Leo ni miaka mitatu rasmi na bado miezi miwili aapishwe kuwa Rais mpya, what a coincedence?Wakuu,
Mwanasheria Mkuu wa CHADEMA, rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) na Mbunge wa Singida Mashariki Tundu Lissu, ajeruhiwa kwa risasi...
Ni kama vile neno coincidence umelitumia ndivyo sivyo.Leo ni miaka mitatu rasmi na bado miezi miwili aapishwe kuwa Rais mpya, what a coincedence?
Unaweza dereva CCM akili mnawekaga wapi kamchukueni uko chuo sasa.Dereva hajamaliza chuo?
Siku nyeusi.Hii siku niliumia sana moyoni na kujiona naweza kuwa gaidi. Maombi yalinisaidia sana
Amina tunamshukuru Mungu kwa muujiza mkubwa na tunamuombea Lissu maisha marefu na ushindi mkubwa.Leo imetimia miaka mitatu 3 kamili toka Tundu Lissu ashambuliwe kwa risasi zaidi ya 38 tarehe 7/9/2017 na watu wasiojulikana Dodoma alipokuwa anahudhuria vipindi vya bunge....
Ongezea na tukio la September, 11.Ameen!!!!
Huu mwezi Una balaa kubwa mpaka wazungu waliamua kuita "black September" sijajua walimaanisha nini