Do you believe in love? ❤️

Do you believe in love? ❤️

sitarajii kupenda kwa sasa nawatamani tu, japo mpk sasa napendwa na mtoto wa chuo na mshangazi ishu sipo tyr kuwaumiza kihisia hasa huyo dogo keshatuma mpk wajumbe
Waambie kua haupo tayari usiwape matumaini fake
 
Mjukuu wangu ShesRise_1 apate dondoo toka kwako, libido ni kitu chema sana, hasa ikiwa juu😅😅😅
Ngekua sina sijui matatizo yangu ngesolve vipi, make nikiwa na highest level of stress kinachoniokoa ni 🥒🥒 nikifanya Kuna energy naihisi inatoka kabisa napata nafuu nakua mpya sana.

Kwakweli Mungu kanipendelea kwa namna ya kipekee HALLELUJAH
 
Ngekua sina sijui matatizo yangu ngesolve vipi, make nikiwa na highest level of stress kinachoniokoa ni 🥒🥒 nikifanya Kuna energy naihisi inatoka kabisa napata nafuu nakua mpya sana.

Kwakweli Mungu kanipendelea kwa namna ya kipekee HALLELUJAH
Wewe twin shikamooo🍆🍆🍑🍑 vina urafiki wa kudumu

Shida utane na mtu anajidai yupo busy wewe unautaka yeye anatangaza safari pyuuu
 
Kweli yapo mapenzi ya kweli ila siku hizi upendo unanunuliwa kwa pesa skama hauna unakufa, hivyo bado ni 50% kwa 50%
Upendo haununuliwi kijana

Achana na hizo biashara za waranguzi
Hata huyo unaeona kafata pesa kwako kuna mtu anampenda na hapindui
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom