kabugira
JF-Expert Member
- May 14, 2014
- 1,186
- 650
Vijana wa kiume siku hizi naona hawafundwi ipasavyo ndio maana kila siku kulia kulia tu sijui wanawake wamefanya nini sijui wakoje yaani mpk Mungu anajuta kuwafanya vichwa vya familia.
Umenivunja mbavu zote! teh teh teh teh! uuuuuiiiiiiii!