Kkimondoa
JF-Expert Member
- May 31, 2014
- 4,452
- 4,937
Hakuna kazi ngumu na yakijinga kama kuuficha ukweli unao kutafuna mwenyewe.haki yenye heshima ni ile unayo pewa ukiwa unavuja damu,kuutetea uongo ni sawa na kujitwisha furushi la kinyesi lisipo kushinda kwa uzito wake kwa hakika kwa harufu yake litakushinda.Akiongea mbele ya Naibu Waziri Selemani Jafo,Mganga Mkuu wa Iramba ametoa taarifa kuwa hawajapokea fedha za Madawa toka July 2016!!DMO alijikita zaidi kuonyesha uhaba wa pesa za dawa na motisha kwa watumishi wa afya,pia uhaba wa watumishi.Amesema serikali ijitahidi kuleta pesa kwa wakati ili kuwezesha huduma.MY TAKE: DMO atambue serekale makini ya CCM haijaleta magonjwa