Dkt. Mpango: Kodi si tatizo Bandarini

Dkt. Mpango: Kodi si tatizo Bandarini

Kuna watu wanatoa majibu rahisi tu kwa kusema kuwa waliokimbia bandari walikuwa hawalipi kodi. Nafikiri jibu hili sio la kisayansi hivyo haliwezi kuthibitisha kwa kupungua kwa mizigo bandarini kuwa hii ndio sababu kubwa. La hasha!! Ni kwa kiasi kidogo sana inaweza kuchangia ila naamini ni lazima kutakuwa na sababu nyingine za msingi zaidi ya hii inayotajwa kirahisi rahisi tu. Hivyo hakuna budi mamlaka ya bandari ni lazima wafanye uchunguzi ili waje na majibu na kutafutia ufumbuzi suala hili.
 
Sasa hapo kigumu kiko wapi? Au hesabu kwako ni ngumu?
Kama ilikuwa rahisi kujua idadi ya magari kwanini iwe ngumu kutaja kiasi cha pesa ili tuone difference? Ninasema hivyo nikizingatia suala la udanganyifu lililokuwepo kabla. Nafikiri Mmawia ulipaswa ujue hoja yangu imelalia wapi.
 
Mmawia naomba unijibu: Wakati bandani inajaa meli na sasa ambapo haijai kuna tofauti gani katika maisha ya mtu wa kawaida? Mimi sioni. Meli zilipojaa ni kina Home Shopping walikuwa wanafaidi.
Hapo tunaongelea kupungua kwa mizigo bandarini hayo mengine kawaulize maprofesa wa uchumi
 
Kama ilikuwa rahisi kujua idadi ya magari kwanini iwe ngumu kutaja kiasi cha pesa ili tuone difference? Ninasema hivyo nikizingatia suala la udanganyifu lililokuwepo kabla. Nafikiri Mmawia ulipaswa ujue hoja yangu imelalia wapi.
atakupotezea muda huyo.
 
Kuna watu wanatoa majibu rahisi tu kwa kusema kuwa waliokimbia bandari walikuwa hawalipi kodi. Nafikiri jibu hili sio la kisayansi hivyo haliwezi kuthibitisha kwa kupungua kwa mizigo bandarini kuwa hii ndio sababu kubwa. La hasha!! Ni kwa kiasi kidogo sana inaweza kuchangia ila naamini ni lazima kutakuwa na sababu nyingine za msingi zaidi ya hii inayotajwa kirahisi rahisi tu. Hivyo hakuna budi mamlaka ya bandari ni lazima wafanye uchunguzi ili waje na majibu na kutafutia ufumbuzi suala hili.

hiyo sababu ngum si uitaje sasa kuna ufahari gani wa kuwa na bandari inayofurika makontena ya madili , na wezi , kinachomata ni mizigo mingi au mapato mengi,
 
Kwa wale mnaolalamika poleni sana.. kwa wale walioisoma namba poleni zaidi.. kwa wale msiojua kinachoendelea ila still mnalalamika poleni zaidi na zaidi. Kwa wale ambao hata bandarini hawajawahi kufika na hata hawaelewi kinachoendelea ila still wanalalamika nawatakia pole pia.. kwa wale mnapinga tu as long as mwonekane mnatoka upande gani poleni sana pia..

Ukweli mchungu ni..

HAMNA MTAKACHOWEZA KUFANYA..au KUBADILISHA

Endeleeni kulalamika..
 
Hebu Punguza Mawazo Mgando Ya Kudhani Kila Anaeikosoa Serikali Ni Mpizani. Kama Wewe Unadhani Ukiwa Mwana CCM Ni Sharti Kupongeza Kila Kitu Hata Kama Kikiwa Kibaya, Basi Ujinga Huo Unao Wewe Mwenye Akili Za Upimbi.
Nakupongeza sana kwa jibu zuri sana kwa hawa watu wa ajabu
 
Kuna watu wanatoa majibu rahisi tu kwa kusema kuwa waliokimbia bandari walikuwa hawalipi kodi. Nafikiri jibu hili sio la kisayansi hivyo haliwezi kuthibitisha kwa kupungua kwa mizigo bandarini kuwa hii ndio sababu kubwa. La hasha!! Ni kwa kiasi kidogo sana inaweza kuchangia ila naamini ni lazima kutakuwa na sababu nyingine za msingi zaidi ya hii inayotajwa kirahisi rahisi tu. Hivyo hakuna budi mamlaka ya bandari ni lazima wafanye uchunguzi ili waje na majibu na kutafutia ufumbuzi suala hili.

hiyo sababu ngum si uitaje sasa kuna ufahari gani wa kuwa na bandari inayofurika makontena ya madili , na wezi , kinachomata ni mizigo mingi au mapato mengi,
 
Akili zenu mnaona hili linaathiri wana lumumba tu, ndio maana kuna post umesema wana lumumba wataisoma namba.
Teeeeeeh teeeeeeeeh, wakati mnaimbishwa kama mazuzu hamkulijua hilo?
 
Back
Top Bottom