Evelyn Salt
Platinum Member
- Jan 5, 2012
- 77,672
- 167,738
Nashangaa mie:what:
Nashukuru huu uvumilivu nloupata wa kuacha comment yangu ibaki kifuani tu...
Nashangaa mie:what:
Nimeo hadi mke wa 9 wote hawaminiki! Mpaka nimekata tamaa
yamekuwa hayo!
dont trust anybody, even yourself!!!
Ndio, kwani humuamini mume wako? Evelyn Salt
umeongea pointi sana nitafte nkupe vocha ya buku
nijikute tu
nimeipenda signature yako but one thing, remember; a woman is insatiable!!!!
unansemesha kingereza umenisomesha wewe?
ha ha ha ahsante mwaya
Ndio maana wazungu wanalilia ndoa za jinsia moja kwa nini msianzishe kampeni na nyinyi mruhusiwe kuoana wenyewe kwa wenyewe muwaache wanawake wenyewe kama mnaona hawaaminiki.
msipotuamini then what next???
mwanaume ndo wa kumwamini???
Vichaa sio lazima wakaange mapeazi........utawajua kwa macho yao tu...........
Jibu mujarrab!
tunawagegeda na kuwabwaga
Mmhh! bibi.com kumbe huko hivyo? kwa taarifa yako mimi sikuachi ng'o!!
Hata maandiko yanasema mwanamke unatakiwa uishi nae kwa akili
tunawagegeda na kuwabwaga