Doctors

Doctors

Kujali ni kitu cha kawaida kwa sababu utaratibu wa maisha unawajenga kufanya majukumu yao inavyotakiwa na ndivyo ilivyo kwenye mahusiano nao, hapa matarajio ni mazuri.

Tatizo sex kwao ni natural process na sio product ya love, muhimu ni uhitaji wake hapa sasa usishangae akitoka na mwingine na asionyeshe tofauti kwako yaani itakuwa vigumu kumgundua halafu hawapotezi muda kutumia mbwembwe nyingi kukupata kwa usiku mmoja.

Wanapride za ajabu ajabu sana sasa ukimkuta ambaye mfumo dume umemuingia vizuri na wewe kiakili hauko fit jiandae kupokea order tu ukiuliza vizuri wengi wanaoa walimu na manesi.

Wanashobokewa sana na wanawake wengi kwa hiyo huwa wana uwanja mpana wa kuchagua, inabidi ufit kisawasawa kwenye ndoto zake ndo akuoe.

Wazuri kutunziana siri, kumjua vizuri ni kazi kweli kweli.

Hawaogopi kuacha wala kuachwa na they can easily let it go, kwa hiyo ukiwa naye cheza kwa step.

Utapata faida ya kuhudumiwa vizuri kiafya wewe na familia yako, kama nilivyosema hapo juu wanajitahidi kutimiza wajibu.

Sijapenda ku-quote hii post, lakini imenilazimu. Nakuunga mkono, ukweli pia mwanamke huwezi kutumia mambo yako eti kumpata doktareee, maana kwao ni za kawaida na wala haziwachanganyi (maadili) na pia naamini huwa wanaziona mara kwa mara, hvyo hawawezi kuona yako ni special. Cha msingi tu ni pale anapotaka mwenza wa kuoa bac, lakini kutishiwa kwamba watapata njaa ya ile mambo hilo sahau. Mi nadhani wanaamua tu, ile mambo wanaipata.
 
Au baada ya kuona magonjwa kama dengue yanaongezeka mnataka kuwa kwenye mikono salama?

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Uwiiiiiii same thing!!yaan mm nikiona mkaka doc ata awe mbaya vp yaan ,hua namkubali sana am real crazy over them kwakwel,nawapenda mno mno hua naassum vitu vingi sana km nikiwa na mme doc like wtt wangu watakua safe all the tym!!!nawapenda kwakwel ila cjabahatika ata ckumoja Kupata ata doc wa kunikonyeza mpk nimekata tamaaaa yaan!!!
Aisee pole mamy..muombe mungu atakusaidia utakunana na mkapendana..najua unachomaanisha na unavyosema ...ila leo hapa najifunza kitu kikubwa sana..na nadhani sifa nyingine inategemea na mtu, ila hiyo ya uvumilivu i can asure u wengi ni wavumilivu sana
 
Daktari, na wewe unakubaliana na habari zisizo na facts zozote? Aaaah!!
Kwani wewe mkuu hata ukiwa na binti ..akikuletea mkwe wa aina hiyo hutapenda..ila kusema ukweli maisha ni maisha wakati mwingine haiangali mtu yupo na nani..lakini hapa najifunza kitu kikubwa sana.. Kuna trust ipo kwenye jamii miaka mingi ambayo inatakiwa kuitunzana kwa kuendelea kuheshimu kazi na kufanya kwa bidii na uwezo wetu wote, hasa kwenye kuisaidia jamii...lkn pamoja na kuweke image nzuri ya tabia njema na uadilifu kwenye maisha kwa ujumla..tunashukuru kuna watu kama akina dr. isac wa clouds njia panda wanaifanya hiyo kazi vzr..
 
Yaani kuna kitu about this people..hata sielewi ni nini..ila my dream ni kuolewa na mtu mwenye hii proffession..Hawa watu they gat true love na wanajua kujali...


Watakapokuonesha uhuni wao uje kutuhabarisha pia,usidanganywe na makoti meupe,
 
Watakapokuonesha uhuni wao uje kutuhabarisha pia,usidanganywe na makoti
wapo wachache hatuwezi kataa ila majority ni watu waliotulia sana...na sasa hivi kuna tofauti kubwa sana tunaziona zamani ilikua unasikia dk mlevi nk..lkn vijana wa siku hizi ni mara chache sana unakuta dk kabobebea kwenye ulevi na vitu kama hivyo..
 
Uwiiiiiii same thing!!yaan mm nikiona mkaka doc ata awe mbaya vp yaan ,hua namkubali sana am real crazy over them kwakwel,nawapenda mno mno hua naassum vitu vingi sana km nikiwa na mme doc like wtt wangu watakua safe all the tym!!!nawapenda kwakwel ila cjabahatika ata ckumoja Kupata ata doc wa kunikonyeza mpk nimekata tamaaaa yaan!!!

Kwa hili jina unadhani sisi madokta tutakukonyeza kweli?
 
Unaambiwa unapotaka kuoa ama kuolewa usiseme nataka kuishi kama fulani laa hashaa! Maana huyo unayemsema ndoa yake yaweza kuvunjika vp yako nawe itavunjika kwa maana ulikuwa unaishi kama fulani?

Kwenye maisha ya ndoa unaishi wewe kama wewe tu sasa unaposema hao uliowataja ukikuta hawako hivyo na umeshaingia kwenye ndoa utafanyaje Mkuu:smile-big:

Tafakari chukua hatua kuna watu walioa na kuolewa mfano unataka mume ama mke mwenye kazi ili mchanganye salaries wengi mambo yamekuwa kinyume ,mke anasema mume hajui kutunza

Kaa chini jipange vzr
 
Yaani kuna kitu about this people, hata sielewi ni nini ila my dream ni kuolewa na mtu mwenye hii proffession. Hawa watu they got true love na wanajua kujali.

Aseee mi pia napenda hawa watu
nikiwaona ndani ya koti jeupe na ile kitu sijui stenininicope mi hoi jamani
uuuh thanks God kwa kunipatia kitu roho inapenda...
 
Back
Top Bottom