Does the Age Difference Really Matter Katika Mahusiano!!!!!!!!

Does the Age Difference Really Matter Katika Mahusiano!!!!!!!!

Vi feelings naviona tena vinakuja kwa kasi ya ajabu......

nimedate na mtu tulikuwa the same age,what happened left me with a broken heart
sema hii age difference nimeiona kama ni kubwa,I just dont know for real.........

Usihofu rafiki. Cha muhimu mnapendana?! Kama angekuwa in 40s hapo hata mimi ningekusapoti hofu yako. Huu ndo umri mzuri mwanaume kuoa. Maana hapa anatafuta serious relationship. Utaniambia mwenyewe utakavyoinjoi life na huyo bwana harusi.
 
My c6, the age difference you have mentioned is the best when it comes to serious matters like marriage. I do presume, you got a golden pearl on moving sandy water, never let it go, for it may never come twice!
 
Mkuu mimi naona anakufaa. Je wewe wataka mwanaume umzidi umri?. hiyo ya kukucontrol ni kawaida ya mwanaume. Siku zote wanaume wanapenda kuona wake zao wakifanya kile kitu wanachopenda wao. Ukikataa atajijengea kwenye akili unamdharau. Mradi anayo kiambia ufanye ni mazuri yaani yanakubarika kijamii. Naamin yeye anataka akutengeneze aone kama unamheshimu au utamheshimu. Anaweza akakukataza kitu makusudi aone utakavyo react.
Upande wa pili wewe una malengo yako uliyo jiwekea kwamba unataka uishi na mtu wa aina gani. So timiza ndoto zako usijilazimishe kitu unacho ona sio coz baadae kitakuletea matatizo vilevile usikatae mahusiano sababu ya umri kama mambo mengine yapo poa hence wewe ni msichana. Kumbuka hutapata mtu mwenye kila sifa unayo itaka. Akifikisha 80% ya sfa utakazo huyo anakufaa mengine mnalekebishana mbele ya safari. mia
 
Any relationship has 3 big issues about men. Just learn your game you will be fine!!!!!!!! Know when to hold and when to fold.

Stage 1.
1. Mwanaume sio ndugu yako ama mzazi wako. Ni mtu tu mmekutana ukubwani. (Meaning tolerance level yake iko chini. So behave as much as possible. Don't push his limits. Know your boundaries. Hakuna mwanaume utayeshindwana nae)

Stage 2.
Dont take any man for granted. Any means ANY hata kibuzi. They are sharp to sense your over comfidence and they love to challange you. Its about continuous and gradual process of winning his heart over and over. You better take your time.

Stage 3
Become The Master of Manipulation to get him to do what you want. Every body has a weak point, use it to your advantage. Kila shetani na mbuyu wake wewe usilale usingizi mpaka uujue huo mbuyu wake. Ndo utashangaa mwenzio mumewe kamjengea kwao, anasomesha wadogo zake wote ulaya, ana bonge la gari, full shopping, we wako nyama hanunui humo ndani, ama ukisema habari za ndugu zako tu ugomvi ukakalia ana bahati yule au limbwataa! Wapiiiiiiiii!!!!! Kaujua mbuyu ulipo, akitaka kitu tu anakwea mbuyuni. Mjini hapa!

ALL THE BEST!!!!!!!!

Huu ushauri sio. Kujengewa kwenu sio kudumu kwenye ndoa. Mtu mwingine anakujengea anakufanyia mambo ya maana lakini ndoa unakuta haimedumu. Heaven on earth anacho taka kujua ni je atadumu naye au ataishia njiani kwa kushindwa masharti?. kwa ufupi anaogopa. Inamaana anataka kitakacho dumu. Je akishindwa kuuzunguka huo mbuyu na kashaingia atafanyaje?. huo ushauri uloutoa unafaa nyumba ndogo/yaani ni wa kihuni. Unamfaa mpita njia. Yeye kuhusu kumhandle hana tatizo ina maana anayaweza. Mia
 
