CharmingLady
JF-Expert Member
- Apr 16, 2012
- 18,304
- 12,999
Basi endeleeni kuoana ninyi kwa ninyi make ndio mnaoaminiana!
nanyi mbadilike. muliumbwa ili tuwaoeBasi endeleeni kuoana ninyi kwa ninyi make ndio mnaoaminiana!
mwanaume ndo wa kumwamini???
amin husiamini mwanamke si mtu wa kuaminiwa ata kidogo, vijana na wanaume wengi wamelizwa na wengine wameuawa chanzo akiwa mtu anayeitwa mwanamke. hii imethibitishwa kihistoria na kisayansi
Kwa Upande Wangu Hata Kama Mwanamke atakuwa Na huruma Siwezi Kumwamini Kwani Huruma Zao Ni Za Kinafiki
Chonde chonde! usimwamini kabisa mwanamke, hata kama ni mkeo ishi naye kwa.Tahadhari sana!
mwanaume ndo wa kumwamini???
Mtoa Uzi Uko Right Kabisa Hawa Mademu Ni Pasua Kichwa Ukidata Nao Sana Unazikwa Siku Ambayo Haukutarajia Kwa Pressure Sio Watu Wa Kuwaamini 100%
I think the problem is not in sex type but on a person!!!
Kutokuaminika ama kuaminika ni tabia ya mtu, anaeza kuwa WA kiume au wa kike!!
Wema au ubaya haungalii jinsia ya mtu!!!
Ninachokiona hapa ni personal ATTITUDES, other things won't change if you can't first change yourself!!!
Wewe kwani unamwamini mwanamke?
The same applies to MEN
haya sasa viroba vimezidi mnywaji naona unavyoandika matango pori tu hapa,ivi even your own mama humuamini,ingekua mwanamke haaminiki ungekua unaandika haya matango pori yako hapo. Tena mwombe mama yako msamaha shame on you! Nakumbuka ukifata nyuki ili ule asali waweza vimbishwa mdomo au ukala asali!
amin husiamini mwanamke si mtu wa kuaminiwa ata kidogo, vijana na wanaume wengi wamelizwa na wengine wameuawa chanzo akiwa mtu anayeitwa mwanamke. hii imethibitishwa kihistoria na kisayansi
Wapo walio waamini mama zao lakin mwisho wa siku waliambiwa huyu ulienae sio baba yako mzazi,,lolNasikitika kuona hata yule mama yako alikuzaa humuamini!!! Asee dunia imeisha