Dkt. Mwaka aonyesha vyeti na vibali vyake

Dkt. Mwaka aonyesha vyeti na vibali vyake

labda shida kubwa kwa dk mwaka beizake ziko juu sana sio kumsaidia mtanzania wa chini kama waganga wa asili wa kawaida uwezitofautisha waloliondo 500/30"000 za mwaka hapo unalipa 10"000 za kadi dawa unaandikiwa tano bill zinatoka perdiem ya mbunge mmoja wa katiba ukijumlisha mns uwe na laki nne+ kwenda kwa mwaka m sishangai hilo gari kwa bei zake uwezo anao..waangalie tu hizo.sehemu zingine na wambane kwenye bei ..yuko kwa ajili ya wananchi wote..kama anaponya basi abanwe bei zishuke.aendelww..
wajinga ndio waliwao
 
MAKOSA YAKE NI HAYA:_
(i) Registration yake ni ya tiba asili ambayo imekwisha muda wake
(ii) Kumkimbia Muheshimiwa naibu waziri
(iii) amekiuka miiko kwani alikuwa hajitangazi kama mtoa tiba wa asili, HIVYO WENGI WALIOKWENDA KWAKE WALIAMINI NI MGANGA WA HOSPITALI-MEDICAL DOCTOR

Namba (I) si sahihi kibali chake kinaisha 2016,31 October.
(II) Hakuna ushahidi kama kamkimbia naibu waziri bali alitoroka kituo chake cha kazi kama watoro wengine tu(tehe !tehe)
(III) Hii haina ushahidi pia inaonekana naibu waziri alitaka "doctor" Mwaka ajifunge ma hirizi awe na ungo vibuyu na vifaa vingine vya kupigia ramli ,hakuna sharia inayomzuia herbalist kutumia vifaa vya kisasa kuchunguzia maradhi halafu akayapiga kizizi !
My take naibu waziri yuko comfortable na the likes of ma mbwa mbwa, professor kina kifupi,kidingi cha truck-iondo!
 
*Cc: Wizara ya Afya na wengineo...

attachment.php

attachment.php

Kumbe jamaa ame specialise kwenye Miziziology

Dr.Mwaka nimemkubali.

Watu wanakurupuka kumbe mtu ana document zote.

samahani mkuu naomba unitafsirie"NENO MGANGA" KWA KIINGEREZA
au unataka nibadilishe kabisa, niite MGANGA WA JADI, YAANI TRADITIOAL HEALER.....ndilo jina wanalostahili kuitwa, na sio doctor. madoctor ni wale waliopigika kwenye vyuo kama muhimbili na vingine kwa miaka ya kutosha wakiusoma mwili wa mwanadamu, sio hao wanaosoma certificate ya mitishamba china mwaka mmoja, ndio unamwita doctor?
 
Nahisi Dr Kigwa ana jambo jingine na Dr Mwaka maana wote masharo hao
 
Ukitaka ugomvi na akina Mwaka na nduguye ?sak Ndodi we hoji waliko somea udaktari wanaujinasibu nao. Hawa jamaa mi nawachukia kwa kutapeli raia wakijiita dr ilhali wakifahamu fika kuwa wao ni witch-drs. Ndo maana kila siku ukimsikiliza mwaka pointi zake ni mbili tu: "homon imbalance", "kuziba kwa mirija ya kike" the whole year. Tumbua majipu hayo.
 
kumwita mganga wa mitishamba (traditional healer) kama doctor ni kuidhalilisha taasisi ya madaktari. hao ni traditional healers tu, hawana hadhi ya kuitwa waganga/madoctor.
 
Ukitaka ugomvi na mwaka hoji waliko somea udaktari wanaujinasibu nao. Hawa jamaa mi nawachukia kwa kutapeli raia wakijiita dr bila kufafanua kuwa wao ni witch-drs. Ndo maana kila siku ukimsikiliza mwaka pointi zake ni mbili tu: "homon imbalance", "kuziba kwa mirija ya kike" mwaka mzima.
wamesoma certificate za mitishamba mwaka mmoja, wanasomea sana india na china. ni traditional healers sawa tu na hao wamasai wanaotembeza mizizi wakidanganya watu kuwa inaongeza nguvu za kiume na kuita wachumba.

wanatake advantage matatizo ya watu hasa wanawake wasiozaa, wakijua kuwa yupo kwenye tatizo hivyo akimtajia dau lolote analipa, na wanachuma pesa nyingi sana kwa masikini wa kitanzania. hakuna mtu mwenye akili timamu anayeweza kuamini kuwa mtu aliyesoma certificate ya mitishamba mwaka mmoja atakuwa sawa na mtu aliyesomea udaktari muhimbili au ifakara au bungando etc miaka saba. ni mjinga tu anaweza kumsifia huyo jamaa na wenzake wote.

kuna mdudu mwingine anaitwa rahabu sijui anajifanya anatibu vidonda, kuna mwingine yule wa mashahidi wa jehova mwenye wake wawili anajifanya anatoa dawa ya kusukutua halafu jino linapona bila kung'oa, anawakamata wengi sana. kuna umuhimu serikali iwatafutie jina hawa jamaa, ili wasichanganye wananchi. kwasababu wananchi wanaamini ni madoctor, wanaenda pale wanapigwa pesa na kupona hawaponi.
 
Sijaelewa kama kwa vyeti ivyo sasa ruksa jamaa kuendelea ku.choko.noa dada na mama zetu kwa raha zake?
 
wamesoma certificate za mitishamba mwaka mmoja, wanasomea sana india na china. ni traditional healers sawa tu na hao wamasai wanaotembeza mizizi wakidanganya watu kuwa inaongeza nguvu za kiume na kuita wachumba.

wanatake advantage matatizo ya watu hasa wanawake wasiozaa, wakijua kuwa yupo kwenye tatizo hivyo akimtajia dau lolote analipa, na wanachuma pesa nyingi sana kwa masikini wa kitanzania. hakuna mtu mwenye akili timamu anayeweza kuamini kuwa mtu aliyesoma certificate ya mitishamba mwaka mmoja atakuwa sawa na mtu aliyesomea udaktari muhimbili au ifakara au bungando etc miaka saba. ni mjinga tu anaweza kumsifia huyo jamaa na wenzake wote.

kuna mdudu mwingine anaitwa rahabu sijui anajifanya anatibu vidonda, kuna mwingine yule wa mashahidi wa jehova mwenye wake wawili anajifanya anatoa dawa ya kusukutua halafu jino linapona bila kung'oa, anawakamata wengi sana. kuna umuhimu serikali iwatafutie jina hawa jamaa, ili wasichanganye wananchi. kwasababu wananchi wanaamini ni madoctor, wanaenda pale wanapigwa pesa na kupona hawaponi.
Yap, hapo mkuu tuko pamoja. Hawa jamaa nawaita matapeli sababu hujiaminisha kwa watu kwa id ya Dr. H?vyo watu huwaendea bila h?fu wasijue kuwa elimu yao juu ya mwili wa binadamu ni hafifu. Nafahamu watu wengi hawajui utapeli huu.
 
Hawa mawaziri wafanye kazi kwa weredi na sio kuita watu wa media kwa ajili ya kuonekana wanafanya kazi;
Kuna hospitali nyingi za mikoa na wilaya ambazo zinafanya kazi chini ya viwango, shida kubwa ni vifaa tiba na idadi ya madaktari katika kila wilaya. Boresheni Hospitali za Selikarini ili muwasaidie watu wengi zaidi kuliko kufanya maigizo kwenye media .
 
HK aende Hosp za wilaya huyo mwaka hana impact kwa wabongo
 
Sasa ni kipi hasa kilimkimbiza? Si angevuta subira akamvutia hizi nyaraka? Au hajiamini?
Hata mimi ningemkimbia, utakujaje bila kutoa taarifa? Hii ni ofisi yangu si ya serekali hayo mambo ya kuviziana pelekeni huko kwenye ofisi zenu, huku ukija utoe taarifa haijalishi wewe waziri au nani.
Ukipata jibu naomba unistue...sijui hata alikimbia nini! Na wasaidizi wote mbio...!!
 
Hivi dokta kwa kiswahili si mganga mi cijui bana labda mwaka alikosea kujiita kidhungu kwikwikwi teh teh
 
Hata mimi ningemkimbia, utakujaje bila kutoa taarifa? Hii ni ofisi yangu si ya serekali hayo mambo ya kuviziana pelekeni huko kwenye ofisi zenu, huku ukija utoe taarifa haijalishi wewe waziri au nani.

Hah haa haa..mkuu mbona unajibu utadhani mie ndo kigwagala? Mie nimeuliza tu.
 
[h=2]Dk Hamisi Kigwangalla[/h]Nashauri itisha vibali vyote vya Tiba Asilia na utaritibu wa kuwapitisha na kuwapa leseni watoa Tiba Asili.
Dr.Mwaka alichofanya ni |Marketing ya Nguvu,na Taaluma yake ya uganga Asilia hamna kipingamizi chochote cha kujitangaza,
Amejitangaza Clouds Media,Amejitangaza TV locals nyingi,Amedhamini mabonanza na michezo . Na amefanikiwa kuvuna pesa nyingi sana kihalali.
Mh.Waziri hii kesi itakuumbua Tu,achana nayo, anza na Wizarani hapo,weka misingi madhubuti ya usajili wa Tiba mbadala,weke Team ya kumonitor Center zinatoa Tiba mbadala,haya yoote unaweza kuyafanya online bila kutumia resources nyingi (ukipenda ntafute ntatoa msaada BURE-Kiuzalendo).
Baada ya kuitisha usajili Upya ndipo utaweza kuwachuja Matapeli aina ya Dr.Mwaka,Ndodi na wengineo.

2... Watoto wa mtaani ni Jipu SUGU liangalie hilo tuweze kujenga kizazi bora cha Tanzania 2020.
 
Back
Top Bottom