ya milele, ambayo hayatapita, na ufalme wake ni ule ambao hautaangamizwa.”
“Inaonekana wazi hapa kwamba yule aliyepewa mamlaka, utukufu, na ufalme… na ufalme wake hautaangamizwa (7:14) ni mwanadamu, yaani, Watakatifu wa Aliye Juu Zaidi (aya 18, 22, 27). Maelezo hayo yanatolewa na mfasiri wa ndoto ambaye Danieli anamwona katika baraza la mbinguni. Yeye anawahakikishia watu hawa kwamba baada ya muda mfupi—wakati, nyakati mbili, na nusu wakati (aya 25)—mamlaka yataondolewa mikononi mwa mkatili na kupewa Watakatifu watakao tawala milele na milele. Kwa ufupi, watu hawa ndio wamiliki wa wakati ujao, na wakati huo u karibu.”
“Haijalishi changamoto za uhariri wa sura hii na ugumu wa maana ya kauli ‘kama mwana wa mtu’ (aya 13), jambo moja liko wazi: tafsiri ya maono haya katika Danieli 7:18 inasema juu ya ufalme wa mwisho na wa milele utakaotolewa kwa ‘watakatifu wa Aliye Juu Zaidi.’ Aya 21, 22 inawaita ‘Watakatifu,’ na aya 28 inawaita ‘watu wa watakatifu wa Aliye Juu Zaidi.’ Watapokea na kushikilia mamlaka ya kifalme milele (aya 18, 20), hukumu (aya 22), na enzi—utukufu wa falme zote chini ya mbingu utatolewa kwao, na falme zote zitawatumikia na kuwatii (aya 27).”
“Aya 13: kama mwana wa mtu — tafsiri ya AV ‘kama mwana wa Adamu’ ilikuwa ya kupotosha kwa kuashiria kwamba kifungu hiki kinamhusu ‘Mwana wa Adamu’ wa Injili. Hapa, maneno haya yanamaanisha tu kiumbe wa mfano wa mwanadamu. Hakuna rejeleo la Masihi. Katika tafsiri ya maono katika aya ya 18, kauli hii haipo kabisa. Ufalme unaotolewa kwa ‘mmoja kama mwana wa mtu’ katika aya ya 13, unatolewa kwa ‘watakatifu wa Aliye Juu Zaidi’ katika aya ya 18.”
Isaya 9:6
Maana kwa ajili yetu mtoto amezaliwa, tumepewa mtoto mwanaume, na uweza wa kifalme utakuwa begani mwake, naye ataitwa jina lake mshauri wa ajabu, mungu mwenye nguvu, Baba wa Milele, mfalme wa amani.
Aya hii iko wazi kabisa, anaye tajwa ni Yesu kwamba yeye ni Mungu mwenye nguvu.
Hicho ndicho wanachofundishwa Makadinali, Maaskofu, Mapadre n.k. kuwa huyo mwanamke hakuwa bikira (not a virgin) na tayari alikuwa na mtoto (was with child) na wala sio Maria bali mke wa Nabii Isaya au mfalme Ahazi. Na wanasisitiziwa kuwa hakuna utabiri wa uzazi wa mwanamke bikira hapo " there is no Prophecy here of a virgin birth"."(b) Immanu-el. It was Isaiah’s Unwavering Conviction that Yahweh was with His people – Immanu-el (God with us) – If they would but put their whole trust in Him. The Prophet offered a sign of this to the weak and wavering Ahaz (see above). A ‘Young woman’ – not ‘ a virgin’ – was with child, and would bear a son to be called Immanu-el. Before he was old enough to know good from evil, Israel and Syria will have been destroyed. This ‘sign’ is given in a concrete historical situation (7:14, 8:8,10 cf. Rom 8.31); it is not visionary future possibility. The ‘young woman’ may well have been Isaiah’s own wife (ef. 8:3) or even the wife Ahaz. From the point of view of Isaiah, there is no Prophecy here of a virgin birth".

Kama nimeelewa unachotaka kusema ni kwamba kama DANIELI 7:13-14 inazungumzia Yesu maana yake ni kuwa; Yesu ni mwenye mamlaka, utukufu na ufalme ili watu wa kabila zote, mataifa yote, lugha zote wamtumikie na kwamba mamlaka yake ni ya milele na ufalme wake pia ni wa milele isipokuwa tu hiyo haitoshi yeye kuitwa Mungu. Good job.Waabudu Yesu wa Trinitaria wanaamini kwamba Danieli 7:13-14 inathibitisha uungu wa Yesu, na kwamba anapaswa “kuabudiwa.” Kulingana na Watrinitaria, kwa kuwa neno la Kiaramu “פלח” (Pelach) limetumika katika kifungu hicho, basi hilo linathibitisha uungu wa Masihi. Wanasema, “neno פלח (Pelach) hutumika kwa Mungu pekee, na halijawahi kutumika kwa wanadamu (isipokuwa Yesu).” Lakini tutakapochunguza aya hiyo, utaona kwamba neno פלח (Pelach) limetumika pia kwa wengine mbali na Mungu — watakatifu, na watumishi, n.k.
Tafsiri hii hapo juu si sahihi. Kwa nini Watrinitaria wanapotosha kwa makusudi, na kutafsiri “Pelach” kwa mwanadamu kama “kuabudiwa”? Hiyo ni kupotosha maandiko. Tafsiri nyingi zaidi zinatafsiri “Pelach” kama “kumtumikia.”
Tafsiri bora zaidi ingekuwa:
Je, kumtii Yesu kunamfanya awe Mungu? Tafsiri nyingi za Biblia, hata ile maarufu ya KJV, zinatumia neno “serve” (kumtumikia) kwa Danieli 7:14. Tangu lini “kumtumikia” kumemfanya mtu awe Mungu?
Hapa ndipo wamisionari huja na kauli ya kawaida: “Subiri kidogo, neno פלח (Pelach) hutumika kwa Mungu pekee.”
Danieli 7:14 inasomeka hivi:
Kamusi kuhusu neno פלח (Pelach)
- Hebrew-English Lexicon:
פלח (Pelach) ch., kutumikia, kuabudu.- Brown Francis:
פלח kitenzi: kulima, kutumikia. (Aramu: Pelach — kwa kawaida; pia: kulima, kutumikia).
Angalia jinsi Brown Francis anavyotafsiri neno פלח (Pelach) kama kulima, kutumikia, na hasemi chochote kuhusu kuabudu.- John Parkhurst:
- Maana ya msingi: kupasua, kukata, kugawanya.
- Katika Kiaramu: Pelach — kutumikia au kuabudu. Mfano: Danieli 3:12, 28; 6:16, n.k.
Kwa kuzingatia tafsiri hizi za kitaalamu, ni wazi kuwa neno “Pelach” halimaanishi tu “kuabudu”, bali pia lina maana nyingine nyingi kama kulima, kutumikia, kupasua, kugawanya, na kukata vipande.
Wataalamu wa Kikristo wakitoa maoni juu ya Danieli 7:13-14
Danieli 7:13-14 haina uhusiano wowote na unabii wa baadaye wa kumhusu Masihi. Tunajuaje? Ni rahisi — Mkristo akisoma sura ya 7 kuanzia aya ya 1 hadi 28, ataona kwamba “Mwana wa Adamu” anahusu “Watakatifu wa Aliye Juu Zaidi.”
- James L. Mays, Ph.D., Profesa wa Kiebrania na Agano la Kale, Union Theological Seminary, Richmond, Virginia:
- Arstein Justnes, akinukuu Stedeul katika The Time of Salvation:
- Arthur Samuel Peake, mtaalamu wa Biblia:
Kwa hivyo, kama tulivyosoma, maneno ya wataalamu hawa yanabainisha wazi kuwa kifungu hiki hakimuhusu Yesu, bali kinawahusu Watakatifu wa Aliye Juu Zaidi.
DOGMA zako peleka kanisani Mimi sizihitajiDogma imeniingia hadi huruma sio? Haya tuanze na MATHAYO 26 uliyonukuu. Soma mstari wa 64.
64 Yesu akamwambia, Wewe umesema; lakini nawaambieni, Tangu sasa mtamwona Mwana wa Adamu ameketi mkono wa kuume wa nguvu, akija juu ya mawingu ya mbinguni.
Maneno hayo Yesu alijitambulisha yeye ndiye aliyetajwa kwenye kitabu cha Danieli sura ya 7.
13 Nikaona katika njozi za usiku, na tazama, mmoja aliye mfano wa mwanadamu akaja pamoja na mawingu ya mbingu akamkaribia huyo mzee wa siku, wakamleta karibu naye.
14 Naye akapewa mamlaka, na utukufu, na ufalme, ili watu wa kabila zote, na taifa zote, na lugha zote, wamtumikie; mamlaka yake ni mamlaka ya milele, ambayo hayatapita kamwe, na ufalme wake ni ufalme usioweza kuangamizwa.
Kwa kunukuu maneno hayo Kuhani Mkuu wa wayahudi alimwelewa Yesu anajiita kuwa ni Mungu na akafikiri amekufuru.
MATHAYO 26:65
65 Ndipo Kuhani Mkuu akararua mavazi yake, akisema, Amekufuru; mna haja gani tena ya mashahidi? Tazameni, sasa mmesikia hiyo kufuru yake
Hayo maandiko ya Danieli yapo tangu agano la kale na mpaka leo wayahudi wanalisoma, na ukiwauliza wanajua kuwa aliyetajwa kwenye hiyo mistari ni divine figure japo hawatakubali kuwa ndiye Yesu aliyekuja kuzaliwa duniani baadae.
Wakristo tunaamini Mungu ni mmoja mwenye nafsi tatu inseparable. Kila nafsi ya Mungu ni Mungu kamili. Yesu tunamtambua kama nafsi ya pili ya Mungu au Mwana wa Mungu aliyekuja duniani kwa kuvaa mwili wa kibinadamu. Kwa hiyo kwa kuvaa ubinadamu alijinyenyekesha chini ya mapenzi ya Baba na ndiyo sababu aliomba, alisujudu n.k.
WAFILIPI 2
5 Iweni na nia iyo hiyo ndani yenu ambayo ilikuwamo pia ndani ya Kristo Yesu;
6 ambaye yeye mwanzo alikuwa yuna namna ya Mungu, naye hakuona kule kuwa sawa na Mungu kuwa ni kitu cha kushikamana nacho;
7 bali alijifanya kuwa hana utukufu, akatwaa namna ya mtumwa, akawa ana mfano wa wanadamu;
8 tena, alipoonekana ana umbo kama mwanadamu, alijinyenyekeza akawa mtii hata mauti, naam, mauti ya msalaba.
Umenukuu MATHAYO 26:39 na kudai kuwa Yesu alisujudu, sina hakika kama ulianza kusoma sura ya kwanza. Unajua hata Yesu alipozaliwa kuna watu walimsujudia?
MATHAYO 2:11
11 Wakaingia nyumbani, wakamwona mtoto pamoja na Mariamu mamaye, wakaanguka wakamsujudia; nao walipokwisha kufungua hazina zao, wakamtolea tunu; dhahabu na uvumba na manemane.