Last edited by a moderator:
By mito<br />
Cha kuangalia ni merits ya kile anachosema DO au DON'T DO. Binafsi naona kama anatimiza ile role ya mume kuwa kiongozi, ila inaonekana wewe unachukulia kama anaku-force au kuku-command vile. If it makes sense, then take it positively
<br />
<br />
Yaani hizo DO and DONTS unadhani zina madhara basi.......<br />
<br />
ni ile tu naona kama anataka kubadilisha lifestyle yangu.....
Maisha ya ndoa ni maisha mapya hata marafiki hubadilika. Mia
 
Huu ushauri sio. Kujengewa kwenu sio kudumu kwenye ndoa. Mtu mwingine anakujengea anakufanyia mambo ya maana lakini ndoa unakuta haimedumu. Heaven on earth anacho taka kujua ni je atadumu naye au ataishia njiani kwa kushindwa masharti?. kwa ufupi anaogopa. Inamaana anataka kitakacho dumu. Je akishindwa kuuzunguka huo mbuyu na kashaingia atafanyaje?. huo ushauri uloutoa unafaa nyumba ndogo/yaani ni wa kihuni. Unamfaa mpita njia. Yeye kuhusu kumhandle hana tatizo ina maana anayaweza. Mia

HAHAHAAAAAAAAAA! Sasa kumjengea mkeo kwao kama uwezo unao kuna ubaya gani?

Mimi sijaona uhusiano WA KUMJENGEA MKEO KWAO NA NDOA KUVUNJIKA? SIONI KABISAAAAAAAA! Hio nyumba uliomjengea ama wadogo zake uliowasomesha wanavunjaje haswaaa hio ndoa na kuifanya isidumu!

Embu acheni ROHO ZA UMASIKINI na GHILIBA kwa wake zenu! Yaani kumfanyia kitu kidogo kama kumjengea tubanda ndo ndoa iishe?????????

NO WONDER UNAKUTA MTU KWA MUMEWE KUNA MIJUMBA HATA 6 YA KUFURU ILA KWAO KUNA KIBANDA CHA NYASI NA WADOGO ZAKE HAWANA ADA SHULE WAMEACHA!

Big up kwa WANYAMWEZI! Dada mtu akitoka ukoo mzima hadi babu na mashangazi wametoka kimaisha!
 
For that age difference its ok kama we mwenyewe pia unamfeel. All in all you have to put God first in everything. Angalia mwenzio hapa (Celine Dione and huasband Rene Angelil). All the best 1105646.jpg 101410_celine_dion_INFphoto_1191843.jpg CelineDionReneAngelil96306339.jpg images.jpg celine_dion_twin_sons_rene_angelil.jpg
 
Kichwakipana,Umri ktk mahusiano una nafasi yake,tena kubwa sana.Watu wanaishi kwa kufuata tamaduni zao (tamaduni hazikwepeki),na ukiishi kinyume na tamaduni hizo ni lazima idha wewe binafsi dhamiri yako Itakusuta (utasononeka/kujuta) na watu wanaokuzunguka watakuhukumu (hutapata support ya mambo kadhaa kwa 100% na hali hiyo lazima itaweka msononeko ktk mioyo ya wanandoa)

Watu wenye umri wa aina fulani kwa kawaida wana tabia kadhaa zinazofanana,Watu wenye utofauti wa miaka 10 kwenye ndoa huwa wanaweza kukaa kwenye box moja ikiwa mwanaume ndio mkubwa.Ila kama mwanamke ni mkubwa kwa miaka 10 hapo kutakua na mushkeli,maana ukuaji wa mwanamke na mwanaume ni tofauti (kibaiolojia), kiutamaduni nayo shida,jamii haitawakopea na kuwapa support.(Maisha sio kujiangalia nyie wawili tu,maana mnaishi kwenye jamii yenye utaratibu wake (utamaduni) huwezi kupuuza external forces ktk ndoa,lazima zitawadhuru tu kama hamku ziconsider.) Ndo maana kitu chochote ukitaka kufanya na uhakika na ufanikiwe ni lazima utambue Internal factors na External Factors ambazo zitaboresha au kuharibu shughuli husika.

ASANTE kwa ushauri rafiki........
 
For that age difference its ok kama we mwenyewe pia unamfeel. All in all you have to put God first in everything. Angalia mwenzio hapa (Celine Dione and huasband Rene Angelil). All the bestView attachment 105623View attachment 105624View attachment 105625View attachment 105626View attachment 105627

Ni kweli hizo ni ndoa saafi,Ila usijisahau kukumbuka wanaishi ktk mazingira na tamaduni gani..Maana hii dunia hata haliya hewa,ardhi,zinatofautiana kutokana na mazingira japokua zinaweza kuboreshwa na kufanana..angalia mazingira uliko.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu mimi naona anakufaa. Je wewe wataka mwanaume umzidi umri?. hiyo ya kukucontrol ni kawaida ya mwanaume. Siku zote wanaume wanapenda kuona wake zao wakifanya kile kitu wanachopenda wao. Ukikataa atajijengea kwenye akili unamdharau. Mradi anayo kiambia ufanye ni mazuri yaani yanakubarika kijamii. Naamin yeye anataka akutengeneze aone kama unamheshimu au utamheshimu. Anaweza akakukataza kitu makusudi aone utakavyo react.
Upande wa pili wewe una malengo yako uliyo jiwekea kwamba unataka uishi na mtu wa aina gani. So timiza ndoto zako usijilazimishe kitu unacho ona sio coz baadae kitakuletea matatizo vilevile usikatae mahusiano sababu ya umri kama mambo mengine yapo poa hence wewe ni msichana. Kumbuka hutapata mtu mwenye kila sifa unayo itaka. Akifikisha 80% ya sfa utakazo huyo anakufaa mengine mnalekebishana mbele ya safari. mia

asante @figganiga

btn ile mipango yetu iko vile vile!!!!!!!!
 
umri hauna relation yoyote na maisha ya ndoa cha msingi ni kama nyie mnapendana kwa that, na si vinginevo

Eti????okay,Haya sasa kama we una 45yrs then oa binti mwenye 20yrs uone kama vijana hawatakusaidia kazi pindi ukifika 55yrs wakat ye 30yrs
 
Mi naona kigezo cha umri kina umuhimu wake sana katika mahusiano hasa ya ndoa; miaka kumi inaweza kuonekana sio kitu kwa sasa maana mpo kwenye 30s na 20s ila mkifika kwenye 50s na 40s huko ndipo utaweza kuiona tofauti kwa wazi zaidi. Siwezi kukupa data kamili za takwimu mbalimbali kwa sasa ila in general kuna mambo mengi ya kuzingatia kama kutofautiana kasi ya kumature, when are in your primes, focused n.k. Ni vizuri sana kama tofauti inakuwepo basi ni miaka michache tu. Siku za usoni utaanza kuona issues za energy, kulea watoto, stability nk. Ni kweli wapo wengi waliooana bila kuzingatia tofauti ya umri, na ni kweli changamoto na matatizo yapo, ila hiyo isimaanishe na wewe ufuate mkondo huohuo, kama kuna namna ya kuepuka ni vema kuitumia! Lakini sometimes pia unalazimika kuignore baadhi ya factors kama unapata mtu anayekufaa, basi suala la umri hulizingatii sana. Go for him, but be prepared for the challenges that might arise. Huna uhakika kama ukimpata wa umri unaofaa atakuwa anafaa kwa vigezo vingine pia, chemsha akili yako! Remember if you do not get what you think you want, then take what you get! Nakutakia kila la heri na Mungu akusaidie.

Umesemaaaaaa...na nimegonga LIKE
 
jamani rafiki kuna baadhi ya vishughuli vimenibana na ndio maana nakuwa kiangazi haswaa,ila nikipata ka muda angalau hata kidogog huwa nakuja kuchungulia kidogo kidogo kama hivi ,ila nashukuru kwa kuitikia wito rafiki mpendwa.
Rafiki wapi tena, yaani umekuwa kama kiangazi....joking....tangu baridi ianze tunakiota. Tumeshakuja tumempa elimu si unajua amekuja na maelezo yanayoonyesha ana kizungumkuti.
 
jamani rafiki kuna baadhi ya vishughuli vimenibana na ndio maana nakuwa kiangazi haswaa,ila nikipata ka muda angalau hata kidogog huwa nakuja kuchungulia kidogo kidogo kama hivi ,ila nashukuru kwa kuitikia wito rafiki mpendwa.

Nafurahi kusikia toka kwako rafiki.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom