je mama,dada na watoto wetu wa kike? kuna mtu alisema uwongo wa madume hautishi kama wa wanawake. kwa mfano; mwanaume atakataa hana mchepuko, lakini mwanamke atakubambikizia mtoto na utaelea japo anajua baba yake ni mtu mwingine. umeona tofauti ya uwongo hapo??amin husiamini mwanamke si mtu wa kuaminiwa ata kidogo, vijana na wanaume wengi wamelizwa na wengine wameuawa chanzo akiwa mtu anayeitwa mwanamke. hii imethibitishwa kihistoria na kisayansi
Ndio maana wazungu wanalilia ndoa za jinsia moja kwa nini msianzishe kampeni na nyinyi mruhusiwe kuoana wenyewe kwa wenyewe muwaache wanawake wenyewe kama mnaona hawaaminiki.
kweli uongo wa wanawake balaa. ila ata michepuko kwa wanaume chanzo ni wanawakeje mama,dada na watoto wetu wa kike? kuna mtu alisema uwongo wa madume hautishi kama wa wanawake. kwa mfano; mwanaume atakataa hana mchepuko, lakini mwanamke atakubambikizia mtoto na utaelea japo anajua baba yake ni mtu mwingine. umeona tofauti ya uwongo hapo??
nimekupenda bure mama
mwanaume ndo wa kumwamini???
Ndio maana wazungu wanalilia ndoa za jinsia moja kwa nini msianzishe kampeni na nyinyi mruhusiwe kuoana wenyewe kwa wenyewe muwaache wanawake wenyewe kama mnaona hawaaminiki.
Nasikitika kuona hata yule mama yako alikuzaa humuamini!!! Asee dunia imeisha
amin husiamini mwanamke si mtu wa kuaminiwa ata kidogo, vijana na wanaume wengi wamelizwa na wengine wameuawa chanzo akiwa mtu anayeitwa mwanamke. hii imethibitishwa kihistoria na kisayansi
ila mwanamke ana huruma
labda huruma yakutuvulia pichu, sidhani kama kuna nyngine
Chonde chonde! usimwamini kabisa mwanamke, hata kama ni mkeo ishi naye kwa.Tahadhari sana!