Eeeh MunguBad News get well soon Tundu Lissu a true hero Of our country
Upo sawa mkuu...chukua tokeo la bashite kuingia na watu wenye silaha clouds,,unganisha tokio la nape kutolewa silaha na muhusika hajulikani,,unganisha na kupigwa bomu kwa ofisi za mawakili pale upanga..baada ya hapo yachunguze majibu ya vyombo vyetu vya dola kuhusu matukio hayo..hapo kama unafikiri kwa kutumia kichwa basi utapata ni serikali ya aina gani inayotuongoza kwa sasa
Mnataka muhimbili ili mkammalizie?
Tumewashtukia mapema
tutajuaje huenda hata kwenye hiyo first aid katiwa silent killer.Mungu aepushie mbaliKuna watu walienda Uingereza,India South RSA, Canada hawakurudi wakiwa hai.
First Aid kapewa Dodoma. Kama kumalizwa ingeshindikana?
Tuache utoto.
nahisi kama kuna movie fulani kanachezwa thats why nilitamani tuone wapi kawa injured, kila cku tunaendeshwa kwa matukio leo hili kesho lile mambo politics haya nikuwa achia wao anyway pona kwanza tundu then tuone hili nalo litaishia wapiAkipona aitwe mahakamani kujibu kesi zinazomkabili.
Naona unamuombea afe kabisa au sioSubiri ujue amepigwa wapi hiyo risasi pia.. na acha kusingizia mamlaka wakati unajua na yeye ni msaliti na labda tapeli kwa anaowasaidia kuiba mali za nchi yetu.. pesa kala na ugumu wa serikali unaendelea kuwanyoosha wanaompa bahasha kuvuruga..
mbona nyie nape mlimuita hero!! upinzani sio uadui mpaka kwenye matatizo tusiombeane kheri kua kiakili aiseeKwa hiyo hapa napinga nini sasa? Kwani sio mnafiki sasa? Jana unamuita mnafiki, leo unamuita hero what are you? Why jana hukumuita Hero au leo usiendelee kumtakia afya njema mropokaji?
Nchi ni yetu sote, siku moja mtawala atakuwa mpinzani, naombea tu asijekuwa kama wa sasa.
Dereva Mzima kabisa. Hana jeraha. Ni blood stains kwenye nguo alizovaa.Pole kwa Lisu lakini mbona watu wanasahau kuuliza hali ya dereva wake? au yeye siyo binadamu.
Kwa Nairobi sio issuetutajuaje huenda hata kwenye hiyo first aid katiwa silent killer.Mungu aepushie mbali
Aweza kuwa anahusika nini huyu dereva?Dereva Mzima kabisa. Hana jeraha. Ni blood stains kwenye nguo alizovaa.
Hapana. Dereva yuko kulia. Bullet shots ziko kushoto. Sio Moja ni zaidi ya moja.Aweza kuwa anahusika nini huyu dereva?
unganisha tukio la sanane na roma kutekwa na kati ya haya matukio ni pekee tukio la nape mhusika tulimuona na pia ni kutokana na mhusika roma nae amewataja wahusikachukua tokeo la bashite kuingia na watu wenye silaha clouds,,unganisha tokio la nape kutolewa silaha na muhusika hajulikani,,unganisha na kupigwa bomu kwa ofisi za mawakili pale upanga..baada ya hapo yachunguze majibu ya vyombo vyetu vya dola kuhusu matukio hayo..hapo kama unafikiri kwa kutumia kichwa basi utapata ni serikali ya aina gani inayotuongoza kwa sasa,( Pia fuatilia maelezo ya serikali kuhusu maiti zinazookotwa kwenye viroba)