Dkt. Philip Mpango leo kaongea kama mkuu wa Nchi

Dkt. Philip Mpango leo kaongea kama mkuu wa Nchi

..pengine dokezo lileee lilimhusu huyo mwamba
Wahutu wanataka kuitumia Nchi hii ya Wajinga kama launch pad kurudi nyumbani na Trust me kwenye hii game ni vijana wetu wa Kitanzania ndio watakao teketea
 
Maagizo kama haya ndio yametufikisha hapa tulipo. Anadhani watakusanyaje trilioni mbili bila kutumia ubabe? Nilitegemea kama mchumi mbobezi angekaa kwanza na wachumi wenzake kuangalia kiasi gani kinaweza kukusanywa bila kuwaathiri wanaolipa kodi. Boss wake amewaambia watumie akili kuliko mabavu katika kukusanya kodi, yeye anakuja na lugha ya kibabe!

Amandla...
 
Nimejiuliza sana!

Akiongea mbele ya hadhira ya mashahidi wa kiapo pale Ikulu Chamwino makamu wa Rais wa Jamhuri ya Tanzania daktari Isdory Mpango pamoja na kutoa maagizo mbalimbali kwa wateule na watendaji wa Serikali lakini ni dhahiri ameongea kama yeye ndiye mkuu wa Nchi.

'Nataka kufika Disemba wizara ya fedha hakikisheni mapato yanafikia trilioni mbili' amesema Daktari Isdory.

Aliendelea kusema; 'nitawafuatilia kwa umakini mkubwa hasa watendaji wazembe na nitapobaini haraka sana nitarejea kwa mama na kumweleza yule hatufai na tutakubadirisha mara moja!'

Hoja hapa kwa sababu gani Daktari Isdory ameonyesha kuongea kwa kujiamini namna ile mbele ya mamlaka yake kama vile yeye ndiye mamlaka ya mwisho?!
Well said my friend!!!

Nafikili vizuri pia kufahamu Job Description ksti ya Mh.Rais, Makamo wa Rais na Waziri Mkuu ili kuondoa migongano katika utendaji na hivyo kuleta the so called duplication of efforts kati yao.

Mimi mwenyewe nimepata kigugumizi kidoogo kwa hotuba ya Dr. Mpango maana ameongea kama yeye ndo Rais wa Nchi, na sijui Waziri kazi yake itakuwa ni ipi!!!. Na kwa mtazamo na majigambo aliyoyaonyesha Dr. Mpango kwa ma-Waziri leo, lazima watakuwa very loyal kwa Dr. Mpango kuliko kwa Mh. Rais ili kuogopa wasije wakasemelewa kwa Mama 😆😆😆😆😆

Hii habari imenikumbusha wakati wa Rais Nyerere na Waziri Mkuu Sokoine ambapo ma-Waziri walikuwa wanamwogopa sana Sokoine kuliko hata Rais Nyerere!!!

Kwahiyo Dr. Mpango kulikuwa na namna nzuri zaidi ya kusisitiza hilo jambo kuliko ulivyofanya, labda ni kwasababu umesomea zaidi uchumi na sio utawala.

Asante!!!
 
Rais SHH alishasema pamaoja majukumu mengine kwa mujibu wa katiba.anamtegemea kwenye kukusanya mapato na kudhibiti matumizi ya serikali,
Hapo usishangae.
 
Mama mitano (5) tena.
Mama anahuruma sana na upendo wa dhati.
Tumechoshwa utemi utemi wa Wanaume.
Kutwa kucha ni vitisho tu.
Hakuna neno Pole, Nawapenda, Nawasaidia, njoo tuongee.
Kwa mfano huu bora watawale wanawake Milele.
Thank you Mama Samia Hassan Suluhu, tufundishe jinsi tunavyo pashwa kuwa kama Binadamu.

Cheo kisiwe silaha ya kulipa visasi vya hujuma, ufisadi, kulindana, na mengineyo
 
Nimejiuliza sana,

Akiongea mbele ya hadhira ya mashahidi wa kiapo pale Ikulu Chamwino makamu wa Rais wa Jamhuri ya Tanzania daktari Isdory Mpango pamoja na kutoa maagizo mbalimbali kwa wateule na watendaji wa Serikali lakini ni dhahiri ameongea kama yeye ndiye mkuu wa Nchi.

'Nataka kufika Disemba wizara ya fedha hakikisheni mapato yanafikia trilioni mbili' amesema Daktari Isdory.

Aliendelea kusema; 'nitawafuatilia kwa umakini mkubwa hasa watendaji wazembe na nitapobaini haraka sana nitarejea kwa mama na kumweleza yule hatufai na tutakubadilisha mara moja!'

Hoja hapa kwa sababu gani Daktari Isdory ameonyesha kuongea kwa kujiamini namna ile mbele ya mamlaka yake kama vile yeye ndiye mamlaka ya mwisho?!
Jana Rais MH Samia alieleza Kwamba atamtumia katika masuala mbali mbali ikiwemo Uchumi ACHA UCHONGANISHI
 
Huyu mwamba anafaa kuwa raisi,raisi inatakiwa awe mwamba sio legelege..kusanya trillioni 2 atakayehama huyo siyo muwekezaji.
 
Nimejiuliza sana,

Akiongea mbele ya hadhira ya mashahidi wa kiapo pale Ikulu Chamwino makamu wa Rais wa Jamhuri ya Tanzania daktari Isdory Mpango pamoja na kutoa maagizo mbalimbali kwa wateule na watendaji wa Serikali lakini ni dhahiri ameongea kama yeye ndiye mkuu wa Nchi.

'Nataka kufika Disemba wizara ya fedha hakikisheni mapato yanafikia trilioni mbili' amesema Daktari Isdory.

Aliendelea kusema; 'nitawafuatilia kwa umakini mkubwa hasa watendaji wazembe na nitapobaini haraka sana nitarejea kwa mama na kumweleza yule hatufai na tutakubadilisha mara moja!'

Hoja hapa kwa sababu gani Daktari Isdory ameonyesha kuongea kwa kujiamini namna ile mbele ya mamlaka yake kama vile yeye ndiye mamlaka ya mwisho?!
Pamoja na majukumu ya kikatiba, hili la usimamizi wa fedha za serikali ndilo jukumu alilopewa na Rais baada ya kuapishwa kuwa Makamu wa Rais. Kuna shida yeye kutekeleza majukumu yake?
 
Nimejiuliza sana,

Akiongea mbele ya hadhira ya mashahidi wa kiapo pale Ikulu Chamwino makamu wa Rais wa Jamhuri ya Tanzania daktari Isdory Mpango pamoja na kutoa maagizo mbalimbali kwa wateule na watendaji wa Serikali lakini ni dhahiri ameongea kama yeye ndiye mkuu wa Nchi.

'Nataka kufika Disemba wizara ya fedha hakikisheni mapato yanafikia trilioni mbili' amesema Daktari Isdory.

Aliendelea kusema; 'nitawafuatilia kwa umakini mkubwa hasa watendaji wazembe na nitapobaini haraka sana nitarejea kwa mama na kumweleza yule hatufai na tutakubadilisha mara moja!'

Hoja hapa kwa sababu gani Daktari Isdory ameonyesha kuongea kwa kujiamini namna ile mbele ya mamlaka yake kama vile yeye ndiye mamlaka ya mwisho?!
Yeye hawezi kutumbuliwa tena,hiyo nafasi labda afe au mengine.Lakin hamna wa kumtoa hapo kwa kumtumbua .So lazima awe na confidence
 
Nimejiuliza sana,

Akiongea mbele ya hadhira ya mashahidi wa kiapo pale Ikulu Chamwino makamu wa Rais wa Jamhuri ya Tanzania daktari Isdory Mpango pamoja na kutoa maagizo mbalimbali kwa wateule na watendaji wa Serikali lakini ni dhahiri ameongea kama yeye ndiye mkuu wa Nchi.

'Nataka kufika Disemba wizara ya fedha hakikisheni mapato yanafikia trilioni mbili' amesema Daktari Isdory.

Aliendelea kusema; 'nitawafuatilia kwa umakini mkubwa hasa watendaji wazembe na nitapobaini haraka sana nitarejea kwa mama na kumweleza yule hatufai na tutakubadilisha mara moja!'

Hoja hapa kwa sababu gani Daktari Isdory ameonyesha kuongea kwa kujiamini namna ile mbele ya mamlaka yake kama vile yeye ndiye mamlaka ya mwisho?!
Mpango anatakiwa awekwe chini achorewe mipaka yake. Akijifanya kujiinua mabega atanunuliwa na kukabidhiwa mkasi mpya lwa ajili ya kufanyia uzinduzi.
Mpango anaonyesha ni mpuuzi fulani mwenye maupuuzi yake mengi kichwani. Yaani nikuteue mimi halafu katika speech ya kushukuru unasema utahakikisha unamuenzi fulani!!!
 
Nimejiuliza sana,

Akiongea mbele ya hadhira ya mashahidi wa kiapo pale Ikulu Chamwino makamu wa Rais wa Jamhuri ya Tanzania daktari Isdory Mpango pamoja na kutoa maagizo mbalimbali kwa wateule na watendaji wa Serikali lakini ni dhahiri ameongea kama yeye ndiye mkuu wa Nchi.

'Nataka kufika Disemba wizara ya fedha hakikisheni mapato yanafikia trilioni mbili' amesema Daktari Isdory.

Aliendelea kusema; 'nitawafuatilia kwa umakini mkubwa hasa watendaji wazembe na nitapobaini haraka sana nitarejea kwa mama na kumweleza yule hatufai na tutakubadilisha mara moja!'

Hoja hapa kwa sababu gani Daktari Isdory ameonyesha kuongea kwa kujiamini namna ile mbele ya mamlaka yake kama vile yeye ndiye mamlaka ya mwisho?!
Na mama kampigia za kichwa tirion 2 bila ubunifu? Kubambkia watu makesi ya kodi,
KWA
SERIKALI , kweli tuhitaji pesa / kodi ila sio utaratibu wa Sasa ambao unatengeneza mianya ya kula rushwa KWA baadhi ya maafisa TRA
Ni vyema serikali kuunda kamati na wachague nchi yoyote ambayo mfumo wa kodi upo rafiki kamati itumwe huko haraka kujua unavyofanya kazi hata KWA kukopy na. Kupaste Kama upo vizuri na TRA IFUMULIWE
KABUDI alisadia Sana kutengeneza sheria nyingi kandamizi KWA wafanyabiasha ,na huyo huyo azifute sheria izo Kama akichelewa fukuza, Hawa ndo walikua wapambe hata kushauri hamna kisa kuogopa kutumbuliwa
 
Nimejiuliza sana,

Akiongea mbele ya hadhira ya mashahidi wa kiapo pale Ikulu Chamwino makamu wa Rais wa Jamhuri ya Tanzania daktari Isdory Mpango pamoja na kutoa maagizo mbalimbali kwa wateule na watendaji wa Serikali lakini ni dhahiri ameongea kama yeye ndiye mkuu wa Nchi.

'Nataka kufika Disemba wizara ya fedha hakikisheni mapato yanafikia trilioni mbili' amesema Daktari Isdory.

Aliendelea kusema; 'nitawafuatilia kwa umakini mkubwa hasa watendaji wazembe na nitapobaini haraka sana nitarejea kwa mama na kumweleza yule hatufai na tutakubadilisha mara moja!'

Hoja hapa kwa sababu gani Daktari Isdory ameonyesha kuongea kwa kujiamini namna ile mbele ya mamlaka yake kama vile yeye ndiye mamlaka ya mwisho?!
Haaa!Trilion mbili kwa mwez?Mbona tutabakia mifupa tu.Hayat mwenyewe alikuwa anaishia trilion na point tumechoka hv.Je?Trilion mbili?Zetu dua.
 
Back
Top Bottom