Doctors

Doctors

Uwiiiiiii same thing!!yaan mm nikiona mkaka doc ata awe mbaya vp yaan ,hua namkubali sana am real crazy over them kwakwel,nawapenda mno mno hua naassum vitu vingi sana km nikiwa na mme doc like wtt wangu watakua safe all the tym!!!nawapenda kwakwel ila cjabahatika ata ckumoja Kupata ata doc wa kunikonyeza mpk nimekata tamaaaa yaan!!!

madokta hawapendi kinyaa!
 
Mi muuza nyama kwenye bucha vipi hapo? Pia navaa koti mda wote wa kazi, pia napendeza kwa vazi langu!
Nahitaji kupendwa pia.
 
aaaaaahahahahaaaa daaaa madocta sasa kazi kwenuuuuu
 
Meeee???

When am stressed I stay away from people, including social media.

A man is a man, his profession does not make him any better or worse.

Kweli mamii,professional si kitu mbele ya mapenzi. Tena hawa wengi wao ndio sio waaminifu kbs.
 
Sijapenda ku-quote hii post, lakini imenilazimu. Nakuunga mkono, ukweli pia mwanamke huwezi kutumia mambo yako eti kumpata doktareee, maana kwao ni za kawaida na wala haziwachanganyi (maadili) na pia naamini huwa wanaziona mara kwa mara, hvyo hawawezi kuona yako ni special. Cha msingi tu ni pale anapotaka mwenza wa kuoa bac, lakini kutishiwa kwamba watapata njaa ya ile mambo hilo sahau. Mi nadhani wanaamua tu, ile mambo wanaipata.

Nakuunga mkono kbs,my hubby ni daktari yaan uliyosema mengi huwa nayaona yanatokea. Na cha ajabu baada ya kujifungua yaan upendo wote ndio umehamia kwa mtoto.
Cha kushangaza ht ndg zake na majiran pia huwa wananiuliza ilikuwaje hd huyu bwana akanioa,nilimfanyia nn maana huwa hana time na wanawake.
 
Dada anataka uhakika tu wa wali-nyama mezani
Got true love nenda kwa wasukuma mikokoteni
 
Nakuunga mkono kbs,my hubby ni daktari yaan uliyosema mengi huwa nayaona yanatokea. Na cha ajabu baada ya kujifungua yaan upendo wote ndio umehamia kwa mtoto.
Cha kushangaza ht ndg zake na majiran pia huwa wananiuliza ilikuwaje hd huyu bwana akanioa,nilimfanyia nn maana huwa hana time na wanawake.
Uwe tayari kuchangia penzi na manesi.
 
Nakuunga mkono kbs,my hubby ni daktari yaan uliyosema mengi huwa nayaona yanatokea. Na cha ajabu baada ya kujifungua yaan upendo wote ndio umehamia kwa mtoto.
Cha kushangaza ht ndg zake na majiran pia huwa wananiuliza ilikuwaje hd huyu bwana akanioa,nilimfanyia nn maana huwa hana time na wanawake.

Huyo ni wako tu kama ambavo mwanaume yeyote aweza kuwa kimeo
haimaanishi Madr wote wapo hivoooo
 
Back
Top Bottom