DMO Iramba aikashifu serikali ya Magufuli mbele ya Jafo

DMO Iramba aikashifu serikali ya Magufuli mbele ya Jafo

Tunahangaikia ndege kwanza kwasasa tunataka kuleta zingine mbili kali,wananchi mjizuie kuumwaumwa. Mkipata ugumu watumieni waganga wa jadi au kunyweni miarobaini na alovera! Asanteni kwa kuniskiliza.
au kama vipi waende kwa mzee wa upako, sasaiv ni ndege kwanza maana fedha ipo
 
Usikute waliteta pembeni na Jaffo, then Jaffo akamwambia aje amwage ubuyu wote hadharani bla chenga. Safi sana Jaffo kwa kutumia mbinu za kisasa kufikisha ujumbe maana tunajua mnavyomwogopa bwana mkubwa na hamtaki muonekane mmesema nyie.
 
Akiongea mbele ya Naibu Waziri Selemani Jafo,Mganga Mkuu wa Iramba ametoa taarifa kuwa hawajapokea fedha za Madawa toka July 2016!

DMO alijikita zaidi kuonyesha uhaba wa pesa za dawa na motisha kwa watumishi wa afya,pia uhaba wa watumishi.

Amesema serikali ijitahidi kuleta pesa kwa wakati ili kuwezesha huduma.

Hii ni kuikashifu serikali ya JPM ambayo imefunja rekodi Afrika Mashariki na kati ya kukusanya mapato kiasi cha kununua ndege mbili kwa mpigo kwa keshi.
Hawapend kusikia kilichopo ila wanapenda kuona yajayo tu!!!!
Kwa waoneshe yajayo tu ila usiwaambie vilivyopo mana hawatakuelewa
 
Akiongea mbele ya Naibu Waziri Selemani Jafo,Mganga Mkuu wa Iramba ametoa taarifa kuwa hawajapokea fedha za Madawa toka July 2016!!DMO alijikita zaidi kuonyesha uhaba wa pesa za dawa na motisha kwa watumishi wa afya,pia uhaba wa watumishi.Amesema serikali ijitahidi kuleta pesa kwa wakati ili kuwezesha huduma.MY TAKE: DMO atambue serekale makini ya CCM haijaleta magonjwa
Hapo ameikashifu wapi. Hebu jiongeze kidogo!
 
Akiongea mbele ya Naibu Waziri Selemani Jafo,Mganga Mkuu wa Iramba ametoa taarifa kuwa hawajapokea fedha za Madawa toka July 2016!!

DMO alijikita zaidi kuonyesha uhaba wa pesa za dawa na motisha kwa watumishi wa afya, pia uhaba wa watumishi. Amesema serikali ijitahidi kuleta pesa kwa wakati ili kuwezesha huduma.

MY TAKE:

DMO atambue serekale makini ya CCM haijaleta magonjwa

Pole sana, yaani wewe hii serikali kuwa madarakani roho inakuuma utadhani umetendewa kinyume bila ridhaa ya maumbile
 
Back
Top Bottom