Vin Diesel
JF-Expert Member
- Mar 1, 2011
- 9,087
- 6,392
Hapo sasa..... Dah! lol Huyu Sangara naanza kumuangalia kwa jicho langu la tano.....
Tazama pale mwishoni utaeleza zaidi maana mie kila jina nikijaribu kuweka haizidi 30...
Hapo sasa..... Dah! lol Huyu Sangara naanza kumuangalia kwa jicho langu la tano.....
Hamu ya kicheko hamna.... Mie siku zoote najua mimi na Sangara thou wa hiari.. yaani KAKANGU... Wee Sweet L kakako akifanya hivo kwenye calculator hata kama kaka wa hiari.... utakua na nguvu za kucheka.....lol
Ha ha ha ha!! Ngoja tuanze na cha Bajaji, unafanya kama unataka kuchutama umenipata! Then mikono unanyoosha mbele kama unaendesha Bajaji, huku unahakikisha visigino vyako avigusi chini, unawasha Bajaji, yako unaondoka AshaDii. Ha ha ha! Kama nakuona vile, ukitaka kukata kona unalaza kichwa begani ha ha ha! kiduku cha Bajaji
...lol... Lazima uishiwe nguvu Ad... Nakushauri endelea kumwatch na jicho la tano hivyo hivyo...Hamu ya kicheko hamna.... Mie siku zoote najua mimi na Sangara thou wa hiari.. yaani KAKANGU... Wee Sweet L kakako akifanya hivo kwenye calculator hata kama kaka wa hiari.... utakua na nguvu za kucheka.....lol
Tazama pale mwishoni utaeleza zaidi maana mie kila jina nikijaribu kuweka haizidi 30...
Lazima ucheke tu ndio maana majina yapo mengi...nataraji kwa score aliyopata Husninyo darasa litakuwa halijafutwa... Kuna ishu nilikuuliza unisaidie hujanijibu bado..tafadhali hebu saidia ndugu yako.
Khaaah..!.. Baharini tena jamani?... Ndo matatizo ya kuelekezana njia usiku wa manane haya!... Uzichek mapema kabla giza halijaingia...Inawezekana maana nilishangaa natokea baharini...leo nita tripple check hizo coordinates...
Khaaah..!.. Baharini tena jamani?... Ndo matatizo ya kuelekezana njia usiku wa manane haya!... Uzichek mapema kabla giza halijaingia...
Ila niseme i am very flattered rafiki... ila tu shemejio hukagua post zooote, i hope hii ya Chit Chat hatapita... for akiona inamaana vile unanitembeleaga home kila weekend ndo inakufa hivo....lol
Ujumbe umefika... njia ambayo mie hupita ni ndefu saana (ipo crude) Hivo najaribu ile inayotakiwa kabisa... inanisumbua nataka nifanikiwe then ndo nikutumie... sori sikusema niko kushughulikia.....
hahahaha!.. Nimemwelekeza njia, usimtishe atarudia njiani...ha ha ha.... Just wait and seee.... nakuonea huruma tu kwa Sweet L.... she is not as sweet as she pretends to be (hasa ukumuudhi....lol)
ha ha ha.... Just wait and seee.... nakuonea huruma tu kwa Sweet L.... she is not as sweet as she pretends to be (hasa ukumuudhi....lol)
nahisi kama napitwa vile! sweetlady na ashadii,kama sio kitun kibaya naomba mniunganishe kwenye muunganiko huu,lol
hahahaha!.. Nimemwelekeza njia, usimtishe atarudia njiani...
Sweetlady kweli ndo ujanja wako.... Unafikiri sikuona wakati AJ kakupa wimbo wa kwenda kulalia.... Uknanisahau hadi mimi....
Wee King... my best Wifi.... where have you been?? Hapa i feel like there something behind the scene kati ya Sweet L na Sangara... lol
ADii ..why so pressure ... kwa kuwa ulipata dedication ..nafikiri ilikuwa inatosha Lol ... AND.. lines 2 tu za Puzo about deep Love .. I hope yodnt mind?