Does the Age Difference Really Matter Katika Mahusiano!!!!!!!!

Does the Age Difference Really Matter Katika Mahusiano!!!!!!!!

kama ni mfuatiliaji mzuri wa mambo ya historia,,,, look at the age difference kati ya hayati abeid aman karume na mkewe wakati wanaoana...... mi nilipiga hesabu mpaka nikahesabu vidole vya mikono na mguu na baadhi ya vijiti nikapata jawabu kama 30yrs age difference.....so age ain't nothing but just a number

Kwa hiyo mkuu unamshauri huyu binti ajiandae kuwa mjane? hahahah just kidding.
 
Heaven on Earth, usiwe na wasiwasi mama...am not in my aerly 30's as i told u before, nina miaka 27 tuuu!.
:wave:
 
mjasiria hapana bwana nilitaka kumwambia hivi kwamba hapo ndo amepata the right soulmate....
kama stil anataka ushauri zaidi kuna mtu humu ndani alishakuja na thread alikuwa anataka ushauri but kwa case ya huyo mtoa mada alisema yeye 28 yrs na king'amuzi wake 16yrs... kuna wachangia walitiririka vya kutosha... aitafute hii thread nadhani anaweza akapata ushauri mwingi zaidi.
 
Last edited by a moderator:
Heaven on Earth, usiwe na wasiwasi mama...am not in my aerly 30's as i told u before, nina miaka 27 tuuu!.
:wave:

jamani arnolds Kwa nini ulinidanganya sasa......,

leo jiandae kwa hizi :argue::argue:
 
Last edited by a moderator:
Yaani amekuzidi jamani yaaani ndo anakufaa huyo tena kabisa aisii hata heshima itakuwepo kidogo ungekuwa ndo umemzidi ingekuwa ishu weee jilipue mamiii kama una hisia nae maisha yaendelee aisiii
 
Vi feelings naviona tena vinakuja kwa kasi ya ajabu......

nimedate na mtu tulikuwa the same age,what happened left me with a broken heart
sema hii age difference nimeiona kama ni kubwa,I just dont know for real.........

Kwako wewe ni advantage kuwa na mtu mature zaidi yako; ila kwake yeye namuhurumia kwani waweza msumbua kwakuwa ndo kwanza unahitaji kujifunza kwa kukosea mara nyingi.

So kama unataka kuwa selfish kidogo go for him, unapata a MAN sio a boy l am sure atakuvumilia na anaweza kukusaidia kujua nini unachotaka in life.
 
Hadithi hii inataka kufanana na yangu, ila mazingira mliyokutana ni tofauti. Wa kwangu anafuraha sana na anasema 'anaona fahari sana kuwa mdogo kuliko mpenzi wake'. Inapendeza sana pale tunapokuwa tunataniana kitoto toto na kikubwa kubwa. 20+ ni umri tosha, kitu muhimu, 'muwe na lengo moja', muongee lugha moja.
 
yani that age is perfecto kabisa as for me kama ningelijua ningeolewa na mtu ambaye we differ like 15 years mens mature as in upstairs in there late 30's so unaona hapo bado kidogo tu assetle haa haa mens take it easy with me but that is the trueth.
 
dada mi sioni kama umri huo wako na wakwake ni wa kutisha au kukuzuia wewe na yeye msiwe pamoja kama kweli mnapendana....pamoja na kufuata moyo wako shosti, umri huo ni wa kawaida sana kwa wapenzi. Hapo kama angekuzidi labda 40 yrs, ndio tungepanik humu ndani.....so kwa upande wangu mimi nakusapoti 100% kama umempenda naye kakupenda basi mtualikage kuja kula ubwabwa....kila la kheri Inshaallah!
Habari zenu wana MMU!!!!!!!

