Magovongo
Member
- Jul 29, 2013
- 12
- 6
mda mwingine nahisi hivyo lakin
my BIG question is will I be able to cope his life style!!!!!!
Just do the best to workout, hebu kwa sasa achana na fikra za umri,jikite kwenye sehemu ambazo unazihofia huwenda asizitimize kama mme wako tukokana na umri kukuzidi, na kama ata perform vizuri hayo maeneo, then give him a chance in your life! Serengeti boys hawana adabu kabisa, na hatuhitaji kukuambia juu yao maana tayari wameshakuonjesha chungu yao. Pia hili ni angalizo; ni muda wa kuwa makini sana kumjua historia yake vizuri kweli, maana na sisi wanaume bwana tuna matatizo makubwa ya kudanganya, na kwakuwa na pesa anazo kama ulivyosema, kunahatari ya jamaa kuwa na mahusiano mengine kabla yako. Utaliaje wewe!! Usije ukarudi humu kutulaumu eti tulikushauri vibaya. Baada ya Adam na Eva, Eva kuonekana kudanganya, sasa upepo umeshabadilika na Adam ndio muongo mkubwa wa kutisha sana kwa dunia ya leo. Be very very careful!!!