Kodi halali haikusanywi kwa kutumia nguvu. Ni akili na mfumo imara tu.Wanaolalamika walidhani Sasa wataanza kukwepa Kodi baada ya Jiwe kuondoka! "Kwa Sasa tusahau"!
Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
Kodi halali haikusanywi kwa kutumia nguvu. Ni akili na mfumo imara tu.Wanaolalamika walidhani Sasa wataanza kukwepa Kodi baada ya Jiwe kuondoka! "Kwa Sasa tusahau"!
Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
😆😆😆😆 Uongozi sio kusemeleana rafiki.Achana na huyu mchonganishi. Atavukaje mipaka kama kasema hivi, "nitapobaini haraka sana nitarejea kwa mama na kumweleza yule hatufai..."
TRA wanafakazi kwa malengo, kila mwaka hupanga matarajio ya makusanyo ndo maana husema tumevuka lengo kwa %kadhaa au malengo hayajafikiwa kwa %kadhaa. Sasa Kama watakuaanya kwa maagizo inabidi watumie mabavu.Huyu mwamba anafaa kuwa raisi,raisi inatakiwa awe mwamba sio legelege..kusanya trillioni 2 atakayehama huyo siyo muwekezaji.
😆😆😆😆 Uongozi sio kusemeleana rafiki.😆😆😆😆 Uongozi sio kusemeleana rafiki.
Uongozi Sheria, Taratibu na Kanuni, nothing more nothing less!!!!
Asante!!
Unapotosha, kuna sehemu ametumia wingi lakini wewe uje quote umoja..Nimejiuliza sana,
Akiongea mbele ya hadhira ya mashahidi wa kiapo pale Ikulu Chamwino makamu wa Rais wa Jamhuri ya Tanzania daktari Isdory Mpango pamoja na kutoa maagizo mbalimbali kwa wateule na watendaji wa Serikali lakini ni dhahiri ameongea kama yeye ndiye mkuu wa Nchi.
'Nataka kufika Disemba wizara ya fedha hakikisheni mapato yanafikia trilioni mbili' amesema Daktari Isdory.
Aliendelea kusema; 'nitawafuatilia kwa umakini mkubwa hasa watendaji wazembe na nitapobaini haraka sana nitarejea kwa mama na kumweleza yule hatufai na tutakubadilisha mara moja!'
Hoja hapa kwa sababu gani Daktari Isdory ameonyesha kuongea kwa kujiamini namna ile mbele ya mamlaka yake kama vile yeye ndiye mamlaka ya mwisho?!
Hili zee ndilo lililofilisi wafanya biashara na kukimbiza wenye mitaji mikubwa kwenda kuwekeza nchi zingineNimejiuliza sana,
Akiongea mbele ya hadhira ya mashahidi wa kiapo pale Ikulu Chamwino makamu wa Rais wa Jamhuri ya Tanzania daktari Isdory Mpango pamoja na kutoa maagizo mbalimbali kwa wateule na watendaji wa Serikali lakini ni dhahiri ameongea kama yeye ndiye mkuu wa Nchi.
'Nataka kufika Disemba wizara ya fedha hakikisheni mapato yanafikia trilioni mbili' amesema Daktari Isdory.
Aliendelea kusema; 'nitawafuatilia kwa umakini mkubwa hasa watendaji wazembe na nitapobaini haraka sana nitarejea kwa mama na kumweleza yule hatufai na tutakubadilisha mara moja!'
Hoja hapa kwa sababu gani Daktari Isdory ameonyesha kuongea kwa kujiamini namna ile mbele ya mamlaka yake kama vile yeye ndiye mamlaka ya mwisho?!
Aliendelea kusema; 'nitawafuatilia kwa umakini mkubwa hasa watendaji wazembe na nitapobaini haraka sana nitarejea kwa mama na kumweleza yule hatufai na tutakubadilisha mara moja!
Ama kweli ukishangaa ya Musa Utayaona ya Firauni.Yale Yale Bora nifunge duka langu nikalime.Nimejiuliza sana,
Akiongea mbele ya hadhira ya mashahidi wa kiapo pale Ikulu Chamwino makamu wa Rais wa Jamhuri ya Tanzania daktari Isdory Mpango pamoja na kutoa maagizo mbalimbali kwa wateule na watendaji wa Serikali lakini ni dhahiri ameongea kama yeye ndiye mkuu wa Nchi.
'Nataka kufika Disemba wizara ya fedha hakikisheni mapato yanafikia trilioni mbili' amesema Daktari Isdory.
Aliendelea kusema; 'nitawafuatilia kwa umakini mkubwa hasa watendaji wazembe na nitapobaini haraka sana nitarejea kwa mama na kumweleza yule hatufai na tutakubadilisha mara moja!'
Hoja hapa kwa sababu gani Daktari Isdory ameonyesha kuongea kwa kujiamini namna ile mbele ya mamlaka yake kama vile yeye ndiye mamlaka ya mwisho?!
Mama ameshatoa maelekezo kuhusu kodi. Upo salama.Ama kweli ukishangaa ya Musa Utayaona ya Firauni.Yale Yale Bora nifunge duka langu nikalime.
31/03/2021Kama ulisikiliza Jana kauli ya rais mama Samia suluhu Hassan usingeshangaa hata kidogo kauli ya makam wa rais Dr mpango.. Jana 31/4/2021 Rais ktk hotuba yake alitoa agizo kwa Dr mpango kwenda kusimamia hali ya uchumi na mapato ya serikali.. Leo 1/4/2021 Dr mpango anatimiza majukumu yake ya kikazi aliyopangiwa... Kwa kuanza na mwigulu nchemba kumpa maagizo ili kazi ianze Mara moja..
Watanzania tuna midomo aisee, sasa ulitaka aendeleee kumwacha asimame tu wakati hakuna ulazima huo?Na akamwambia kmk kaa tu vile alivyozoea jpm hii nayo mmmmh
Tegea kitendawili hiki mkuu😆😁😄😃😀Hatari Sana, Sasa Hivi Anajichotea Atakacho Popote
Katiba Mpya Ije
Nini kilitokea mkuu?Naitafakari kwa kina hii post kwa sasa baada ya malalamiko ya taarifa ya CAG kumuelemea mama!! Kuiokoa nchi na CCM pia ni lazima Dr Mpango na Kassimu Majaliwa wafanye kazi kama vile Rais hayupo. Kilichotokea juzi pale Uwanja wa Uhuru tena mbele ya wageni mashuhuri ni aibu kubwa!! Watanzania wamemchoka
Ungeanza kujiuliza kuhusu hiyo I'd yako brooNimejiuliza sana,