DMO Iramba aikashifu serikali ya Magufuli mbele ya Jafo

DMO Iramba aikashifu serikali ya Magufuli mbele ya Jafo

Akiongea mbele ya Naibu Waziri Selemani Jafo,Mganga Mkuu wa Iramba ametoa taarifa kuwa hawajapokea fedha za Madawa toka July 2016!!DMO alijikita zaidi kuonyesha uhaba wa pesa za dawa na motisha kwa watumishi wa afya,pia uhaba wa watumishi.Amesema serikali ijitahidi kuleta pesa kwa wakati ili kuwezesha huduma
Kwani ni uongo...
 
Akiongea mbele ya Naibu Waziri Selemani Jafo,Mganga Mkuu wa Iramba ametoa taarifa kuwa hawajapokea fedha za Madawa toka July 2016!!DMO alijikita zaidi kuonyesha uhaba wa pesa za dawa na motisha kwa watumishi wa afya,pia uhaba wa watumishi.Amesema serikali ijitahidi kuleta pesa kwa wakati ili kuwezesha huduma.Hii ni kuikashifu serikali ya JPM ambayo imefunja rekodi Afrika mashariki na kati ya kukusanya mapato kiasi cha kununua ndege mbili kwa mpigo kwa keshi.
Hakuna kashfa hapo labda kama unalazimisha mambo kama kawaida
Alichoobesha huyo mganga wa wilaya ni changamoto za kazi
Inaonekana makusanyo makubwa ya kodi yanakuumiza sana roho
 
Nimekimbilia kusoma post nikidhani DMO kakashifu. Hapa Najifunza kitu kimoja tu, kwamba watz tunapenda kuishi kwa kutosema kweli. Sijaona kosa la daktari hapo. Tunajenga taifa la waoga wa kupindukia. Hongera DMO you have played your role.
 
Hakuna kashfa hapo labda kama unalazimisha mambo kama kawaida
Alichoobesha huyo mganga wa wilaya ni changamoto za kazi
Inaonekana makusanyo makubwa ya kodi yanakuumiza sana roho
Waziri hakuna uhaba wa sawa makamu wa Rais kuna uhaba wa DMO kuna upungufu wa dawa tushike lipe
 
Nimekimbilia kusoma post nikidhani DMO kakashifu. Hapa Najifunza kitu kimoja tu, kwamba watz tunapenda kuishi kwa kutosema kweli. Sijaona kosa la daktari hapo. Tunajenga taifa la waoga wa kupindukia. Hongera DMO you have played your role.
nakubali watz uwezo wetu was Akili mdogo, kuelewa mambo madogo, mleta Uzi alimaanisha kitendo cha MTU yeyote kueleza mabungufu ya selikali ni kuikashifu, kwani tumeaminishwa hii ni serikali takatifu
 
HUMU KUMEJAA UCHOCHEZI. Waziri wa Afya kasema dawa zipo tele. DMO anasema hakuna.
 
ETI MAENDELEO MAKUBWA YAKUNUNUA NDEGE
HAHAHAHHAHAHAH WABONGO TUNAKASHFAAA KWELI KWELI
WATU WAMEJIKONGOJA WAMETOKA SERIKALI NZIMA KWENDA KUZINDUA NDEGE YA WATU 70
HAHAHAHHAHA

HHAHAHAH
 
Akiongea mbele ya Naibu Waziri Selemani Jafo,Mganga Mkuu wa Iramba ametoa taarifa kuwa hawajapokea fedha za Madawa toka July 2016!!DMO alijikita zaidi kuonyesha uhaba wa pesa za dawa na motisha kwa watumishi wa afya,pia uhaba wa watumishi.Amesema serikali ijitahidi kuleta pesa kwa wakati ili kuwezesha huduma
sasa nyie maCCM kama dawa hakuna unataka akae kimya watu wafe?
 
Wananchi mkiumwa mjitetemeshe wenyewe kujitibu. Muelewe kuwa magonjwa hayaletwi na serikali wala CCM! Msisubiri serikali iwahudumie maana haina fedha. Pia msikae kulalamikalalamika tu bali mfanye kazi!
 
Back
Top Bottom