Dodoma: Hatimaye taarifa ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), yawasilishwa rasmi Bungeni

Mafisadi na wapigaji wazalendo naona mpango wao wa kuzuia ripoti isisomwe bungeni na kujadiliwa umebuma ,sijui wanapanga mbinu gani nyingine .
 
Hivi Tamthiria y’a Sultan inaoneshwa Chanel gani?
 
Follow-up report on implementation of the CAG recommendation for the five performance Audit Reports issued and tabled to the Parliament in April, 2015.
Hii si Audit Report ya FY 2017/18!!!

Hiyo uliyoisema wewe ya April, 2015 inawasilishwa na Waziri Mkuu.

Sehem ya chini kuna report kuu ya mkaguzi 2017/2018 inawasilishwa na waziri ofisi ya rais, TAMISEMI.
 
Mpaka leo umeongea hivi inaonyesha mwanzo uliiona jf kwa jicho dogo saana.

Nikuambie tuu asilimia kubwa hata hawa viongozi unaowaona live na unaowajua amini tunapiga nao misele humu ndani,
Ndio maana jf ni dunia nyingine ambayo kuiishi ki uhalisia ni vigumu.

Asilimia tisini ya mtandao unaoogopeka hapa tz ni hii jf.

Nimewahi kumchungulia kigogo mmoja wa hapo magogoni yuko bize na simu, nilipomchungulia alikuwa anapitia jukwaa la siasa japo sikubahatika kujua alitaka aingie chumba kipi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Labda walisema hawatafanya kazi na CAG ila watafanya kazi na makaratasi yake.

kwi kwi kwi kwi kwi bunge la maCCM
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…