Do You Remember?

Do You Remember?

Mie nimeshasema tayari...na maneno yenyewe yanaendana sana tu na jina lake.
yaani im delighted kwa kweli...karibu sana Sweetlady ndani ya familia.
Nakusubiri ati....
Itabidi na mie nikalalamike maana wanatuharibia pozi hapa....
Mie nimekufagilia kimoyomoyo sana tu...ngoja nikusanye nguvu nifunguke hapa hapa jukwaani.


Yoooote 9.... Hapo bold.... I DARE you!!! (I know Sweet L will like that)
 
Usijali., we niPM tu kunijulisha venue.. Ila sijajua tutaanza class ya one by one or ndo utakuja na hao member wengine.( Just kujua tu ili kujiweka sawa kisaikolojia.., lolz)


Naona tuanze ya one on one.... nitakuja na Mupenzi....
 
ha ha ha.... Sabry i feel you man... I get exactly what you mean.... In most cases mie pia hucheza peke yangu room, mara nyingi sina guts za audience...lol
<br />
<br />
u can imagne me wearing a round skirt, high heels, then nashake, najizungusha....damn it was so cul.
 
me wa kike mama! Real needs to knw kucheza tango and waltz.


Kuna jamaa wa busara mno! mpaka nimejiuliza hapa kama nimtaje ama lah! lol lakini sababu nae kasema anataka kujifunza Tango... atakufaa...
 
Habari wana JF….

Lini mara ya mwisho ulicheza mziki kwa kujiachia na
kufurahia kabisa huo Musiki ulikua unacheza?? Haijalishi
ulikua wapi... Ilikua Chumbani kwako?? Sherehe?? Club??
Mtaani?? ama Kijijini?? Na if you don't mind ni wimbo gani
huo ulikukuna mpaka ukakunyanya kucheza... Naomba tafadhali
saana Ushee na Sie... KIKUBWA... Do you Remember???


P.S: Vigezo na Masharti ya JF Rules Vizingatiwe….(ADI)

Nilchogundua hapa ni kuwa wa-TZ tunapenda sana lingomba................
 
Mbona mwaniachwa ufukweni... Ha ha ha ha ha...ngoja nile nishibe...Huyu bibie kapotelea wapi tena...


Weee si ulikubali kuvaa swimming gear... Ulikua unatemea nini?? lol
 
.....lol..... Rutashubanyuma.... long time no see my friend.... But hata hivo... does it mean wee ndo wapenda Lingomba pia???

enzi zangu yeah........................lakini sasa I have moved on to bigger and greater things..........................
 
Ndahani... where you in love with his gal?? What was so speacial??
I think his girl was in love with me AshaDii....huwa sina tabia mbaya ya kupenda wapenzi wa watu wengine unless wapenzi wenyewe wanitake kufanya hivyo, tena kwa mkataba maalumu
 
I think his girl was in love with me AshaDii....huwa sina tabia mbaya ya kupenda wapenzi wa watu wengine unless wapenzi wenyewe wanitake kufanya hivyo, tena kwa mkataba maalumu

you are talking as if you are brad pit lol
 
I think his girl was in love with me AshaDii....huwa sina tabia mbaya ya kupenda wapenzi wa watu wengine unless wapenzi wenyewe wanitake kufanya hivyo, tena kwa mkataba maalumu


You are talking as if you are the one who is in love with her....lol... C'mon dude... imagine ni miaka mingi imepita... she was dancing with your friend but you still remember the moment (and the fact ni kua your were an observer na wala sio kwamba you were close to her na kupata joto lake)... Ndahani... be free she is not here.... Just open up..... And of coz kweli yeye pia awezaa kua in love na wewe....
 
Na kapotea tangu jana anajifua...akirudi tutatambishiwa sana...kwa mpango huu leo lazima kwenda kwa Sweetlady.


Utanikwaza sasa hivi.... haya maneno akiona Sweetlady atasemaje... Hivo nisamehe nafuta post yako!!! Alafu Husny umwambii kitu kwa Uporoto1..lol
 
you are talking as if you are brad pit lol



About time Boss.... lol... Umenifurahisha... are you talking about pale ambapo hapa juzi kasema kwa Jolie kafika na kwamba he was neva happy with Aniston??
 
About time Boss.... lol... Umenifurahisha... are you talking about pale ambapo hapa juzi kasema kwa Jolie kafika na kwamba he was neva happy with Aniston??

thats the rule for all men.you praise the one you have now...not the yesterday girl...lol
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom