A
Anonymous
Guest
Samahani kwa sisi Wakazi wa Dodoma sehemu moja wanaita Ipagala B shule ya msingi kuna adha ya kujaa maji hasa kwa kipindi hichi cha mvua.
Kuna kipindi maji yalijaa mengi sana yakaingia mpaka ndani na Mkuu wa Wilaya ya Dodoma, TARULA na mpaka zima moto kwa ajili ya kuchimba mtaro wa kuruhusu maji kupita lakini kuna baadhi ya majirani wamefukia tena mtaro na hii ni mara ya pili.
Hivi sasa navyotuma ujumbe huu maji mvua inanyesha kubwa sana na mtaro umezimbwa na maji yanaingia mpaka katika nyumba zetu
Kuna kipindi maji yalijaa mengi sana yakaingia mpaka ndani na Mkuu wa Wilaya ya Dodoma, TARULA na mpaka zima moto kwa ajili ya kuchimba mtaro wa kuruhusu maji kupita lakini kuna baadhi ya majirani wamefukia tena mtaro na hii ni mara ya pili.
Hivi sasa navyotuma ujumbe huu maji mvua inanyesha kubwa sana na mtaro umezimbwa na maji yanaingia mpaka katika nyumba zetu