Does the Age Difference Really Matter Katika Mahusiano!!!!!!!!

Does the Age Difference Really Matter Katika Mahusiano!!!!!!!!

Nimepita huku mpenzi,nayajua haya uyasemayo

we unaumia Kiroho ye wala ashatoka huko siku nyingi....

umeona ee! They are so stabon! Loh hiyo difference ipo bye! So ni wewe kumuomba mungu kwa imani yako ili namambo mengine yaende sawia realy u will enjoy the marriage!
 
Go for him, hofu yangu kubwa ni yeye kuoa mtu mwenye umri wa dotcom. Sasa mambo ya kitoto yachimbie kaburi uyazike huko. Anza chapter upya.
 
hahaa mbona umenichekesha hivyo wakati mwenzio niko serious.......
so mshua ki hivo,ata ukituona wawil huwezi kunotice age difference zetu
hadi nikwambie!!!!!!!!!!!!
Tatizo wanajifanyaga hawataki mambo mengi kwenye mapaenz wao wanawaza kugongana then mzae miromance ya kufa mtu wanaona ujinga
 
mabwaku haya, ok, chamsingi katika kuwa pamoja ni kama wewe na yeyey malengo yenu yote yana meet mahala pamoja , ila kama unataka kuwa na mwenzio kisha umfanye kinamna fulani kwa ku-mtreat kama dogo itakuwa shida, chamsingi mnaenda kwa mambo ya msingi? coz relation ni kusaidiana tu mambo fulani fulani ingawa mengine manvunga juu kwa ju. age diff. is not an issue/stumbling block towards your lifelong commitment , upe moyo nafasi.
 
Nilikua nakutafuta hapa bi dada na kama nisingekuona wallahi ningekuita.
Tehe tehe tehe....
Always nakusoma sana

What do you mean Anafaaaaa? Ofcourse anafaaaaaaa!

Age is just a number!!!!!

30's are the new 20's Mi nakushauri (Sasa suala kama je niko credible kukushauri hayo mambo mengine!), think outside the box mambo mengine ya msingi na sio kukomalia hio Age.

Mimi baba angu na mamushka wamepishana 15 years. Ila wanawake tulivo na miili isyo nashukrani ukiwaona utasema wanalingana uzee.

Mi nilijua Age difference unaongelea 70yrs huko!
 
Heaven on earth naona kama ushapata your heaven on earth. Mi sina cha ku add kwa kweli.
Ukishaongea na maza ndo mpango mzima utaamua mwenyewe.
 
Last edited by a moderator:
the good thing about this relationship ni kwamba you will be able to have a focused life and a matured perspective of things in life at an early age. By the time you strike 30 and he is 40, you are more matured than your age mates and friends.
 
Thats good to hear mamito i wish u the bst coz your happines is my happines.
huyo huyo grafani11 wala hujakosea..

Kumpenda yeah I can see my emotions going that way...

and my emotions zinaenda that way cos he has certain qualities
that as a girl I really admire

sema shida ilikuwa hapo tu asante kwa ushauri wako my dada Blue G
 
That age does not matter in real relationship. Umri huo wala sio mzee tena ni kama ulivyosema watu wakikuona hawaezi kubain tofauti hiyo kubwa. watu wengi wamekushauri vizuri sana. zingatia ushauri wao hata mie nakuambia umri huo kwko ndo mzuri utakuwa na mume siyo mwanaume. suala kubwa kwa mwanamke ni kupata mume, na ili awe ni kichwa cha familia yenu mwanaume inashauriwa amzidi mwanamke angalau zaidi ya miaka mitano kuepuka magomvi ya mara kwa mara, mana wanawake huzeeka mapemaa hasa wakishaanza uzazi. Hivyo huyo ndo mwanamume kwako dadangu.
Hilo ulilotaniwa la unatakiwa ugegendwe na kukunjwa lisikutishe, tendo la ndoa sio mazoezi ya gym wala ya mieleka kusema muumizane, anaejua anajua tu haijalishi umri, mtu wa miaka 40 au zaidi anaweza akawa fundi zaidi katika kumridhisha mwanamke kuliko wa chini ya miaka 20. Tendo la ndoa ni sanaa au ufundi na ufundi haujalishi umri.
Mchukue huyo mtu lakini kama unahitaji kuolewa nae jaribu kuzingatia mambo mengine kama tabia, mwenendo na mengineyo, umri just forget it.
 
Usisahau kurudi kwa ajili ya updates tafadhali. Na mama akikubali tuambie tuandae matumbo ya kula ubwabwa. Wadau hawa am sure hawatashindwa kukuchangia walau 30,000 kila mmoja.
 
That age does not matter in real relationship. Umri huo wala sio mzee tena ni kama ulivyosema watu wakikuona hawaezi kubain tofauti hiyo kubwa. watu wengi wamekushauri vizuri sana. zingatia ushauri wao hata mie nakuambia umri huo kwko ndo mzuri utakuwa na mume siyo mwanaume. suala kubwa kwa mwanamke ni kupata mume, na ili awe ni kichwa cha familia yenu mwanaume inashauriwa amzidi mwanamke angalau zaidi ya miaka mitano kuepuka magomvi ya mara kwa mara, mana wanawake huzeeka mapemaa hasa wakishaanza uzazi. Hivyo huyo ndo mwanamume kwako dadangu.
Hilo ulilotaniwa la unatakiwa ugegendwe na kukunjwa lisikutishe, tendo la ndoa sio mazoezi ya gym wala ya mieleka kusema muumizane, anaejua anajua tu haijalishi umri, mtu wa miaka 40 au zaidi anaweza akawa fundi zaidi katika kumridhisha mwanamke kuliko wa chini ya miaka 20. Tendo la ndoa ni sanaa au ufundi na ufundi haujalishi umri.
Mchukue huyo mtu lakini kama unahitaji kuolewa nae jaribu kuzingatia mambo mengine kama tabia, mwenendo na mengineyo, umri just forget it.

"Mchukue huyo mtu lakini kama unahitaji kuolewa nae jaribu kuzingatia mambo mengine kama tabia, mwenendo na mengineyo, umri just forget it." Emphasis added
 
Heaven on earth naona kama ushapata your heaven on earth. Mi sina cha ku add kwa kweli.
Ukishaongea na maza ndo mpango mzima utaamua mwenyewe.

the good thing about this relationship ni kwamba you will be able to have a focused life and a matured perspective of things in life at an early age. By the time you strike 30 and he is 40, you are more matured than your age mates and friends.

1.nahisi hivyo na mimi pia,mambo yakienda as planned

2.asante kwa ushauri hekimatele,i like your perspective in this!!!!!!!!
 
Last edited by a moderator:
That age does not matter in real relationship. Umri huo wala sio mzee tena ni kama ulivyosema watu wakikuona hawaezi kubain tofauti hiyo kubwa. watu wengi wamekushauri vizuri sana. zingatia ushauri wao hata mie nakuambia umri huo kwko ndo mzuri utakuwa na mume siyo mwanaume. suala kubwa kwa mwanamke ni kupata mume, na ili awe ni kichwa cha familia yenu mwanaume inashauriwa amzidi mwanamke angalau zaidi ya miaka mitano kuepuka magomvi ya mara kwa mara, mana wanawake huzeeka mapemaa hasa wakishaanza uzazi. Hivyo huyo ndo mwanamume kwako dadangu.
Hilo ulilotaniwa la unatakiwa ugegendwe na kukunjwa lisikutishe, tendo la ndoa sio mazoezi ya gym wala ya mieleka kusema muumizane, anaejua anajua tu haijalishi umri, mtu wa miaka 40 au zaidi anaweza akawa fundi zaidi katika kumridhisha mwanamke kuliko wa chini ya miaka 20. Tendo la ndoa ni sanaa au ufundi na ufundi haujalishi umri.
Mchukue huyo mtu lakini kama unahitaji kuolewa nae jaribu kuzingatia mambo mengine kama tabia, mwenendo na mengineyo, umri just forget it.

duh asante sana umeongea so wisely,ningekuwa mode
ningeweka haka ka kibao :closed_2: ila ushukuriwe,

mambo mengine he is okay,tabia yake inaridhisha.ASANTE SANA
 
Usisahau kurudi kwa ajili ya updates tafadhali. Na mama akikubali tuambie tuandae matumbo ya kula ubwabwa. Wadau hawa am sure hawatashindwa kukuchangia walau 30,000 kila mmoja.

HAHAHA kualika wana JF itakuwa sawa but only if mambo yakienda

as expected.halafu ole wako usichangie...............
 
yaani ni yule mtu fulani ana act so matured hadi najishtukia
Anafanya hivyo kwa kuwa ni kweli kapevuka hivyo hilo halitii shaka yoyote...

kuna vitu flani naviona kwake amabavyo mimi najiona yeah I still want to
do,this act this way,na ye huko wala hayupo!!!!!!!

Do ya things and let him do his things, mwisho wa siku mta-merge...
 
Mimi naona sasa ndo umepata kwa mtu mwenye difference ya 10. Maana kama ulivyosema umekuwa na vijana wenzako wee mpaka ukaamua kujiweka pembeni kwa sababu ya purukushani zao. Mtu mzima anajua kile anafanya na si mtu wa kukurupuka kwenye mapenzi kama vijana wako hao uliokuwa nao. Mimi nakushauri uchangamkie kama unaona na wewe umependa. Age is just number what matter is real love
itakuwa na wewe ni mtu mzima....
 
unamuona mkubwa una kadi lake la clinic!
hebu jimwage bibi upate wako mdogo wangu watu tushone vitenge vya minuso!
on a serious note!
hakuna kitu kinaitwa umri kwenye hisia za ukweli!
yao mambo yanaweza fanya usitishe mahusiano yako umri si miongoni mwao
hasa kama mwanaume ndo amekuzidi
kimsingi mkisha kaa ndani utaanza wewe kuamkiwa,LOL
GO FOR IT GIRL!
 
follow you heart heaven on hearth let love lied the way...age is just matter of number,angalia vigezo na masharti unayo taka kwa mr right man wako anavyo?km hana piga chini,kumbuka not all adults one is wise...and not all young people[same age] is in foolish age.nakushauri usikurupuke kufanya maamuzi just fikiri kwanza is he the one....
 
HAHAHA kualika wana JF itakuwa sawa but only if mambo yakienda

as expected.halafu ole wako usichangie...............

We kamilisha taratibu kwanza halafu uone kama hatujachangia. Ila usisahau kusemezana na Mungu juu ya jambo hili. Wengine wanatafuta kukidhi haja zao kisha wanakimbia. Gia ya kuoa ni vere common. Mkishaanza mahusiano unakuta unajiachia halafu wanawake mnakuwaga na assurance sana kwamba lazima mtaolewa then unajikuta unampa kitumbua akishaonja mara moja mara mbili mara 3 anaanza kupotea mdogo mdogo kisha ndo bye bye.
BEWARE OF DOGS. hata biblia imesema
Phillipians 3:2 "Beware of dogs, beware of evil workers, beware of the concision." KJV
 
hongera na pole best. mimi sioni tatizo! tofauti ya miaka kumi si kigezo cha kukufanya ukashindwa mkubalia mtu ambaye ana vigezo vingine vyote. naamini hutampata mtu ambaye atakuwa na kila kitu unachokihitaji. Ila ushauri mkuu hebu mshirikishe Mungu kwa kina juu ya jambo hilo ila tu kama unahitaji mchumba na sio mshikaji wa kula goodtimes!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom