Ilankunda1234
JF-Expert Member
- Dec 28, 2015
- 4,842
- 4,777
Siku nyingine ukichelewa jaribu kupitia uone wenzio wamechangia nini, huenda swali ulilojiuliza wenzio washajiuliza na kujibiwaMtu wa jikoni, jiko la bunge!!?, , sisi tunataka mtu kutoka ofisi ya spika na siyo jikoni !!.
Ifike hatua muiheshimu jf kwani ndio sehemu pekee mtu anakuwa huru na kufanya vitu kama yeye na sio mifumo, kanuni wala taratibu za kazi take.
Sent using Jamii Forums mobile app