Do you believe in love? ❤️

Do you believe in love? ❤️

I believe in Love bhana, Mke niliyenaye kwa kweli ananipenda tena sana tu hadi naona kabisa ! Anajali sana kuhusu mimi yaan hata nikwame vipi huwa ananitia Moyo.
Tumepata mtoto mmoja, tumetafuta wa pili bila mafanikio ila bega kwa bega , Ma mtu namwelewa sana ! Mwaka wa 11 sasa miaka mitatu ya urafiki na uchumba , Miaka 8 ya ndoa.

Naahidi sitamwangusha 😍
Yoooo I wish mkeo aone hapa
Hongera kwa mke bora na mwenye moyo safi bila shaka hata wewe ni bora kwake nimefurahi kusoma hii comment
 
hakuna namna ukwepa upendo na kuhisi kupenda ama kupendwa matokeo ya upendo ni pale huna thamani, hupendwi, usaliti, manyanyaso hivyo tunahitimisha hakuna upendo ila upendo wa kweli huishi na kuonekana kwa wapendanao
 
Afu anakubusu busu shingoni.....ngoja nilog out, kabla sijawa kama kaka angu mbalizi1
Kuna manzi yangu mmoja yeye alikua anapenda nichezecheze na mapaja yake tu yaan ana bonge la paja nyuma ana bonge la tako ile kumchezea mapaja huku natomasa makalio km napiga kinanda ndio ilikua raha yake sasa sijui ni mguso wa mikono ndio ulikua unampa msisimko km anatembelewa na chatu mwilini
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom