<font size="4"><span style="font-family: book antiqua">Habari wana JF
.<br /><br />
<br /><br />
Lini mara ya mwisho ulicheza mziki kwa kujiachia na <br /><br />
kufurahia kabisa huo Musiki ulikua unacheza?? Haijalishi <br /><br />
ulikua wapi... Ilikua Chumbani kwako?? Sherehe?? Club?? <br /><br />
Mtaani?? ama Kijijini?? Na if you don't mind ni wimbo gani<br /><br />
huo ulikukuna mpaka ukakunyanya kucheza... Naomba tafadhali <br /><br />
saana Ushee na Sie... <u>KIKUBWA</u>... <font color="#ff0000"><b>Do you Remember???<br /><br />
</b></font><br /><br />
<br /><br />
<font color="#0000cd"><b>P.S:</b> Vigezo na Masharti ya JF Rules Vizingatiwe
.(ADI)</font></span></font>