Dkt. Mpango: Kodi si tatizo Bandarini

Dkt. Mpango: Kodi si tatizo Bandarini

kwani ni sifa kuwa na mizigo mingi isio kuwa na maana , kama tuna michache halafu mapato ni mengi kuliko isivyokuwa hapo awali kuna haja gani
kwani ni sifa kuwa na mizigo mingi isio kuwa na maana , kama tuna michache halafu mapato ni mengi kuliko isivyokuwa hapo awali kuna haja gani



Tatizo huelewi unachoongea unafikiri mizigo ikiwa kidogo serekali yenyewe ndo inapata pigo. Ina athiri pia baadhi ya biashara.
 
Kama hakuna mizigo basi wavuvi turuhusiwe tuwe tunashushia samaki wetu pale, ku
 
Wee Mmawia, tumiaga akili japo kidogo. Hapo maana yake wote walioondoka walikuwa hawalipi kodi.
Title yako, Bandarini sasa kweupe, ni kwamba FAINALI, bandari imefika ulipotaka, wee jamaa ni kichwa cha mbu mwili wa tembo.
 
Hii inanikumbusha siku za nyuma kidogo, mwenye nyumba aliwapandisha kodi gafla bila kuwapa taharifa mapema wapangaji wake ili waweze kujiandaa kulipa.
Kilichofuata mwezi ulipofika wa kulipa kodi karibu robo tatu ya wapangaji wote wakahama na kuacha nyumba tupu, ilkaa tupu kwa muda wa zaidi ya miezi minne mpaka mwenyenyumba akajirudi na kupunguza bei tena, na kuanza kupata mpangaji mmoja mmjoja.
Kwa case hii ya bandari nafikiri serikali ikaze buti tu wakati wafanya uboreshaji wa bandari na system zote za usalama, ukaguzi, tarakimu na zinginezo ili wateja wakishaanza kutumia tena bandari hii basi wasiweze tena kubadilika na kuondoka kwa mara nyingine
 
Walijifanya kukimbilia kenya jana kimenuka bandari ya Mombasa sasa wanajaribu kuanza kutumi wenye njaa wapige kelele ili Magufuli alegeze hakuna kulegeza ni kukaza tu sasa waende wakapitishie msumbiji
Wewe wacha kudanganya mombasa meli zimefurika kibao
 
Serikali yangu ikiamia Dodoma nitageuzo bandari ya DSM uwanja wa mpira au nitakodisha iwe beach
 
kwa hali ilivyokua bora bandari ikauke kabisa,then tutashushia mizigo mombasa kwa muda hadi watu wanyooke-kama baadhi ya kundi la watu walikua wanakwepa kodi na kwa manufaa yao,ngoja hali itubane wote
 
Bandari ilipokuwa imefurika kodi makusanyo wastani niilikua bilioni 800-900
Bandari zimekaukiwa na mizigo kodi wastani ni Trilioni 1-1.3
Inahitaji elimu ya darasa la saba tu kung'amua kwamba mafuriko yale ya mizigo,mingi kodi ilikuwa haiingii serikalini
This time next year itakubidi uje kufafanua hiki unachokisema
 
Wale ni wezi na waondoke tu.
Iweje ufanisi uboreshwe ndio wakimbie. Watarudi tu. Huo mgomo wa Muda. Watachoka wenyewe kisha watajirudisha.

Wauza unga hao, acha wasepe.
Hapo Rais, acha akaze Uzi mpaka. kieleweke.
 
Wee Mmawia, tumiaga akili japo kidogo. Hapo maana yake wote walioondoka walikuwa hawalipi kodi.
Title yako, Bandarini sasa kweupe, ni kwamba FAINALI, bandari imefika ulipotaka, wee jamaa ni kichwa cha mbu mwili wa tembo.

Mkuu hata ukimkejeli mleta taarifa ,bado hibadili hali halisi...
 
Kwenye hii mada nimewaona wenye uchumgu na hali ilivyo,nimewaona wanaoshangilia jinsi hali ilivyo, na pia nimewaona wanaoombea hali iendelee hivihivi.Kwa ufupi kuna wazalendo na wasio wazalendo humu.
 
Back
Top Bottom