i think its my first time kuomba ushauri humu hasa kuhusiana na my personal life,
am a girl in my earlier 20"s elim yangu na nna kazi yangu kiasi kwamba I can take care of myself,
nimepitia kwenye relationship that really sucks mpaka ikabidi nijiweke Pembeni kidogo na mambo ya mahusiano,

Lakin sasa nimekuja kukutana na huyu kijana,tuliwahi ku attend workshop pamoja kipindi fulani na tukawa
kwenye category moja so hiyo ilitupa chance ya kuwa friends/collins baada ya workshop kuisha
kila mtu alienda njia yake ikabakia "HI" za hapa na pale!!!!!

hizi siku za karibuni ndio that Guy ameniibukia,sijashangaa sana cos that time I just read the signs nikajua
jamaa kuna kitu kazimikia sema hakunambiaga tu!!!!!!!

sasa what makes me worries ni age difference yetu,yeye ni amenizidi kwa miaka 10,so nikikwambia am in my
early 20's ye nae yuko in his early 30's, sometimes I find it so weird.

I'm beginning to have feelings but I find it so awkward nikiwaza age naona ana act as an adult sana
sa mi Heaven on earth naona I have a certain kind of life ambae ni tofauti na yeye sasa my worry is
will I be able to cope,cos hatujaingia ktk relationship ila naona kama ni mtu wa kuniambia the DO'S and DONT'S!!!!!!

mambo mengine he is okay,he is lookong forward to a long term commitment (mtakuwa mmenielewa hapo)
financially stable ila sitaki hiko kuwa the main reason ku enter into relationship,i just want to consider other things.

Am planning to talk to my Mum this weekend but nahitaji kujua hili ni sahihi!!!!!!
watu wa hivi wapo na maisha yao ya ndoa huwa yana WORK OUT!!!!!!
 
dada mi sioni kama umri huo wako na wakwake ni wa kutisha au kukuzuia wewe na yeye msiwe pamoja kama kweli mnapendana....pamoja na kufuata moyo wako shosti, umri huo ni wa kawaida sana kwa wapenzi. Hapo kama angekuzidi labda 40 yrs, ndio tungepanik humu ndani.....so kwa upande wangu mimi nakusapoti 100% kama umempenda naye kakupenda basi mtualikage kuja kula ubwabwa....kila la kheri Inshaallah!

hahaa mabo yakienda sawa kwenye kula ubwabwa ntakualika,

nashukuru sana kwa ushauri wako,nahisi my answer will be YES

baada ya wana MMU kunipatia ushauri wa maana.ASANTE
 
Hadithi hii inataka kufanana na yangu, ila mazingira mliyokutana ni tofauti. Wa kwangu anafuraha sana na anasema 'anaona fahari sana kuwa mdogo kuliko mpenzi wake'. Inapendeza sana pale tunapokuwa tunataniana kitoto toto na kikubwa kubwa. 20+ ni umri tosha, kitu muhimu, 'muwe na lengo moja', muongee lugha moja.

We ni me/ke SAMAHANI kama nimekukwaza na swali langu

kuna jambo nataka nikuulize!!!!!!
 
yes! unajua nikwambie kitu, mimi naamini kuwa mtu ambaye hafai kukuoa (ukuzingatia suala la umri) ni yule mwenye umri ambao anaweza kukuzaa tu. sasa 10 yrs wala hana uwezo wa kukuzaa jamani! jiachie mwaego wenzako wanatafuta hata vibabu na hawavipati!
hahaa mabo yakienda sawa kwenye kula ubwabwa ntakualika,

nashukuru sana kwa ushauri wako,nahisi my answer will be YES

baada ya wana MMU kunipatia ushauri wa maana.ASANTE
 
I'm beginning to have feelings but I find it so awkward nikiwaza age naona ana act as an adult sana
sa mi
Heaven on earth naona I have a certain kind of life ambae ni tofauti na yeye sasa my worry is
will I be able to cope,cos hatujaingia ktk relationship ila naona kama ni mtu wa kuniambia the DO'S and DONT'S!!!!!!


Heaven on earth nimeshindwa kupitia post zote , ila nimesoma between the line na sijaona kama kinachokutatiza zaidi ni tofauti yenu kiumri bali ninacoona mimi ni tofauti yenu kwenye kufanana kama nilivyo-quote hapo juu.

hiyo tofauti ya age sioni kama ni tatizo , ila kama hamuendani hilo ni tatizo............
hata mimi wa kwangu nimemzidi miaka 8 lakini hatuoni hiyo tofauti kwani mambo yetu yanaendana.
 
Last edited by a moderator:
Heaven on earth nimeshindwa kupitia post zote , ila nimesoma between the line na sijaona kama kinachokutatiza zaidi ni tofauti yenu kiumri bali ninacoona mimi ni tofauti yenu kwenye kufanana kama nilivyo-quote hapo juu.

hiyo tofauti ya age sioni kama ni tatizo , ila kama hamuendani hilo ni tatizo............
hata mimi wa kwangu nimemzidi miaka 8 lakini hatuoni hiyo tofauti kwani mambo yetu yanaendana.

ASANTE asakuta same yeah umri ni 10 yrs lakin
hata ukituona ni kazi ku notice different za umri......

ni vitu vidogo vidogo anavyosema inabidi
ufanya hivi fanya vile,ndo sometimes inanipa shaka
 
Last edited by a moderator:
ngoja ukifikisha 25 na kuendelea halafu walevi wanakufukuzia. utamkumbuka huyo wa ten years difference, maana watakao kubeba wewe pengine ni 25 to 25 years diffrence. tunawaona mitaani kwetu hawa wadada. mfano kale katoto ka mengi, faraja kotta, niendele???
sister hapo utajijeijei
 
ASANTE asakuta same yeah umri ni 10 yrs lakin
hata ukituona ni kazi ku notice different za umri......

ni vitu vidogo vidogo anavyosema inabidi
ufanya hivi fanya vile,ndo sometimes inanipa shaka

ninachokifahamu wanawake smart kichwani siku zote hupenda kupata wanaume smarter kichwani zaidi yao ,,,,, na kuna ambao wanajisikia faraja na raha sana wanapokuwa na mwanaume smart kichwani , kiongozi , mshauri , na rafiki...........
kama unadhani unaweza kuishi na kudumu kwa hizo tofauti , just go for him..... nionavyo mimi huo umri siyo tatizo.
 
ninachokifahamu wanawake smart kichwani siku zote hupenda kupata wanaume smarter kichwani zaidi yao ,,,,, na kuna ambao wanajisikia faraja na raha sana wanapokuwa na mwanaume smart kichwani , kiongozi , mshauri , na rafiki...........
kama unadhani unaweza kuishi na kudumu kwa hizo tofauti , just go for him..... nionavyo mimi huo umri siyo tatizo.

Thank you i think its going to be that way(BOLD)

btn I miss you,umekuwa adim sana
 
Thank you i think its going to be that way(BOLD)

btn I miss you,umekuwa adim sana


ila besti hakikisha unaweza kuishi na kuridhika kwa hizo DO's and DONT's , siyo mambo ya kuja kumuona mwenzako mkoloni wakati mpaka thread umemletea hapa.......:tape::tape::tape:

nimekukosa pia , ila nipo na shughuli za hapa na pale na mimi natumia kompyuta mpakatio , sina ipad na simu wajanja wa mjini waliniliza.
 
ngoja ukifikisha 25 na kuendelea halafu walevi wanakufukuzia. utamkumbuka huyo wa ten years difference, maana watakao kubeba wewe pengine ni 25 to 25 years diffrence. tunawaona mitaani kwetu hawa wadada. mfano kale katoto ka mengi, faraja kotta, niendele???
sister hapo utajijeijei

we usiendelee kuwataja wasije wakaku home shopping center......

hao hao wanatosha tu,
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom