Do you believe in love? ❤️

Do you believe in love? ❤️

I believe in Love bhana, Mke niliyenaye kwa kweli ananipenda tena sana tu hadi naona kabisa ! Anajali sana kuhusu mimi yaan hata nikwame vipi huwa ananitia Moyo.
Tumepata mtoto mmoja, tumetafuta wa pili bila mafanikio ila bega kwa bega , Ma mtu namwelewa sana ! Mwaka wa 11 sasa miaka mitatu ya urafiki na uchumba , Miaka 8 ya ndoa.

Naahidi sitamwangusha 😍
 
She was my love at first sight...

Tukkawa separated, ila sikuwahi kumsahahu... Nimejaribu ku replace ila naona siwezi, no one can make me feel like her.. Maybe it wasn't meant to in this lifetime

CC meghan markle
Polee sana rudiana nae tu
Maana utakufa kwa msongo🥲
 
Naona umekuja kama shemasi shenzi wewe 🤣🤣 basi sikupendi
katika unyonge nilionao, umaskini umaskini nilio nao, elimu kidogo niliyonayo, mavazi na makazi yangu duni niliyonayo, kuna mwanamke anaweza kuniamini na kunipenda kweli mimi?
nadhani nastahili upendo wa Mungu pekee,

hata hivyo,
ukinipenda kwa matendo kwenye mazingira na hali ya hewa inayoruhusu, siwezi kujivunga au kukawia hata kwa sekunde moja kujibu mapigo ya upendo huo on the spots. :1Head:
 
katika unyonge nilionao, umaskini umaskini nilio nao, elimu kidogo niliyonayo, mavazi na makazi yangu duni niliyonayo, kuna mwanamke anaweza kuniamini na kunipenda kweli mimi?
nadhani nastahili upendo wa Mungu pekee
hivi wewe unaniona kama bibi yako🤣🤣
,

hata hivyo,
ukinipenda kwa matendo kwenye mazingira na hali ya hewa inayoruhusu, siwezi kujivunga au kukawia hata kwa sekunde moja kujibu mapigo ya upendo huo on the spots. :1Head:
Shenziii zako najua pakukukamatia😂😂
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom