BOWTHRUSTER
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 397
- 175
Hmm...
Wacha picha liendee!
Hmm...
labda shida kubwa kwa dk mwaka beizake ziko juu sana sio kumsaidia mtanzania wa chini kama waganga wa asili wa kawaida uwezitofautisha waloliondo 500/30"000 za mwaka hapo unalipa 10"000 za kadi dawa unaandikiwa tano bill zinatoka perdiem ya mbunge mmoja wa katiba ukijumlisha mns uwe na laki nne+ kwenda kwa mwaka m sishangai hilo gari kwa bei zake uwezo anao..waangalie tu hizo.sehemu zingine na wambane kwenye bei ..yuko kwa ajili ya wananchi wote..kama anaponya basi abanwe bei zishuke.aendelww..
Hii nchi ina majungu sana Babu wa Loliondo alisababisha maafa sana ila sababu alikua anafanya kwa uwezo wa roho mtakatifu hakuna shida ila huyu mganga kilichomponza ni JUMA alafu ana wake 2 kuonyesha msisitizo na amefanikiwa sana ingawa ndio anazingua baadhi ya mambo ila utaratibu uliotumika sio
MAKOSA YAKE NI HAYA:_
(i) Registration yake ni ya tiba asili ambayo imekwisha muda wake
(ii) Kumkimbia Muheshimiwa naibu waziri
(iii) amekiuka miiko kwani alikuwa hajitangazi kama mtoa tiba wa asili, HIVYO WENGI WALIOKWENDA KWAKE WALIAMINI NI MGANGA WA HOSPITALI-MEDICAL DOCTOR
kuweni na akili timamu, hivi kwa kweli, mtu mwenye cheti kama hicho hapo anafaa kuitwa doctor somebody? mnajua maana ya doctor? hivi mtu kama huyu akienda kwenye nchi za watu wenye akili (ambao sio kama ninyi mnayemtetea) atajiita doctor? ....wanatakiwa wapigwe marufuku kujiita madoctor waitwe WAGANGA WA JADI. upuuzi mtupu huuu, na ni waongo kuliko hata shetani. wanachukua advantage matatizo ya watu.
Sasa ni kipi hasa kilimkimbiza? Si angevuta subira akamvutia hizi nyaraka? Au hajiamini?
kwani "mganga wa jadi" kiiengeleza anaitwaje
Dah mimi nilijua jamaa ni Gynecologist, kumbe ni mganga wa jadi!!!
Kweli mjini shule, Ahsante naibu waziri HKigwangallah kwa kwenda kujiridhisha juu ya utabibu wa huyu msanii
Whitch doctor ?kwani "mganga wa jadi" kiiengeleza anaitwaje
kuweni na akili timamu, hivi kwa kweli, mtu mwenye cheti kama hicho hapo anafaa kuitwa doctor somebody? mnajua maana ya doctor? hivi mtu kama huyu akienda kwenye nchi za watu wenye akili (ambao sio kama ninyi mnayemtetea) atajiita doctor? ....wanatakiwa wapigwe marufuku kujiita madoctor waitwe WAGANGA WA JADI. upuuzi mtupu huuu, na ni waongo kuliko hata shetani. wanachukua advantage matatizo ya watu.
Alimkimbia vipi wakati alienda kwa makomeo style? Wewe unakwenda ofisini kwa mtu kwa kuvizia huo si uchimvi? Hata mimi ningeondoka zangu tena kwa kupishana nae mlangoni maana hakuna taarifa yoyote ya ujio wake! Wakashtukize muhimbili huko sio kwenye vitega uchumi vya watu.
Msilete siasa, huyu ni dokta wa kutumia mitishamba, iweje atumie baadhi vifaa na taratibu za mainstream medicine ilhali haruhusiwi kutumia sababu hajasomea? Hiyo ndo hoja! Nendeni klinik kwake!
Hivyo vyeti ulivyoweka hapo havijajibu hoja bali kuongeza maswali zaidi.
Loading..............................................................lets wait for episode2