Dkt. Slaa aomba radhi kwa hoja yake “Ripoti ya CAG inapotoshwa’, Zitto Kabwe atoa neno

Huyuu mzee asemehewe akili zake zimeruka.

Bado hajaomba radhi kuwasingizia chadema ni watekaji.

Aliparamia kesi ya Mbowe mwishoe akaaibika.

Na hili tena kaambulia aibuu.
 
Babu Dr. Wilbrod Slaa, chama kongwe dola kitakuaibisha kwa kukutuma uichafue CHADEMA bila ushahidi wowote wa jinai kutendeka

 
Kwanza nimpongeze kwa kuwa mstaarabu amekubali kosa na kuomba radhi kuhusu uwasilishwaji wa ripoti ya CAG bungeni uliopo kisheria, sheria ilikuwa ammended yeye hakuwa na taarifa.

Lakini kwangu naona hata yale masuala mengine aliyozungumzia ikiwemo Katiba Mpya kwamba sio hitaji la wananchi pia alipotosha umma, Katiba Mpya ni muhimu sana kwasababu yeye mwenyewe alikiri Katiba ya sasa ni mbovu.
Hata katiba ikishuka mbinguni aiwezi kukuletea chakula nyumban katiba bill Kaz syo kitu
 
Siku moja baada ya mwanasiasa Willbrod Peter Slaa kukosoa mchakato wa jamii kuichambua ripoti ya CAG kwa madai kuwa sheria hairuhusu kufanya hivyo mpaka Kamati ya Bunge iipitie, ameomba radhi kwa kueleza kuwa alikuwa anasimamia sheria ambayo haikufanyiwa kazi.

Dkt. Slaa alinukuliwa akisema “Kuna upotoshwaji kwenye taarifa ya CAG, nadhani Zitto Kabwe angelisaidia sana taifa hili kama angekuwa mkweli, mimi na Zitto tulishiriki kutengeneza sheria ya ukaguzi wa fedha 2009, hata maneno yaliyopo kwenye sheria hiyo yametoka kwetu.

“Moja ya maelezo ya ile sheria inasema baada ya CAG kukabidhi ripoti yake kwa Rais kisha kuifikisha Bungeni siku saba baadaye, ripoti hiyo haitakiwi kuwa public discussion, kwa kuwa ni kama mhtasari tu wa ripoti.

“Inatakiwa Kamati ya Bunge ndiyo iifanyie kazi, mfano kuna sehemu unaweza kukuta risiti haikuonekana wakati wa ukaguzi lakini hiyo ikapitishwa na kuonekana ni wizi, tumepotosha maana ya ile taarifa ya CAG.

“Kwanza hata CAG mwenyewe amechangia kuleta hii taharuki kwa kuwa huwa ni ya awali tu na analijua hilo, inatakiwa irudi kwa akaunti ofisa wa Serikali ijadiliwe, pia CAG wakati anatoa taarifa zake hadharani hatakiwi kuingia ndani kutoa ufafanuzi zaidi kama anavyofanya.”

Zitto ajibu
Baada ya kauli hizo, Zitto Kabwe alijibu kusema: “Dk Slaa amekosea, anajua Ripoti ya CAG ikishawekwa mezani Bungeni inakuwa ni ‘public document’ na inapaswa kujadiliwa, suala la kujibu hoja alihusiani na public inachozungumza.

“Kuna hoja zinakaa hata miaka 10 bila kujibiwa.

“Kwa mujibu wa sheria za umma za sasa ambayo ilifanyiwa marekebisho wakati Slaa akiwa hayupo Bungeni, Ripoti ya CAG inapoletwa Bungeni inapaswa kuwasilishwa na majibu ya Serikali, hivyo hakuna tatizo public kuijadili.”

Dkt. Slaa aomba radhi
“Mimi nilikuwa nafanyia kazi sheria ya ukaguzi ya mwaka 2009, kwa bahati mbaya nilifanyia kazi taarifa ambayo haikuwa sahihi na siyo kwamba nilikuwa nina nia ya kupotosha, kama kuna marekebisho naomba radhi na sina sababu ya kubishana na Zitto.

“Kwa ufupi ni kuwa kwa bahati mbaya nilikuwa nafanyia kazi sheria ambayo haijafanyiwa marekebisho. Niliyokuwa naitumia ipo Google na inawezekana huko hawajaibadilisha iliyopo,” – Slaa.
Ila hajaomba radhi wala kukanusha kuhusu Chadema kutekana.
 
HV mtu akiomba radhi anaonekana amechanganyikiwa jmn mbna Dr slaa amefanya Jambo la kiungwana la kuigwa ila hap anatukanwa na wanachadema siyo sawa Wal haki mtu akiomba radhi Ni Jambo jema San mwacheni babu was watu bhna
 
HV mtu akiomba radhi anaonekana amechanganyikiwa jmn mbna Dr slaa amefanya Jambo la kiu

Bahati yake hayo anayofanya ni siasa, amasivyo angefunguliwa kesi kama za kina Musiba alipe fidia ya mabilioni kwa waathirika kwa habari kibao potovu anazozungumza Mzee Dr. Wilbrod Slaa ashukuru ana mlango wa kujitetea kuwa ni siasa tu
 
Hata katiba ikishuka mbinguni aiwezi kukuletea chakula nyumban katiba bill Kaz syo kitu
Unadhani wanaopigania Katiba Mpya wanawaza tumbo kama wewe na Dr. Slaa?

Wanaoipigania Katiba Mpya wanaifikiria future ya vizazi vijavyo hapa Tanzania, wafurahie kuitwa watanzania, na wasibaguliwe kwa namna yoyote ile, muhimu zaidi, haki ya wengi ya kumchagua wamtakae iheshimiwe.
 
How come ubaki na sheria ya 2009 kichwani mwako na kuanza kuropoka vitu usivyo na uhakika navyo in Public mwaka 2022?

Mzee Slaa tulikuheshimu sana, ila sasa umeridhia tukupokonye heshima tuliyokupa.

Msikilize hata anachoongea nyingi ni historia za kipindi anatamba, sasa analazimisha kubaki relevant kwa sifa za kipindi anatamba. Wanaomtumia wanamuagiza atumie sifa zake za huko nyuma wakidhani atapata mvuto tena. Mzee naye kwakuwa kapoteza ramani anayavaa kichwa kichwa hayo maagizo.
 
Kwahio walishiriki / walitaka tuwe na Sheria nyonyaji kama hio ?

Kweli kikulacho kinguoni mwetu....
 
Siku moja baada ya mwanasiasa Willbrod Peter Slaa kukosoa mchakato wa jamii kuichambua ripoti ya CAG kwa madai kuwa sheria hairuhusu kufanya hivyo mpaka Kamati ya Bunge iipitie, ameomba radhi kwa kueleza kuwa alikuwa anasimamia sheria ambayo haikufanyiwa kazi.

Dkt. Slaa alinukuliwa akisema “Kuna upotoshwaji kwenye taarifa ya CAG, nadhani Zitto Kabwe angelisaidia sana taifa hili kama angekuwa mkweli, mimi na Zitto tulishiriki kutengeneza sheria ya ukaguzi wa fedha 2009, hata maneno yaliyopo kwenye sheria hiyo yametoka kwetu.

“Moja ya maelezo ya ile sheria inasema baada ya CAG kukabidhi ripoti yake kwa Rais kisha kuifikisha Bungeni siku saba baadaye, ripoti hiyo haitakiwi kuwa public discussion, kwa kuwa ni kama mhtasari tu wa ripoti.

“Inatakiwa Kamati ya Bunge ndiyo iifanyie kazi, mfano kuna sehemu unaweza kukuta risiti haikuonekana wakati wa ukaguzi lakini hiyo ikapitishwa na kuonekana ni wizi, tumepotosha maana ya ile taarifa ya CAG.

“Kwanza hata CAG mwenyewe amechangia kuleta hii taharuki kwa kuwa huwa ni ya awali tu na analijua hilo, inatakiwa irudi kwa akaunti ofisa wa Serikali ijadiliwe, pia CAG wakati anatoa taarifa zake hadharani hatakiwi kuingia ndani kutoa ufafanuzi zaidi kama anavyofanya.”

