Haludzedzele
JF-Expert Member
- Nov 22, 2012
- 1,468
- 528
Kwani kuna CAG wangapi?
Kwani kuna CAG wangapi?
Kakimbilia Sweden kwenye uwekezaji
Masaburi
Mkuu asante kwa elimu uliyokuwa unatugawia kuhusu katiba kwenye mabandiko yako hapa JF.Wanabodi, Hii ni big breaking News
Hatimaye Ripoti ya CAG Prof Mussa Assad Imewasilishwa Rasmi Bungeni na ripoti nyingine 17 za CAG.
Paskali
Tafsiri pendwa isiyokuwa na mantikiHilo ni jambo la kikatiba, Bunge halitaki kufanya kazi na Prof na siyo ofisi ya CAG. Hivyo basi, wao Prof ndiyo hawana issue nae ila mambo yanayotoka kwenye ofisi yake hawana shida nayo. Nahisi hii ndiyo tafsiri pendwa.
Umeelewa ulichokiandika?Hilo ni jambo la kikatiba, Bunge halitaki kufanya kazi na Prof na siyo ofisi ya CAG. Hivyo basi, wao Prof ndiyo hawana issue nae ila mambo yanayotoka kwenye ofisi yake hawana shida nayo. Nahisi hii ndiyo tafsiri pendwa.
Ndipo hapo unapoonekana kitukoUNAPOONEKANA HUNA AKILI MBELE YA ULIEZANI ATAKUUNGA MKONO
Edited ones or? Nasikia it (they???) was being edited????????Wanabodi, Hii ni big breaking News
Hatimaye Ripoti ya CAG Prof Mussa Assad Imewasilishwa Rasmi Bungeni na ripoti nyingine 17 za CAG.
Paskali
Hapana Mkuu embu nielewesheUmeelewa ulichokiandika?
Na mimi kanivuruga aiseeUmeelewa ulichokiandika?
Ndugai alikuwepo kuipokea au kaingia mitini kamuachia zigo Tulia na Chenge..!!?Wanabodi, Hii ni big breaking News
Hatimaye Ripoti ya CAG Prof Mussa Assad Imewasilishwa Rasmi Bungeni na ripoti nyingine 17 za CAG.
Paskali
Kwanini imewasilishwa siku ya Mwisho? I mean why on the seventh day?
Huwezi kusema sitafanya kazi na Magufuli (wakati yeye ndiye Mkuu wa ofisi hiyo), bali na ofisi ya Magufuli!Prof na siyo ofisi ya CAG