sweetlady
JF-Expert Member
- Dec 24, 2010
- 16,967
- 8,460
..lol... Nambie neno moja la mwisho kabla hujakata kauli tafadhali... Na ujipange sawa sawa!Nimeona na nimekata kauli...ngoja nijipange nakuja upya...lol..
..lol... Nambie neno moja la mwisho kabla hujakata kauli tafadhali... Na ujipange sawa sawa!Nimeona na nimekata kauli...ngoja nijipange nakuja upya...lol..
..lol... Nambie neno moja la mwisho kabla hujakata kauli tafadhali... Na ujipange sawa sawa!
AJ that was just one of the assumptions .. toa yako we see mayb ni more applicable (after all you are great ni that Psychology part...)
Kuanzia sasahv SL na AD ni ndugu wa damu! Sangara akiwa shahidi wa hili tukio... King'asti our beloved wifi ametutoroka, angekuwepo tungemwomba apige vigele gele...popote alipo mwambie namtafuta..lol..Weee Sweet L mbona una maneno mazuri hivi.... naomba undugu.... angalau tuunganishe kwa Sangara... yaani sikuachii... you are so sweet.
`have no any objection with the assumptions ..lakini had difficulty with women ...ndio main concern yangu ..!!
But I lov this pls keep on updating ..!!
Kuanzia sasahv SL na AD ni ndugu wa damu! Sangara akiwa shahidi wa hili tukio... King'asti our beloved wifi ametutoroka, angekuwepo tungemwomba apige vigele gele...popote alipo mwambie namtafuta..lol..
Natafuta mkaliman then ntakujibu...Neno moja la mwisho ni Te quiero/ te amo...kwetu belize AD anajua....
Daaah... Am speechless... More than thanx AD...nimekaribia kwa moyo mkunjufu, naiman King atanipokea pia...ubarikiwe kwa kurusha uzi mpya... Waturudishie 'THANKS' btn bana..tunaopost via mobile tunashindwa kutendea haki mauzi ya ukweli kama hili la AD...lol..Hii post imenifanya niweke LIKE na kunifanya nirushe uzi Complaints wa THANK YOU Button... Welcom in family Sweet L... Sasa King ni wifi yangu... the best and iam hoping wewe utakua the second best...lol... Hivo wewe King ni dadako.....
Sangara.... Hivi Umemsoma Sweetlady?? Mtoto ndani ya Box tayari.....lol
Karibu mgeni. Kuna mtu anaitwa Katavi kazi yake ni kutembeza wageni.. Kaa hapo hapo sebuleni ngoja nkamwite aje akutembeze!..kumbe kuombana ruksa.
Bac namm jaman.
Tena m mgen kabsa.
Nataka mntembeze tembeze humu.
kumbe kuombana ruksa.
Bac namm jaman.
Tena m mgen kabsa.
Nataka mntembeze tembeze humu.
Daaah... Am speechless... More than thanx AD...nimekaribia kwa moyo mkunjufu, naiman King atanipokea pia...ubarikiwe kwa kurusha uzi mpya... Waturudishie 'THANKS' btn bana..tunaopost via mobile tunashindwa kutendea haki mauzi ya ukweli kama hili la AD...lol..
Karibu mgeni. Kuna mtu anaitwa Katavi kazi yake ni kutembeza wageni.. Kaa hapo hapo sebuleni ngoja nkamwite aje akutembeze!.. https://www.jamiiforums.com/newreply.php?do=newreply&p=2508857.
Sangara yeye atakudekia kabisaaa...lolz.. Bora umempa mgeni link manake ameingia bila kubisha hodi!..My sweet wifi naona ushaanza kunifagilia....lol... Sijui sasa Sangara ndo itakuwaje??
Nimeona nimpatie Link akafungue uzi kule....lol
Sangara kakangu waniangusha... mimi nianze kutafsiri tena?? C'mon tell her sweet words like her sweet name.....lol
Hii post imenifanya niweke LIKE na kunifanya nirushe uzi Complaints wa THANK YOU Button... Welcom in family Sweet L... Sasa King ni wifi yangu... the best and iam hoping wewe utakua the second best...lol... Hivo wewe King ni dadako.....
Sangara.... Hivi Umemsoma Sweetlady?? Mtoto ndani ya Box tayari.....lol
Natafuta mkaliman then ntakujibu...
Itabidi na mie nikalalamike maana wanatuharibia pozi hapa....Daaah... Am speechless... More than thanx AD...nimekaribia kwa moyo mkunjufu, naiman King atanipokea pia...ubarikiwe kwa kurusha uzi mpya... Waturudishie 'THANKS' btn bana..tunaopost via mobile tunashindwa kutendea haki mauzi ya ukweli kama hili la AD...lol..
My sweet wifi naona ushaanza kunifagilia....lol... Sijui sasa Sangara ndo itakuwaje??
Kama wewe mtaalam wa Kiduku kuna wadau humu sio chini ya watatu (me inclusive) tunataka kujifunza.... Hongera bana kwa kujipa raha...