NgumiJiwe
JF-Expert Member
- Mar 15, 2011
- 860
- 308
Ile kozi yenye wife materials....si unaijua?
education,sociology?siijui,nijuze..
Ile kozi yenye wife materials....si unaijua?
Hata madr..kama ni mtu wa kuridhika na maisha ya kawaida(midle class) ..maisha ya juu sana mpka umri ukiwa umeenda kidogoWalimu ndo masikini.....
Of coz kuna mazingira usipokuwa makini..unaweza kujikuta kila siku unakuwa mtu wa miadi tu..Udr ni kazi yenye mvuto kama ambavo usoldier ni kazi yenye heshma
sasa kama mgonjwa kavutiwa na kajileta mwenyewe kwanini asiliwe?
kula tu dr.....
Hny Nyalotsi naona like tu ila sijasoma comment zako wivu juu msije mkaishia pm lol
Kuanzia leo nakuweka mbali na kabintispecial na wewe mleta m
Ha,ha,ha! Naogopa kuachwa mie! Hawa wa hivi ni michepuko tuu, ila njia kuu upo peke yako. Na njia kuu yangu ina foleni mara chache sana, so service road hazina umuhimu! Teh! Ila uwe makini, wanakujaga kwa kisingizio cha kuumwa aafu akishakutana na handsome Dr anabadili ugonjwa unakuwa karibu na nyeti ili tuu amuoneshe mapaja yake! Na nilivyo HB huwa nayachunguliaje!!!
Of coz kuna mazingira usipokuwa makini..unaweza kujikuta kila siku unakuwa mtu wa miadi tu..
Yaani wivu nliokuwa nao....ngoja nikupigie....
Naona unazidi kujipa promo kwa mleta mada.
😡😡:banghead:
Yaani wivu nliokuwa nao....ngoja nikupigie....
Naona unazidi kujipa promo kwa mleta mada.
😡😡:banghead:
Sema mkuu..npo ukanda tofauti kidogo mkuuDuh! Mkuu uko call nini?
Teh,teh! Niweke na kaphoto kangu kabisa nini? Hapa siyo mleta mada tu hata Munkari mwenyewe akipitia atazama PM fastaa! Chezea ndugu na rafiki zako kupitishwa kwenye foleni ya hospitali wewe!!!
😀😀😀🙁😀
Bhana wee, wacha wivu! Huoni siku hizi hakuombi hela ya pafyumu, matibabu n.k? amu njoo umuelekeze kwa ufupi huyu!
Sema mkuu..npo ukanda tofauti kidogo mkuu
Ndo umemaliza kubeba box nini
Hivi jana hukuona talaka yako??
kwenye ule uzi wa Morg ukawa inaflirt live na visistaduu vya mule ukashindwa hata kunitaja.
Ndo nshakuacha nenda kajinyonge kwa mlenda.
Hapo kwenye miadi nawaaminia....Of coz kuna mazingira usipokuwa makini..unaweza kujikuta kila siku unakuwa mtu wa miadi tu..
Ure phone no plsYaani kuna kitu about this people, hata sielewi ni nini ila my dream ni kuolewa na mtu mwenye hii proffession. Hawa watu they got true love na wanajua kujali.