Dkt. Mpango: Kodi si tatizo Bandarini

Dkt. Mpango: Kodi si tatizo Bandarini

ahahaha,hapo unachangia uku machozi yakikulenga lenga!

Walijifanya kukimbilia kenya jana kimenuka bandari ya Mombasa sasa wanajaribu kuanza kutumi wenye njaa wapige kelele ili Magufuli alegeze hakuna kulegeza ni kukaza tu sasa waende wakapitishie msumbiji
 
Kama kufukuza fukuzeni wote majengo tufugie kuku ilo ndo tutakalo weza mjomba bhn waga ana manenoooo
 
Mkuu wenu alishasema hataki kuona mizigo na wasilete. Endeleeni hivyo Hivyo na uchwara wenu
 
Natafakari kwa sauti:
J. K. Nyerere alibana kwa kiasi chake,
A. H. Mwinyi akaachie kidogo,
B. W. Mkapa nae akaja akabana,
J. M. Kikwete akalegeza, sasa kaja
J. P. Magufuli... mwendo ndo kama ulivyo.. Mie nadhani ni nyakati tu zinaongea. Wote wamefanya/wanafanya kwa kadri ya utashi waliojaliwa na Mungu. Tumpe muda JPM.
Ndiyo imeshatoka hiyo
 
Kutoka magari 3500 hadi 1,500 tathmini je kati ya magari 3500 mangapi yalikuwa yanalipia ushuru, hatuwezi kusema magari yanayohudumiwa kwa sasa kuwa ndio yalikuwa yanalipiwa ushuru na ambayo hayapo hayakuwa yanalipiwa la hasha lazima tuweke makadirio kama magari 2500 hivi ndio yalikuwa yanalipiwa. Sasa swala lingine ni kwamba kati ya hayo magari 1500 yapi ni ya transit maana yake hayalipiwi ushuru wa hapa nchini lazima yatakuwa kama 800 maana nimewahi kufika bandarini kuona magari ambayo hawa wageni wanayatoa ni mengi sana. Tukubali lazima kuna shoti ya ushuru je serikali itaendelea kutegemea ushuru wa viwanda vya ndani na kodi za wananchi tukizingatia hatuna viwanda kiivyo lol hapa KAZI KUBWA ni kufikiria jinsi ya kupata fedha kwa ajili ya kuendesha serikali maana DENI ambalo serikali inalipa nje ni kubwa sana Eh mwenyezi MUNGU TUSAIDIE.
Mkuu ni wachache watakuelewa lakini hali ni mbaya sana.
 
Hiyo ndio hali halisi na ndio ukweli wa bandari yetu mizigo mingi ilikuwa hailipiwi kodi hivyo ni bora wasije kabisa...!

Naipongeza serikali kwa hatua hii ya kudhibiti kwa sasa tunajua kabisa tunapata mizigo ya aina gani na kiasi gani.. Nina hakika kwa sasa mtu akiagiza gari lake hato ibiwa...!


Sio kila kitu nichakupinga wala sio kila kitu nichakutetea kisa wewe ni kada.
 
Kutoka magari 3500 hadi 1,500 tathmini je kati ya magari 3500 mangapi yalikuwa yanalipia ushuru, hatuwezi kusema magari yanayohudumiwa kwa sasa kuwa ndio yalikuwa yanalipiwa ushuru na ambayo hayapo hayakuwa yanalipiwa la hasha lazima tuweke makadirio kama magari 2500 hivi ndio yalikuwa yanalipiwa. Sasa swala lingine ni kwamba kati ya hayo magari 1500 yapi ni ya transit maana yake hayalipiwi ushuru wa hapa nchini lazima yatakuwa kama 800 maana nimewahi kufika bandarini kuona magari ambayo hawa wageni wanayatoa ni mengi sana. Tukubali lazima kuna shoti ya ushuru je serikali itaendelea kutegemea ushuru wa viwanda vya ndani na kodi za wananchi tukizingatia hatuna viwanda kiivyo lol hapa KAZI KUBWA ni kufikiria jinsi ya kupata fedha kwa ajili ya kuendesha serikali maana DENI ambalo serikali inalipa nje ni kubwa sana Eh mwenyezi MUNGU TUSAIDIE.
hawa watu was bandari watoe ripoti zinazo eleweka kama wasomi. waseme wazi kuwa mapato yamepungua kiasi gani, swala la idadi ya magari halitoi picha sahihi.
 
Wewe naona unaongelea hapo bongo tembelea bandari ya mombasa uone jinsi mimeli inavyo pishana na ukienda bandari ya beira nako ni meli kibao
wakwepa kodi hatuna haja nao , wacha waende zao tuna vyanzo vingi vya mapato
 
Binafsi hii habari nimeiona. Lakini, imepungukiwa kitu kimoja. Wangetuambia na mlinganyo wa mapato wakati wa magari 3,500 na mapato ya magari 1,500. Kama na mapato yamepungua, hapo ni tatizo. Kama ni kinyume, tatizo nini?
Sasa hapo kigumu kiko wapi? Au hesabu kwako ni ngumu?
 
Back
Top Bottom