Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 56,752
- 46,271
Mkuu labda kiswahili kinanipiga chenga.Mkuu,mtoa mada ametumia tafsida!ameandika kinyume!
"DMO alijikita zaidi kuonyesha uhaba wa pesa za dawa na motisha kwa watumishi wa afya,pia uhaba wa watumishi."
Hayo maneno ndiyo kashfa nisaidie mkuu?