Hii inanikumbusha siku za nyuma kidogo, mwenye nyumba aliwapandisha kodi gafla bila kuwapa taharifa mapema wapangaji wake ili waweze kujiandaa kulipa.
Kilichofuata mwezi ulipofika wa kulipa kodi karibu robo tatu ya wapangaji wote wakahama na kuacha nyumba tupu, ilkaa tupu kwa muda wa zaidi ya miezi minne mpaka mwenyenyumba akajirudi na kupunguza bei tena, na kuanza kupata mpangaji mmoja mmjoja.
Kwa case hii ya bandari nafikiri serikali ikaze buti tu wakati wafanya uboreshaji wa bandari na system zote za usalama, ukaguzi, tarakimu na zinginezo ili wateja wakishaanza kutumia tena bandari hii basi wasiweze tena kubadilika na kuondoka kwa mara nyingine