Mia ya noti
JF-Expert Member
- Dec 30, 2018
- 866
- 1,240
Mimi naona tatizo kubwa ni kukosa watu wenye akili zinazofikiri kisawa sawa. Nasema kwamba tungekuwa na watu wenye akili tusingekuwa waoga namna hii. Huu woga ni dalili moja tu ya ukosefu wa akili.
Tanzania hii kila mtu analenga maslahi yake mtakuea pamoja mwanzoni mwa harakati akipata anachotaka anasaliti Kambi.
Katika mazingira haya huwezi pata mabadikiko sababu hakuna common agenda.
Hasa kizazi hiki ndio kibaya zaidi yaani chawa ni tabu kabisa, unaona kabisa mtu anapambania apate kitu na si alete mabadikiko.
Naamini kitakacjotutoa hapa tulipo ni kuwa na demokrasia imara ambayo sinlazima ifanani na ya marekani au Uingereza ila Ile ambayo itawezesha maonoli ya watu yaheshimiwe.
Hofu yangu hatuwezi kupata demokrasia imara kwani historia ya nchi yetu pia inaonesha tuliingia vyama vingi kishingo upande ili kuwaridhisha wakubwa wasitutenge. Hapa ndipo CCM wanapambana toka enzi na enzi sababu hawakukubali kihiari kuingia kwenye vyama vingi.
Watu wetu pia wameziea shida hawaoni kama Kuna Maisha zaidi ya haya ni namna gani mtu huyu atatamani kubadili mambo?
Tunahitaji watu wa kuwafungua watu wetu na kuwaonesha kuwa tunaweza kuishi maisha Bora kabisa ya hadhi ya binadamu na hapo ndipo tutaweza kubadili Hali kwani itakuwa rahisi kupata kuungwa mkono kea wingi.
Hivyo elimu ya kuzindua watu ni muhimu saana, itolewe bila kuchoka.
Pilato aliwasha taa mchana kuwazindua watu bado kazi inapaswa kuendele bila kuchoka.
Tanzania hii kila mtu analenga maslahi yake mtakuea pamoja mwanzoni mwa harakati akipata anachotaka anasaliti Kambi.
Katika mazingira haya huwezi pata mabadikiko sababu hakuna common agenda.
Hasa kizazi hiki ndio kibaya zaidi yaani chawa ni tabu kabisa, unaona kabisa mtu anapambania apate kitu na si alete mabadikiko.
Naamini kitakacjotutoa hapa tulipo ni kuwa na demokrasia imara ambayo sinlazima ifanani na ya marekani au Uingereza ila Ile ambayo itawezesha maonoli ya watu yaheshimiwe.
Hofu yangu hatuwezi kupata demokrasia imara kwani historia ya nchi yetu pia inaonesha tuliingia vyama vingi kishingo upande ili kuwaridhisha wakubwa wasitutenge. Hapa ndipo CCM wanapambana toka enzi na enzi sababu hawakukubali kihiari kuingia kwenye vyama vingi.
Watu wetu pia wameziea shida hawaoni kama Kuna Maisha zaidi ya haya ni namna gani mtu huyu atatamani kubadili mambo?
Tunahitaji watu wa kuwafungua watu wetu na kuwaonesha kuwa tunaweza kuishi maisha Bora kabisa ya hadhi ya binadamu na hapo ndipo tutaweza kubadili Hali kwani itakuwa rahisi kupata kuungwa mkono kea wingi.
Hivyo elimu ya kuzindua watu ni muhimu saana, itolewe bila kuchoka.
Pilato aliwasha taa mchana kuwazindua watu bado kazi inapaswa kuendele bila kuchoka.