Dodoma: Hatimaye taarifa ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), yawasilishwa rasmi Bungeni

Kudadadeki! Aliyempa CAG mamlaka ya kikatiba ni kiboko.
... sure! Ni utaratibu uliokuwepo tangu enzi za Gavana/mkoloni. Baada ya uhuru utaratibu huo ukaendelea nadhani pia ni utaratibu kwa nchi zote at least za Commonwealth. Nina mashaka huko tuendako utajengewa zengwe Katiba iwe amended kurekebisha maana unawasumbua sana wakubwa "kutekeleza majukumu yao kwa uhuru". Ha ha ha!
 
Kufuatia chagizo na presha kubwa ikiwa ni pamoja na matakwa ya kikatiba, leo tarehe 10 Aprili ikiwa ni siku ya mwisho kwa mujibu wa Katiba, Serikali imewasilisha Bungeni taarifa za Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali kama ilivyotakiwa. Orodha ya shughuli za Bunge leo inaonyesha taarifa ya ukaguzi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) itawasilishwa bungeni.

View attachment 1067384

Kwa kufuatia hatua hiyo, Ofisi ya CAG sasa inaweza kuzitoa ripoti hizo katika tovuti yake ili Wananchi waweze kuzisoma na kuelewa fedha zao zimetumikaje. Ni suala la uwajibikaji tu, tunatoa heko kwa watu waliopiga kelele ili takwa hili la kikatiba litekelezwe.

Kwa upande wa Serikali, niwashauri wajifunze na waendelee kuheshimu Katiba. Kuna kikundi cha watu ndani ya Serikali kwa sasa wanampotosha kwa makusudi Rais ili wajipatie sifa , waache huo ujinga.

Kwa upande wa Bunge, nyie mmethibitisha kuwa dhaifu, wananchi hawana muda na Bunge kwa sasa, bora waangalie tamthilia ya SULTAN.
Mkuu Terrible Teens, kwanza asante sana kwa hii. Pili samahani sana kuku doubt pale mwanzo, sasa nimekukubali sana. Tatu kiukweli JF tuna hazina kubwa ya watu, hizi pen names zinaficha mengi, kuna watu humu hatuwajui who they are the real ones, kumbe ni watu wakubwa, nyeti na watu wa maana sana. Heshima mbele.

Wito kwa wana JF Wenzangu, msimdharau mtu yoyote humu, huwezi jua nani ni nani!.
Big up jf, big up jf members.
P
 
Kufuatia chagizo na presha kubwa ikiwa ni pamoja na matakwa ya kikatiba, leo tarehe 10 Aprili ikiwa ni siku ya mwisho kwa mujibu wa Katiba, Serikali imewasilisha Bungeni taarifa za Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali kama ilivyotakiwa. Orodha ya shughuli za Bunge leo inaonyesha taarifa ya ukaguzi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) itawasilishwa bungeni.

View attachment 1067384

Kwa kufuatia hatua hiyo, Ofisi ya CAG sasa inaweza kuzitoa ripoti hizo katika tovuti yake ili Wananchi waweze kuzisoma na kuelewa fedha zao zimetumikaje. Ni suala la uwajibikaji tu, tunatoa heko kwa watu waliopiga kelele ili takwa hili la kikatiba litekelezwe.

Kwa upande wa Serikali, niwashauri wajifunze na waendelee kuheshimu Katiba. Kuna kikundi cha watu ndani ya Serikali kwa sasa wanampotosha kwa makusudi Rais ili wajipatie sifa , waache huo ujinga.

Kwa upande wa Bunge, nyie mmethibitisha kuwa dhaifu, wananchi hawana muda na Bunge kwa sasa, bora waangalie tamthilia ya SULTAN.
Follow-up report on implementation of the CAG recommendation for the five performance Audit Reports issued and tabled to the Parliament in April, 2015.
Hii si Audit Report ya FY 2017/18!!!
 
Kuna wakati nilidhani ni mtu mmoja tu ndo hapangiwi, kumbe na CAG naye hapangiwi pia? Hapa kaonyesha kwa vitendo nini maana ya CAG kisheria. Long live CAG.
... Controller and Auditor General hilo jina tu linatisha Mkuu! Sema nafasi nyingi zimekuwa na watu ambao ama hawajui wajibu na mamlaka yao au kujikomba kwa watawala. CAG ni cheo cha kikatiba na ile ofisi ni independent haitakiwi kuingiliwa wala kupangiwa chochote na mtu yeyote - sa siple as that! Ni kati ya ofisi ambazo kwa kweli zikiamua kufanya kazi kwa kuzingatia sheria na taratibu zinaweza kulipeleka taifa mbele. Udokozi udokozi na wizi wa kijinga Serikalini utakwisha.
 
Hilo ni jambo la kikatiba, Bunge halitaki kufanya kazi na Prof na siyo ofisi ya CAG. Hivyo basi, wao Prof ndiyo hawana issue nae ila mambo yanayotoka kwenye ofisi yake hawana shida nayo. Nahisi hii ndiyo tafsiri pendwa.
Hilo ni jambo la kikatiba, Bunge halitaki kufanya kazi na Prof na siyo ofisi ya CAG. Hivyo basi, wao Prof ndiyo hawana issue nae ila mambo yanayotoka kwenye ofisi yake hawana shida nayo. Nahisi hii ndiyo tafsiri pendwa.

ww nawe unakua kilaza kukiko ndungai mwenyewe!! mwenzako alifikia kusema hapokeo ripoti yenye sahihi ya Mussa Assad. sasa ndio ujiulize ile ripoti ina sahihi ya nani??

kwan walipotangaza kutofanya kazi na CAG unadhani ilikua kazi ya kunywa kahawa pamoja?? kazi yenyewe ndio hiyo wamepelekewa na wameipokea
 
Hiyo ni kwa mujibu wa katiba na wala haihitaji mjadala yale mengine huwa ni siasa tu siyo uhalisia.

Cha muhimu sasa ni kujadili yaliyomo .........siyo mbona kasaini?!

Maendeleo hayana vyama!
 
Dont be afarid of a dog that barks, be afraid of the one that is quite


CAG is a quite dog

Dont be afarid of a dog that barks, be afraid of the one that is quite
Usijali mkuu, tunasaidiana tu maana hizi ni lugha za watu. Ni "quiet" siyo "quite". Kilangila.
 
Mkuu Terrible Teens, kwanza asante sana kwa hii. Pili samahani sana kuku doubt pale mwanzo, sasa nimekukubali sana. Tatu kiukweli JF tuna hazina kubwa ya watu, hizi pen names zinaficha mengi, kuna watu humu hatuwajui who they are the real ones, kumbe ni watu wakubwa, nyeti na watu wa maana sana. Heshima mbele.

Wito kwa wana JF Wenzangu, msimdharau mtu yoyote humu, huwezi jua nani ni nani!.
Big up jf, big up jf members.
P
Ulikuwa na mashaka na muandaa ORDER PAPER mkuu?
 
All these ccm pensioners don't know parliamentary rules, this chair is painful and follow it up you must know the rules I salute you Mr CAG.



 
Huwezi kusema sitafanya kazi na Magufuli (wakati yeye ndiye Mkuu wa ofisi hiyo), bali na ofisi ya Magufuli!


TRUE THAT!

The iron-fisted ruler of the legislature thinks his word is law even beyond the walls of his cowed parliament
 
Mkuu Terrible Teens, tunaomba source vinginevyo huuni uongo.

Unless useme taarifa itawasilishwa leo na sio kusema imewasilishwa leo.

Source ya Kuwasilishwa kwa taarifa ya CAG ni order paper ambayo huwa inaanzwa kusambazwa saa 2:00, saa hizi saa 2:00 taarifa hii umeipata wapi?.

Uwasilishwaji wa Taarifa ya CAG, unafanyika kwa uwazi. Bunge linaanza saa 3:00 asubuhi, hivyo kama ni leo tutaona.

Na taarifa hiyo ya GAG ikiishapokelewa tuu mezani, hapo hapo taarifa hiyo inapandishwa online kwenye website ya NAO na kwenda viral.
P
Hii Rpeort ya mwaka huu kama itapandishwa online unishtue .... Au kupandishwa online nalo ni swala la kikatiba!!?
 
ww nawe unakua kilaza kukiko ndungai mwenyewe!! mwenzako alifikia kusema hapokeo ripoti yenye sahihi ya Mussa Assad. sasa ndio ujiulize ile ripoti ina sahihi ya nani??

kwan walipotangaza kutofanya kazi na CAG unadhani ilikua kazi ya kunywa kahawa pamoja?? kazi yenyewe ndio hiyo wamepelekewa na wameipokea
Mkuu una expose your ignorance. Kwa maandishi yako unadhihirisha pasi na shaka ulikuwa unawa shida sana walimu wako. Tikisa kwanza kichwa chako kabla haujasoma maandishi yangu, ni ushauri wa bure tu.
 
Mkuu Terrible Teens, kwanza asante sana kwa hii. Pili samahani sana kuku doubt pale mwanzo, sasa nimekukubali sana. Tatu kiukweli JF tuna hazina kubwa ya watu, hizi pen names zinaficha mengi, kuna watu humu hatuwajui who they are the real ones, kumbe ni watu wakubwa, nyeti na watu wa maana sana. Heshima mbele.

Wito kwa wana JF Wenzangu, msimdharau mtu yoyote humu, huwezi jua nani ni nani!.
Big up jf, big up jf members.
P
Umeonesha ukomavu mkubwa wa kuomba radhi na kutoa heshima kwa kila member. Hata hivyo umesaidia sana kutoa mabandiko mengi yenye ujumbe mzito kuhusu sakata hili kudos Mayalla aka njaa!


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom