Do what you can do, but don't trust a woman

Do what you can do, but don't trust a woman

Na wao siku hizi wanawabadili kama nguo halafu mnashangaa wanawake wa siku hizi hawashikiki kumbe wanarithi kwa baba zao. Kwa dunia ilivyoharibika kwa sasa usifikiri unakomesha mtu bali unajikomesha mwenyewe

alafu wakifuata tabia za baba zao wanawalaumu wanawake, hahahaaaa, mlidhani mtaokota dodo chini ya mfenesi eeeh???
 
Na wao siku hizi wanawabadili kama nguo halafu mnashangaa wanawake wa siku hizi hawashikiki kumbe wanarithi kwa baba zao. Kwa dunia ilivyoharibika kwa sasa usifikiri unakomesha mtu bali unajikomesha mwenyewe

kuna baba mmoja ma..la..ya kupita maelezo mkewe ashalia wee mpaka basi, the first born wake ni wa kike kichecheee km babake alipata mimba akiwa form2 baba alipiga nusu auwe,mkewe akamwambia wampigia nn mtoto wakati karithi kwako? baba akakasirika akajidai 'mimi sio mjinga hivi', so msiwashangae hao wanawake jamani wamerithi kwa baba zao
 
kuna baba mmoja ma..la..ya kupita maelezo mkewe ashalia wee mpaka basi, the first born wake ni wa kike kichecheee km babake alipata mimba akiwa form2 baba alipiga nusu auwe,mkewe akamwambia wampigia nn mtoto wakati karithi kwako? baba akakasirika akajidai 'mimi sio mjinga hivi', so msiwashangae hao wanawake jamani wamerithi kwa baba zao

mtoto wakike hurithi kwa mama nasiyo kwa baba acha kupotosha
 
Kwanini umwamini binadamu mwenzio 100%? Za wenzio changanya ña zako yakhee!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom