Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 3,452
- 13,070
Fuatilia yanayojiri kwenye Bunge la 12, Mkutano wa 15, Kikao cha 6, leo Aprili 15, 2024.
Ripoti 21 za Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Serikali (CAG), za ukaguzi wa hesabu za Serikali kwa mwaka 2022/2023 zimewasilishwa bungeni.
Kukabidhi ripoti hizo kunakuja baada ya CAG, Charles Kichere kuikabidhi kwa Rais Samia Suluhu Hassan, Machi 28, 2024 Ikulu, Chamwino jijini Dodoma.
Kwa mujibu wa ratiba ya shughuli za leo Jumatatu Aprili 15,2024 iliyotolewa na Bunge, ripoti zilizokabidhiwa ni ukaguzi wa taarifa za fedha za Serikali kuu kwa mwaka wa fedha, ukaguzi wa taarifa za fedha za mamlaka za Serikali za mitaa na ukaguzi wa taarifa za fedha za miradi ya maendeleo.
Massare: SGR imechukua maeneo ya Watu, Serikali itende haki, iache dhulma
Mbunge wa Manyoni Magharibi, Yahaya Omary Massare akichangia Hotuba ya Waziri Mkuu ametoa mapendekezo kuwa Wananchi walioathiriwa kwa maeneo yao kuchukuliwa kupisha Mradi wa Reli ya Kisasa (SGR) Wilayani Itigi Mkoani Singida walipwe kwa haki na katika kiwango kinachoendana na thamani ya ardhi iliyochukuliwa
Mbunge Neema Mwandabila: Kikokotoo hakina tatizo, wanapewa fedha za kutosha
Mbunge wa Viti Maalum, Neema Gerald Mwandabila amesema suala la Kikokotoo limekuwa na kelele nyingi kiasi cha Wananchi wengi kuhisi Serikali inawadhulumu jambo ambalo anaamini si kweli na kuwa kinachokosekana ni elimu juu ya kikokotoo hicho cha kustaafu
Ripoti 21 za Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Serikali (CAG), za ukaguzi wa hesabu za Serikali kwa mwaka 2022/2023 zimewasilishwa bungeni.
Kukabidhi ripoti hizo kunakuja baada ya CAG, Charles Kichere kuikabidhi kwa Rais Samia Suluhu Hassan, Machi 28, 2024 Ikulu, Chamwino jijini Dodoma.
Kwa mujibu wa ratiba ya shughuli za leo Jumatatu Aprili 15,2024 iliyotolewa na Bunge, ripoti zilizokabidhiwa ni ukaguzi wa taarifa za fedha za Serikali kuu kwa mwaka wa fedha, ukaguzi wa taarifa za fedha za mamlaka za Serikali za mitaa na ukaguzi wa taarifa za fedha za miradi ya maendeleo.
Massare: SGR imechukua maeneo ya Watu, Serikali itende haki, iache dhulma
Mbunge Neema Mwandabila: Kikokotoo hakina tatizo, wanapewa fedha za kutosha