Dkt. Mpango: Kodi si tatizo Bandarini

Dkt. Mpango: Kodi si tatizo Bandarini

na bado natabiri hiyo bandari kufungwa kabisa....
 
Vitabu vyote vya dini vinaeleza kuwa Mungu wetu anataka mwenye dhambi yoyote atubu ili kama alikuwa akiishi kama shetani aishi kama Malaika.

Mwenyezi Mungu hatamani binadamu yeyote aishi kama shetani.

Tumeshangaa tumepata Presidaa ambaye ametangaza hadharani kuwa atawafanya watanzania waishi kama mashetani........

Sasa nchi yetu naona Mwenyezi Mungu ameanza kuipiga laana kutokana na matamshi hayo ambayo yanaenda kinyume kabisa na matakwa ya Mungu ya kutotaka binadamu yoyote hata kama alikuwa na dhambi kiasi gani asiishi kama shetani, badala yake atubu dhambi zake na aweze kuishi kama Malaika.
U have a point. N even he went far n said "Mimi Sijaribiwi" as if He is God.
 
Kwahyo furaha yako ni bandari kujaa mizigo ya wakwepa kodi?
Hiyo hiyo michache yamkini inatupa kodi inatosha kabisa
 
H
Waondoke tu,majitu yalikuwa hayalipi kodi hayo
Hii ni uthibitisho tosha juu ya nchi ilivyokuwa inaliwa. Kuambiwa walipe kodi wameamua kutimua! Hongera Rais kwa kuondoa mtandao Wa wasiolipa kodi bandarini.
 
Nakufundisha ujue hill kwa kuwa unawaunga mkono wazembe kwenye uvivu wa kufikiri. Amka wewe!! Unakosoa kitu usichokijua. Ndio tunakufundisha hivyo ukawaekeze kwenye kijiwe chenu pale!!
Kwahiyo Unamaanisha Taarifa Iliyotolewa Na Mamlaka Ya Bandari Kuhusu Suala La Kupungua Kwa Mizigo Ni Ya Kizembe??.
 
Bandari. Ilikuwa ina kazi nyingi, mizigo mingi, wafanyazi walikuwa busy, lakini mapato ya bandalini yalikuwa yakiwekwa mifukoni. Wakubwa wa custom wengine walikuwa na nyumba 75. Wafanya biashara waliokuwa wakigawana pesa hizi wafanyakazi majipu sasa wanashock, shock ikiisha na kufanya biashara kwa sheria za nchi mambo yatakuwa sawa.
Wewe naona unaongelea hapo bongo tembelea bandari ya mombasa uone jinsi mimeli inavyo pishana na ukienda bandari ya beira nako ni meli kibao
 
Harafu Bado Serikali Inadai Eti Mapato Ya Bandalini Yanaongezeka Siku Hadi Siku.

kwani ni sifa kuwa na mizigo mingi isio kuwa na maana , kama tuna michache halafu mapato ni mengi kuliko isivyokuwa hapo awali kuna haja gani
 
Watueleze kabla ya hapo
Kwa maana hiyo bandari yetu ilifanywa Shamba la bibi?
bandari mapato yalikuwaje na sasa yakoje
Kuna nchi ni landrocked na kiuchumi ziko vizuri kama kuna mgomo wa kupitishia kwetu kwa sababu ya kukwepa kodi ni heri wakaacha
 


Hali hii imepelekea uongozi wa mamlaka ya bandari kufuta bandari kavu hii ni baada ya wafanya biashara kuikimbia.
Mamlaka ya Bandari nchini TPA imesema inakabiliwa na upungufu wa mizigo ambapo sasa kwa siku inahudumia magari 1500 tu tofauti na uwezo wake wa kuhudumia magari 3500 kwa siku yatokayo nje ya nchi na kuwa kutokana na hali hiyo hawawezi kupeleka magari kuhifadhiwa bandari kavu kwani hata yenyewe haina mzigo wa kutosha.

Mkurugenzi mkuu wa mamlaka hiyo Deusdedit Kakoko amesema hayo baada ya kumalizika kikao kilichoitwa cha ndani kati yake na baadhi ya wahariri wa vyombo vya habari nchini kilicholenga kujua hali halisi ya bandari ilivyo na mipango yake ya kuiboresha.

Aidha mkurugenzi mkuu huyo wa mamlaka ya Bandari amesema kulikuwepo na udanganyifu katika utoaji wa mizigo bandarini kwa baadhi ya mawakala wa forodha ambao mzigo wa kupeleka nje ya nchi ulikuwa ukiuzwa hapa nchini kitu ambacho kimekanushwa vikali na chama cha mawakala wa forodha.


Awali katibu wa jukwaa la wahariri Neville Meena amesema walifika bandarini hapo na kufanya kikao cha ndani na uongozi wa bandari hiyo baada ya kuwepo alichokiita mtikisiko katika utoaji wa huduma katika mamlaka ya bandari nchini.

Chanzo itv

Binafsi hii habari nimeiona. Lakini, imepungukiwa kitu kimoja. Wangetuambia na mlinganyo wa mapato wakati wa magari 3,500 na mapato ya magari 1,500. Kama na mapato yamepungua, hapo ni tatizo. Kama ni kinyume, tatizo nini?
 
Back
Top Bottom