Do what you can do, but don't trust a woman

Do what you can do, but don't trust a woman

Dunia

Member
Joined
Nov 8, 2014
Posts
96
Reaction score
19
Amin husiamini mwanamke si mtu wa kuaminiwa ata kidogo, vijana na wanaume wengi wamelizwa na wengine wameuawa chanzo akiwa mtu anayeitwa mwanamke.

Hii imethibitishwa kihistoria na kisayansi.
 
amin husiamini mwanamke si mtu wa kuaminiwa ata kidogo, vijana na wanaume wengi wamelizwa na wengine wameuawa chanzo akiwa mtu anayeitwa mwanamke. hii imethibitishwa kihistoria na kisayansi

Ndio maana wazungu wanalilia ndoa za jinsia moja kwa nini msianzishe kampeni na nyinyi mruhusiwe kuoana wenyewe kwa wenyewe muwaache wanawake wenyewe kama mnaona hawaaminiki.
 
Mtoa Uzi Uko Right Kabisa Hawa Mademu Ni Pasua Kichwa Ukidata Nao Sana Unazikwa Siku Ambayo Haukutarajia Kwa Pressure Sio Watu Wa Kuwaamini 100%
 
Naunga mkono hoja....! ila hapo kwenye kisansi itabidi unieleze vizuri..
 
Ndio maana wazungu wanalilia ndoa za jinsia moja kwa nini msianzishe kampeni na nyinyi mruhusiwe kuoana wenyewe kwa wenyewe muwaache wanawake wenyewe kama mnaona hawaaminiki.
running away from a problem is not a way of solving it. naamini unajua jitihada tunazozifanya kucope na ili tatizo
 
Ndio maana wazungu wanalilia ndoa za jinsia moja kwa nini msianzishe kampeni na nyinyi mruhusiwe kuoana wenyewe kwa wenyewe muwaache wanawake wenyewe kama mnaona hawaaminiki.

Hii ni shida sasa. Wacha waendelee kutuua tu bna
 
Halafu hujakaa nae unakwenda kanisani na kufunga pingu za maisha na unaahidi kuwa mtatenganishwa na kifo. Mi hilo sitaliweza. Tutakaa na ukionyesha hali ya kutoaminika nami nabadili uelekeo.
 
Mama yako humuamini? Au yeye ni mwanaume?

Acha habari za kwenye vijiwe.

Kama humuamini mwanamke huyo ni wako. Usigeneralize kabisa.
yes, hadi mama. ni ushauri pia ni fact. kama we unamwamini, amin amin nakwambia cku moja atakuliza na hautaamini macho wala masikio yako. its approximately kwenye wanaume10, 9 walishawai kudanganywa na mwanamke. kama wewe hujadanganywa tegemea kudanganywa. japo kudanganywa kuna tofautiana
 
Halafu hujakaa nae unakwenda kanisani na kufunga pingu za maisha na unaahidi kuwa mtatenganishwa na kifo. Mi hilo sitaliweza. Tutakaa na ukionyesha hali ya kutoaminika nami nabadili uelekeo.
yah, jino kwa jino
 
msipotuamini then what next???
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom