Asprin
Platinum Member
- Mar 8, 2008
- 68,272
- 96,398
Tulia kwanza bado tunawekana sawa huku...
Nini kinachelewesha karne hii????
Tulia kwanza bado tunawekana sawa huku...
hajaingia shift ya usiku hicho ndo kikubwa kinachonichelewesha....Nini kinachelewesha karne hii????
Karucee bana..kuna katofauti kidogo..
unaonekana una stress.........
Uwiiiiiii same thing!!yaan mm nikiona mkaka doc ata awe mbaya vp yaan ,hua namkubali sana am real crazy over them kwakwel,nawapenda mno mno hua naassum vitu vingi sana km nikiwa na mme doc like wtt wangu watakua safe all the tym!!!nawapenda kwakwel ila cjabahatika ata ckumoja Kupata ata doc wa kunikonyeza mpk nimekata tamaaaa yaan!!!
Hahaha...nimesikia kuitwa na sauti yako
Vipi kuna tiba ya mapenzi inahitajika huku?
Ngoja nisubirie kuna siku wasifu wetu nasi utaanikwa
kwani we una wasifu gani nikupaishe?
Meeee???
When am stressed I stay away from people, including social media.
A man is a man, his profession does not make him any better or worse.
Sijapenda ku-quote hii post, lakini imenilazimu. Nakuunga mkono, ukweli pia mwanamke huwezi kutumia mambo yako eti kumpata doktareee, maana kwao ni za kawaida na wala haziwachanganyi (maadili) na pia naamini huwa wanaziona mara kwa mara, hvyo hawawezi kuona yako ni special. Cha msingi tu ni pale anapotaka mwenza wa kuoa bac, lakini kutishiwa kwamba watapata njaa ya ile mambo hilo sahau. Mi nadhani wanaamua tu, ile mambo wanaipata.
Uwe tayari kuchangia penzi na manesi.Nakuunga mkono kbs,my hubby ni daktari yaan uliyosema mengi huwa nayaona yanatokea. Na cha ajabu baada ya kujifungua yaan upendo wote ndio umehamia kwa mtoto.
Cha kushangaza ht ndg zake na majiran pia huwa wananiuliza ilikuwaje hd huyu bwana akanioa,nilimfanyia nn maana huwa hana time na wanawake.
Nakuunga mkono kbs,my hubby ni daktari yaan uliyosema mengi huwa nayaona yanatokea. Na cha ajabu baada ya kujifungua yaan upendo wote ndio umehamia kwa mtoto.
Cha kushangaza ht ndg zake na majiran pia huwa wananiuliza ilikuwaje hd huyu bwana akanioa,nilimfanyia nn maana huwa hana time na wanawake.
Huyo ni wako tu kama ambavo mwanaume yeyote aweza kuwa kimeo
haimaanishi Madr wote wapo hivoooo
Halafu we ulisomea nini vile?unaonekana mjanjamjanja hivi..