Dkt. Slaa aomba radhi kwa hoja yake “Ripoti ya CAG inapotoshwa’, Zitto Kabwe atoa neno

Siku moja baada ya mwanasiasa Willbrod Peter Slaa kukosoa mchakato wa jamii kuichambua ripoti ya CAG kwa madai kuwa sheria hairuhusu kufanya hivyo mpaka Kamati ya Bunge iipitie, ameomba radhi kwa kueleza kuwa alikuwa anasimamia sheria ambayo haikufanyiwa kazi.

Dkt. Slaa alinukuliwa akisema “Kuna upotoshwaji kwenye taarifa ya CAG, nadhani Zitto Kabwe angelisaidia sana taifa hili kama angekuwa mkweli, mimi na Zitto tulishiriki kutengeneza sheria ya ukaguzi wa fedha 2009, hata maneno yaliyopo kwenye sheria hiyo yametoka kwetu.

“Moja ya maelezo ya ile sheria inasema baada ya CAG kukabidhi ripoti yake kwa Rais kisha kuifikisha Bungeni siku saba baadaye, ripoti hiyo haitakiwi kuwa public discussion, kwa kuwa ni kama mhtasari tu wa ripoti.

“Inatakiwa Kamati ya Bunge ndiyo iifanyie kazi, mfano kuna sehemu unaweza kukuta risiti haikuonekana wakati wa ukaguzi lakini hiyo ikapitishwa na kuonekana ni wizi, tumepotosha maana ya ile taarifa ya CAG.

“Kwanza hata CAG mwenyewe amechangia kuleta hii taharuki kwa kuwa huwa ni ya awali tu na analijua hilo, inatakiwa irudi kwa akaunti ofisa wa Serikali ijadiliwe, pia CAG wakati anatoa taarifa zake hadharani hatakiwi kuingia ndani kutoa ufafanuzi zaidi kama anavyofanya.”

Zitto ajibu
Baada ya kauli hizo, Zitto Kabwe alijibu kusema: “Dk Slaa amekosea, anajua Ripoti ya CAG ikishawekwa mezani Bungeni inakuwa ni ‘public document’ na inapaswa kujadiliwa, suala la kujibu hoja alihusiani na public inachozungumza.

“Kuna hoja zinakaa hata miaka 10 bila kujibiwa.

“Kwa mujibu wa sheria za umma za sasa ambayo ilifanyiwa marekebisho wakati Slaa akiwa hayupo Bungeni, Ripoti ya CAG inapoletwa Bungeni inapaswa kuwasilishwa na majibu ya Serikali, hivyo hakuna tatizo public kuijadili.”

Dkt. Slaa aomba radhi
“Mimi nilikuwa nafanyia kazi sheria ya ukaguzi ya mwaka 2009, kwa bahati mbaya nilifanyia kazi taarifa ambayo haikuwa sahihi na siyo kwamba nilikuwa nina nia ya kupotosha, kama kuna marekebisho naomba radhi na sina sababu ya kubishana na Zitto.

“Kwa ufupi ni kuwa kwa bahati mbaya nilikuwa nafanyia kazi sheria ambayo haijafanyiwa marekebisho. Niliyokuwa naitumia ipo Google na inawezekana huko hawajaibadilisha iliyopo,” – Slaa.
Ningeambiwa nimshauri dr. slaa. ningemshauri akae kimya. aendelee kula mihogo yake. namuheshimu sana dr. slaa. ila anajishushia hadhi yake kwa kufikiri anaouwezo wa kuibomoa chadema.
 
Siku moja baada ya mwanasiasa Willbrod Peter Slaa kukosoa mchakato wa jamii kuichambua ripoti ya CAG kwa madai kuwa sheria hairuhusu kufanya hivyo mpaka Kamati ya Bunge iipitie, ameomba radhi kwa kueleza kuwa alikuwa anasimamia sheria ambayo haikufanyiwa kazi.

Dkt. Slaa alinukuliwa akisema “Kuna upotoshwaji kwenye taarifa ya CAG, nadhani Zitto Kabwe angelisaidia sana taifa hili kama angekuwa mkweli, mimi na Zitto tulishiriki kutengeneza sheria ya ukaguzi wa fedha 2009, hata maneno yaliyopo kwenye sheria hiyo yametoka kwetu.

“Moja ya maelezo ya ile sheria inasema baada ya CAG kukabidhi ripoti yake kwa Rais kisha kuifikisha Bungeni siku saba baadaye, ripoti hiyo haitakiwi kuwa public discussion, kwa kuwa ni kama mhtasari tu wa ripoti.

“Inatakiwa Kamati ya Bunge ndiyo iifanyie kazi, mfano kuna sehemu unaweza kukuta risiti haikuonekana wakati wa ukaguzi lakini hiyo ikapitishwa na kuonekana ni wizi, tumepotosha maana ya ile taarifa ya CAG.

“Kwanza hata CAG mwenyewe amechangia kuleta hii taharuki kwa kuwa huwa ni ya awali tu na analijua hilo, inatakiwa irudi kwa akaunti ofisa wa Serikali ijadiliwe, pia CAG wakati anatoa taarifa zake hadharani hatakiwi kuingia ndani kutoa ufafanuzi zaidi kama anavyofanya.”

Zitto ajibu
Baada ya kauli hizo, Zitto Kabwe alijibu kusema: “Dk Slaa amekosea, anajua Ripoti ya CAG ikishawekwa mezani Bungeni inakuwa ni ‘public document’ na inapaswa kujadiliwa, suala la kujibu hoja alihusiani na public inachozungumza.

“Kuna hoja zinakaa hata miaka 10 bila kujibiwa.

“Kwa mujibu wa sheria za umma za sasa ambayo ilifanyiwa marekebisho wakati Slaa akiwa hayupo Bungeni, Ripoti ya CAG inapoletwa Bungeni inapaswa kuwasilishwa na majibu ya Serikali, hivyo hakuna tatizo public kuijadili.”

Dkt. Slaa aomba radhi
“Mimi nilikuwa nafanyia kazi sheria ya ukaguzi ya mwaka 2009, kwa bahati mbaya nilifanyia kazi taarifa ambayo haikuwa sahihi na siyo kwamba nilikuwa nina nia ya kupotosha, kama kuna marekebisho naomba radhi na sina sababu ya kubishana na Zitto.

“Kwa ufupi ni kuwa kwa bahati mbaya nilikuwa nafanyia kazi sheria ambayo haijafanyiwa marekebisho. Niliyokuwa naitumia ipo Google na inawezekana huko hawajaibadilisha iliyopo,” – Slaa.
Kweli angetulia asome upepo.sidhani gata kama ccm wanamtaka.
 
Kuna siku ataomba radhi na kusema, sikuwa najua kama Magufuli alikuwa anafanya hayo. Mimi nikikuwa nafanyia kazi yule Magufuli wa Wizara ya ujenzi. Itunzeni comment hii.
 
Siku moja baada ya mwanasiasa Willbrod Peter Slaa kukosoa mchakato wa jamii kuichambua ripoti ya CAG kwa madai kuwa sheria hairuhusu kufanya hivyo mpaka Kamati ya Bunge iipitie, ameomba radhi kwa kueleza kuwa alikuwa anasimamia sheria ambayo haikufanyiwa kazi.

Dkt. Slaa alinukuliwa akisema “Kuna upotoshwaji kwenye taarifa ya CAG, nadhani Zitto Kabwe angelisaidia sana taifa hili kama angekuwa mkweli, mimi na Zitto tulishiriki kutengeneza sheria ya ukaguzi wa fedha 2009, hata maneno yaliyopo kwenye sheria hiyo yametoka kwetu.

“Moja ya maelezo ya ile sheria inasema baada ya CAG kukabidhi ripoti yake kwa Rais kisha kuifikisha Bungeni siku saba baadaye, ripoti hiyo haitakiwi kuwa public discussion, kwa kuwa ni kama mhtasari tu wa ripoti.

“Inatakiwa Kamati ya Bunge ndiyo iifanyie kazi, mfano kuna sehemu unaweza kukuta risiti haikuonekana wakati wa ukaguzi lakini hiyo ikapitishwa na kuonekana ni wizi, tumepotosha maana ya ile taarifa ya CAG.

“Kwanza hata CAG mwenyewe amechangia kuleta hii taharuki kwa kuwa huwa ni ya awali tu na analijua hilo, inatakiwa irudi kwa akaunti ofisa wa Serikali ijadiliwe, pia CAG wakati anatoa taarifa zake hadharani hatakiwi kuingia ndani kutoa ufafanuzi zaidi kama anavyofanya.”

Zitto ajibu
Baada ya kauli hizo, Zitto Kabwe alijibu kusema: “Dk Slaa amekosea, anajua Ripoti ya CAG ikishawekwa mezani Bungeni inakuwa ni ‘public document’ na inapaswa kujadiliwa, suala la kujibu hoja alihusiani na public inachozungumza.

“Kuna hoja zinakaa hata miaka 10 bila kujibiwa.

“Kwa mujibu wa sheria za umma za sasa ambayo ilifanyiwa marekebisho wakati Slaa akiwa hayupo Bungeni, Ripoti ya CAG inapoletwa Bungeni inapaswa kuwasilishwa na majibu ya Serikali, hivyo hakuna tatizo public kuijadili.”

Dkt. Slaa aomba radhi
“Mimi nilikuwa nafanyia kazi sheria ya ukaguzi ya mwaka 2009, kwa bahati mbaya nilifanyia kazi taarifa ambayo haikuwa sahihi na siyo kwamba nilikuwa nina nia ya kupotosha, kama kuna marekebisho naomba radhi na sina sababu ya kubishana na Zitto.

“Kwa ufupi ni kuwa kwa bahati mbaya nilikuwa nafanyia kazi sheria ambayo haijafanyiwa marekebisho. Niliyokuwa naitumia ipo Google na inawezekana huko hawajaibadilisha iliyopo,” – Slaa.
Slaa amechambuaje kuhusu mauji ya Lissu?
 
HV mtu akiomba radhi anaonekana amechanganyikiwa jmn mbna Dr slaa amefanya Jambo la kiungwana la kuigwa ila hap anatukanwa na wanachadema siyo sawa Wal haki mtu akiomba radhi Ni Jambo jema San mwacheni babu was watu bhna
Hivi ni kweli kaachwa!
 
Ni makundi gani hi katiba ya Sasa imewabagua kiongozi mnk am sure hata hi ya Sasa huijui na ujawai kusema umedandia tu hoja ya katba mpya bila kujua hi Sasa ina dosari gani


Eti future ipi wew au Ni mihemko tu inakusumbia
Nimecheka tu nilivyokusoma ulivyoandika hivi;

" Manake am sure hata hii ya sasa huijui na aujawai kusema umedandia tu hoja yakatiba mpya bila kujua ya sasa ina dosari gani"

Nimecheka kwa ulichoandika halafu nikakusikitikia, pole sana mdogo/kaka yangu, usiwe unafanya kazi ya utabiri jf itakushinda, huku tembea na hoja tu.
 
Siku moja baada ya mwanasiasa Willbrod Peter Slaa kukosoa mchakato wa jamii kuichambua ripoti ya CAG kwa madai kuwa sheria hairuhusu kufanya hivyo mpaka Kamati ya Bunge iipitie, ameomba radhi kwa kueleza kuwa alikuwa anasimamia sheria ambayo haikufanyiwa kazi.

Dkt. Slaa alinukuliwa akisema “Kuna upotoshwaji kwenye taarifa ya CAG, nadhani Zitto Kabwe angelisaidia sana taifa hili kama angekuwa mkweli, mimi na Zitto tulishiriki kutengeneza sheria ya ukaguzi wa fedha 2009, hata maneno yaliyopo kwenye sheria hiyo yametoka kwetu.

“Moja ya maelezo ya ile sheria inasema baada ya CAG kukabidhi ripoti yake kwa Rais kisha kuifikisha Bungeni siku saba baadaye, ripoti hiyo haitakiwi kuwa public discussion, kwa kuwa ni kama mhtasari tu wa ripoti.

“Inatakiwa Kamati ya Bunge ndiyo iifanyie kazi, mfano kuna sehemu unaweza kukuta risiti haikuonekana wakati wa ukaguzi lakini hiyo ikapitishwa na kuonekana ni wizi, tumepotosha maana ya ile taarifa ya CAG.

“Kwanza hata CAG mwenyewe amechangia kuleta hii taharuki kwa kuwa huwa ni ya awali tu na analijua hilo, inatakiwa irudi kwa akaunti ofisa wa Serikali ijadiliwe, pia CAG wakati anatoa taarifa zake hadharani hatakiwi kuingia ndani kutoa ufafanuzi zaidi kama anavyofanya.”

Zitto ajibu
Baada ya kauli hizo, Zitto Kabwe alijibu kusema: “Dk Slaa amekosea, anajua Ripoti ya CAG ikishawekwa mezani Bungeni inakuwa ni ‘public document’ na inapaswa kujadiliwa, suala la kujibu hoja alihusiani na public inachozungumza.

“Kuna hoja zinakaa hata miaka 10 bila kujibiwa.

“Kwa mujibu wa sheria za umma za sasa ambayo ilifanyiwa marekebisho wakati Slaa akiwa hayupo Bungeni, Ripoti ya CAG inapoletwa Bungeni inapaswa kuwasilishwa na majibu ya Serikali, hivyo hakuna tatizo public kuijadili.”

Dkt. Slaa aomba radhi
“Mimi nilikuwa nafanyia kazi sheria ya ukaguzi ya mwaka 2009, kwa bahati mbaya nilifanyia kazi taarifa ambayo haikuwa sahihi na siyo kwamba nilikuwa nina nia ya kupotosha, kama kuna marekebisho naomba radhi na sina sababu ya kubishana na Zitto.

“Kwa ufupi ni kuwa kwa bahati mbaya nilikuwa nafanyia kazi sheria ambayo haijafanyiwa marekebisho. Niliyokuwa naitumia ipo Google na inawezekana huko hawajaibadilisha iliyopo,” – Slaa.
Umoja party itawadhalilisha kweli,maana maneno mengi anayo ongea Yana walakini.kama ndio mlioandaliwa kutengeneza njia ya hicho chama .kitakua kimefeli kabla ya kusajiliwa.
 
Back
Top Bottom