DMO Iramba aikashifu serikali ya Magufuli mbele ya Jafo

DMO Iramba aikashifu serikali ya Magufuli mbele ya Jafo

Akiongea mbele ya Naibu Waziri Selemani Jafo,Mganga Mkuu wa Iramba ametoa taarifa kuwa hawajapokea fedha za Madawa toka July 2016!!DMO alijikita zaidi kuonyesha uhaba wa pesa za dawa na motisha kwa watumishi wa afya,pia uhaba wa watumishi.Amesema serikali ijitahidi kuleta pesa kwa wakati ili kuwezesha huduma.MY TAKE: DMO atambue serekale makini ya CCM haijaleta magonjwa
Amejitambua huyo na kukata minyororo ya utumwa
 
aisee,jamaa mchochezi kabisa.

sasa naibu waziri alienda kukagua nini kama hakuna dawa? ajira za afya zimesitishwa,angetuambia kama kuna watumishi wa kutosha,unaweza.kuta wagonjwa wanahudumiwa na wafagizi
Tunabana matumizi
 
Tangu mamvi abwagwe hawa bavichaa wamekalia kupindisha ukweli tu. Ndio kazi iliyobaki.
Acha kuleta siasa kwenye mambo ya msingi kenge wewe.kwani ni uongo hakuna dawa mahospitalini? Makamu wa rais mwenyewe anakiri kuna upungufu wewe ni nani mpaka upinge.mnaleta ushabiki maandazi kwenye mambo ya maana pumbavu sana.
 
Akiongea mbele ya Naibu Waziri Selemani Jafo,Mganga Mkuu wa Iramba ametoa taarifa kuwa hawajapokea fedha za Madawa toka July 2016!

DMO alijikita zaidi kuonyesha uhaba wa pesa za dawa na motisha kwa watumishi wa afya,pia uhaba wa watumishi.

Amesema serikali ijitahidi kuleta pesa kwa wakati ili kuwezesha huduma.

Hii ni kuikashifu serikali ya JPM ambayo imefunja rekodi Afrika Mashariki na kati ya kukusanya mapato kiasi cha kununua ndege mbili kwa mpigo kwa keshi.
Sijui kibarua chake kama hakioti mbawa
 
Hhahahahahahhhhahaahahahahahah kwani zile takwimu za wagojwa wa akili hata serikali hali ya homa ya akili iko na ukubwa gani leo tunaambiwa mambo yako sawa watu walioko kwenye field wanatoka na kusema sio sasa tumwelewe nani mjomba uledi ashakuwa Bomberdier Q 40000 anasababisha viwewe
 
Ufipani roho nyeupee wakisikia dawa hakuna wanacheka hadi jino la mwisho

Huu ni ujuha hamjui hio shida haichagui itikadi
 
Ufipani roho nyeupee wakisikia dawa hakuna wanacheka hadi jino la mwisho

Huu ni ujuha hamjui hio shida haichagui itikadi
Unajisikiaje serikali moja ila majibu tofauti juu ya suala la dawa na vifaa tiba!!! Siasa hadi katika afya za watu ni hatari sana.

Sent from my TECNO-J5 using JamiiForums mobile app
 
Mh. Jafo alijibu nini kwa niaba ya serikali baada ya kupokea taarifa hiyo?
 
Mleta mada tafadhali badili kichwa cha habari, ili usilete uchonganishi
 
Akiongea mbele ya Naibu Waziri Selemani Jafo,Mganga Mkuu wa Iramba ametoa taarifa kuwa hawajapokea fedha za Madawa toka July 2016!!DMO alijikita zaidi kuonyesha uhaba wa pesa za dawa na motisha kwa watumishi wa afya,pia uhaba wa watumishi.Amesema serikali ijitahidi kuleta pesa kwa wakati ili kuwezesha huduma.MY TAKE: DMO atambue serekale makini ya CCM haijaleta magonjwa
Ulitaka aseme kuna dawa wakati hazipo? Nani mchochezi kati ya wewe na yeye?
 
Back
Top Bottom