Dkt. Philip Mpango leo kaongea kama mkuu wa Nchi

Dkt. Philip Mpango leo kaongea kama mkuu wa Nchi

Pamoja na majukumu ya kikatiba, hili la usimamizi wa fedha za serikali ndilo jukumu alilopewa na Rais baada ya kuapishwa kuwa Makamu wa Rais. Kuna shida yeye kutekeleza majukumu yake?
Kama ndivyo nasi yuko sawa mama ka deligate power
 
Well said my friend!!!

Nafikili vizuri pia kufahamu Job Description ksti ya Mh.Rais, Makamo wa Rais na Waziri Mkuu ili kuondoa migongano katika utendaji na hivyo kuleta the so called duplication of efforts kati yao.

Mimi mwenyewe nimepata kigugumizi kidoogo kwa hotuba ya Dr. Mpango maana ameongea kama yeye ndo Rais wa Nchi, na sijui Waziri kazi yake itakuwa ni ipi!!!. Na kwa mtazamo na majigambo aliyoyaonyesha Dr. Mpango kwa ma-Waziri leo, lazima watakuwa very loyal kwa Dr. Mpango kuliko kwa Mh. Rais ili kuogopa wasije wakasemelewa kwa Mama

Hii habari imenikumbusha wakati wa Rais Nyerere na Waziri Mkuu Sokoine ambapo ma-Waziri walikuwa wanamwogopa sana Sokoine kuliko hata Rais Nyerere!!!

Kwahiyo Dr. Mpango kulikuwa na namna nzuri zaidi ya kusisitiza hilo jambo kuliko ulivyofanya, labda ni kwasababu umesomea zaidi uchumi na sio utawala.

Asante!!!
Ndo mumfunde maana yeye hata kama kapewa hiyo Kazi lazima atumie akili na lugha ya mipaka kulingana na Kazi ya makamu wa Rais

Akianza kuvuka mipaka na uakatokeo hayo hapo juu asijeshangaa yakamkuta ya Dr Omar Ally Juma,Sokoine,na Lowassa
 
Nimejiuliza sana,

Akiongea mbele ya hadhira ya mashahidi wa kiapo pale Ikulu Chamwino makamu wa Rais wa Jamhuri ya Tanzania daktari Isdory Mpango pamoja na kutoa maagizo mbalimbali kwa wateule na watendaji wa Serikali lakini ni dhahiri ameongea kama yeye ndiye mkuu wa Nchi.

'Nataka kufika Disemba wizara ya fedha hakikisheni mapato yanafikia trilioni mbili' amesema Daktari Isdory.

Aliendelea kusema; 'nitawafuatilia kwa umakini mkubwa hasa watendaji wazembe na nitapobaini haraka sana nitarejea kwa mama na kumweleza yule hatufai na tutakubadilisha mara moja!'

Hoja hapa kwa sababu gani Daktari Isdory ameonyesha kuongea kwa kujiamini namna ile mbele ya mamlaka yake kama vile yeye ndiye mamlaka ya mwisho?!
Nyie ndio wapumbavu msiojua kutafsiri vitu. Dk Mpango ni mtu mwema na ni wazi kabisa anajua mipaka yake na haya maneno nimenukuu kwenye hii post yako, "nitapobaini haraka sana nitarejea kwa mama na kumweleza yule hatufai...".
 
Kama ulisikiliza Jana kauli ya rais mama Samia suluhu Hassan usingeshangaa hata kidogo kauli ya makam wa rais Dr mpango.. Jana 31/4/2021 Rais ktk hotuba yake alitoa agizo kwa Dr mpango kwenda kusimamia hali ya uchumi na mapato ya serikali.. Leo 1/4/2021 Dr mpango anatimiza majukumu yake ya kikazi aliyopangiwa... Kwa kuanza na mwigulu nchemba kumpa maagizo ili kazi ianze Mara moja..
Jana tarehe 31/4/2021?????
 
Mama mitano (5) tena.
Mama anahuruma sana na upendo wa dhati.
Tumechoshwa utemi utemi wa Wanaume.
Kutwa kucha ni vitisho tu.
Hakuna neno Pole, Nawapenda, Nawasaidia, njoo tuongee.
Kwa mfano huu bora watawale wanawake Milele.
Thank you Mama Samia Hassan Suluhu, tufundishe jinsi tunavyo pashwa kuwa kama Binadamu.

Cheo kisiwe silaha ya kulipa visasi vya hujuma, ufisadi, kulindana, na mengineyo
Nashindwa kuuona huo upendo na huruma katika ukimya wake kuhusu raia wake 45 waliofariki wakitaka kumuaga Hayati Rais Magufuli. Pole yake ingewafariji sana ndugu wa marehemu.

Amandla...
 
Ndo mumfunde maana yeye hata kama kapewa hiyo Kazi lazima atumie akili na lugha ya mipaka kulingana na Kazi ya makamu wa Rais

Akianza kuvuka mipaka na uakatokeo hayo hapo juu asijeshangaa yakamkuta ya Dr Omar Ally Juma,Sokoine,na Lowassa
Achana na huyu mchonganishi. Atavukaje mipaka kama kasema hivi, "nitapobaini haraka sana nitarejea kwa mama na kumweleza yule hatufai..."
 
Nimejiuliza sana,

Akiongea mbele ya hadhira ya mashahidi wa kiapo pale Ikulu Chamwino makamu wa Rais wa Jamhuri ya Tanzania daktari Isdory Mpango pamoja na kutoa maagizo mbalimbali kwa wateule na watendaji wa Serikali lakini ni dhahiri ameongea kama yeye ndiye mkuu wa Nchi.

'Nataka kufika Disemba wizara ya fedha hakikisheni mapato yanafikia trilioni mbili' amesema Daktari Isdory.

Aliendelea kusema; 'nitawafuatilia kwa umakini mkubwa hasa watendaji wazembe na nitapobaini haraka sana nitarejea kwa mama na kumweleza yule hatufai na tutakubadilisha mara moja!'

Hoja hapa kwa sababu gani Daktari Isdory ameonyesha kuongea kwa kujiamini namna ile mbele ya mamlaka yake kama vile yeye ndiye mamlaka ya mwisho?!
Nimekatishwa tamaa mno na mtazamo wa kodi wa huyu kiongozi!

Nadhani, Mpango alikuwa hamshauri vizuri Hayati Magufuli katika masuala ya kodi.

Bahati nzuri mama ameweka vizuri masuala ya kodi right away na kuset the tone,vinginevyo biashara zingeendelea kufa/kufungwa.

Kwa upande mwingine,aache kabisa tabia ya kutoa matamko na maelekezo kama kwamba yeye ni raisi. Pengine ni vizuri apewe semina. elekezi. Amwache mama atengeneze nchi. Tunaimani na mama.
 
Ni kweli ameongea kama mkuu wa nchi ,tofauti na watangulizi wake nadhani amezoea kuwa Boss wizarani ,ila ugeni pia ukichukulia hajawahi kuwa mwanasiasa ni jambo la wasaidizi wake kumwelekeza tu vizuri,hata hivo yeye ndo msimamiz mkuu(Mwenyekit) wa fedha pande zote za Muungano hivo alionesha ni nini kinatakiwa kufanyika ,zaidi mama alisema amemteua ili amsaidie kiuchumi....
Amekosea ila sio kumhukumu kihivo ,tumezoea makamo wa Rais huwa sio muongeaji tena akiwepo Rais mbele yake.
 
Nimejiuliza sana,

Akiongea mbele ya hadhira ya mashahidi wa kiapo pale Ikulu Chamwino makamu wa Rais wa Jamhuri ya Tanzania daktari Isdory Mpango pamoja na kutoa maagizo mbalimbali kwa wateule na watendaji wa Serikali lakini ni dhahiri ameongea kama yeye ndiye mkuu wa Nchi.

'Nataka kufika Disemba wizara ya fedha hakikisheni mapato yanafikia trilioni mbili' amesema Daktari Isdory.

Aliendelea kusema; 'nitawafuatilia kwa umakini mkubwa hasa watendaji wazembe na nitapobaini haraka sana nitarejea kwa mama na kumweleza yule hatufai na tutakubadilisha mara moja!'

Hoja hapa kwa sababu gani Daktari Isdory ameonyesha kuongea kwa kujiamini namna ile mbele ya mamlaka yake kama vile yeye ndiye mamlaka ya mwisho?!
Unajuaje kwamba hajaagizwa kusema hivyo?
 
Kama ulisikiliza Jana kauli ya rais mama Samia suluhu Hassan usingeshangaa hata kidogo kauli ya makam wa rais Dr mpango.. Jana 31/4/2021 Rais ktk hotuba yake alitoa agizo kwa Dr mpango kwenda kusimamia hali ya uchumi na mapato ya serikali.. Leo 1/4/2021 Dr mpango anatimiza majukumu yake ya kikazi aliyopangiwa... Kwa kuanza na mwigulu nchemba kumpa maagizo ili kazi ianze Mara moja..
Mkuu, watu huwa hawafuatilii mambo kwa umakini, MTU anachukua kisentensi anajustfy the mean. Tunapochambua mambo let's pay attention to the details ya kitu husika. Watu wanarukia rukia mambo tu bila kufuatilia kwa kina
 
Kama ulisikiliza Jana kauli ya rais mama Samia suluhu Hassan usingeshangaa hata kidogo kauli ya makam wa rais Dr mpango.. Jana 31/4/2021 Rais ktk hotuba yake alitoa agizo kwa Dr mpango kwenda kusimamia hali ya uchumi na mapato ya serikali.. Leo 1/4/2021 Dr mpango anatimiza majukumu yake ya kikazi aliyopangiwa... Kwa kuanza na mwigulu nchemba kumpa maagizo ili kazi ianze Mara moja..
Mtoa mada kakurupuka... Ameonesha kiwango alivyo mweupe na asivyofuatilia mambo. Tumsamehe!
 
Nimejiuliza sana,

Akiongea mbele ya hadhira ya mashahidi wa kiapo pale Ikulu Chamwino makamu wa Rais wa Jamhuri ya Tanzania daktari Isdory Mpango pamoja na kutoa maagizo mbalimbali kwa wateule na watendaji wa Serikali lakini ni dhahiri ameongea kama yeye ndiye mkuu wa Nchi.

'Nataka kufika Disemba wizara ya fedha hakikisheni mapato yanafikia trilioni mbili' amesema Daktari Isdory.

Aliendelea kusema; 'nitawafuatilia kwa umakini mkubwa hasa watendaji wazembe na nitapobaini haraka sana nitarejea kwa mama na kumweleza yule hatufai na tutakubadilisha mara moja!'

Hoja hapa kwa sababu gani Daktari Isdory ameonyesha kuongea kwa kujiamini namna ile mbele ya mamlaka yake kama vile yeye ndiye mamlaka ya mwisho?!
Si kamtaja mkuu hapo? "...nitarejea kwa mama...", au ulitaka aweke vipi mkuu.

Na mama mwenyewe alishatangazia wote, kazi maalum aliyoteuliwa Mpango kuifanya, na mkazo wote wa maneno yake Mpango kauelekezea huko huko alikopangiwa kazi.

Sasa shida ipo wapi mkuu 'jitombashisho'?

Usisome mengi zaidi ya yaliyosemwa hapo na kuyapa maana tofauti.
 
Songa mbele wa kwetu Nzabhayanga . Usisilize Vihwago vinavyokakala. Acha majani ya migomba iliyokauka (ibhihwago) ipulizwe na upepo.
piga kazi baba.
 
Rais SHH alishasema pamaoja majukumu mengine kwa mujibu wa katiba.anamtegemea kwenye kukusanya mapato na kudhibiti matumizi ya serikali,
Hapo usishangae.
Wanaolalamika walidhani Sasa wataanza kukwepa Kodi baada ya Jiwe kuondoka! "Kwa Sasa tusahau"!

Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
 
Mama mitano (5) tena.
Mama anahuruma sana na upendo wa dhati.
Tumechoshwa utemi utemi wa Wanaume.
Kutwa kucha ni vitisho tu.
Hakuna neno Pole, Nawapenda, Nawasaidia, njoo tuongee.
Kwa mfano huu bora watawale wanawake Milele.
Thank you Mama Samia Hassan Suluhu, tufundishe jinsi tunavyo pashwa kuwa kama Binadamu.

Cheo kisiwe silaha ya kulipa visasi vya hujuma, ufisadi, kulindana, na mengineyo
Labda utawaliwe milele na mke wako. Kwenye sanduku la kura bado Sana.

Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom