Well said my friend!!!
Nafikili vizuri pia kufahamu Job Description ksti ya Mh.Rais, Makamo wa Rais na Waziri Mkuu ili kuondoa migongano katika utendaji na hivyo kuleta the so called duplication of efforts kati yao.
Mimi mwenyewe nimepata kigugumizi kidoogo kwa hotuba ya Dr. Mpango maana ameongea kama yeye ndo Rais wa Nchi, na sijui Waziri kazi yake itakuwa ni ipi!!!. Na kwa mtazamo na majigambo aliyoyaonyesha Dr. Mpango kwa ma-Waziri leo, lazima watakuwa very loyal kwa Dr. Mpango kuliko kwa Mh. Rais ili kuogopa wasije wakasemelewa kwa Mama




Hii habari imenikumbusha wakati wa Rais Nyerere na Waziri Mkuu Sokoine ambapo ma-Waziri walikuwa wanamwogopa sana Sokoine kuliko hata Rais Nyerere!!!
Kwahiyo Dr. Mpango kulikuwa na namna nzuri zaidi ya kusisitiza hilo jambo kuliko ulivyofanya, labda ni kwasababu umesomea zaidi uchumi na sio utawala.
Asante!!!