Zitto ajibu
Baada ya kauli hizo, Zitto Kabwe alijibu kusema: “Dk Slaa amekosea, anajua Ripoti ya CAG ikishawekwa mezani Bungeni inakuwa ni ‘public document’ na inapaswa kujadiliwa, suala la kujibu hoja alihusiani na public inachozungumza.

“Kuna hoja zinakaa hata miaka 10 bila kujibiwa.

“Kwa mujibu wa sheria za umma za sasa ambayo ilifanyiwa marekebisho wakati Slaa akiwa hayupo Bungeni, Ripoti ya CAG inapoletwa Bungeni inapaswa kuwasilishwa na majibu ya Serikali, hivyo hakuna tatizo public kuijadili.”

Dkt. Slaa aomba radhi
“Mimi nilikuwa nafanyia kazi sheria ya ukaguzi ya mwaka 2009, kwa bahati mbaya nilifanyia kazi taarifa ambayo haikuwa sahihi na siyo kwamba nilikuwa nina nia ya kupotosha, kama kuna marekebisho naomba radhi na sina sababu ya kubishana na Zitto.

“Kwa ufupi ni kuwa kwa bahati mbaya nilikuwa nafanyia kazi sheria ambayo haijafanyiwa marekebisho. Niliyokuwa naitumia ipo Google na inawezekana huko hawajaibadilisha iliyopo,” – Slaa.
Kuna dalili zote huyu babu ana dementia
 
HV mtu akiomba radhi anaonekana amechanganyikiwa jmn mbna Dr slaa amefanya Jambo la kiungwana la kuigwa ila hap anatukanwa na wanachadema siyo sawa Wal haki mtu akiomba radhi Ni Jambo jema San mwacheni babu was watu bhna

Ameambiwa muda mrefu akae kimya kwani hana jipya lakini hasikii, analazimisha kubaki kwenye game ndio maana anajichoresha.
 
Siku moja baada ya mwanasiasa Willbrod Peter Slaa kukosoa mchakato wa jamii kuichambua ripoti ya CAG kwa madai kuwa sheria hairuhusu kufanya hivyo mpaka Kamati ya Bunge iipitie, ameomba radhi kwa kueleza kuwa alikuwa anasimamia sheria ambayo haikufanyiwa kazi.

Dkt. Slaa alinukuliwa akisema “Kuna upotoshwaji kwenye taarifa ya CAG, nadhani Zitto Kabwe angelisaidia sana taifa hili kama angekuwa mkweli, mimi na Zitto tulishiriki kutengeneza sheria ya ukaguzi wa fedha 2009, hata maneno yaliyopo kwenye sheria hiyo yametoka kwetu.

“Moja ya maelezo ya ile sheria inasema baada ya CAG kukabidhi ripoti yake kwa Rais kisha kuifikisha Bungeni siku saba baadaye, ripoti hiyo haitakiwi kuwa public discussion, kwa kuwa ni kama mhtasari tu wa ripoti.

“Inatakiwa Kamati ya Bunge ndiyo iifanyie kazi, mfano kuna sehemu unaweza kukuta risiti haikuonekana wakati wa ukaguzi lakini hiyo ikapitishwa na kuonekana ni wizi, tumepotosha maana ya ile taarifa ya CAG.

“Kwanza hata CAG mwenyewe amechangia kuleta hii taharuki kwa kuwa huwa ni ya awali tu na analijua hilo, inatakiwa irudi kwa akaunti ofisa wa Serikali ijadiliwe, pia CAG wakati anatoa taarifa zake hadharani hatakiwi kuingia ndani kutoa ufafanuzi zaidi kama anavyofanya.”

Zitto ajibu
Baada ya kauli hizo, Zitto Kabwe alijibu kusema: “Dk Slaa amekosea, anajua Ripoti ya CAG ikishawekwa mezani Bungeni inakuwa ni ‘public document’ na inapaswa kujadiliwa, suala la kujibu hoja alihusiani na public inachozungumza.

“Kuna hoja zinakaa hata miaka 10 bila kujibiwa.

“Kwa mujibu wa sheria za umma za sasa ambayo ilifanyiwa marekebisho wakati Slaa akiwa hayupo Bungeni, Ripoti ya CAG inapoletwa Bungeni inapaswa kuwasilishwa na majibu ya Serikali, hivyo hakuna tatizo public kuijadili.”

Dkt. Slaa aomba radhi
“Mimi nilikuwa nafanyia kazi sheria ya ukaguzi ya mwaka 2009, kwa bahati mbaya nilifanyia kazi taarifa ambayo haikuwa sahihi na siyo kwamba nilikuwa nina nia ya kupotosha, kama kuna marekebisho naomba radhi na sina sababu ya kubishana na Zitto.

“Kwa ufupi ni kuwa kwa bahati mbaya nilikuwa nafanyia kazi sheria ambayo haijafanyiwa marekebisho. Niliyokuwa naitumia ipo Google na inawezekana huko hawajaibadilisha iliyopo,” – Slaa.
Huyu Mzee si ndio alituambia amestaafu siasa? Ubalozi na ripoti ya CAG vinahusiana nini. Au anawakilisha ripoti ya CAG nje ya nchi?
 
Siku moja baada ya mwanasiasa Willbrod Peter Slaa kukosoa mchakato wa jamii kuichambua ripoti ya CAG kwa madai kuwa sheria hairuhusu kufanya hivyo mpaka Kamati ya Bunge iipitie, ameomba radhi kwa kueleza kuwa alikuwa anasimamia sheria ambayo haikufanyiwa kazi.

Dkt. Slaa alinukuliwa akisema “Kuna upotoshwaji kwenye taarifa ya CAG, nadhani Zitto Kabwe angelisaidia sana taifa hili kama angekuwa mkweli, mimi na Zitto tulishiriki kutengeneza sheria ya ukaguzi wa fedha 2009, hata maneno yaliyopo kwenye sheria hiyo yametoka kwetu.

“Moja ya maelezo ya ile sheria inasema baada ya CAG kukabidhi ripoti yake kwa Rais kisha kuifikisha Bungeni siku saba baadaye, ripoti hiyo haitakiwi kuwa public discussion, kwa kuwa ni kama mhtasari tu wa ripoti.

“Inatakiwa Kamati ya Bunge ndiyo iifanyie kazi, mfano kuna sehemu unaweza kukuta risiti haikuonekana wakati wa ukaguzi lakini hiyo ikapitishwa na kuonekana ni wizi, tumepotosha maana ya ile taarifa ya CAG.

“Kwanza hata CAG mwenyewe amechangia kuleta hii taharuki kwa kuwa huwa ni ya awali tu na analijua hilo, inatakiwa irudi kwa akaunti ofisa wa Serikali ijadiliwe, pia CAG wakati anatoa taarifa zake hadharani hatakiwi kuingia ndani kutoa ufafanuzi zaidi kama anavyofanya.”

Zitto ajibu
Baada ya kauli hizo, Zitto Kabwe alijibu kusema: “Dk Slaa amekosea, anajua Ripoti ya CAG ikishawekwa mezani Bungeni inakuwa ni ‘public document’ na inapaswa kujadiliwa, suala la kujibu hoja alihusiani na public inachozungumza.

“Kuna hoja zinakaa hata miaka 10 bila kujibiwa.

“Kwa mujibu wa sheria za umma za sasa ambayo ilifanyiwa marekebisho wakati Slaa akiwa hayupo Bungeni, Ripoti ya CAG inapoletwa Bungeni inapaswa kuwasilishwa na majibu ya Serikali, hivyo hakuna tatizo public kuijadili.”

Dkt. Slaa aomba radhi
“Mimi nilikuwa nafanyia kazi sheria ya ukaguzi ya mwaka 2009, kwa bahati mbaya nilifanyia kazi taarifa ambayo haikuwa sahihi na siyo kwamba nilikuwa nina nia ya kupotosha, kama kuna marekebisho naomba radhi na sina sababu ya kubishana na Zitto.

“Kwa ufupi ni kuwa kwa bahati mbaya nilikuwa nafanyia kazi sheria ambayo haijafanyiwa marekebisho. Niliyokuwa naitumia ipo Google na inawezekana huko hawajaibadilisha iliyopo,” – Slaa.
Babu wa mihogo bwana!!! Si akae kimya tu!!! Au ndiyo kick!!
 
Back
Top Bottom